Sobriety Forever Rehabilitation Centre

Sobriety Forever Rehabilitation Centre "Kagera Regional First De-addiction Centre"

SOBRIETY FOREVER REHABILITATION CENTRE - KAGERA is the treatment centre for
substance dependence and therefore the centre has a rich experience in handling alcoholics and drug addicts.

K U J I K U B A L I (ACCEPTANCE):Wiz Khalifa, amethibitisha rasmi kuacha kunywa pombe kabisa. Kupitia ujumbe wake, rapa ...
30/09/2025

K U J I K U B A L I (ACCEPTANCE):

Wiz Khalifa, amethibitisha rasmi kuacha kunywa pombe kabisa. Kupitia ujumbe wake, rapa huyo alisema:

“Nilikwisha kuacha kunywa pombe kabla na sasa naweza kusema tena kwamba hakuna pombe yoyote itakayoweza kuingia mwilini mwangu kamwe.”

Wiz Khalifa ameeleza kuwa hata alipobakiza kunywa kinywaji kimoja tu kwa wiki, mwili wake haukushindwa kuhimili. Alisema:

“Nimepunguza hadi kinywaji kimoja kwa wiki lakini mwili wangu hauwezi hata kushughulikia hicho tena. Hangovers zinahisi k**a milango ya mbinguni inafunguka na hiyo haifai kwa starehe ya muda mfupi.”

Aidha, rapa huyo aliongeza kuwa kunywa pombe hakukuleta furaha ya kweli:

“Zaidi ya yote, si starehe hata kidogo. Yote ninayofanya ni kusema maneno yasiyo na maana na kulala kwenye kochi nikiwa nimevaa nguo zote. Niko sawa. Imatosha.”

Kwa mujbu wa maneno yake, sasa Wiz Khalifa anafurahia afya yake akiwa mbali na pombe.

*“Uraibu katika Muktadha wa Afya ya Akili na Kukatisha Uhai”* 🧠💔👉 Mada hii itaangazia namna uraibu wa dawa za kulevya un...
24/09/2025

*“Uraibu katika Muktadha wa Afya ya Akili na Kukatisha Uhai”* 🧠💔

👉 Mada hii itaangazia namna uraibu wa dawa za kulevya unavyohusiana na changamoto za afya ya akili na vitendo vya kukatisha uhai.

📌 Pia tutajikita kwenye Nafasi ya Mamlaka katika Kupambana na Kudhibiti Matumizi ya Dawa za Kulevya ili kupunguza athari zinazohusiana na afya ya akili kwa jamii.

🗣 Mzungumzaji:
SHABANI Miraji – Afisa Elimu Jamii, DCEA

🗓 Alhamisi, 25 Septemba 2025
⏰ Saa 2:00 – 3:00 Usiku (EAT)
👇🏽
https://us06web.zoom.us/j/87453481716?pwd=0MCWm9AHxza2gntlE83jO4Mlf6w0AD.1

Karibuni kwa mjadala wenye kuleta mwanga na matumaini! ✨

📞 Wasiliana nasi:
🌐 www.akilihuru.org | 📧 info@akilihuru.org | ☎ +255 746 802 135
📲 Instagram:

✝️ PUMZIKA KWA AMANI ✝️UONGOZI WA KITUO CHA Sobriety Forever Rehabilitation Centre.UNATOA POLE KWA FAMILIA KUFUATIA MSIB...
18/08/2025

✝️ PUMZIKA KWA AMANI ✝️

UONGOZI WA KITUO CHA Sobriety Forever Rehabilitation Centre.

UNATOA POLE KWA FAMILIA KUFUATIA MSIBA WA MMOJA WA WADAU WETU MA. DEMETRIA KOMUGISHA WALIKUWA WANAJITOLEA KWA HALI NA MALI KATIKA KUISAIDIA HUDUMA YETU.

PIA TUNATOA POLE SANA KWA KITUO CHA Radio Mbiu | Radio Maria Tanzania KWA KUMPOTEZA MTENDA KAZI NA KATIKA UHAMASISHAJI WA MATUKIO YA HUDUMA.

"RAHA YA MILELE UWAPE, EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UWAANGAZIE, MAREHEMU WOTE, WAPUMZIKE KWA AMANI". AMINA.

S O M O:Matumizi ya pombe kupitiliza (ulevi sugu) ni maradhi k**a yalivyo maradhi mengineyo. Maradhi haya hayana uhusian...
18/08/2025

S O M O:

Matumizi ya pombe kupitiliza (ulevi sugu) ni maradhi k**a yalivyo maradhi mengineyo.

Maradhi haya hayana uhusiano wowote na masuala ya USHIRIKINA / KUROGWA.

Zipo huduma mbalimbali za kudhibiti (to arrest) hali hiyo na mwathirika kuweza kurudi katika utimamu na kuchukua majukumu yake katika maisha.

KWA HUDUMA YA KUTOA USAIDIZI KWA WAATHIRIKA WA POMBE NA DAWA NYINGINE ZA KULEVYA WASILIANA NASI Sobriety Forever Rehabilitation Centre NAFUU INAPATIKANA NA MAISHA YANAENDELEA.

Kwa msaada zaidi tuwasiliane kwa namba hizi:
0789 78 05 29
0767 05 83 51
0620 17 62 48

Well, Another year of God's Grace in my life. 12 years of sober and clean living. We all have a choice each day, mine is...
30/07/2025

Well,

Another year of God's Grace in my life. 12 years of sober and clean living. We all have a choice each day, mine is to serve the plan God has for my life. Wish I could say it was always that way, but today is all that counts. Am only posting to let people know it is possible.

| HP | A.A | MEETINGS | STEP WORK | INTO ACTION | SPONSOR (SHIP) | KCB | ODAAT |

Love y'all.

S O M O:Wapendwa tujitahidi kulinda AFYA YA AKILI (MENTAL HEALTH ISSUES). Unakaribishwa SOBRIETY FOREVER REHABILITATION ...
20/05/2025

S O M O:

Wapendwa tujitahidi kulinda AFYA YA AKILI (MENTAL HEALTH ISSUES).

Unakaribishwa SOBRIETY FOREVER REHABILITATION CENTRE - KAGERA k**a una changamoto ya matumizi ya vileo kupita kiasi (ULEVI SUGU).

Usijaribu kukabiliana na msongo wa mawazo (depression) kwa kutumia vileo.

Tutembelea kituoni kwetu SOBRIETY FOREVER REHABILITATION CENTRE - BUKOBA MANISPAA - KATA YA KAGONDO - MTAA WA AMANI - JENGO NAMBA 104.

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
0789 78 05 29
0620 17 62 48
0760 05 83 51

Email:
rnelsontz@gmail.com

SOMO: SEHEMU YA KWANZA.DALILI ZA ULEVI SUGU. Ni kwa hisani ya kituo cha kutoa usaidizi kwa waathirika wa matumizi ya pom...
17/05/2025

SOMO: SEHEMU YA KWANZA.

DALILI ZA ULEVI SUGU.

Ni kwa hisani ya kituo cha kutoa usaidizi kwa waathirika wa matumizi ya pombe kupita kiasi "ULEVI SUGU" na dawa nyinginezo za kulevya.

Sobriety Forever Rehabilitation Centre - KAGERA.

Mawasiliano:
+255 789 78 05 29
+255 620 17 62 48
+255 767 05 83 51

Email: sftanzania@gmail.com

06/05/2025
Msanii maarufu kutoka Uganda,  , ametangaza kuwa sasa hawezi tena kunywa pombe wala kuvuta sigara, sio kwa sababu ya maa...
23/04/2025

Msanii maarufu kutoka Uganda, , ametangaza kuwa sasa hawezi tena kunywa pombe wala kuvuta sigara, sio kwa sababu ya maagizo ya daktari, bali ni uamuzi wa binafsi baada ya kutafakari afya yake kwa kina.

Akizungumza na wanahabari wa burudani alipowasili JKIA nchini Kenya, Chameleone alisema safari yake haikuwa ya kimatibabu pekee, bali pia ya kukutana tena na marafiki wa zamani.

Akiwa Marekani kwa matibabu, alikiri alipoteza kilo 13 na hapo ndipo alipoamua kubadili mtindo wake wa maisha.
“Daktari hajanilazimisha kuacha, ila nimejipima mwenyewe. Nilikuwa natumia pombe kupita kiasi na kuvuta sigara maisha yangu yote. Kwa ajili ya afya yangu, nimeacha yote hayo.”

Chameleone pia alieleza kuwa alikaribia kufa, na anaamini Mungu amempa nafasi ya pili ya kuishi:
“Hii ni round ya pili ya maisha. Round ya kwanza imeisha. Imebaki miaka mitatu tu nifikishe miaka 50, kuna mambo lazima nipunguze.”

Kuhusu muziki, alisema hajarejea kikamilifu, lakini ana hamu kubwa ya kusaidia wasanii wengine:
“Sihitaji tena kuthibitisha chochote. Mimi ni hitmaker, kazi zangu zinajieleza. Sasa ni wakati wa kuinua wengine. Kusaidia mtu kung’aa hakuondoi mwanga wako.”

Chameleone pia alikumbuka jinsi Kenya ilivyokuwa sehemu ya mwanzo wa safari yake ya muziki miaka 25 iliyopita — hata uhusiano wake wa kwanza wa kimapenzi ulianzia hapa. “Hata mpenzi wangu wa kwanza nilikutana naye hapa Kenya. Hapa ndipo kila kitu kilianzia.”

Ametoa mwaliko kwa wasanii wote wenye ndoto kubwa za muziki:
“Niko Kenya kwa muda, k**a unaamini kwenye kazi yako, njoo tufanye kitu pamoja.”
Powered By:

TANGAZO.Asasi ya SOBRIETY FOREVER - TANZANIA inaendelea kupokea na kutoa usaidizi kwa waathirika / WARAIBU wa pombe (ULE...
23/04/2025

TANGAZO.

Asasi ya SOBRIETY FOREVER - TANZANIA inaendelea kupokea na kutoa usaidizi kwa waathirika / WARAIBU wa pombe (ULEVI SUGU) na dawa nyinginezo za kulevya (ILLICIT DRUGS), tumbaku - ugoro, mirungi, heroine, co***ne, bangi (ma*****na) na pia waathirika wa dawa za hospitalini mfano varium, tramadaol, panadol nk.

Kwa mawasiliano na maelezo zaidi.
0789 78 05 29
0620 17 62 48
0767 05 83 51

Email: sftanzania@gmail.com

 FOREVER REHABILITATION CENTRE ni kituo cha kutoa usaidizi kwa waathirika wa pombe | alcoholism (ULEVI SUGU) na dawa nyi...
04/04/2025

FOREVER REHABILITATION CENTRE ni kituo cha kutoa usaidizi kwa waathirika wa pombe | alcoholism (ULEVI SUGU) na dawa nyinginezo za kulevya (ILLICIT DRUGS ADDICTION).

Maradhi ya ULEVI SUGU | URAIBU | (ADDICTION) yanaweza kudhibitiwa kwa kutumia njia sahihi za usaidizi kwa waathirika wa pombe na dawa nyingine za kulevya.

K**a una ndugu, mzazi, mtoto, mke, mme, rafiki, jirani AU WEWE MWENYEWE una tatizo la matumizi ya pombe kupita kiasi (alcoholism) au ni MWATHIRIKA wa dawa nyingine za kulevya karibu SOBRIETY FOREVER REHABILITATION CENTRE - TUKUHUDUMIE.

Kwa maelezo zaidi, wasiliana na:
Ndg: Nelson Rwiza,
Msimamizi wa kituo | tiba:
+255 789 780 529,
+255 620 176 248,
+255 767 05 83 51.

Email:
sftanzania@gmail.com

Sobriety Forever Rehabilitation Centre.

Address

Bukoba

Opening Hours

Monday 08:00 - 16:00
Tuesday 08:00 - 16:00
Wednesday 08:00 - 16:00
Thursday 08:00 - 16:00
Friday 08:00 - 16:00
Saturday 08:00 - 12:00

Telephone

+255789780529

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sobriety Forever Rehabilitation Centre posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Sobriety Forever Rehabilitation Centre:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram