Better life

Better life Mtaalam wa afya ya mmeng’enyo: Reflux acid, vidonda vya tumbo, gesi, kujaa tumbo na maumivu ya kifua yanayotokana na tumbo.

Huduma Ya Vipimo Vya Mwili MzimaJe,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi...
23/12/2025

Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima

Je,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi

Ndiyo maana Eternal Health imekuja na mfumo wa kipekee unaoitwa ‘360° Health Scan System.’
Ni mfumo unaochunguza zaidi ya mifumo 30 ya mwili wako – kutoka figo, moyo, ini, kongosho, hadi homoni.
Ndani ya dakika 30, unapata picha kamili ya afya yako na ushauri wa kitaalamu papo hapo.”

Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....

Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima

Utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo

Gharama Halisi za Vipimo ni 150,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 120,000/= Nzima

Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii

KIPIMO KINAONYESHA;

1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi

Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;

1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho

Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa Yasiyokua ya kuambukiza k**a
_Vidonda Vya Tumbo,
Presha,
Kisukari,
Moyo,
Figo,
INI,
Cholesterol,
Bawasili,
_Tezi dume,
Uzazi Kwa wanawake na wanaume,
Figo,
Macho,
Allergy,
Mifupa,
Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaji, stroke (Kupooza),
Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na Unene,
Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k

Kumbuka ofa hii ni ndani ya siku 3 tu na kwa watu 20 wa mwanzo watafanikiwa kuunganishwa moja kwa moja kwenye program ya

Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba
0698945855

01/05/2025

Chukua hatua mapema

26/04/2025
30/03/2025

KIPIMO CHA MWILI MZIMA KWA GHARAMA NAFUU.

PUNGUZO LA GHARAMA ZA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA MSIMU HUU WA SIKUKUU.
KIPIMO HIKI KINAPATIKANA KWA GHARAMA YA ELFU 30000 TU BADALA YA GHARAMA ZA AWALI..

WASILIANA NASI KWA SIM NO 0698945855

16/07/2024

0689-896-575

Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungus

Ukweli ni kwamba ni P.I.D - Ni maaambukizi ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke..kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE..

VIASHIRIA VYA UGONJWA HUU NI

👉Kutokwa na Uchafu sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu

👉kuwashwa ukeni

👉kutoa harufu mbaya sehemu za siri

👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee

👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa

Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni

👉kushindwa kupata ujauzito

👉kupata saratani ya CERVIX shingo ya kizazi

👉mirija ya uzazi kuziba

👉mirija ya uzazi kujaa maji

👉mirija yako kuharibika kabisa

👉kupata tatizo la hormone inbalance..

👉kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

©Ili kusaidika na tatizo hili la p.i.d

Ikiwa unasumbuliwa na Changamoto Yoyote kati ya hizo,basi tupigie kwa namba 0689896575Au tuma SMS WhatsApp  kwa Tiba na ...
05/10/2023

Ikiwa unasumbuliwa na Changamoto Yoyote kati ya hizo,basi tupigie kwa namba 0689896575

Au tuma SMS WhatsApp kwa Tiba na Ushauri

01/07/2023

FAHAMU UGONJWA WA UTI, DALILI NA JINSI YA KUEPUKA UTI SUGU

UTI(Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.

UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo

MFUMO WA MKOJO

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada

Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu

KISABABISHI CHA UTI

Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,

Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu

KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA WAKUBWA?

Wanawake ni wahanga wakubwa sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje

1.Urethra(mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu) kwa wanawake ni mfupi sana hivyo kuruhusu bakteria kufika kwa haraka kwenye kibofu

2.Pia mrija huo unafungukia sehemu ambazo zinaweza kuwa ni vyanzo bakteria ambayo ni sehemu ya uke na pili ni puru

Kwa wanaume ni vigumu sana ila wakipata tatizo linaweza kuwa zito kutibu tofauti na kwa wanawake

WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UTI

‪ #‎Watu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo

‪ #‎Mtu yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo

‪ #‎Tendo la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra

‪ #‎Baadhi ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk

KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)

Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo

1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena

2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria

DALILI ZA UTI

1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa

2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo

3.Maumivu ya misuli na tumbo

4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk

5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika

6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo

JINSI YA KUZUIA UTI SUGU

1.Kunywa maji mengi kunsaidia kusafisha bakteria kwenye mfumo

2.Mtu anatakiwa akojoe mara kwa mara kila anapojiskia kukojoa

Mkojo ukikaa sana kwenye kibofu unaweza zalisha bakteria

Na baada ya kukojoa wanawake wanatakiwa kujisafisha kuanzia mbele kurudi nyuma ili kulinda urethra

3.Vaa nguo za ndani za pamba na ambazo hazibani sana kuruhusu hewa kupita vizuri ,epuka jinsi zinazobana sana ambazo zinaweza kukusanya na kuleta tatizo.

Kwa ushauri zaidi na matibabu tupigie Kwa namba

0757470048

au tuma msg WhatsApp kupitia link👇

https://tinyurl.com/bdf4pdxp

📢📢   Jinsi Ya KUPONA Changamoto Ya Tezi Dume Bila Upasuaji Ili Kuepuka Changamoto Ya Kushindwa Kushiriki Vizuri Tendo La...
27/04/2023

📢📢 Jinsi Ya KUPONA Changamoto Ya Tezi Dume Bila Upasuaji Ili Kuepuka Changamoto Ya Kushindwa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa........
..... Kabla Ya Kupatwa na Changamoto Ya Kushindwa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa .........
... Wanaume Wengi Huanza Kukumbana na Changamoto Ya Kuvimba Kwa Tezi Dume. ........
.... Mwanaume Anaweza Kuhisi Dalili Za Tezi Dume K**a Atakua Anapata Dalili Zifuatazo .......👇

➡️ Kukojoa mara kwa mara, ama kuhisi kukojoa mara kwa mara. ......
. ➡️ Kukojoa mara kwa mara .....
... ➡️ Mchirizi wa mkojo kuwa dhaifu......
... ➡️ Kushindwa kumaliza mkojo kabisa.......
... ➡️ Kupata mkojo mchache sana........
.. Kupata Dalili Hizi Zikiambatana na Kushindwa Kumudu TENDO LA Ndoa .....
.... Ni Dalili Kua Uko hatarini Kupata Changamoto Hii Au Tayari Umeshaipata ......
... Inawezekana Pia Umepata Changamoto Ya Kushindwa Kumudu TENDO Kwa Muda Mrefu .......

Au Una Changamoto Ya Tezi Dume na Unaogopa Au Kuhofia Kufanyiwa Upasuaji.....
., K**a Ndio Basi Usijali.....

>>> Kwani Tumekuandalia Program Maalum Itakayo Kusaidia....

>> Kuondokana na Changamoto Ya Tezi Dume Bila Kufanyiwa Upasuaji ........
..... Pia Kukusaidia Kurudisha Uwezo Wako Wa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa ......
..... Kwani Mpaka Sasa Tumesha Wasaidia Zaidi Ya Wanaume 16000+ ....
..... Kutatua Changamoto Ya Tezi Dume Bila Kufanyiwa Upasuaji........
..... Unaweza Kupata Program Hii Kwa Kututumia Ujumbe Kwa Njia Ya WhatsApp Kwa Kugusa Link Hapa Chini ....

http://wa.me/+255689896575
. Au Unaweza Kutupigia Simu Moja Kwa Moja Kwa Namba.....

📞📞0689896575

Madhara Ya Kujichua Au Kupiga Pungeto  1. Kushindwa Kumridhisha Mpenzi Wako Kihisia Hasa Wakati Unapofanya Nae Mapenzi 2...
25/04/2023

Madhara Ya Kujichua Au Kupiga Pungeto

1. Kushindwa Kumridhisha Mpenzi Wako Kihisia Hasa Wakati Unapofanya Nae Mapenzi

2. Kipungukiwa Na Madini yYa Calcium Ambayo Mi Muhimu Sana Katika Kurutubisha Yai La Mkeo Au Mpenzi Wako Ili Liweze Kutoa Mtoto Aliyehai Duniani

3. Kupungukiwa Nguvu Za Kiume

4. Uume Kushindwa Kusimamisha Vizuri Na Hii Ni Kutokana Na Mzunguko Wa Damu Kuvurugika Kushindwa Kupenya Vizuri Kwenye Mishipa

5. Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

6. Kupata Madhara Ya Kisaikolojia...
...Mwisho Unaweza Kupata Tezi Dume...
.....Tupigie Tukupe Ushauri Na Packege Maalum Kwaajili Ya Kuondoa Chanzo Cha Tatzo Na Kumaliza Tatizo Moja Kwa Moja....
....Kwani Tumeshaokoa Mahusiano Na Ndoa Za Wanaume Zaidi Ya 2800+ Waliokuwa Na Changamoto K**a Hii......

GUSA LINK IKULETE MOJA KWA MOJA 👇👇👇

https://wa.me/message/7EV33BFHE264J1

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Better life posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram