illmaasai

illmaasai Afya Kwanza ndicho kipaumbele changu (Health First is My Priority) I am a seller of nutritional supplements from the BF SUMA company for our health.

(Mimi ni muuzaji wa virutubisho lishe kutoka kampuni ya BF SUMA kwaajili ya afya zetu)

K**a huna ugumba wa asili kutoka Mungu mwenyewe, hapa lazima uitwe mama. Nicheck kwa 0782434469 nikupe Packege hii upate...
27/10/2022

K**a huna ugumba wa asili kutoka Mungu mwenyewe, hapa lazima uitwe mama. Nicheck kwa 0782434469 nikupe Packege hii upate heshima.

KUMBUKA:- Utoaji mimba wa mara kwa MARA, haitoshi kusema itakusababishia PID tu, bali itakuletea pia madhara yafuatayo.M...
26/10/2022

KUMBUKA:- Utoaji mimba wa mara kwa MARA, haitoshi kusema itakusababishia PID tu, bali itakuletea pia madhara yafuatayo.

MADHARA
1. Mirija ya uzazi kuziba
2. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
3. Uke kulegea na kukosa mvuto kwa mumeo
4. Kutokushika mimba kabisa
5. Kutoshika mimba kwa wakati
6. Kizazi kuwa na ukungu au kujaa maji au kujaa uchafu

Msaada wa kupona ni wa uhakika 100%

Tuwasiline kupitia
WhatsApp 0782434469
Facebook=Afya Kwanza
Instagram=Afy_Kwanza
Tweeter=Lolaitayock

26/10/2022

Mpendwa mtazamaji, nimekuwa nikipost mara nyingi sana hii bidhaa ya *FEMICARE.*

Ninatambua namna ambavyo wanawake wana maumbile yaliyo wazi kwa muda wote, na hivyo ni rahisi sana kushambuliwa na bakteria wa UTI, PID Fangasi, miwasho, Harufu mbaya ukeni, Uchafu mweupe unaofanana na maziwa mgando nk.

Sasa hii bidhaa ni askari mlinzi wa sehemu nyeti za mwanamke, usikubali uikose ndani mwako.
*Jipatie kwa Tsh 45,000/=*

*FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*Maarufu K**a *UYOGA MWEKUNDU*⏺ Hupandisha CD4 mwilini⏺ Huongeza Kinga...
01/09/2022

*FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*

Maarufu K**a *UYOGA MWEKUNDU*

⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa waliougua mda mrefu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na (Novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali

Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote

Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia pure moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona

Angalia kidogo hapa 👇

Pure ikiisha katika kuitengeneza mabaki ya Uyoga mwekundu ndo hutengenenezea baadhi ya dawa nyingine tena ndio maana huitwa *pure*

Unakosaje kuitumia pure K**a unauwezo nayo?

Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia

Address

Chalinze

Opening Hours

Monday 07:00 - 17:00
Tuesday 07:00 - 17:00
Wednesday 07:00 - 17:00
Thursday 07:00 - 17:00
Friday 07:00 - 17:00
Saturday 07:00 - 17:00

Telephone

+255782434469

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when illmaasai posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to illmaasai:

Share