Huba Clinic

Huba Clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Huba Clinic, Medical and health, Mabibo hostel, Dar es Salaam.

Hizi ndizo Dalili za kupishana kwa pingiri za kiuno(lumber 3,4,5 na sacrum 1) kiatalamu herniated disc.1.Maumivu makali ...
29/11/2021

Hizi ndizo Dalili za kupishana kwa pingiri za kiuno(lumber 3,4,5 na sacrum 1) kiatalamu herniated disc.
1.Maumivu makali Sana kiunoni na Misuli kukaza.
2.Ganzi miguuni.
3.Kuwaka Moto kiunoni.
4.Maumivu ukisimama
5.Maumivu makali ukikaa muda mrefu.
6.Maumivu makali kiunoni ukitembea .
7.Maumivu makali upande mmoja kuanzia kiunoni Kushuka kwenye mguu.
8.Miguu kuishiwa nguvu
9.kupoteza hisia kwenye Miguu hata K**a kitu kikichoma mguu .
10.Vidole kucheza Bila kuchezeshwa..
◾Je una tatizo hili la pingiri za kiuno kupishana.Tahadhari K**a hutoweza tibia pingiri zitazidi kuibana sciatic neva ambaya hupeleka mawasiliano miguuni na baada ya muda utapooza kuanzia kiunoni Kushuka kwenye Miguu hutokuwa na uwezo wa kufanya kazi sehemu hizo kitaalamu paraplegia paralysis.
◾Kwa msaada wa matibabu piga no 0757999703/0687027872 au fika HUBA CHIROPRACTIC external ubungo .

Hii Ni Kwa watu wote Wanaotaka Kupona Matatizo ya Pingiri Za UTI Wa Mgongo Lumber spine Bila Operation.◾Anaitwa Raiton n...
25/01/2021

Hii Ni Kwa watu wote Wanaotaka Kupona Matatizo ya Pingiri Za UTI Wa Mgongo Lumber spine Bila Operation.
◾Anaitwa Raiton ni miongoni mwa watu tuliowatibia hapa HUBA clinic MABIBO hostel kutoka hospital ya Consolata Ikonda Njombe kaumwa tangu 2019 amepona ndani ya siku 6 tu tatizo la lumber spine na x-ray yake ni hiyo .
◾Je Wewe Una Tatizo moja wapo katika matatizo yafuatayo
1.Matatizo ya Magoti
2.Pingiri za uti was mgongo kupishana na kusagika(lumber 5 na sacrum 1), Thoracic spine)
3.Matatizo ya pingiri za shingo na Misuli ya shingo kukaza(cervical spine)
4.Ganzi mwili mzima.
5.Kuparalaizi (paralysis)
6.Maumivu ya Neva (sciatica, pinched na radial nerve).
7.Matatizo ya nyonga
8.Stroke Aina zote.
9.Misuli ya mwili kukaza.
10.Matatizo ya mabega
◾Karibu Sana HUBA clinic Mabibo Hostel (UDSM) piga Simi no 0757999703/0687027872.Tupo wazi kuanzia jumatatu Hadi jumapili Clinic iko wazi kuanzia saa 08:30 asubuhi -06:30 jion .

Usipitwe Na Ofa Maalumu Kutokwa Dr Bahati wa  HUBA PYSIOTHERAPY CLINIC kwa Punguzo la sh 60,000 kila tatizo ofa inaisha ...
06/01/2021

Usipitwe Na Ofa Maalumu Kutokwa Dr Bahati wa HUBA PYSIOTHERAPY CLINIC kwa Punguzo la sh 60,000 kila tatizo ofa inaisha 10/01/2020.Akimaliza Tanzania ataenda Burundi na Msumbiji kuwatibia wagonjwa kapewa mwariko na watu wa Burundi na Msumbiji baada ya kutibiwa na kupona wakamuomba aende kwenye nchi hizo mtanzania mwenzangu muwai kabla hajaondoka.
◾Matatizo Anayotibu ni :
1.Matatizo ya Magoti.
2.pingiri za kiuno zilizosagika na kupishana(L5 na S1) Na Thoracic spine.
3.Pingiri Za Shingo Zilizopishana au kusagika(cervical spine)
4.Kutoa Ganzi Mwilini (miguuni,mikononi,na mikononi)
5.Watu wote walioparalaizi
6.Maumivu ya Neva (sciatica , punched Nerve na radial nerve).
7.Mishipa iliyopishana mwili yote anairudisha sehemu yake ndio huleta maumivu makali .
8.Nyonga iliyofyatuka na kusagika
9.stroke Aina zote
10.Dislocation
◾Njia Anazotumia Kutibu wagonjwa.
1.accupressure point (ancupucture)
2.Tai massage.
3.Mafuta ya asili yenye mchanganyiko was Aina 27 kutoka Pakistan.
4.Dawa lishe kwa ajiri ya joint.
🔷Njia zote hizo zinatumika na madoctors toka India .Njoo Huba clinic na x-ray yako utaziacha K**a wenzako hizo zinazoonekana .
◾K**a una tatizo au ndugu yako mwenye tatizo moja wapo piga no 0757999703/0687027872 fika clinic kwetu tupo wazi Jumatatu -mpaka jumapili kuanzia saa 08:30 asubuhi Hadi saa 06:30 jion

Je Unajua sababu kuu za kwanini Utumie Kombucha  Na Feminine wash kwa Ajiri Ya kutibu PID .◾Mwanamke tambua kuwa hata uc...
01/12/2020

Je Unajua sababu kuu za kwanini Utumie Kombucha Na Feminine wash kwa Ajiri Ya kutibu PID .
◾Mwanamke tambua kuwa hata uchome sindano kwa swala la PID utarudi tu ndio Mana wengi imejikuta baada ya wiki mbili unaumwa unaenda choma sindano Tena wiki mbili unaenda huponi kwa ujumla unahitaji dawa ambazo zitazalisha Kinga ya mwili kwa kuongeza lactobacillus bacteria na acetic acid ambayo huua Chlamydia bacteria wanaoshambulia viungo vya uzazi.Hivyo Basi unahitaji kutumia dawa zako Kombucha na Feminine Wash.
🔷Kwanini Utumie Kombucha na Feminine Wash.
1.Feminine Wash Ina Alovera,Elemi oil,Alovera na mint ambayo kazi yake,kuua bacteria wabaya wote ukeni,kutibu muwasho sehemu za Siri,kuvuta uchafu uliojificha ndani ya uke,kulainisha uke mkavu,inakukinga na UTI ya Mara kwa Mara,na inabalance PH ukeni.
2.Kombucha Ina probiotics, antioxidants,na acetic acid ambayo kazi yake kuongeza lactobacillus bacteria ambao ndio Kinga ya uke ,huongeza Kinga ya mwili mzima dhidi ya magonjwa,acetic acid inaua bacteria ,hutibu fangasi za sehemu za Siri na UTI .
◾Bei yake kwa Dozi sh 75,000 Bei ya kombucha Lita 1 sh 35,000 na Feminine wash sh 45,000 ofa kwa wale wa mikoani derivary bure na kwa watu wote wa Dar utapata ofa yako kwa sh 80,000 zimebaki chache Sana.
◾Piga no zangu 0757999703/0687027872 au karibu Sana HUBA clinic mabibo hostel

01/12/2020

Je Unajua sababu kuu za kwanini Utumie Kombucha Na Feminine wash kwa Ajiri Ya kutibu PID .
◾Mwanamke tambua kuwa hata uchome sindano kwa swala la PID utarudi tu ndio Mana wengi imejikuta baada ya wiki mbili unaumwa unaenda choma sindano Tena wiki mbili unaenda huponi kwa ujumla unahitaji dawa ambazo zitazalisha Kinga ya mwili kwa kuongeza lactobacillus bacteria na acetic acid ambayo huua Chlamydia bacteria wanaoshambulia viungo vya uzazi.Hivyo Basi unahitaji kutumia dawa zako Kombucha na Feminine Wash.
🔷Kwanini Utumie Kombucha na Feminine Wash.
1.Feminine Wash Ina Alovera,Elemi oil,Alovera na mint ambayo kazi yake,kuua bacteria wabaya wote ukeni,kutibu muwasho sehemu za Siri,kuvuta uchafu uliojificha ndani ya uke,kulainisha uke mkavu,inakukinga na UTI ya Mara kwa Mara,na inabalance PH ukeni.
2.Kombucha Ina probiotics, antioxidants,na acetic acid ambayo kazi yake kuongeza lactobacillus bacteria ambao ndio Kinga ya uke ,huongeza Kinga ya mwili mzima dhidi ya magonjwa,acetic acid inaua bacteria ,hutibu fangasi za sehemu za Siri na UTI .
◾Bei yake kwa Dozi sh 75,000 Bei ya kombucha Lita 1 sh 35,000 na Feminine wash sh 45,000 ofa kwa wale wa mikoani derivary bure na kwa watu wote wa Dar utapata ofa yako kwa sh 80,000 zimebaki chache Sana.
◾Piga no zangu 0757999703/0687027872 au karibu Sana HUBA clinic mabibo hostel

30/09/2020

Medical & health

Huba Clinic ipo Mabibo hostel UDSM karibu sana tuna tibu magonjwa yote na kupima mfumo wote wa mwili was binadamu kwa ma...
30/09/2020

Huba Clinic ipo Mabibo hostel UDSM karibu sana tuna tibu magonjwa yote na kupima mfumo wote wa mwili was binadamu kwa mawasiliano zaidi piga no 0757999703/0687027872

Address

Mabibo Hostel
Dar Es Salaam

Telephone

+255757999703

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Huba Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram