Tujitibu Wenyewe Kiasili

Tujitibu Wenyewe Kiasili Tunawasaidia wanawake wenye changamoto ya kupata watoto kwa kutumia lishe tiba!

Eid Mubarak kwenu nyote...
03/05/2022

Eid Mubarak kwenu nyote...

Je umejaribu kupata UJAUZITO kwa muda mrefu BILA mafanikio? Je umesumbuliwa naHormone imbalance, mirija kuziba, uchafu k...
17/04/2022

Je umejaribu kupata UJAUZITO kwa muda mrefu BILA mafanikio? Je umesumbuliwa na

Hormone imbalance, mirija kuziba, uchafu kwenye kizazi, chango la uzazi, athari za uzazi wa mpango, umepima na kuambiwa huna tatizo lakini hupati ujauzito?

K**a JIBU lako ni ndio leo nina habari njema kwako.
Kwa kuwa leo ni PASAKA tutakupa suluhisho la CHANGAMOTO hizo gharama ya sh. 50,000 badala sh. 250,000 kwa watu 5 (WATANO) tu. Ofa hii inaisha saa 12 jioni Jumatatu ya pasaka.

Piga simu ama ujumbe wa WhatsApp kwenda kwenye namba 0763 031270

Unapata changamoto ya kupata ujauzito haraka kwa kutumia kalenda?Basi wasiliana nasi kwa simu namba 0763 031270 kwa usai...
23/02/2022

Unapata changamoto ya kupata ujauzito haraka kwa kutumia kalenda?

Basi wasiliana nasi kwa simu namba 0763 031270 kwa usaiidizi na utatuzi!

Madhara yatokanayo na kuharibika kwa mimbaIwapo mama mjamzito amepata tatizo hili  na hajapata tiba sahihi k**a kuna mab...
16/02/2022

Madhara yatokanayo na kuharibika kwa mimba

Iwapo mama mjamzito amepata tatizo hili  na hajapata tiba sahihi k**a kuna mabaki tumboni yanaweza kusababisha madhara mengine ikiwemo kizazi kuoza au kusababisha matatizo mengine kwenye mji wa mimba. Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata mama ambaye mimba imeharibika ni pamoja na kizazi kuharibika ikiwa mama hatasafishwa vizuri tumboni baada ya mimba kuharibika.

Madhara mengine ni kuugua mfululizo baada ya ujauzito kuharibika pamoja na kushambuliwa na madhara mfululizo baada ya ujauzito kuharibika. Pia mama anaweza kupata madhara ya kisaikolojia ambayo yanachukua muda mrefu kusahaulika hasa pale wanapokutana na wanawake wajawazito au wenye watoto.

Matibabu

Mwanamke mwenye tatizo la kuharibika kwa mimba  anaweza kupata matibabu kwa njia mbalimbali kutegemea na mgonjwa husika. Matibabu hayo hupatikana hospitalini ambapo mwanamke anatakiwa kuwahi pale anapoona dalili hatarishi. Kwa yule mwenye historia ya kuharibika kwa mimba na tayari ana mimba atapata matibabu tofauti na yule mwenye tatizo hilo, lakini hana mimba kwa muda huo.

Ushauri

Dalili zilizotajwa hapo juu peke yake hazitoshi kuonyesha kuwa mimba imeharibika bali mama mjamzito anapoona dalili moja kati ya hizi au zote hata hali ambayo haielewi anatakiwa kuwahi hospitalini ili kuweza kupata vipimo.

Endapo mama huyo atachelewa atakuwa anajiweka katika hali mbaya kutokana na sumu inayotokana na kiumbe kilichoharibika  na kusababisha matatizo kwenye mfuko wa uzazi ikiwemo ugumba.

Mwanamke yeyote ambaye hajapata tatizo hilo anashauriwa kula vyakula k**a maboga,  mboga za majani na vyakula vyote vinavyojenga mwili.

Pia wanatakiwa kuacha matumizi ya vipodozi vyenye kemikali  pamoja na uvutaji wa sigara  na dawa za kulevya ili kujikinga na tatizo la kuharibika kwa mimba.

JE unapata changamoto ya kupata ujauzito? Wasiliana nasi kwa simu namba 0763031270 kwa ushauri na utatuzi.

UVIMBE KWENYE KIZAZI​Kuna magonjwa ndani ya mji wa uzazi ambayo pengine huweza kusababisha harufu licha ya mchanganyiko ...
15/02/2022

UVIMBE KWENYE KIZAZI


Kuna magonjwa ndani ya mji wa uzazi ambayo pengine huweza kusababisha harufu licha ya mchanganyiko wa kawaida katika taratibu za utungaji mimba.

Wengi hupatwa na uvimbe au vimbe mbalimbali ambazo huweza kusababisha kutokwa na uchafu, harufu na pia kusababisha kuharibika kwa mimba au kukosa kushika mimba kabisa.

Fibroid
Aina ya fibroid (s ), yaani uvimbe kwenye mji wa mimba.

Dalili:
Dalili zake ni hedhi nzito kupita kiasi, utokwaji wa uchafu ukeni, mimba kuharibika, maumivu chini ya kitovu kwa katikati, kuongezeka kwa tumbo kadiri uvimbe huu unavyoongezeka, n.k.

Ovarian Cyst
Hii ni aina ya uvimbe kwenye kizazi cha mwanamke. Hutokea kwenye vifuko vya mayai ya uzazi, kwa ndani au kwa nje, na yaweza ikawa kwenye kifuko kimoja cha mayai au vyote viwili.

Dalili

Dalili kubwa ya uvimbe wa aina hii ni kichomi chini ya kitovu na sehemu moja. Kichomi huzidi sana mgonjwa anapocheka kwa nguvu au kuinama au anapobeba vitu vizito.

Dalili nyingine kubwa ni kuwa na tatizo la hedhi inayokoma kwa zaidi ya miezi mitatu, tatizo ambalo kitaalamu huitwa Amenorrhea, maumivu wakati wa kutoa haja ndogo na kutoa haja ndogo mara kwa mara, maumivu ya kiuno kwa nyuma, maumivu wakati wa kujamiiana, maumivu makali wakati wa hedhi, kupoteza hamu ya kula, kuongezeka uzito na unene kwa kiasi.

Mwanamke anapoona dalili zaidi ya moja kati ya hizi awahi kwenda hospitali.

Je huna mtoto? Unapata changamoto ya kupata mtoto? Basi wasiliana nasi kwa ushauri na utatuzi kwa simu namba 0763 031270

Happy Valentine's day kwenu wapendanao!
14/02/2022

Happy Valentine's day kwenu wapendanao!

CHANGAMOTO ZA UZAZI WA MPANGO - Vidonge Vya MajiraKinadharia, athari ya vidonge vya majira zinaweza kuangukia katika mak...
13/02/2022

CHANGAMOTO ZA UZAZI WA MPANGO - Vidonge Vya Majira

Kinadharia, athari ya vidonge vya majira zinaweza kuangukia katika makundi mawili:

1) Kabla ya kujipandikiza, itakuwa na athari za kupunguza uwezo wa kusafirisha mimba katika mirija ya uzazi (fallopian tubes) na hivyo huzuia mimba kujipandikiza katika mji wa mimba na hali hii inaweza kusababisha kutotambulika kwa mimba hiyo ikiharibika au mimba hiyo kujipandikiza nje ya mirija hiyo.

2) Kuharibika kwa ngozi nyororo ya tumbo la uzazi kwa namna kwamba mimba hiyo baada ya kufikia mji wa mimba, inashindwa kujipandikiza katika ngozi nyororo.

3) Kutoka mimba kunakosababishwa na mimba hiyo kushindwa kukaa katika mji wa mimba; mimba inajipandikiza lakini baadaye ina kufa kutokana na mji huo kushindwa kuhifadhi mimba hiyo.

Hivyo vidonge husababisha:

1. Mabadiliko ya ngozi nyororo - Vidonge (Oral Contraceptives), huathiri moja kwa moja ngozi nyororo kwa kuifanya ngozi hiyo isiweze kupokea na kutunza mimba iliyotungwa. Hali hiyo hutokea kwa sababu vidonge hivyo huharibu ngozi nyororo ambayo hufanya kazi k**a kitanda cha mtoto.

Ngozi hiyo inakuwa nyembamba iliyotanuliwa, iliyochoshwa na nyamanyama zake kubaduliwa kwa kuharibu chembechembe za ngozi nyororo na kwa kuharibu chakula cha mtoto kitengenezwacho katika ngozi hiyo.

2. Mabadiliko ya Chachu ziitwazo ‘Integrin' Chachu za ‘intergrin' ni muunganiko wa molekule ambazo hutengeneza mazingira ya upokeaji wa mimba katika ngozi nyororo ya tumbo la uzazi. Chachu hizi zikiharibiwa, mazingira ya upokeaji wa mimba huharibiwa pia yaani, kuifanya mimba isiweze kusafiri kutoka kwenye mirija ya uzazi kwenda kwenye mji wa mimba.

3. Kuongezeka kwa mimba nje ya mji wa mimba Utafiti umeonesha kuwa wanawake wanaotumia vidonge (OC's) wamo katika hatari kubwa ya kupata mimba nje ya tumbo la uzazi ukilinganisha na wanawake wasiotumia vidonge.

KUVURUGIKA KWA HOMONI 💧HORMONE IMBALANCE💦Ni mvurugiko wa homoni (hormonal imbalance), hali ambayo inatokea kwenye mfumo ...
12/02/2022

KUVURUGIKA KWA HOMONI

 💧HORMONE IMBALANCE
💦Ni mvurugiko wa homoni (hormonal imbalance), hali ambayo inatokea kwenye mfumo unaohusika urekebishaji wa hormon na kusababishs Kuvurugika/kutokuwa sawa.

CHANZO CHA HORMONAL IMBALANCE

💦 ujauzito/mimba.
💦ukomo wa hedhi kwa umri wa miaka 45.
💦matumizi tofauti dawa za uzazi wa mpango.
💦kisukari.
💦matatizo ya moyo.
💦wasiwasi/msongo wa mawazo.
💦goita.
💦umri mkubwa.
💦mfumo mbaya wa maisha.
💦uwepo wa sumu nyingi mwilini.
💦kansa/saratani.

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE TATIZO LA HORMONE IMBALANCE

💦kukosa hedhi.
💦hedhi kubadilika badilika.
💦kuingia hedhi muda mrefu.
💦Maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi.
💦kuongezeka na kupunguza(kunenepa ama kukonda Sana)
💦kupata Maumivu wakati wa tendo.
💦kusikia kiu Mara kwa Mara K**a mtu mwenye kisukari
💦kuota ndevu kwa mwanamke.
💦kukosa choo.
💦Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
💦kukosa usingizi.
💦kutoka jasho na vipele/chunusi usoni, kutoka maziwa ilhali mwanamke haunyonyeshi.

MADHARA YA HORMONE IMBALANCE

💦kutoshika mimba
💦mimba kuharibika
💦kukosa mtoto au ugumba
💦Maumivu wakati wa tendo la ndoa
💦kuwahi na tabia au maumbile ya kiume
💦 UTI (urinary track infection) Mara kwa Mara
💦kuzeeka mapema
💦kuziba kwa mirija ya uzazi
💦uvimbe kwenye via vya uzazi vya mwanamke (fibroids au cysts)
💦saratani

Una changamoto hii? Tupigie kwa simu namba 0763 031270 kwa ushauri na utatuzi.

Tatzo hili limegawanyika ktk makundi mawili:kundi la kwanza kitalaamu huitwa"PRIMARY INFERTILITY". Ni kundi ambalo hujum...
11/02/2022

Tatzo hili limegawanyika ktk makundi mawili:
kundi la kwanza kitalaamu huitwa"PRIMARY INFERTILITY". Ni kundi ambalo hujumuisha wanawake ambao hawajawahi kubeba mimba yoyote ktk maisha yao.

Kundi la pili huitwa"SECONDARY INFERTILITY". Kundi hili hujumuisha wanawake ambao walishabeba mimba wakajifungu,mimba kuharibika n.k.

Sababu zinazomfanya mwanamke asishike mimba ni pamoja na:
1) kupata maambukizi ktk viungo vya uzazi,
2) kuziba kwa mirija ya uzazi,
3) kutanuka kwa mirija ya uzazi,
4) kukumbwa na magonjwa sugu,
5) kutumia chakula/vipodozi vyenye kemikal,
6) matumizi mabaya ya dawa bila kufuata ushauli wa daktari,
7) upasuaji wa mimba nje ya kizazi,
8) pia mwanamke anapopata siku zake lakini mayai hayapevuki husababisha kutoshika mimba n.a. hii husababishwa na matatzo ktk mfumo wa homoni mwilini,.  Hili linaweza likasababishwa na matumizi holela ya dawa za homoni/vipodozi.

Kwa usaidizi wasiliana nasi kwa simu namba 0763031270

YAJUWE MARADHI YA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NA KUSABABISHA TATIZO LA KUKOSA UZAZI ,MIMBA KUTOKA,KUWA MGUMBA AU TASA.Kuz...
11/02/2022

YAJUWE MARADHI YA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NA KUSABABISHA TATIZO LA KUKOSA UZAZI ,MIMBA KUTOKA,KUWA MGUMBA AU TASA.

Kuziba kwa mirija ya uzazi kunatokana na mirija ya uzazi ( fallopian tubes) kujaa maji na kusababisha kuziba. Hali hiyo huzuia yai kushindwa kusafiri kutoka kwenye mfuko wa mayai( o***y) kwenda kwenye mfuko wa mimba ( uteras ).

Hali hiyo husababisha mwanamke kushindwa kupata mimba.

JE MRIJA MMOJA UKIZIBA MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA?

Kuna mrija miwili ya uzazi, mrija mmoja kutoka kwenye kila mfuko wa mayai (ovari) hivo kila mwezi mfuko mmoja wa mayai hutoa yai moja ili liweze kurutubishwa na mbegu ya kiume, na mara chache hutokea mifuko yote kutoa yai moja ndani ya mwezi mmoja. Hivo ni wazi kwamba k**a mrija mmoja umeziba na mwingine upo vizuri basi yai litasafiri vizuri, urutubishaji utafanyika na mimba itatungwa.

Lakini athari zingine zaa mrija wa kwanza kuziba itaendelea kuwepo, wanasayansi wamebaini kwamba kuziba kwa mrija mmoja kunaweza kusababishakutiririsha maji kuelekea kwenye mfuko wa mimba na hivo kuathiri kiumbe kipya kwa hiyo mimba inaweza kutoka.

SABABU ZINAZOFANYA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA:

1⃣ Magonjwa ya zinaa ni chanzo cha mirija ya uzazi kuziba.

2⃣ Uvimbe kwenye kizazi ni sababu pia ya mirija ya uzazi kuziba.

3⃣Upasuaji kwenye njia ya uzazi ni sababu ya mirija ya uzazi kuziba iwapo sehemu hizo zimepata vidonda na kusababisha makovu kwenye mirija hiyo.

4⃣Maradhi ya PID ama perlvic inflomatory disease ni sababu kubwa ya kuziba kwa mirija ya uzazi haswa mwanamke anapougua zaidi ya mara tatu au kwa mda mrefu

PID ni maradhi yanayo shambulia uzazi wa mwanamke na kusababisha uharibifu mkubwa ukiwemo ugumba na kukosa hedhi au hedhi kupanguka

Unaweza kujigundua k**a una PID kwa dalili hizi zifuatazo:

⏩Maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara,

⏩Kutokwa na uchafu ukeni wa rangi ya kijani au njano aidha ukiwa na harufu au muwasho,

⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa na siku za hedhi kuvurugika.

Wasiliana nasi kwa simu namba 0763 031270 kwa usaidizi zaidi.

*JE WEWE UMEWAHI KUJIFUKIZA HIVI LINI??*Kujifukiza sehemu za SIRI ni dawa ya zamani ambayo bibi zetu wamekuwa wakiitumia...
22/09/2021

*JE WEWE UMEWAHI KUJIFUKIZA HIVI LINI??*

Kujifukiza sehemu za SIRI ni dawa ya zamani ambayo bibi zetu wamekuwa wakiitumia kuepusha magonjwa ya via vya uzazi. Ndio maana twajiuliza kila mara haya magonjwa ya akina mama hayakuwepo zamani? Mbinu hii iliheshimiwa kabisa ambapo maji moto yalichanganywa na mimea-dawa na kutukiwa na tamaduni nyingi kote ulimwenguni ambayo inafanya utakaso, uponyaji, usawia na afya njema kwa tumbo la uzazi.

Mvuke, pamoja na mimea-dawa iliyochaguliwa kwa uangalifu, inafanya kazi ya kurekebisha ngozi ya kuta za tumbo la uzazi, kukaza na kuponya tishu za uke na mji wa mimba, ikiuacha umeponyeka na kuhuishwa. Matibabu ya kujifukiza UKE (vaginal steaming) husaidia  kuondoa yafuatayo:

- kuondoa harufu kwenye uke
- kuondoa maumivu ya wakati wa hedhi na maumivu ya tumbo
- kuondoa ukavu wa uke
- kuondoa maumivu ya kinena na usumbufu

- kuondoa mvurugiko wa hedhi ama hedhi nzito
- kurekebisha na kuweka usawa wa vichocheo (homoni)
- kuondoa ukuaji usiokuwa wa kawaida wa VIVIMBE k**a fibroid na cysts
- kuondoa maambukizo sugu yanayosababisha kutoka kwa uchafu ukeni

- kuondoa bakteria wasio rafiki (vaginosis bacterial)
- kuzuia na kuondoa dalili za mapema za kukoma kwa hedhi (menopause)
- kuponya tishu zilizoharibika na na kuondoa makovu
- kuzuia bawasiri

- kuongeza hamu ya tendo la ndoa
- kupona kwa haraka  kwa waliojifungua

*NINI KINATUMIKA*

Tamaduni tofauti hutumia mimea tofauti, lakini inayotumiwa sana na yenye matokeo chanya ni nanaa(mint), Rosemary, oregano, kitunguu saumu, karafuu, lavender, marigold, limau na maji ya joto.

*Utaratibu:*

Pata ndoo au kigoda chenye tundu kitakachokuwezesha kukalia ambacho kinaweza kusaidia uzito wako, ongeza viungo vyote vya ulivyopata k**a vilivyotajwa hapo juu na mwishowe kamulia limao ndani yake. Ongeza maji yanayochemka hadi nusu ya ndoo, iache kwa sekunde 30-1min. Vua nguo na ukae kwenye ndoo inayotoa mvuke kisha ujifunike kwa kitenge ama kanga. Kaa kwa muda wa dakika 20-30 wakati mvuke unakuingia taratibu.

NB: 1. _Wakati umekaa kwenye ndoo lazima utoe jasho. Mama wajawazito na wale walioweka VITANZI (IUD) wanashauriwa kamwe wasifanye fukizo la uke._

Unataka kupata UJAUZITO kwa haraka?  K**a jibu ni ndio basi fanya yafuatayo:1. Jifukize (V-steaming)2. Fanya masaji ya t...
20/09/2021

Unataka kupata UJAUZITO kwa haraka? K**a jibu ni ndio basi fanya yafuatayo:
1. Jifukize (V-steaming)
2. Fanya masaji ya tumbo la uzazi
3. Safisha kizazi kiasili

Je wewe ni mwanamke ambaye amekuwa na changamoto ya kupata watoto kwa muda mrefu? K**a jibu lako ni ndio Leo ni siku yak...
30/08/2021

Je wewe ni mwanamke ambaye amekuwa na changamoto ya kupata watoto kwa muda mrefu? K**a jibu lako ni ndio Leo ni siku yako...

Majonzi na simanzi za kutopata mtoto kwa muda mrefu zilimuathiri mke wangu zaidi kuliko mimi... hata hivyo ilibidi nitafute suluhisho...

Naitwa John Nyandu, mkazi wa   Buhongwa wilayani Nyamagana mkoa wa Mwanza. Mwaka 2001 nilipata mwanangu wa kwanza binti mrembo ambaye tulimpatia jina la Monique. Monique alipatikana mwaka mmoja baada ya ndoa yetu ya kimila.

Baada ya kutimiza miaka miwili mimi na  mke wangu tulianza mchakato wa kutafuta mtoto wa pili...haikuwa rahisi. Mpaka kufikia mwaka 2007 tulikuwa tumezunguka kwa matabibu bingwa wa magonjwa ya wanawake na uzazi bila mafanikio. Juhudi za kutafuta suluhisho kwa njia ya maombezi pia ziligonga mwamba.

Wazazi wangu walikuwa  wakigomba kila siku kwa nini hatuongezi watoto. Kwa mila za kabila letu watoto ni mali...  nilihuzunika sana kwa kuwa shutuma zilikwenda kwa mke wangu kwamba nimeoa mgumba ama tasa. Walienda mbali kusema kuwa mke wangu kafungwa kichawi huko kwao...   

Timbwili za dada shangazi zangu  kumzodoa mke wangu hazikumwacha salama. Alikondeana kwa mawazo kwani alihofia kuachwa.  Hii ni kwa sababu tayari wazazi walikuwa  wameanza mazungumzo na familia rafiki kwa ajili ya kupata binti ili nipewe mke.

Hilo lilinihuzunisha kwa haukuwa mpango wangu kuoa mitala japo dini na kabila langu ziliruhusu. Mke alifikia wakati kuniambia kuwa japo vipimo vinaonesha kuwa hana tatizo  hawezi kupingana na uamuzi wa wazazi wangu wa kuoa mke wa pili.

Kwa kumuangalia na kumsikiliza nilijua aliyasema hayo kuniridhisha ila moyoni alikuwa anaumia kwa ndani...nilimwambia kuwa tutashinda haya wote...

BARAKA yetu ilikuja baada ya kujiunga na program ya Tujitibu Wenyewe Kiasili ambayo ilionyesha mafanikio na ilipofika  mwishoni mwa 2007 tulipata mtoto wa KIUME.... mwaka 2008 na 2009 tukapata  watoto wa k**e ...

ilikuwa k**a mke wangu amefungulia bomba maana ilikuwa ni bandika bandua... 

Hata wewe unaweza kuepuka hii changamoto. Kwa ushauri BURE wasiliana nasi [piga simu 0763 031270] kuanzia saa 10.30 jioni hadi saa 2 usiku kila siku ili kuongea na mtaalam. 
https://wa.me/message/Z7JVOUK27LBZI1

Je wajua tofauti?Usisite kufuatilia hapa. Like na share na  marafiki na ndugu.Kwa ushauri BURE wasiliana nasi kuanzia se...
06/08/2021

Je wajua tofauti?

Usisite kufuatilia hapa. Like na share na marafiki na ndugu.
Kwa ushauri BURE wasiliana nasi kuanzia see 10.30 jioni mkaka see 2 usiku kila siku

Address

Mbezi
Dar Es Salaam

Telephone

+255763031270

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tujitibu Wenyewe Kiasili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram