NICAS AFYA

NICAS AFYA Tunasaidia wanawake kuondokana na shida za azazi bila upasuaji.....Tiba zetu ni za virutubisho lishe.

Hapa kuna vyanzo kumi vya matatizo ya ugumba kwa wanawake na wanaume:Vyanzo vya matatizo ya ugumba kwa wanawake:1. Matat...
03/05/2023

Hapa kuna vyanzo kumi vya matatizo ya ugumba kwa wanawake na wanaume:

Vyanzo vya matatizo ya ugumba kwa wanawake:
1. Matatizo ya ovulation (kutokwa kwa yai)
2. Maambukizi ya njia ya uzazi
3. Endometriosis (ugonjwa wa kuenea kwa tishu za ndani ya mfuko wa uzazi)
4. Utoaji mimba uliopita kiasi (miscarriage)
5. Ugonjwa wa polycystic o***y syndrome (PCOS)
6. Ugonjwa wa fibroids (uvimbe wa kwenye mfuko wa uzazi)
7. Matumizi ya dawa za kukinga mimba muda mrefu (contraceptives)
8. Matatizo ya mfumo wa kinga ya mwili (autoimmune disorders)
9. Matatizo ya thyroid
10. Umri mkubwa (above 35 years)

Vyanzo vya matatizo ya ugumba kwa wanaume:
1. Uzalishaji mdogo wa manii
2. Kuziba kwa njia ya uzazi
3. Ugonjwa wa varicocele (uvimbe kwenye mishipa ya damu ya korodani)
4. Maambukizi ya njia ya uzazi
5. Matumizi ya dawa fulani (k**a steroids)
6. Uvimbe kwenye korodani
7. Ugonjwa wa prostate
8. Ugonjwa wa mifumo ya uzazi k**a hydrocele (uvimbe wa maji kwenye korodani)
9. Ulevi wa kupindukia
10. Umri mkubwa (above 45 years)

Ni muhimu kukumbuka kuwa sababu nyingi za ugumba zinaweza kutibika . Iwapo unadhani una tatizo la ugumba, unashauriwa kufanya vipimo na kuanza matibabu kuepusha tatizo kuwa sugu.

CHOLESTEROL NI NINI?Cholesterol ni vitu vyenye mwonekano wa mafuta ambavyo hutengenezwa na ini kwa ajili ya kusaidia ufa...
01/05/2023

CHOLESTEROL NI NINI?

Cholesterol ni vitu vyenye mwonekano wa mafuta ambavyo hutengenezwa na ini kwa ajili ya kusaidia ufanyaji kazi wa seli za mwili, homoni na neva. Mwilini kuna cholesterol nzuri na ile mbaya.

Cholesterol ni muhimu sana kwenye mwili. Lakini kiwango chake kinapozidi ni hatari kwani mafuta haya yanaweza kuziba kwenye mirija ya damu na kupunguza mzunguko wa damu kwenda kwenye viungo muhimu vya mwili. Mafuta haya yanapozidi kujikusanya kwenye mirija ya damu huongeza hatari ya kupata shambulizi ya moyo (heart attack) au kiharusi (stroke).

Je nini Kinasababisha Cholesterol kuwa Nyingi?

Amini usiamini jibu ni tofauti kabisa na wengi wanavodhani kwamba kula vyakula vyenye mafuta ndio chanzo. Kwanza fahamu kuna aina mbili za cholesterol, high density lipoprotein (HDL) ambayo ni cholesterol nzuri na low density lipoprotein (LDL) -cholesterol mbaya.

LDL ikiongezeka zaidi huleta hatari ya magonjwa k**a shambulizi la moyo na stroke.
HDL-cholesterol nzuri husafiri ndani ya damu. Kazi yake ni kuondoa LDL-mafuta mabaya na kusaidia kulinda afya ya mishipa ya damu na damu iweze kusafiri vizuri. Kumbe ili uonekane na afya njema yatakiwa kiwango cha HDL kiwe kikubwa zaidi kuliko LDL.

Je ni jinsi gani upunguze kiwango cha LDL na uongeze HDL ili kuimarisha afya ya moyo wako? Hii ndio mada yetu ya leo, endelea kusoma zaidi.

Jinsi ya kupunguza Cholesterol mbaya Mwilini
(vyakula vya kutumia kwa wingi)
- Mafuta ya zeituni
Tafiti zimegundua kwamba matumizi ya mafuta ya zeituni (olive oil) mara kwa mara husaidia kupunguza kiwango cha mafuta mabaya mwilini.

- Mboga za majani
Mboga mboga zimejaa madini, vitamini na kambakamba (fibers). Matumizi ya mboga za majani mara kwa mara hupunguza mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu.

- Karanga
Karanga zimejaa mafuta mazuri na kambakamba, sababu hizi mbili pekee zinakufanya uchague karanga na jamii zake k**a chakula cha muhimu.

- Mbegu za maboga

- Vitunguu saumu
Tafiti zinasema kutafuna vitunguu saumu mfululizo kwa miezi miwili hupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo kwa kiasi kikubwa.

- Parachichi
Matunda haya yana madini ya potasimu, kambakamba na mafuta mazuri ambayo husaidia kurekebisha cholesterol mwilini.

*Vyakula vya kuepuka*
Ni muhimu sasa kusafisha jiko lako na kuondoa vyakula sumu vinavyokufanya uwe na cholesterol nyingi kupita kiasi. Vyakula hivi ni k**a:-

- Sukari na Wanga uliochakatwa na kusafishwa
- Pombe
- Caffeine
- Matumizi makubwa ya vinywaji vyenye caffeine nyingi k**a k**a kahawa, soda na energy drinks inaweza kuongeza cholesterol.

🔹 *KWANINI PROGRAM YA KUBOMOA MWILI IMEKUWA SULUISHO BORA LA KISUKARI, PRESHA NA SARATANI KULIKO PROGRAM ZINGINE!?*✅Watu...
29/04/2023

🔹 *KWANINI PROGRAM YA KUBOMOA MWILI IMEKUWA SULUISHO BORA LA KISUKARI, PRESHA NA SARATANI KULIKO PROGRAM ZINGINE!?*

✅Watu wengi hawaelewi Kwanini wanatumia sana dawa ZA hospitali wakati mwingine hata wanatumia sindano lakini hawaponi wanabaki na tatizo japo wanapata unafuu na tatizo linapungua lakini linajirudia tena.

▶️Mfano mtu mwenye tatizo la KISUKARI anaweza akawa Anatumia dose ya kila mwezi lakini tatizo litaendelea kubaki na haponi pia hata kwa matatizo mengine hivyohivyo unatumia sana dawa wakati mwingine unakua mtu wa hospitali muda wote na kunywa madawa kila siku lakini huponi

✍🏻*SASA ELEWA KUHUSU MADAWA YA HOSPITALI*
Madawa ya hospitali ni pharmathetical unapotumia yanaenda kutiibu moja kwa moja ORGAN na siyo SELI
Mfumo wa binadamu upo k**a ifuatavyo
Cell➡Tissue➡Organ➡ System➡Body
Kumbe madawa ya hospitali yanatibu tuu organi na mfumo
Organ➡ System➡Body .
Kumbe tunaona CELL na TISSUE haipati tiba ndiyo maana inaku rahisi ugonjwa kurudi sababu ugonjwa unaanzia kwenye seli na seli haipati dawa

✍🏻*ELEWA KUHUSU VIRUTUBISHO LISHE*
Virutubisho lishe vinaanzia kutibu kwenye Seli moja kwa moja mpaka kwenye mwili mzima
Cell➡ Tissue➡ Organ➡ System➡Body
Tumeona hapa inaanzia kwenye Seli,Tissue, Organ, System mpaka Body
Ndiyo maana watu wengi wanashangaa kwa nini virutubisho lishe hivi Vinatibu Magonjwa yasiyoweza tibika hospitali k**a vile Kisukari, Pressure, saratani, Madonda ya tumbo na matatizo ya uzazi.

❇️Kwahiyo cha kuelewa zaidi Kuhusu virutubisho lishe vinatibu kuanzia Seli na Mwili kwa ujumla na kutibu siyo kupoza au kuleta unafuu wa tatizo

Kwa ushauri na kupata program hii piga

*KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?**SWALI* Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kw...
29/04/2023

*KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?*

*SWALI*
Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wingi,mafuta mazuri, sili sukari, nafanya mazoezi na kadhalia; *KWA NINI NILE TENA VIRUTUBISHO? KWA NINI NILE TENA VIDONGE?*

💎*JIBU*:
Swali zuri sana, hata mimi kabla ya kuwa na elimu ya virutubisho lishe nilikua najiuliza hivyo hivyo.
Ukweli ni kwamba k**a unataka kupambana na magonjwa na kufikia urefu wa maisha huwezi kwa kutumia diet peke yake, unahitaji namna ya kuongeza lishe zaidi ambazo zitapatikana tuu kwa wewe kutumia virutubisho lishe.

-Jinsi ambavyo mbolea ilivyo muhimu kwa mmea ndivyo virutubisho lishe vilivyo muhimu kwa binadamu. Upe mmea jua na maji na utaishi, uongezee mbolea yenye virutubisho hai na uta stawi zaidi.

-Binadamu ndivyo hivyo hivyo, lishe yenye afya, yenye usawa inaipa mwili virutubisho vya kutosha kuendesha kazi za kawaida. Vidonge vyenye virutubisho lishe k**a madini,vitamini, asidi muhimu ya mafuta (essential fatty-acid), na kadhalika vinaimarisha mazingira ya ndani ya mwili kwa kuimarisha ulinzi wa seli, kukarabati na kuzaliwa upya na kusaidia mchakato wa utengenezaji upya wa seli.

*SABABU NYINGINE NA UMUHIMU WA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE*

1.Vyakula vya sasa havina virutubisho vya kutosha.

2.Kutumia virutubisho lishe ni njia ya haraka na rahisi zaidi ya kupata viini lishe ambavyo vinahitajika mwilini.

3.Inakusaidia kuondokana na magonjwa ya uzeeni k**a kisukari,pressure na Tezi dume.

4.Ni njia nzuri ya kupambana na kuondoa sumu mwilini.

*NB:VIRUTUBISHO LISHE (SUPPLEMENTS) NI MUHIMU SANA UKIHITAJI VIRUTUBISHO WASILIANA NASI KWA NAMBA(TUNAKUFIKISHIA POPOTE ULIPO TANZANIA).

ugonjwa huu unaweza kujiknga nao kwa kuepuka mambo mbalimbali na kufanya mambo yatakayotusaidia kutopata ugonjwa huu kwa...
27/04/2023

ugonjwa huu unaweza kujiknga nao kwa kuepuka mambo mbalimbali na kufanya mambo yatakayotusaidia kutopata ugonjwa huu kwa kuzingatia kanuni ya afya na USAFI

1. Vaa chupi ambazo hazibani na zilizotengenezwa kwa pamba au hariri epuka kutumia chupi aina ya synthetic underwear.

2. epuka kufanya mapenzi na mpenzi wako mwenye maambukizi haya

3.kula mlo wenye virutubsho muhimu

4. epuka kuoga maji ya moto sana (Hot baths) tumia maji ya uvuguvugu

5.osha sehemu zako za siri kwa kutumia maji Safi na jikaushe kwa kutumia taulo au kitambaa Safi

6.usikae na pedi mda mrefu

7. kunywa maziwa aina ya mtindi yenye live culture Mara kwa Mara yatakusaidia kuepusha maambukizi ya fangasi ukeni.

8.epuka matumizi ya vifaa vya kupanga uzazi na vifaa vya kufanyia mapenzi (s*x toys, diaphragm cervical caps) husababisha maambukizi ya fangasi ukeni

9.epuka kutumia sabuni za kemikali/dawa kuoshea ukeni

Figo Kufeli Maana Yake Nini?Figo ni viungo viwili vilivyo sehemu ya chini ya mgongo. Figo moja ipo kila upande wa uti wa...
26/04/2023

Figo Kufeli Maana Yake Nini?

Figo ni viungo viwili vilivyo sehemu ya chini ya mgongo. Figo moja ipo kila upande wa uti wa mgongo. Figo hufanya kazi ya kuchuja damu na kutoa sumu nje ya mwili wako. Sumu hizi husafirishwa hadi kwenye kibofu cha mkojo na hutolewa nje pamoja na mkojo. Figo hufeli wakati zinapopoteza kwa kiwango kikubwa uwezo wa kuchuja mabaki ndani ya damu.

Umbo La Figo

Figo hutoa mabaki na maji ya ziada nje ya damu kwa kupitia vitengo vidogo vya uchujaji vinavyoitwa nephrons. Kila nephron ina kichuchaji (glomerulus) kilicho na mfumo wa nyavunyavu wa mishipa ya damu midogo iitwayo capillaries. Damu ikipita ndani ya glomerulus, molekuli ndogo -maji, madini muhimu na virutubishi, na mabaki -hupita kwenye kuta za kapilari. Molekuli kubwa k**a za protini na chembechembe nyekundu za damu, huzuiwa. Mchaganyiko uliochujwa kisha hupita sehemu nyingine ya nephron iitwayo tubule. Maji, virutubishi na madini yanayohitajika na mwili hurudishwa ndani ya mfumo wa damu. Maji ya ziada na mabaki mengine huwa ndiyo mkojo na hutiririka kuelekea kwenye kibofu cha mkojo.

Kuna vipengele vingi vinavyoathiri afya na utendaji wa figo, navyo ni k**a:
baadhi ya magonjwa ya ghafla na magonjwa sugu mazingira yenye uchafuzi na baadhi ya madawa kukaukiwa maji mwilini kwa kiasi kikubwa mtiririko mdogo wa damu kuelekea kwenye figo kuumia kwa figo

Figo zako zisipofanya kazi sawasawa, mwili hujaa sumu. Hali hii inaweza kusababisha figo kufeli,na baadaye inaweza kusababisha kupotea kwa maisha endapo tiba haitatolewa.

Aina Za Kufeli kwa Figo
Kuna aina tano za kufeli kwa figo. Acute kidney failure ni pale figo zinapoacha kufanya kazi vizuri ghafla. Chronic kidney failure ni kufeli kwa figo kunakotokea baada ya muda mrefu.

Aina hizo tano ni:
Acute prerenal kidney failure. Mzunguko mdogo wa damu kwenye figo ni sababu ya acute prerenal kidney failure. Figo haziwezi kuchuja sumu kutoka kenye damu k**a hakuna mzunguko mkubwa wa damu.

*ZINGATIA SANA HILI❗. Aina Sita (6) Za Uchafu Utokao Ukeni Na Kukujulisha Kuna Nini ....*Kwanza kabisaa k**a wewe ni huy...
26/04/2023

*ZINGATIA SANA HILI❗. Aina Sita (6) Za Uchafu Utokao Ukeni Na Kukujulisha Kuna Nini ....*
Kwanza kabisaa k**a wewe ni huyu 👇soma UJUMBE huu mpaka mwisho na ondoa ujuaji kichwani mwako ili ujiepushe kwenye hatari...
>Je! Unaogopa hatari yoyote katika afya yako ya uzazi ?

>Je! Unaamini kuwa mwili unajieleza wenyewe ?

>Je! Unajua kuwa k**a wewe ni mwanamke lazima utokwe na uchafu ?

>Hupendi kabisaa kutetereka katika mfumo mzima wa afya ya uzazi.
Basi chunguza aina hizi sita za uchafu

*1. Uchafu Mweupe k**a Yai (Tunauita Ute)..*
Aina hii ya uchafu au ute unakuwa unaashilia yafuatayo

👉Kuanguliwa kwa Yai k**a ute huu unatoka siku za hatari za mzunguko wako
👉Una mimba k**a unatoka mda wote au mda mwingi
👉Una afya nzuri ya uzazi k**a unatoka katika kipindi maalumu
👉Hormone zako ziko vizuri
N.B
Ute huu uwe na sifa ya kuvutika na kuteleza na usiwe na harufu kali

*2. Rangi Ya Mawingu ..*
Uchafu wenye rangi ya mawingu huu waliowengi huchanga na ute wa uzazi mara nyingi
👉Huu unaashilia una shambulio la bacteria
Mda mwingine unaweza kuwa mzito sana

*3. Uchafu Mweupe Sana...*
Mara nyingi uchafu huu unakuwa mweupe tofauti na ule wa wakati wa kuanguliwa kwa Yai unaovutika
Unaashilia
👉Maambukizi ya fangus endapo unawasha , kutoa harufu
👉Mda mwingine unakuwa kawaida huna shida k**a haukuletei shida yoyote ile

*4. Uchafu Wa Pink..*
Uchafu huu unakuwa unaashilia
👉Huashilia unashida katika shingo ya kizazi ama PID kwa ujumla
👉Umeshambuliwa ukuta wa uzazi na wadudu (PID)
👉Ukiwa umeambatana na damu zaidi unakuwa unamaanisha kuna kitu kinajipachika kwenye ukuta wa uzazi (mimba au uvimbe kuota)

*5. Nyekundu...*
Uchafu huu unakuwa unaashilia

👉Upo period (hedhi)
👉K**a nje ya tarehe zako unakuwa umeshambuliwa katika shingo ya kizazi na wadudu
👉Kuzidi zaidi unaweza kuwa katika kizazi kuna , uvimbe , Saratani n.k

*6. Kijani Kuelekea Njano Au Njano Kabisaa..*

Huashilia unashida hizi
👉Magonjwa ya zinaa
👉Shida ya PID

*Najua Unapata Damu Ya Hedhi Inayoambatana Na Mabonge Mabonge/Vinyama Na Inayotoka Kwa Muda Mrefu...!*Kwa ujumla,chanzo ...
22/04/2023

*Najua Unapata Damu Ya Hedhi Inayoambatana Na Mabonge Mabonge/Vinyama Na Inayotoka Kwa Muda Mrefu...!*

Kwa ujumla,chanzo cha kuganda kwa damu wakati wa hedhi yako hutokana na kushindwa kutoka kwa ute
wenye kemikali unaozuia kuganda kwa damu kibaolojia
huitwa *anticoagulants*
ambapo kazi ya ute huu ni kuukinga ukuta wa kizazi usiharibike.

Wakati wa hedhi, ute mzito unakuwa kwenye ukuta wa
kizazi huanza kutoka. Ute huu unaokuwa na kemikali huanza kuachiliwa ili kuzuia damu isigande wakati wa
hedhi.

Wanawake wengi wanaotokwa na damu ya hedhi muda mrefu hutoka na damu yenye mabonge kwa sababu damu inayotoka kwenye ukuta wa mfuko wa
kizazi(uterus) hutoka kwa kasi kuliko ute wenye kemikali ya kuiyeyusha isigande.

Hali hi ndio husababisha damu kuganda na hedhi kutoka na mabonge ya damu kwa muda mrefu.

Visabibishi vya kupungua kwa ute huu (anticoagulants) ni
uwepo wa tatizo katika kizazi mfano.

♨️Uvimbe Katika Kizazi (Uterine Fibroids)
Uvimbe mmoja au zaidi.

♨️Matumizi ya njia za Kisasa za Uzazi Wa Mpango.
Dhumuni kuu la njia za kisasa za Uzazi wa mpango ni kuvuruga mpangilio wa homoni za mwanamke.Kivurugika
kwa homoni hauharibu tu ukomavu wa mayai bali
huharibu vichochezi ya homoni ya estrogen na Progesterone.

♨️Maambukizi
Aina ya kwanza ya maambukizi yanayoweza kusababisha
hali hi ya kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi ni maambukizi katika via vya uzazi(P.I.D)

Ili kujua chanzo cha tatizo ni vipimo vifuatavyo vinaweza kufanyika;
♨️ Ultrasound
♨️Kipimo cha homoni

Tatizo la kutokwa na hedi yenye magonge magonge au hedhi kwa muda mrefu linatibika vizuri kabisa kwa kutibu chanzo cha tatizo.

Wasiliana nami ujipatie suluhisho la tatizo lako

*FEMICARE NI NINI* ? Hii ni bidhaa iliyotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu sana kwaajili ya afya ya mwanamke. Kuto...
22/04/2023

*FEMICARE NI NINI* ? Hii ni bidhaa iliyotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu sana kwaajili ya afya ya mwanamke. Kutokana na maisha ya kisasa wanawake wanakutana na matatizo mengi ya kiafya hasa kwenye mifumo yao ya uzazi. Kwa kulitambuwa hilo tunakuletea suluhisho la matatizo yote yanayomuhusu mwanamke. *KIBOKO YA YOTE NI FEMICARE*

*KWANINI UTUMIE FEMICARE? FAIDA ZAKE KWA MWANAMKE*
👉🏿 Inaondoa harufu mbaya ya uke.
👉🏿Husaidia kutibu maradhi ya njia ya mkoji au U.T.I SUGU.
👉🏿 Huweka uke kuwa msafi na Salama.
👉🏿 Husaidia kusafisha na kutibu mirija ya uzazi.
👉🏿Husaidia kurudisha kuta za uke zilizolegea.
👉🏿Husaidia kupunguza maumivu wakati wa hedhi.
👉🏿Inatibu P.I.D, endapo ikitumika pamoja na vidonge vya refined.
👉🏿Husaidia kurudisha uteute kwa wenye shida ya uke kuwa mkavu.
EWE MWANAMKE INUNUE HII DAWA LEO KWANI FAIDA ZAKE NI NYINGI SANA KWAKO.

Madhara Yatokanayo Na PIDPID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji yenye wadudu kwenye ...
22/04/2023

Madhara Yatokanayo Na PID
PID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji yenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya uzazi ya mwanamke. Vitu hivi vinaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye viungo vya uzazi.



PID magonjwa



Madhara yanayoweza kutokea ni pamoja na:
Mimba nje ya mirija (ectopic pregnancy). PID ndiyo sababu kubwa ya mimba kutunga nje ya kizazi. Mimba huweza kutunga nje ya kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya uzazi. Badala yake yai hunata ndani ya mirija ya uzazi . Mimba nje ya kizazi husababisha utokaji wa damu usio wa kawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke.
Ugumba. Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba – kushindwa kupata ujauzito. Kadiri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi, ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi. Kuchelewa kupata tiba ya PID kunaongeza hatari ya ugumba.
Maumivu sugu ya nyonga. PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu kwa miaka mingi. Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai linadodondoshwa (ovulation).
Tubo-ovarian abscess. PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya njia ya uzazi. Mara nyingi majibu haya hutokea ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi. K**a tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizo hatarishi kwa maisha.

Tiba Ya PID
Tiba ya mara moja kwa kutumia dawa itaondoa maambukizo yaliyosababisha PID. Lakini, hakuna njia ya kukarabati makovu au uharibifu kwenye njia ya viungo vya uzazi uliotokana na PID. Tiba ya PID yaweza kuwa:

TATIZO LA NGUVU ZA KIUMENi ile hali ya mwanaume kushindwa kufanya tendo la ndoa ipasavyo na kushindwa kuzalisha mbegu ha...
16/04/2023

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Ni ile hali ya mwanaume kushindwa kufanya tendo la ndoa ipasavyo na kushindwa kuzalisha mbegu hai na zenye uwezo wa kutungisha mimba.

NI MWANAUME GANI ANA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume na dalili zifuatazo;

🎲 Hawezi kurudia tendo .
Mara anapokojoa uume husinyaa na hauwezi kusimama hadi pale atakapokaa kwa saa kadhaa au hadi siku inayofuata.

🎲 Inayefanya tendo la ndoa bila kufika kileleni.

Mwanaume anapaswa afanye tendo na afike kileleni,,,kwa raundi ya kwanza inaweza kutumia dakika saba hadi kumi na tano kufika kileleni kutegemea na uasili wa mwanaume,,,mwanaume anayefanya tendo muda mrefu bila kufika kileleni huyo anaupungufu wa nguvu za kiume.

🎲 Mwanaume anayewahi kufika kileleni.

Yaani unakuta mwaume akishikwa tu na mwanamke hata kabla hajaingia tayari kashamaliza au akiingia tu nusu dakika au dakika moja kashamaliza na baada ya hapo ndo shughuli imeisha hadi kesho.

🎲 mwanaume anayezalisha mbegu changa, au zisizo na mikia au mbegu kidogo tuu.

Unakuta mwanaume anatoa shahawa lakini ndani ya shahawa kuna kiwango kidogo sana cha mbegu za kiume,,au hazikomaa,,,basi huyu naye anahitaji kusaidiwa.

🎲 Mwanaume mwenye uume uliolegea,,,hata ukisimama hausimami na kuwa imara k**a chuma. Na wenye urefu kati ya sentimita 15 hadi 18,,,,na unene unaotakiwa.

🎲 Mwenye uume uliosinyaa na mdogo.

Mtu mwenye umbile dogo kupita kiasi nae anaingia katika kundi hili.

SABABU ZA KUKOSA NGUVU ZA KIUME

1. Kujichua (ma********on)
Kujichua hulegeza misuli ya uume na kuua neva za fahamu. Pia huziba mirija ya damu kwenye uume.

2. Matumizi ya dawa za kuongeza nguvu k**a vi**ra,, vumbi la kongo, nk ili kuongeza nguvu za kiume na kufurahia tendo,,,madawa hayo husisimua misuli kupita kiasi na kupelekea misuli hiyo kuzoea kusisimka zaidi,,hivyo bila dawa huyu mtu hafanyi tendo.

3. Stress na msongo wa mawazo.

Ili uume uweze kusimama unahitaji ubongo uratibu tendo hilo hivyo mtu mwenye msongo wa mawazo ubongo.

Address

Bariadi
789

Telephone

+255654967705

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NICAS AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to NICAS AFYA:

Share