Afya zone

Afya zone Tunawasaidia watu kuboresha afya ya uzazi, kupunguza uzito na kitambi, kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na ngozi.

Tuma ujumbe neno afya kwenda WhatsApp 0659414711 au piga simu usaidiwe haraka.

23/10/2021
MAKOSA WANAYOFANYA WANAUME WANAPOGUNGUA WANACHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!  Wanaume wengi wanapogundua wamepungukiwa na n...
27/08/2021

MAKOSA WANAYOFANYA WANAUME WANAPOGUNGUA WANACHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!

Wanaume wengi wanapogundua wamepungukiwa na nguvu za kiume huwa Mara nyingi hukimbilia kutafuta Dawa za kuongeza NGUVU ZA KIUME na sio tusafuta suluhisho la chanzo cha tatizo.Hili Ni KOSA KUBWA sana!

Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo Cha tatizo kwa maana ya kwamba dawa hizi hazitibu tu tatizo Bali pia Zina madhara mengi Sana kiafya pia.Nini ambacho hufanya mwilini Dawa hizi? Dawa hizi hufanya kazi ya kuulazimisha MOYO kusukuma damu kuingia katika uume,Kwan kua-activate nitric oxide.matokeo yake Ni kwamba viungo ambavyo Ni vigonjwa vitalazimika kufanya kazi huku vikiwa Ni vigonjwa,...na hatimaye vitadhoofika kabsa,

K**a ambavyo wewe unakuwa mgonjwa na unalazimishwa kufanya kazi,Mara ya kwanza unaweza kufanya,lakini Mara nyingne unaweza kushindwa kabsa,na hata kuumia zaidi.Hiki ndicho kinachotokea Kwan wahanga wengi wa madawa ya kikemilkali.Atakwambia ..."nilijaribu kutumia Mara kadhaa ikawa inasimama lakini baadae haikusimama kabsa,hata K**a nikitumia siwezi kabsa" ....Hivyo unapotibu nguvu za kiume unatibu afya yako kwa Ujumla,kinyume na watu wanvyofikiri kwamba labda nguvu za KIUME Ni ule uume!! NGUVU ZA KIUME ziko NDANI na Ni viungo na vipengele mbalimbali vinavyofanya kazi kwa ushirikiano mkubwa ili kukupatia nguvu za kiume.

Kwa mawasiliano,elimu na ushaur na tiba ; wasiliana nami;

WhatsApp/call:+255659414711

Ni kirutubisho muhimu Sana ambacho kill mtu yafaaa kukitumia kila siku....ambapo 97.9% Ni aloe vera tuu hakijaongezewa k...
20/07/2021

Ni kirutubisho muhimu Sana ambacho kill mtu yafaaa kukitumia kila siku....ambapo 97.9% Ni aloe vera tuu hakijaongezewa kemikali hatarishi hivyo Ni salama kwa afya zetu

*Forever Argi+*Ni bidhaa unique itakayokusaidia 👉kuondoa ile cholesterol inayoziba mishipa ya damu,👉Kudilate miship ya d...
17/07/2021

*Forever Argi+*Ni bidhaa unique itakayokusaidia
👉kuondoa ile cholesterol inayoziba mishipa ya damu,
👉Kudilate miship ya damu ipite vizur sehemu zote za mwili
👉Ina kurejeshea uwezo wako wa kusimamisha uume(relieves erectile dysfunction permanently)
👉Inakupa stamina na nguvu za kulast longer during s*x
👉Inapunguza Kasi ya kuzeeka kwanzia ndani Hadi nje
*_Kumbuka_* : bidhaa hi Ni kirutubisho na sio dawa,imedhibitishwa na *tbs*
📌Kwa msaada wa haraka na upatikanaji wa kirutubisho hiki ;
*Call/WhatsApp:+255659414711`*

Call/WhatsApp:+255659414711
12/07/2021

Call/WhatsApp:+255659414711

BORESHA AFYA YA TEZI DUME,KIBOFU,MILIJA YA UZAZI,MISULI,NGUVU ZA KIUME NA STAMINA KWA KUTUMIA;👇👇👇👇👇👇 *FOREVER VITOLIZ FO...
10/07/2021

BORESHA AFYA YA TEZI DUME,KIBOFU,MILIJA YA UZAZI,MISULI,NGUVU ZA KIUME NA STAMINA KWA KUTUMIA;
👇👇👇👇👇👇

*FOREVER VITOLIZ FOR MEN*

🔴Ni kirutubisho kilicho andaliwa kwa mchanganyiko wa matunda ya komamanga,mbegu za maboga,nyanya maji,kitunguu maji, matunda Poli na mafuta ya mzaituni.

Mchanganyiko huo unatupatia madini ya zinc na selenium pamoja na vitamins B6,C,D, na E.
*
FAIDA YAKE KIAFYA KWA MWANAUME*

✅ husaidia kuzibua na kuondoa uchafu kwenye mirija ya uzazi.
✅ husaidia Kuboresha,kulinda na KUIMARISHA afya ya tezi dume na kibofu cha mkojo.
✅ husaidia Kuboresha na kuimarisha afya ya uzazi na TENDO la ndoa.
✅ husaidia kuzuia madhara ya kemikali zinazo ingia mwilini ambazo zinaathiri afya ya TEZI DUME na kibofu

✅ husaidia kurekebisha HOMONI, huongeza mbegu za kiume

✅ Husaidia kuboresha na kuimarisha misuli,mfupa, Mzunguko wa damu na NGUVU ZA KIUME.

✅Huboresha na kuimalisha mfumo mzima wa fahamu na hisia za kijinsia

KUMBUKA:Bidhaa hii sio dawa Bali Ni virutubisho lishe.

⏺️⏺️⏺️kwa mawasiliano, ushaur na upatikanaji wa bidhaa

*Call/WhatsApp:+255659414711*

*JE WAJUA?*Miili yetu huwa inatuongelesha kila siku ila mara nyingi we don’t pay attention. Kila siku tunajiongezea *sum...
10/07/2021

*JE WAJUA?*
Miili yetu huwa inatuongelesha kila siku ila mara nyingi we don’t pay attention. Kila siku tunajiongezea *sumu na taka mwili* nyingi. Hizi hutokea sehemu mbalimbali kuanzia vyakula tunavyokula; vinywaji(soda, juice etc), tunavyopaka; hewa; madawa na hata stress.
Angalia hii picha inaonyesha dalili mwilini zinazoashiria tunahitaji kufanya *Body Cleanse na Detox*

Ndiyo maana zawadi kubwa unayoweza kuupa mwili wako ni *kuufanyia detoxing frequently!* Our *C9 pack (Nutritional Cleansing Program)* is the best program Kwa ajili ya kudetox na kucleanse mwili wako na kuurudisha kwenye best performance. Na hapo hapo kukusaidia kupunguza kilo 3-6!

Pia njia nyingine ya kusafisha mwili wako ni Kwa kutumia the Aloevera Gels 3. *Ambazo zitasafisha utumbo wako; kuboresha unyonywaji wa chakula na kusafisha mfumo wote Kwa ujumla. Pia kukuongezea energy na ufanisi mzuri wa mwili wako!*

KUMBUKA:
bidhaa hizi Ni virutubisho lishe na wala sio dawa

WhatsApp/call/text:+255659414711

MADHARA YA KUJICHUA KIAFYA!♦️Punyeto au Kujichua hukufanya uwe dhaifu,inapoteza protini na calcium ndani ya mwili wako.♦...
10/07/2021

MADHARA YA KUJICHUA KIAFYA!

♦️Punyeto au Kujichua hukufanya uwe dhaifu,inapoteza protini na calcium ndani ya mwili wako.
♦️huleta matatizo kwenye Neva nyurolojia ndani ya mwili
♦️Ni moja ya kisababishi kikuu Cha uhanithi(uume kushindwa kusimama)
♦️Ni rahisi kuwa mtumwa wa Kujichua (Teja) unaweza kujaribu Mara moja tu na tayari ukawa Teja wa Jambo hilo kila Mara
♦️huleta uchovu sugu na kwa haraka Zaid,Mara nyingi utahitajika kulala usingizi hata nyakati za mchana
♦️ husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako
♦️ huleta matatizo ya kisaikolojia,hukusababishia majonzi huzuni na kukufanya kujilaumu Mara baada ya kujichua

KUMBUKA;
Punyeto haifanyiki kirahisi,inahitaji akili yako iwaze au itazame picha mbaya au kumfikiria mtu kimapenzi asiyekuwepo mahali ulipo.

Hili Ni JAMBO BAYA zaidi kwa afya kwani picha hizo hazikuondoki haraka kichwani mwako tofauti na ukishiriki TENDO la ndoa moja kwa moja

♦️ punyeto inakupelekea kufanya makutano haramu Kwan kuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila Mara itakupelekea kuanza kutafuta vijarida au picha za ngono Jambo ambalo Ni baya Zaid kwa afya yako ya mwili na roho.

Kwa maswali, ushaur na suluhisho la changamoto mbalimbal Zinazogusa afya ya uzaz ;

WhatsApp/call:+255659414711

HABARI NJEMA KWA AFYA BORA YA VIUNGO 💪  Miongoni mwa wanufaika na huduma ya bidhaa hizi zenye uthibitisho na mashirika m...
02/07/2021

HABARI NJEMA KWA AFYA BORA YA VIUNGO 💪

Miongoni mwa wanufaika na huduma ya bidhaa hizi zenye uthibitisho na mashirika makubwa duniani ya vyakula ,pia kwa hapa nchini zimekuwa certicified na TBS,hivyo virutubisho hivi Ni salama kwa afya ya binadamu havina kemikali hatarishi

👉Kwa msaada wa haraka kwa changamoto ya viungo au k**a Kuna unaye mfahamu yeyote mwenyew tatizo la viungo(watu wa lika zote) msaidie kwa;

👉kuwasiliana nami,au kunitext kwa namba +255659414711 husaidiwe haraka!

*"KWA NINI UTUMIE MACA"*❇️Ni zao ambalo lililogundulika tangu miaka 2000, iliyopita uko nchini Peru na mizizi yake iliku...
01/07/2021

*"KWA NINI UTUMIE MACA"*

❇️Ni zao ambalo lililogundulika tangu miaka 2000, iliyopita uko nchini Peru na mizizi yake ilikuwa ikitumika K**a chakula Cha wanajeshi wa *INCAN* kabla ya kwenda vitani ili kuwapa nguvu na stamina. Maca imekuwa maarufu sana kwa jina la s*x herbs of The Incan " *MULTIMACA* "

⏺️Ambayo ukitumia itakusaidia Sana ;

♦️ kuongeza libido( hamu ya TENDO la ndoa)

♦️kubalance hormones kwa mwili

♦️ kukuza mishipa

♦️kuleta kumbukumbu na kazi ya ubongo

♦️ Kuzilisha mbegu kwa wingi na zenye afya zaidi

♦️ kirutubisha mayai

♦️ kuongeza Ute wa uzazi

♦️ Inakuepusha na tezi dume

🟣Hivyo ukianza kutumia *forever marca* na *aloe vera gel juice* itakusaidia kuondokana na Changamoto hiyo na kukupa faida nyingi sana kiafya!

*Kumbuka* bidhaa hizi sio Dawa Bali Ni virutubisho lishe, vimeshidhibitishwa na mashirika makubwa ya vyakula duniani ,hivyo Ni Salama sana kwa afya ya Binadamu havina kemikali hatarishi.

🟣Kwa ushauri, elimu na upatikanaji wa bidhaa hizi

Call/WhatsApp *:+255659414711*

Forever kids Ni bidhaa nzuri Sana ya kiafya iliyosheheni virutubiasho vingi mno kutoka kwenye matunda na mbogamboga mbal...
30/06/2021

Forever kids Ni bidhaa nzuri Sana ya kiafya iliyosheheni virutubiasho vingi mno kutoka kwenye matunda na mbogamboga mbalimbal ambavyo sio rahisi kwa mtoto au mtu mzima kuvipata kwa mlo moja...😊
👉 Ina Radha nzur ya asilia ambayo watoto wataenjoy🤗...pia hutumiwa hata kwa watu wazima kurejesha hamu ya kula

Itumie leo kwa uboreshaj na uimarishaj wa afya ya mwanao kiakili na kimwili

Kumbuka: bidhaa hii sio Dawa Bali Ni kiirutubisho lishe haina kemikali hatarishi kwa afya ya Binadamu hivyo Ni Salama Sana pia imethibitishwa kimataifa

Kwa mawasiliano, ushaur, n.k: 📞 +255659414711

PATA SULUHISHO SAHIHI LA TATIZO LA KUMWAGA HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA, Tafiti zinaonesha kwamba Kati ya w...
29/06/2021

PATA SULUHISHO SAHIHI LA TATIZO LA KUMWAGA HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA,

Tafiti zinaonesha kwamba Kati ya wanaume 10,wanne Wana tatizo la NGUVU za kiume na katika WANAWAKE 10, nane hawafurahii TENDO la ndoa... either kwa sababu wanaume hufika kileleni haraka kabla ya mwanamke au kwasababu ya maumivu anayoyapata mwanamke kutokana na uke kukauka haraka wakati was TENDO n.k

HALI HII HUSABABISHWA NA NINI?

⏺️ kukosa chakula Bora asilia kuupatia mwili was mwanaume Uwezo was kuzilisha manii, hormones na KUIMARISHA misuli na mishipa limekuwa tatizo.
⏺️Ongezeko la uzito kw watu wengi utokana na ulaji was wanga,ngano ,mafuta n.k kwa wingi..
⏺️Kujichua /ma********on kwa vijana na baadhi ya watu wazima
⏺️Msongo wa mawazo (over stress) kutokana na shughuri nyingi za kila siku,ugumu wa maisha, kudharirika hasa na mwenzi wako au kukosa hamu ya TENDO la ndoa kabisa!
⏺️Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano was kemikali mbaya mwilini
⏺️ Mishipa ya damu kujaa mafuta na kuathirii mzunguko wa damu mwilini hususan kwenye uume n.k

📌Suluhisho la changamoto tajwa hapo juu hipo kwa kutumia tiba asilia ya virutubisho vitakavyo kusaidia katika uboreshaj na uimarishaj wa mfumo wa uzaz na kukurejesha tena kwenye ualisia wako

📌Kumbuka: bidhaa hizi sio dawa Ni virutubisho,pia tunafanya delivery hapa nchini na nchi jiran
Bidhaa yako itakufika mahali ulipo kwa uaminifu mkubwa Asante!
📞call/text/WhatsApp:+255659414711 kwa msaada was haraka!

NEW FOREVER KIDS .Ni multi-vitamin iliyoongezwa madalanzi na manukio ya machungwa, Matunda na mboga za majani K**a karot...
27/06/2021

NEW FOREVER KIDS .

Ni multi-vitamin iliyoongezwa madalanzi na manukio ya machungwa, Matunda na mboga za majani K**a karoti,spinachi,kabeji,Epo,Nyanya.Ina phytonutrient(Uwezo wa kupambana na Magonjwa kwa Virutubisho)Ina radha nzuri haina landha bandia na haijaongezwa sukari,

FAIDA ZA KUTUMIA FOREVER KIDS.

Kuongeza Kinga ya mwili kila itumikapo.

Inasaidia kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

Inasaidia kulinda mwili na maradhi ya kansa na Magonjwa ya moyo.

Inaongeza hamu ya kula na kuleta afya njema kwa mtoto na hata kwa mtu mzima pia.

Kumbuka:

Hii bidhaa Ni lishe na siyo Dawa.

Kwa mawasiliano +255659414711

ZIFAHAMU DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI (Hormones Imbalance) Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili ye...
24/06/2021

ZIFAHAMU DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI (Hormones Imbalance)

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele.

Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:

👉 Ukavu ukeni
👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉Kutoka jasho usiku
👉Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
👉Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
👉 Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
👉Uchovu wa mara kwa mara
👉Hasira za mara kwa mara
👉 Kukosa usingizi
👉 Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
👉 Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua vyakula
👉 Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
👉 Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele)
👉 Maumivu ya viungo
👉 Upungufu wa nywele kichwani.
👉 Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
👉 Kutoka Uchafu Sehemu za Siri
📌Pindi uonapo dalili hizi au k**a hali hii imekuwa changamoto kubwa sana kwako tafadhari usisite kutuma ujumbe, kwenda
☎️Whatsapp au piga +255659414711 kwa msaada wa haraka wa tiba na ushauri..

HABARI NJEMA KWA AFYA BORA YA VIUNGO 💪  Miongoni mwa wanufaika na huduma ya bidhaa hizi zenye uthibitisho na mashirika m...
23/06/2021

HABARI NJEMA KWA AFYA BORA YA VIUNGO 💪
Miongoni mwa wanufaika na huduma ya bidhaa hizi zenye uthibitisho na mashirika makubwa duniani ya vyakula ,pia kwa hapa nchini zimekuwa certicified na TBS,hivyo virutubisho hivi Ni salama kwa afya ya binadamu havina kemikali hatarishi
👉Kwa msaada wa haraka kwa changamoto ya viungo au k**a Kuna unaye mfahamu yeyote mwenyew tatizo la viungo(watu wa lika zote) msaidie kwa;
👉kuwasiliana nami,au kunitext kwa namba +255659414711 husaidiwe haraka!

"PATA SURUHISHO LA KUDUMU LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME"Wengi huhitaji kutatua changamoto zao zinazo husiana na nguvu za...
22/06/2021

"PATA SURUHISHO LA KUDUMU LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME"
Wengi huhitaji kutatua changamoto zao zinazo husiana na nguvu za kiume na uboreshaj wa mfumo mzma wa uzazi kwa ujumla.... matokeo yake hujikuta wakiangukia kwenye tiba zisizofaa na matumizi ya madawa hatarishi kwa afya ya uzazi ambayo huwa Ni suruhisho la mda mfupi na baadae kuishia kwenye matatizo makubwa pamoja na majuto...
🍉🍌Ni vizur kutumia virutubisho stahiki hasa pale changamoto yako imedumu kwa mda mrefu au mda mfupi...
📌"Ni KOSA KUBWA KUKIMBILIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA SIYO KUTATUA CHANZO CHA TATIZO"
Lengo Ni kung'oa kwanza mzizi wa tatizo kwa mantiki ya kuboresha na kuimarsha mfumo mzima wa uzazi....itakayo kuletea matokeo chanya ya kudumu,
👉 Kwa ushaur,elimu na upatikanaji wa suluhisho sahihi kwa afya yako:
☎️Piga/text/ WhatsApp:+255659414711

NAMNA YA KUIMARISHA NA KUBORESHA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME  Umekuwa ukishindwa ku-perform vizur na pia kutokufurahia te...
21/06/2021

NAMNA YA KUIMARISHA NA KUBORESHA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME
Umekuwa ukishindwa ku-perform vizur na pia kutokufurahia tendo la ndoa mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kutokukutana na mwenzi wako ? Kwa kuogopa kurudia makosa yale Yale ya kuwahi kufika kileleni?,kushindwa kurudia tendo la ndoa?,kisa Askari wako kuwa legevu n.k🤔
👉Tumia "ARGI+" pamoja na "MACA" leo kwa uboreshaj wa mfumo mzima wa uzazi, virutubisho hivi vitakusaidia kuondokana na changamoto zote unazo kutana nazo wakati wa faragha🤗
Kwa Nini utumie. Argi+😍🤔
📌Kirutubisho hiki husaidia kuboresha mzunguko wa damu kwenye mishipa na sehemu zote za mwili kutokana na uwepo wa NITRIC OXIDE, husaidia oxygen ya kutosha kwenye damu,hivyo kuupa mwili nguvu na stamina wakati wote wa tendo.
📌pia Ni bidhaa nzuri kwa wenye kisukari,presha kutokana na kuwa na faida nyingi mwilini;

👉Kwa Nini utumie "MACA"
Maca Ni zao linalo patikana nchini Peru, na mizizi yake imekuwa ikitumika K**a chakula kutokana na kuwa na faida nyingi katika afya ya uzazi ,maca imekuwa maarufu kwa jina la s*x herbs of the Incan "multi maca"
Ukitumia itakusaidia;
📌Kuongeza hamu ya tendo la ndoa
📌Kuzalisha mbegu zenye afya
📌Kukuepusha na tezi dume
📌Kubalance hormones kwa mwili
📌Kukuza na kuimarisha mishipa
📌Kuleta kumbukumbu na kazi ya ubongo
📌Kurutubisha mayai n.k

Hivyo ukitumia "forever mara na argi+" itakusaidia kuondokana na changamoto hiyo na kukupa faida nyingi sana.
📌Kumbuka; bidhaa hizi sio dawa Ni virutubisho.
Kwa ushauri,elimu, na upatikanaji wa virutubisho ;
Call/WhatsApp: +255659414711

Address

Muhimbili
Dar Es Salaam

Telephone

+255742084042

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya zone posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya zone:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram