Bingwa_Herbal_Nutrion

Bingwa_Herbal_Nutrion Herbal and medical

*MWANI NA FAIDA ZAKE*Moja ya faida kubwa ya mwani ni uwepo wa "compound" ya "Fucoxanthin" katika mmea huu. Kumbuka "Fuco...
04/04/2025

*MWANI NA FAIDA ZAKE*

Moja ya faida kubwa ya mwani ni uwepo wa "compound" ya "Fucoxanthin" katika mmea huu. Kumbuka "Fucoxanthin" inapatikana kwenye mwani na baadhi ya mimea michache ya baharini.

Sasa tuangalie faida chache za Fucoxanthin(MWANI/SEAMOSS) katika mwili wa binadamu:-

1. Kupunguza hatari ya kupata magonjwa sugu k**a vile, magonjwa ya moyo, saratani, na kisukari.

2. Kulinda seli za mwili na mionzi huru.

3. Kuzuia, kupambana na kuondoa uvimbe mwilini.

4. Kupunguza uzito na unene.

5. Kupunguza viwango vya mafuta mwilini.

7. Kulinda ini na kuondoa sumu kwenye ini na mwilini.

8. Kuimarisha utendaji mzima wa ini.

9. Kuimairisha afya ya jicho.

10. Kuilinda ngozi na mionzi ya jua (UV).

11. Hufanya ngozi isiwe kavu.

12. Kuimarisha afya ya ubongo kwa watoto na wazee.

13. Kuondoa msongo wa mawazo.

14. Kuboresha afya ya kucha.

15. Kuboresha afya ya mifupa.

16. Kuondoa maumivu ya viungo k**a vile "arthritis".

17. Kuweka mjongeo imara wa viungio.

18. Kuimarisha afya ya tumbo na utumbo mpana.

19. Kinga na dawa ya "asthma"

20. Kuboresha afya mapafu.

21. Kupambana na " allergies" mbali mbali k**a vile muwasho.

22. Kupunguza wasiwasi.

23. Kuongeza "stamina" ya mwili.

24. Kuharakisha uponyaji wa vidonda.

25. Kuboresha afya ya meno.

26. Kukuza na kung'arisha nywele.

27. Kuzuia nywele kukatika.

28. Kuzia meno kutoharibika.

29. Inaweza kuongeza siku za kuishi sababu utakuwa na afya imara.

30. Kinga dhidi ya fangasi na pia ni tiba ya fangasi sugu.

31. Kinga dhidi ya vidonda vya tumbo na pia ni dawa ya vidonda vya tumbo.

32. Huimarisha afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume.

*BEI ZA MWANI*
Gram 250 box 20,000
Gram 150 kopo 15,000

"ONE OF THE MOST POWERFUL PLANTS AND HIGHEST MINERAL DENSE SUPER FOODS
ON THE ENTIRE PLANET" - Mother Earth

HOTLINE +255 684882845

K**a ulikua hujui MWANI ni nini wacha nikufahamishe;-   MWANI ni mmea ambao hustawi chini ya bahari,    Mmea huu kwa kii...
28/11/2024

K**a ulikua hujui MWANI ni nini wacha nikufahamishe;-
MWANI ni mmea ambao hustawi chini ya bahari,
Mmea huu kwa kiingereza unaitwa ALGAE,
MWANI hutumia maji chumvi katika kuishi kwake,
Mmea wa MWANI hupandwa baharini,
Lakini pia MWANI huvunwa kutoka baharini,
Kwakifupi ni kuwa ukitaka kulima MWANI,
Lazima uwe na shamba baharini kwasababu,
Mmea huu wa MWANI haulimwi nchi kavu,
Angalia picha hapo chini hao watu hapo chini,
Ni wakulima wa MWANI na hapo unapo waona wanavuna MWANI,
Baada ya kukomaa na kuwa tayari kwa matumizi,
MWANI ni mmea ambao unatambaa hauendi juu k**a mitI.

AINA ZA MWANI
MWANI imegawanyika katika makundi matatu,

1). MWANI wa dhahabu.

2). MWANI wa kijani.

3). MWANI wa dhambarau

MWANI wa dhahabu unapatikana maeneo mengi na kwa urahisi sana,
Hata hapa TANZANIA MWANI huu hupatikana tena hasahasa ZANZIBAR,
MWANI wa kijani na dhambarau haupatikani sana,
Na kwa hapa nchini kwetu TANZANIA haupatikani,
MWANI hutumika k**a chakula lakini pia,
MWANI hutumika k**a dawa kwa namna nyengine.

FAIDA ZA MWANI 33

MWANI unafaida nyingi sana kwa binaadamu,
Lakini hapa chini nakutajia faida 30 za MWANI,
Katika mwili wa binaadamu endapo utaamua kukutumia k**a ifuatavyo;-

1). MWANI una madini ya POTASSIUM,
MADINI haya ni muhimu katika kushusha na kudhibiti PRESHA.

2). MWANI unalainisha njia ya mfumo wa chakula,
Kwa kuwezesha mmeng'enyo sahihi wa chakula,
Kusafisha utumbo na kutibu na kuzia vidonda vya tumbo.

3). MWANI una madini yaitwayo iitwayo FUCOXANTHIN,
MADINI haya husaidia sana kuweka sawa kiwango cha SUKARI mwilini,
Lakini pia MWANI una madini mengi ya MAGNESIUM,
Upungufu wa madini ya MAGNESIUM unaweza kusababisha ugonjwa wa KISUKARI.

4). MWANI unatibu tatizo la nguvu za kiume,
Ikiwemo kuwahi kufika kileleni na uume kutosimama vizuri.

5). MWANI unatibu tatizo la uzito na kuondoa kitambi.

6). MWANI unatibu maumivu ya viungo na mifupa,
Hii ni kwasababu MWANI una kiwango kikubwa cha madini ya CALCIUM.

7) MWANI huondoa mafuta katika mwilini.

8). MWANI huondoa sumu katika mwilini.

9).MWANI huondoa au kupunguza uvimbe mwilini.

10). MWANI huimarisha afya ya ngozi na kutibu matatizo ya ngozi.

11). MWANI una asidi iitwayo AMINO ACIDS,
Asidi hii ni muhimu kwa ukuaji wa mwilini.

12). MWANI huupa mwili nguvu yaani "ENERGY FOOD" asilia.

13). MWANI huboresha afya ya ubongo na utendaji wake.

14). MWANI hutibu tatizo la homoni hasa kwa wanawake yaani "HORMONAL IMBALANCE".

15). MWANI unatibu maumivu ya koo na kikohozi.

16). MWANI husaidia kuwa na mtitiriko mzuri wa damu,
Kwasababu huondoa mafuta kwenye mishipa ya damu.

17). MWANI hutibu mafua sugu na "allergy" ya vumbi.

18). MWANI ni kinga dhidi ya kansa k**a vile tezi dume na kadhalika (sio kansa zote).

19). MWANI huboresha afya ya FIGO.

20). MWANI huimarisha afya ya akili, kupunguza wasiwasi, mawazo na unyogovu yaani (depression).

21). MWANI hudhibiti viwango vya asidi tumboni ( acid reflux).

22). MWANI hurekebisha tishu zilizoharibika mwilini.

23). MWANI huponya vidonda na kuondoa makovu na madoadoa mwilini.

24). MWANI una madini ya chuma ambayo,
Husaidia kupunguza tatizo la upungufu wa damu mwilini.

25). MWANI unasaidia katika ukuaji wa kucha.

26). MWANI hutibu U.T.I

27). MWANI huimarisha utendaji wa INI.

28). MWANI huzuia mtu kuzeeka kabla ya wakati.

29). MWANI hutatua tatizo la ukosefu wa usingizi ( Insomnia)

30). MWANI huimarisha afya ya macho.

31) MWANI hutibu tatizo la kunuka mdomo.

32) MWANI huondoa harufu mbaya kwapani,
Yaani huondoa tatizo la kunuka kikwapa.

33) MWANI huondoa harufu mbaya katika UCHI.

MATUMIZI

Matumizi yake hutegemeana na unautumia kwa ajili ya nini,
Matumizi yake hutofautiana kulingana na hitaji lako,
Anae tumia kwa chakula tu ni tofauti na atakae tumia k**a dawa.

NB;- Si kila sehemu ya bahari mmea huu hukubali kuishi hapana,
Kuna baadhi ya maeneo mmea huu haukubali kuishi,
Hii ni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo hali ya hewa na aina udongo uliopo eneo hili
Kwa muhitaji wasiliana nasi kwa namba hizo
0684 882 845
0756325044
Bei mills 200 kwa TSH 15000/=
Mills 120 kwa TSH 10000/=
, #️⃣

Je  unatatizo matatizo hayaa÷   -Uumee ndogo-Uume mwembamba -Uume hauna nguvu- Uume mfupi (kibamia) - misuli ya umee ime...
08/09/2024

Je unatatizo matatizo hayaa÷
-Uumee ndogo
-Uume mwembamba
-Uume hauna nguvu
- Uume mfupi (kibamia)
- misuli ya umee imelegea
- muhasika na Punyeto(musterbation)
Kushindwa kurudia tendo Uume kushindwa kusimama vizuri

Tumia MTALIMBOO MASAGGE OIL kwa
- Kuuza na kunenepesha umee
-kuongeza umeme na urefu
-kunyoosha Uume Uliopindaa
- kutibu wahathirika wa Punyeto
- Kutibu Uumee uliolegea na ambayo hauna nguvu

Kwa muhitaji na muhathirika awasiliane nasi
+255 0684 882 845
+255 756325044
Tunapatikana msikiti wa mtoro kariakoo Dar es salaam Tanzani

BEI 15000/= KWA WAHITAJI DELIVERY KWA MIKOA YOTE AMBAYO NI MAKAO MAKUU YA MIKOA NA WILAYA MAARUFU ZENYE STAND KUBWA KWA

06/09/2024
FAIDA ZA MTAIMBOO SYRUP  -kuimalisha misuli ya Uumee iliyoregea -inaongeza ustahimili kwenye tendo -inatibu walioathirik...
07/05/2024

FAIDA ZA MTAIMBOO SYRUP

-kuimalisha misuli ya Uumee iliyoregea
-inaongeza ustahimili kwenye tendo
-inatibu walioathirika na Punyeto
-inatibu upungufu wa nguvu za kiume
-kumaliza haraka kukosa ham ya tendo la ndoa
- Uchovu baada ya tendo
-inasaidia kuzalisha hormone za kiume ( testosterone)

FAIDA ZA MTAIMBOO OIL

-Kukuza Uumee uliolegea
-kunenepesha size ya Uumee
-kunyoosha Uume Uliopindaa
-kutibu misuli iliyorege
-kutibu wahathirika wa Punyeto (musterbation)

NOTE: INABUST NGUVU WAKATI WA TENDO

Kwa muhitaji

What's up 0684 882 845
Piga. 0756325044

Bei 35000
Mikoa tunatuma ( FREE DELIVERY)

TITAN  GEL  red&gold Dawaa hii ni kwa ajiri ya  Kukuza UmeeKurefusha UmeeKunenepesha Umee Kufanya usimame vizuri na uwe ...
12/02/2024

TITAN GEL
red&gold
Dawaa hii ni kwa ajiri ya
Kukuza Umee
Kurefusha Umee
Kunenepesha Umee
Kufanya usimame vizuri na uwe na nguvu
0684 882 845 +255 756325044
Delivery inafanyika Mkoa yote
Bei NI 45000 FREE DELIVERY
popote Tanzania

Je  unatatizo matatizo hayaa÷   -Uumee ndogo-Uume mwembamba -Uume hauna nguvu- Uume mfupi (kibamia) - misuli ya umee ime...
24/01/2024

Je unatatizo matatizo hayaa÷
-Uumee ndogo
-Uume mwembamba
-Uume hauna nguvu
- Uume mfupi (kibamia)
- misuli ya umee imelegea
- muhasika na Punyeto(musterbation)
Kushindwa kurudia tendo Uume kushindwa kusimama vizuri

Tumia muegea lotion kwa
- Kuuza na kunenepesha umee
-kuongeza umeme na urefu
-kunyoosha Uume Uliopindaa
- kutibu wahathirika wa Punyeto
- Kutibu Uumee uliolegea na ambayo hauna nguvu

Kwa muhitaji na muhathirika awasiliane nasi
+255 0684 882 845
+255 756325044
Tunapatikana msikiti wa mtoro kariakoo Dar es salaam Tanzani

BEI 30000/= KWA WAHITAJI FREE DELIVERY KWA MIKOA YOTE AMBAYO NI MAKAO MAKUU YA MIKOA NA WILAYA MAARUFU ZENYE STAND KUBWA KWA

16/08/2023

Tutumie ujumbe mfupi wa whats up 0684 882 845 or

Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya ...
03/08/2023

Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.

Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Kuna aina zipatazo mbili za Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers)

Vidonda vya tumbo kubwa (Gastric ulcers) – Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa
Gastric_Ulcer-1200x720

2. Vidonda vya utumbo mdogo (Duodenal ulcers) – Hivi ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)
duodenal-ulcer

CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;

Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
Kuwa na mawazo mengi
Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
Kunywa pombe na vinywaji vikali
Uvutaji wa sigara
Kuto kula mlo kwa mpangilio

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;

gastrita

Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
Kushindwa kupumua vizuri.

Gharama za matibabu ya vidonda vya tumbo ni dosege box 1@10000 box 3= 30000/=

Tupo daresalaam kariakoo mtaa wa Mahiwa na Livingstone masjid mtoro

By; CYDAN HERBAL ✍🏾
+255 756325044
0684 882 845

BAWASIRI (HAEMORHOIDS)BAWASIRI NI NINI?Ni mkusanyiko wa damu ndani ya njia ya haja kubwa (mkundu na puru) katika sinusoi...
03/08/2023

BAWASIRI (HAEMORHOIDS)

BAWASIRI NI NINI?
Ni mkusanyiko wa damu ndani ya njia ya haja kubwa (mkundu na puru) katika sinusoid za ateri na vena za njia ya haja kubwa. Ikumbukwe kwamba mifumo hii ya damu ni ya kawaida na kila binadamu anazo. Mifumo hio ya damu ya ndani ya njia ya haja kubwa ikijaa damu ndipo inavimba na inakua bawasiri au vijivimbe laini ndani ya njia hiyo. Watu wengi sana wana bawasiri na kwa kua hazinaga dalili basi hata watu wengi hawajijui k**a wana hali hii.Bawasiri huwapata sana watu kuanzia miaka 30 hadi 65;chini ya miaka 20 au juu ya miaka 70 ni ngumu sana kupata bawasiri. Ikumbukwe kwamba bawasiri zipo sana na k**a hazikupi shida yeyote wala hazihitaji matibabu ya aina yeyote

AINA ZA BAWASIRI

👉BAWASIRI ZA NDANI(INTERNAL HAEMORHOIDS)

👉BAWASIRI ZA NJE(EXTERNAL HAEMORHOIDS)

👉BAWASIRI MCHANGANYIKO(MIXED HAEMORHOIDS)

WALIOPO KWENYE HATARI YA KUPATA BAWASIRI

👉Wanaoharisha sana(diarrhea)

👉Wajawazito( pregnancy)

👉Wanaopata choo kigumu kwa muda mrefu(chronic constipation)

👉Wanaokaa muda mrefu kwenye kiti( prolonged sitting)

👉Watu wenye kiribatumbo(obesity)

👉Wanaofanya mapenzi ya njia ya haja kubwa(a**l in*******se)

👉Wanaonyanyua vitu vizito(Regular heavy lifting)

👉Watu wenye maisha mazuri na wasomi(Higher socioeconomic status)

👉Waliofanyiwa operesheni ya aina yeyote ya mkunduni(Rectal surgery)

👉Wenye magonjwa ya ini(Hepatic disease)

👉Watu wenye saratani ya utumbo mpana(Colon malignancy)

👉Wenye presha ya puru(Elevated a**l resting pressure)

👉Wenye presha ya Ini(Portal hypertension

ATHARI ZA BAWASIRI
🔹Upungufu wa damu mwilini
🔹Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
🔹kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
🔹kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
🔹kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
🔹Kupata tatizo la kisaikolojia

NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI

🔹Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
🔹kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
🔹Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
🔹Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
➡️matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA ni BINGWA HERMORHOID hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri

ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU
EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI

MADHARA YA BAWASIRI
➡️Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri

➡️KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

➡️KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI

➡️HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU

➡️HUATHIRI KISAIKOLOJIA
MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

➡️KUPATA KANSA YA YTUMBO
✍ hayo ni mambo ya msingi sana kuyajua kabla ya kujua tiba

CYDAN HERBAL TUPO KWAAJILI YA KUKUPATIA TIBA YA BAWASIR WW UNAYESUMBULIWA NA TATIZO HILI TUPIGIE SASA KWA NAMBA ZIFUATAZO:-
+255 756325044 call 📞
⁨+255 684882845 WhatsApp

TUPO DARESALAAM KARIAKOO MTAA WA MAHIWA NA LIVINGSTONE MSIKITI WA MTORO NYOTE MNAKARIBISHWA.

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):FIBROID NI NINI?Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu...
17/05/2023

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):
FIBROID NI NINI?
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)
Watu wafuatao wako hatarini kupata ugonjwa huu wa fibroids.

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubalehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi 4.unene 5.kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwa unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

Dalili za fibroids;
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi.

Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.
MATIBABU
1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hawawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu tunawabaini tunapofanya ultrasound ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii
2.Uvimbe ambao ni mkubwa wenyewe hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital)
A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawez kumudu kununua
B.Vidonge vya maumivu
C.Vidonge vya kuzuia damu k**a tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs)
2.Njia ya pili ni operation nazo zipo operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake.
1.Myomectomy hii ni operation ya kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri
2.Total abdominal hysterectomy. Hii operation unaondoa kizazi chote k**a uvimbe umekaa vibaya na viko vingi.

Swali la kujiuliza kwa nini mpaka upate dalili ndo utaanza kushughulikiwa kutibiwa? Kwa nini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo?

Kumbuka uvimbe huu sio kansa hivyo ondoa hofu. Mbali na donazole ambayo ni ya gharama na haishauriwi itumiwe kwa mda mrefu ina sababisha mwanamke anakua na sifa za kiume.

UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.

Sasa kwa kuliona hilo suluhisho lako lipo, tuna dawa ambayo imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa syrup na nyingine ni yaunga ambayo imetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha. Dawa hiyo ni mchanganyiko wa dawa asilia za kisunnah na kiarabu ambao hauna sumu au madhara yoyote mwilini. Ni dawa ambayo ina uwezo pia wa kuyayusha vijiwe ndani ya figo na kibofu cha mkojo, huzibua njia ya mkojo kwa wale wenye tatizo la kuziba kwa mkojo pamoja na kusafisha damu na mwili kwa ujumla.
Utapata suluhisho lako bila madhara kwani ni 100% asili tupu (100% Natural) mimea ambayo imefanyiwa uchunguzi wa kina.
Hii dawa inayeyusha kabisa uvimbe wa fibroid bila madhara yoyote. K**a una ndugu au rafiki mwambie suluhisho lipo na mshirikishe kuokoa afya yake.
Kwa maoni, ushauri na tiba za matatizo mbalimbali ya kiafya k**a vile U.T.I, PID, presha, sukari, matatizo ya moyo, kuacha sigara na pombe, bangi na mirungi, kifua, pumu, vimbe mbalimbali, matatizo ya hedhi, figo, Ini, Moyo, bandama, matatizo ya mifupa, kiuno, mgongo, ganzi,, miguu, uzito mkubwa, unene, nguvu za kiume, tezi dume, vidonda vya tumbo,uzazi nk usisite kuwasiliana nasi kwa namba yetu +255684882845
Utapata dawa za aina mbalimbali kwa ajili ya maradhi tofauti, pia tuna vipodozi vya asili visivyokuwa na kemikali kwa ajili ya ngozi za aina zote ambavyo pia ni tiba ndani yake za matatatizo mbalimbali ya ngozi k**a vile chunusi, mabaka, fangasi, michiriz (stech mark) nk.

Pia tunatoa huduma ya kupiga chuku/hijama au kuumika kwa ajili ya maradhi sugu na ya kawaida.

Huduma zitakufikia popote ulipo iwe mkoani au nje ya nchi.

By; Bingwa_Herbal_Nutrion ✍🏾
Huduma kwa wateja:
📞+255 684882845 /+255 756325044

wa.me/+255 684882845

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):FIBROID NI NINI?Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu...
18/03/2023

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):
FIBROID NI NINI?
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)
Watu wafuatao wako hatarini kupata ugonjwa huu wa fibroids.

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubalehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi 4.unene 5.kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwa unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

Dalili za fibroids;
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi.

Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.
MATIBABU
1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hawawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu tunawabaini tunapofanya ultrasound ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii
2.Uvimbe ambao ni mkubwa wenyewe hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital)
A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawez kumudu kununua
B.Vidonge vya maumivu
C.Vidonge vya kuzuia damu k**a tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs)
2.Njia ya pili ni operation nazo zipo operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake.
1.Myomectomy hii ni operation ya kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri
2.Total abdominal hysterectomy. Hii operation unaondoa kizazi chote k**a uvimbe umekaa vibaya na viko vingi.

Swali la kujiuliza kwa nini mpaka upate dalili ndo utaanza kushughulikiwa kutibiwa? Kwa nini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo?

Kumbuka uvimbe huu sio kansa hivyo ondoa hofu. Mbali na donazole ambayo ni ya gharama na haishauriwi itumiwe kwa mda mrefu ina sababisha mwanamke anakua na sifa za kiume.

UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.

Sasa kwa kuliona hilo suluhisho lako lipo, tuna dawa ambayo imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa syrup na nyingine ni yaunga ambayo imetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha. Dawa hiyo ni mchanganyiko wa dawa asilia za kisunnah na kiarabu ambao hauna sumu au madhara yoyote mwilini. Ni dawa ambayo ina uwezo pia wa kuyayusha vijiwe ndani ya figo na kibofu cha mkojo, huzibua njia ya mkojo kwa wale wenye tatizo la kuziba kwa mkojo pamoja na kusafisha damu na mwili kwa ujumla.
Utapata suluhisho lako bila madhara kwani ni 100% asili tupu (100% Natural) mimea ambayo imefanyiwa uchunguzi wa kina.
Hii dawa inayeyusha kabisa uvimbe wa fibroid bila madhara yoyote. K**a una ndugu au rafiki mwambie suluhisho lipo na mshirikishe kuokoa afya yake.
Kwa maoni, ushauri na tiba za matatizo mbalimbali ya kiafya k**a vile U.T.I, PID, presha, sukari, matatizo ya moyo, kuacha sigara na pombe, bangi na mirungi, kifua, pumu, vimbe mbalimbali, matatizo ya hedhi, figo, Ini, Moyo, bandama, matatizo ya mifupa, kiuno, mgongo, ganzi,, miguu, uzito mkubwa, unene, nguvu za kiume, tezi dume, vidonda vya tumbo,uzazi nk usisite kuwasiliana nasi kwa namba yetu +255 684 882 845
Utapata dawa za aina mbalimbali kwa ajili ya maradhi tofauti, pia tuna vipodozi vya asili visivyokuwa na kemikali kwa ajili ya ngozi za aina zote ambavyo pia ni tiba ndani yake za matatatizo mbalimbali ya ngozi k**a vile chunusi, mabaka, fangasi, michiriz (stech mark) nk.

Pia tunatoa huduma ya kupiga chuku/hijama au kuumika kwa ajili ya maradhi sugu na ya kawaida.

Huduma zitakufikia popote ulipo iwe mkoani au nje ya nchi.

✍🏾
Huduma kwa wateja:
📞+255 684 882 845/+255 756 325 045

wa.me/+255 684 882 845

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bingwa_Herbal_Nutrion posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share