Imarisha Afya yako Leo

Imarisha Afya yako Leo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Imarisha Afya yako Leo, Medical and health, 3000, Dar es Salaam.

๐˜ฌ๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ฃ๐˜ถ ๐˜ต๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ฆ ๐˜ด๐˜ถ๐˜ณ๐˜ถ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฅ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ถ...๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฐ ๐˜บ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ช๐˜ซ๐˜ข๐˜ณ๐˜ช ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช ๐˜บ๐˜ข ๐˜ด๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฆ..๐˜ธ๐˜ข๐˜ด๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ข 076...
16/07/2022

๐˜ฌ๐˜ข๐˜ณ๐˜ช๐˜ฃ๐˜ถ ๐˜ต๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ฆ ๐˜ด๐˜ถ๐˜ณ๐˜ถ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฅ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ถ...
๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฏ๐˜จ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฐ ๐˜บ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ช๐˜ซ๐˜ข๐˜ณ๐˜ช ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช ๐˜บ๐˜ข ๐˜ด๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ค๐˜ฉ๐˜ฆ..
๐˜ธ๐˜ข๐˜ด๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ข 0762497846 ๐˜ข๐˜ถ ๐˜ต๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฐ ๐˜’๐˜๐˜œ๐˜”๐˜Œ ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ธ๐˜ฉ๐˜ข๐˜ต๐˜ด๐˜ข๐˜ฑ ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ข 0762497846 ๐˜ต๐˜ถ๐˜ต๐˜ข๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ด๐˜ข๐˜ช๐˜ฅ๐˜ช๐˜ข

 /MASTERBETION HUANGAMIZA NGUVU ZA KIUME...๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆAsilimia kubwa ya wanaume wamewahi kujichua na wengine bado wanajichua mpa...
26/06/2022

/MASTERBETION HUANGAMIZA NGUVU ZA KIUME...๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆ
Asilimia kubwa ya wanaume wamewahi kujichua na wengine bado wanajichua mpaka mda huu, wapo ambao wamepitia tabia hii na wanajutia tabia hii baada ya kukumbana na madhara yake na wengine wanaona madhara yake na wanashindwa kuacha mpaka sasa.... waliopitia tabia hii na kupata madhara yake wengi wanahangaika kuondoa madhara yake lakin imekuwa ngumu sana kupata njia sahihi kwani wanajaribu bila mafanikio. Kuona madhara yake inaweza kukuchukua hata mda mrefu baadae ndo ukaona madhara ya kujichua, inaweza kupita hata miaka 2, 5 au hata 10 au 15 ndo ukaanza kuona dalili hizo.Changamoto zinajijenga kidogo kidogo mpaka zinaanza kuonekana zimekua hapa k**a unataka matokeo ya siku moja utahangaika sana na haitawezekana .Utajikuta unaishia kuboost. Watu wengi waliopitia tabia hii na kuwasababishia madhara hukumbana na matatizo k**a;-
๐Ÿ’Uume kusimama lege lege.
๐Ÿ’Maumivu ya mgongo.
๐Ÿ’Kumaliza tendo la ndoa ndani ya mda mfupi( hata dakika 5 hazifiki kashamaliza na hawezi kuendelea tena mpaka baada ya masaa kadhaa au mpaka siku nyingine).
๐Ÿ’Round kupungua kulingana na Mwanzo .
๐Ÿ’Kushindwa kuunganisha round na kuipata inayouta inakuwa Mbinde.
๐Ÿ’Kukosa hamu ya tendo la ndoa tena baada ya raundi ya kwanza.
๐Ÿ’Kuchoka sana(kukosa stamina)
๐Ÿ’Maumbile ya Uume kupungua ukubwa(kusinyaa) yanakuwa k**a ya mtoto mdogo (inakuwa ni aibu hata kuvua nguo akiwa na mwenza wake maumbili yanaingia ndani)
๐Ÿ’Maumbile kupinda.
๐Ÿ’Kutoa mbegu nyepesi na chache wakati mwingine haziruki umbali wowote zinadondoka k**a maji (hili ni hatari sana na hupunguza raha ya kupizi) mwisho ..
๐Ÿ’Husababisha kutokujiamini mbele ya mpenzi au mke wake (wasi wasi anawaza itakuwaje, Atanichukuliaje) Kwa ushauri, Tiba, tuma neno KIUME kwa WhatsApp 0762497846 tutakusaidia

JINSI UUME UNAVYOSIMAMA ๐Ÿ‘‰Katika uume kuna chembe yenye mishipa laini sana ambayo ndio huufanya uume uweze kusimama. Mish...
05/06/2022

JINSI UUME UNAVYOSIMAMA
๐Ÿ‘‰Katika uume kuna chembe yenye mishipa laini sana ambayo ndio huufanya uume uweze kusimama. Mishipa hii ipo k**a sponji hivyo huweza kutanuka na kusinyaa. Damu inapoingia ndani ya mishipa hii huufanya uume kusimama na kuwa mgumu k**a msumari. ๐Ÿ‘‰Damu inapoendelea kuhifadhiwa ndani ya mishipa hii wakati wa tendo la ndoa huufanya uume uendelee kusimama -Mwanaume unapopatwa nawazo la kufanya tendo la ndoa mishipa ya fahamu iliyo kwenye ubongo hupeleka ishara kwenye uti wa mgongo ambao nao hufikisha taarifa kwenye mishipa ya uume.
๐Ÿ‘‰Taarifa ikishafika kwenye mishipa ya uume, huifanya mishipa ya uume kutanuka na mishipa ya uume inapotanuka hufanya mambo makuu mawili:-
1. Kwanza hufanya mishipa ya ateri kufunguka hivyo kufanya damu kutiririka kwa kasi sana na kuingia kwenye mishipa ya uume. -(Mishipa ya ateri ndio inayotumika k**a njia ya kuingiza damu kwenye uume. Bila mishipa ya ateri kuwa imara na yenye afya damu haiwezi kuingia kwenye mishipa ya uume, na damu isipoweza kuingia kukaa kwenye mishipa ya uume, basi uume hauwezi kusimama ).
2. Pili -Huibana mishipa ya vena na hivyo kuzuia kunyonya damu kutoka kwenye uume na kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. Matokeo yake kuufanya uume uendelee kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.
NB: kazi kubwa ya mishipa ya neva iliyokaribu na mishipa na mishipa ya uume ni kunyonya damu kutoka ndani ya mishipa ya uume kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. -Mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya uume uliosimama. -Kadri damu inavyozidi kuingia ndani ya mishipa ya uume ndivyo unavyozidi kuwa mgumu na kukak**aa. -Na kadri damu inavyohifadhiwa ndani ya mishipa ya uume ndivyo uume unavyoendelea kusimama wakati wa tendo la ndoa kwa muda mrefu. Baada ya kumaliza kufanya tendo la ndoa, mishipa ya uume inarudi katika hali yake ya kawaida (inanyauka) ikisha nyauka, mishipa ya ateri inanyauka pia, vena zinafunguka na kunyonya damu katika mishipa ya uume na kuirejesha katika sehemu nyingine za mwili na hatimaye uume hurudi katika hali ya kawaida ( Flaccid ).

K**a Una changamoto yoyote kuhusu swala la kusimama Kwa uume usisite tupigie simu au tuma neno KIUME kwenda WhatsApp +255762497846 kwa ushauri zaidi.

KUWA IMALA, CHELEWA ZAIDI NA RUDIA KWA NGUVU ZAIDI๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆMwanaume wakati wa kurudisha heshima ni sasa.. Usiendelee kupata fe...
17/04/2022

KUWA IMALA, CHELEWA ZAIDI NA RUDIA KWA NGUVU ZAIDI๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆ๐Ÿ’ฆ
Mwanaume wakati wa kurudisha heshima ni sasa.. Usiendelee kupata fedheha.. Wamesaidika wengi na sasa ni wakati wako.. Tutumie ujumbe mfupi wenye neno KIUME kwenda WhatsApp +255627362567 sasa kwa msaada wa haraka

UTAJIJUAJE UNACHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME? DALILI ZAKE NI ZIPI?? Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upun...
15/04/2022

UTAJIJUAJE UNACHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME? DALILI ZAKE NI ZIPI??
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;
๐Ÿ‘‰Kuwahi kufika kileleni
๐Ÿ‘‰Kukosa hamu ya mapenzi
๐Ÿ‘‰Kushindwa kurudia tendo la ndoa -
๐Ÿ‘‰Uume kusimama kwa uregevu au ushindwa kusimamisha -
๐Ÿ‘‰Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia
๐Ÿ‘‰Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
๐Ÿ‘‰ -Kuchelewa sana kufika kileleni (au -kushindwa kufika kileleni kabisa)
๐Ÿ‘‰-Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
๐ŸŽฏ K**A UNAWAHI KUMALIZA AU UNASHINDWA KURUDIA. Tuma SMS; Kiume KWA WhatsApp +255 627 362 567 Kwa msaada Zaidi

๐Ÿ’ฆPUNYETO: Hakuna dawa ya kutibu punyeto, walakini kuna njia zinazoweza kutibu tabia hiyo, nazo ni; kuepuka vichochezi na...
11/04/2022

๐Ÿ’ฆPUNYETO:
Hakuna dawa ya kutibu punyeto, walakini kuna njia zinazoweza kutibu tabia hiyo, nazo ni;

kuepuka vichochezi na upweke, kujishughulisha, kutumia muda mwingi na watu wengine, Kufanya mazoezi, kupata kikundi na msaada kwa mtaalamu. ~
๐Ÿ“ฒEpuka vichochezi:
epuka tovuti/vitabu/picha/video za utupu kwani hivi vyote huchochea hamu ya kupiga punyeto hivyo viepuke kadri iwezekanavyo. Tumia vichungi/vichujio ili kuvizuia kukufikia. ~ ๐ŸคนJishughulishe:
tafuta shughuli uzipendazo ambazo zitachukua muda wako k**a michezo na wengine, kucheza chombo cha muziki na zingine. Pia ufahamu ni muda gani ambao hamu huwa juu sana na upange shughuli nyingine wakati huo. ~
๐Ÿ‘จโ€๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ‘งโ€๐Ÿ‘ฆTumia muda mwingi na watu wengine:
kwani watu wengine hupiga punyeto kwa sababu wanahisi upweke au hawana kitu/mtu wa kujaza wakati wao, hivyo jitahidi kuwa na wengine kwani unaweza jumuika na wanafamilia, ndugu, marafiki, wapwa au kikundi cha mazoezi. ~
๐ŸšตMazoezi:
K**a kukimbia, kuogelea, kuruka kamba na mengine mengi yanaimarisha mwili wako na ni bora sana kwani hukuza hisia za ustawi, furaha na kuimarika zaidi na hivyo kupunguza hamu ya kupiga punyeto mara kwa mara. ~
๐Ÿ‘ฌPata kikundi kinachosaidia na kutegemeza:
kwani kutakusaidia kupunguza hisia za hatia na aibu na kutoa nafasi unayohitaji ili kuelezea wasiwasi na kuzungumzia waziwazi juu ya changamoto unazozikabili na kukuza mikakati mizuri ya kukabiliana nayo. ~
๐Ÿ‘ฉโ€โš•๏ธTafuta msaada wa kitaalamu:
Tafuta ushauri kutoka kwa mtaalamu wa afya ya akili/mwanasaikolojia ambaye ni mtaalamu wa afya ya jinsia kwani kuzungumza naye kutasaidia kujifunza mikakati ya kurekebisha tabia na kuizuia. Tuma neno Afya kwa WhatsApp namba +255 627 362 567 kupata elimu zaidi juu ya afya na SULUHISHO la kudumu

MWANAUME ZINGATIA HAYA;Katika maisha ya kila siku kutokana na vyakula,mtindo mbovu wa maisha n.k mwanaume unawez jikuta ...
09/04/2022

MWANAUME ZINGATIA HAYA;
Katika maisha ya kila siku kutokana na vyakula,mtindo mbovu wa maisha n.k mwanaume unawez jikuta umepungukiwa nguvu za kiume na ukajiuliza umepungukiwa namna gani? Wanaume wengi nliokutana nao na wengine wamekuwa wakinipigia simu wakisema โ€œmimi sina tatizo la nguvu za kiume ila nawahi kufika kileleniโ€ wengine wakisema โ€œ mimi niko sawa sawa ila tu nakosa hamu ya tendo la ndoa,wengine wanasema mimi tatizo langu ni kuwai kufika kileleni lakini nikifika nashindwa kuendelea na tendo. UKWELI WA MAMBO NI KWAMBA;
๐Ÿ’ฅK**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatzo la nguvu za kiume .
๐Ÿ’ฅ.K**a uume hausimami barabara , una upungufu wa nguvu za kiume
๐Ÿ’ฅK**a uume unasimama na kulegea kwa muda mfupi au kwa mwanamke fulani unafanya nae sawasawa ila kwa mwingine mambo hayaendi sawa, basi una tatzo la nguvu za kiume.
๐Ÿ’ฅK**a uume wako hulegea tu muda mfupi baada ya kuingia ukeni, una tatizo la nguvu za kiume
๐Ÿ’ฅ.K**a unasikia maumivu wakati wa tendo na wakati uume ukisimama una tatzo na nguvu za kiume
๐Ÿ’ฅ.K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa) au unatoa mbegu nyepesi una tatzo la nguvu za kiume
๐Ÿ’ฅ.K**a unashindwa kurudia tendo mara ya pili una tatizo kubwa la nguvu za kiume
๐Ÿ’ฅ.K**a unashindwa kufika kileleni wakati ukiendelea na tendo una tatizo kubwa la ukosefu wa nguvu za kiume. Ndugu yangu k**a una baadhi au unahisi una dalili za kuwa na matatizo yaliyoainishwa hapo juu basi nakushauli uchukue hatua haraka sana, hii ni kwa sababu kuchelewa kwako kutakufanya hapo baadae tatizo liwe kubwa zaidi na huenda ukashindwa kulitibia au ukaja kulitibia kwa gharama kubwa zaidi ya ile iliyotakiwa. LAKINI KABLA HUJACHUKUA HATUA YA KUJITIBU ZINGATIA HAYA; i.Kubali kuwa unatatizo na usijione huna tatizo kumbe unalo litakuwa kubwa zaidi ukilipuuzia na utajilaumu baadae. ii.Thamini afya yako ya mwili na akili iii.Vijue vyanzo vya tatzo lako maana ukishajua chanzo umepiga hatua kubwa katika matibabu TIBA NA USHAURI Call/What'sApp +255 627 362 567

Kila baada ya kumaliza, alipatwa na hasira kwa kuwa alipohitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea. Nilipatwa na msongo ...
07/04/2022

Kila baada ya kumaliza, alipatwa na hasira kwa kuwa alipohitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea.

Nilipatwa na msongo mkubwa sana hasa pale zikinijia fikra za kusalitiwa kwani ni ukweli usio na shaka kabisa kuwa sikuwa namtosheleza.

Mwanzoni alinivumilia lakini ilifikia kipindi saikolojia yake iliharibika na tendo halali kabisa la ndoa lilikuwa kero kubwa kwake kwani ilifikia wakati nikihitaji hataki kwakuwa alijua sitofanya chochote zaidi ya kumchafua tu.

Niliumia zaidi pale alipoanza kuniita "Mr Five seconds"

Natambua kuniita hivo hakuwa anafanya utani bali alikuwa anafikisha ujumbe kuwa haridhiki,

Utamsikia anasema, "Mr Five Seconds, Unataka kunipaka shombo?"

Basi hadi hamu yote inaniisha.

Kiukweli niliteseka sana.

Mchezo wa kujichua wakati nipo shule ndio uliosababisha yote hayo

Sikujua kuwa kufanya vile nilikuwa najiandalia madhila makubwa baadae.

Tatizo langu kubwa lilikuwa ni kuwahi kumaliza kabla safari haijafika mwisho.

Nikiupanda tu mnazi dakika mbili nyingi, Chali.

Hali ilizidi kuwa tete baada ya kufika hatua ya kushindwa kusafiri hata kwa dakika moja tu.

Nikaanza kuona dalili zote za ndoa kuvunjika,

Ukifika muda wa kulala akawa anachukua rimoti ananiambia "tangulia kuna tamthilia naifuatilia".

Sikuwa na jinsi, nilianza kujaribu kila kitu nitachosikia kinasaidia kutibu tatizo hili.

Nakumbuka siku moja niliharisha sana baada ya kununua dawa fulani za kimasai lakini mwisho wa yote tatizo liliendelea kubaki pale pale.

Kwa kujaribu jaribu huku nilijikuta natumia pesa nyingi bila mafanikio.

Siku moja wakati naperuzi mtandaoni nikapata jarida moja la kikorea lililotafsiriwa kwa kiingereza ambalo baada ya kulisoma nikapata kitu ambacho kimerudisha heshima ya ndoa yangu kwa usiku mmoja tu.

Sasahivi Baada ya kumaliza nikimgeukia, huniangalia kwa tabasamu nami kwa kujiamini kabisa huwa namuuliza,

vipi unataka tena?

Hakuna anachojibu zaidi ya tabasamu lililojaa bashasha.

Ndoa imeimarika, kazi nafanya vizuri na kujiamini kumezidi kwa kuwa sasa nimekuwa Mwanaume kamili.

Tatizo kubwa tunalopata wengi tuliowahi kujichua ni Kulegea kwa misuli ya mlingoti jambo ambalo husababisha tuwahi kumaliza safari.

Katika jarida lile la kikorea nilipata kufahamu hatua tatu ambazo zimesaidia sana kurejesha utimamu wa mlingoti wang.

___________________

Ni simulizi ya rafiki yangu.

=ใ€‹Nimeona ni'share hapa huenda unapitia aliyopitia hivyo ikawa msaada wenye tija kwako.

Andika NENO KIUME kuja WhatsAppnamba +255 678 280 603
Nitakutumia Bure maelekezo kwa kina kuhusu mbinu hizo tatu alializotumia.

Anasema, si tu kwamba utachukua zaidi ya dakika 30 kwa round ya kwanza ya mchezo bali pia utaimarisha nguvu na uwezo wa kurudia mikimbio mitatu zaidi bila kuchoka.

Andika NENO KIUME kuja WhatsAppnamba +255 627 362 567

SASA HIVI!!!..

Kila baada ya kumaliza, alipatwa na hasira kwa kuwa alipohitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea.Nilipatwa na msongo m...
06/04/2022

Kila baada ya kumaliza, alipatwa na hasira kwa kuwa alipohitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea.
Nilipatwa na msongo mkubwa sana hasa pale zikinijia fikra za kusalitiwa kwani ni ukweli usio na shaka kabisa kuwa sikuwa namtosheleza.
Mwanzoni alinivumilia lakini ilifikia kipindi saikolojia yake iliharibika na tendo halali kabisa la ndoa lilikuwa kero kubwa kwake kwani ilifikia wakati nikihitaji hataki kwakuwa alijua sitofanya chochote zaidi ya kumchafua tu.
Niliumia zaidi pale alipoanza kuniita "Mr Five seconds"
Natambua kuniita hivo hakuwa anafanya utani bali alikuwa anafikisha ujumbe kuwa haridhiki,
Utamsikia anasema, "Mr Five Seconds, Unataka kunipaka shombo?"
Basi hadi hamu yote inaniisha.
Kiukweli niliteseka sana.
Mchezo wa kujichua wakati nipo shule ndio uliosababisha yote hayo
Sikujua kuwa kufanya vile nilikuwa najiandalia madhila makubwa baadae.
Tatizo langu kubwa lilikuwa ni kuwahi kumaliza kabla safari haijafika mwisho.
Nikiupanda tu mnazi dakika mbili nyingi, Chali.
Hali ilizidi kuwa tete baada ya kufika hatua ya kushindwa kusafiri hata kwa dakika moja tu.
Nikaanza kuona dalili zote za ndoa kuvunjika,
Ukifika muda wa kulala akawa anachukua rimoti ananiambia "tangulia kuna tamthilia naifuatilia".
Sikuwa na jinsi, nilianza kujaribu kila kitu nitachosikia kinasaidia kutibu tatizo hili.
Nakumbuka siku moja niliharisha sana baada ya kununua dawa fulani za kimasai lakini mwisho wa yote tatizo liliendelea kubaki pale pale.
Kwa kujaribu jaribu huku nilijikuta natumia pesa nyingi bila mafanikio.
Siku moja wakati naperuzi mtandaoni nikapata jarida moja la kikorea lililotafsiriwa kwa kiingereza ambalo baada ya kulisoma nikapata kitu ambacho kimerudisha heshima ya ndoa yangu kwa usiku mmoja tu.
Sasahivi Baada ya kumaliza nikimgeukia, huniangalia kwa tabasamu nami kwa kujiamini kabisa huwa namuuliza,
vipi unataka tena?
Hakuna anachojibu zaidi ya tabasamu lililojaa bashasha.
Ndoa imeimarika, kazi nafanya Kwa kujiamini zaidi. Karibu whatsup 0627362567 Kwa msaada z

Kila baada ya kumaliza, alipatwa na hasira kwa kuwa alipohitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea. Nilipatwa na msongo ...
06/04/2022

Kila baada ya kumaliza, alipatwa na hasira kwa kuwa alipohitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea.

Nilipatwa na msongo mkubwa sana hasa pale zikinijia fikra za kusalitiwa kwani ni ukweli usio na shaka kabisa kuwa sikuwa namtosheleza.

Mwanzoni alinivumilia lakini ilifikia kipindi saikolojia yake iliharibika na tendo halali kabisa la ndoa lilikuwa kero kubwa kwake kwani ilifikia wakati nikihitaji hataki kwakuwa alijua sitofanya chochote zaidi ya kumchafua tu.

Niliumia zaidi pale alipoanza kuniita "Mr Five seconds"

Natambua kuniita hivo hakuwa anafanya utani bali alikuwa anafikisha ujumbe kuwa haridhiki,

Utamsikia anasema, "Mr Five Seconds, Unataka kunipaka shombo?"

Basi hadi hamu yote inaniisha.

Kiukweli niliteseka sana.

Mchezo wa kujichua wakati nipo shule ndio uliosababisha yote hayo

Sikujua kuwa kufanya vile nilikuwa najiandalia madhila makubwa baadae.

Tatizo langu kubwa lilikuwa ni kuwahi kumaliza kabla safari haijafika mwisho.

Nikiupanda tu mnazi dakika mbili nyingi, Chali.

Hali ilizidi kuwa tete baada ya kufika hatua ya kushindwa kusafiri hata kwa dakika moja tu.

Nikaanza kuona dalili zote za ndoa kuvunjika,

Ukifika muda wa kulala akawa anachukua rimoti ananiambia "tangulia kuna tamthilia naifuatilia".

Sikuwa na jinsi, nilianza kujaribu kila kitu nitachosikia kinasaidia kutibu tatizo hili.

Nakumbuka siku moja niliharisha sana baada ya kununua dawa fulani za kimasai lakini mwisho wa yote tatizo liliendelea kubaki pale pale.

Kwa kujaribu jaribu huku nilijikuta natumia pesa nyingi bila mafanikio.

Siku moja wakati naperuzi mtandaoni nikapata jarida moja la kikorea lililotafsiriwa kwa kiingereza ambalo baada ya kulisoma nikapata kitu ambacho kimerudisha heshima ya ndoa yangu kwa usiku mmoja tu.

Sasahivi Baada ya kumaliza nikimgeukia, huniangalia kwa tabasamu nami kwa kujiamini kabisa huwa namuuliza,

vipi unataka tena?

Hakuna anachojibu zaidi ya tabasamu lililojaa bashasha.
Ndoa imeimarika sas
0627362567

Je! Unawai kufika kileleni?Changamoto ya kuwahi kufika kileleni imekuwa kubwa sana kwa wanaume nyakati hizi za sasa!Vipo...
05/04/2022

Je! Unawai kufika kileleni?
Changamoto ya kuwahi kufika kileleni imekuwa kubwa sana kwa wanaume nyakati hizi za sasa!
Vipo visababishi vingi vinavyofanya hii ijitokeze..
Je Unasumbuliwa na hii shida?
Unamjua anayehangaika bila mafanikio kumaliza hii shida?
Basi hizi ni habari njema..
Tunatoa msaada wa ushauri bure na namna bora ya kushughulikia hii shida na kurudisha tena heshima ya kiume..
Tutumie ujumbe mfupi wenye neno KIUME kwenda WhatsApp +255627362567 au dm au piga simu sasa kwa msaada wa haraka!

UMEWAHI KUPATA FEDHEHA HII !??๐Ÿ‘‡* ๐Ÿ”น Kwanza kuna hii kubwa kabisa, Unataka kuanza tuu kushiriki tendo la ndoa, unajikuta t...
03/04/2022

UMEWAHI KUPATA FEDHEHA HII !??๐Ÿ‘‡*
๐Ÿ”น Kwanza kuna hii kubwa kabisa, Unataka kuanza tuu kushiriki tendo la ndoa, unajikuta tayari umeshamwaga kila kitu, na ukitaka kurudi tena uendelee na tendo uume unakuwa umeshalala moja kwa moja...
*WENGINE HUAMBATANA NA CHANGAMOTO HIZI๐Ÿ‘‡
โžก๏ธ Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .
โžก๏ธ Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.
โžก๏ธ Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.
โžก๏ธ Hamu inakata ghafla Mara baada ya kumwaga ,ule uchangamfu unapotea kabisa.
โžก๏ธNyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .
โžก๏ธKupoteza hamu ya tendo la ndoa.
โžก๏ธkushindwa kurudia Mara ya Pili unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.
โžก๏ธ Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katikati yatendo ,uume unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani. โ‡Changamoto hizo mpaka zinajitokeza basi yafaa ufahamu hazikuanza tuu mara moja, ni changamoto ambazo zimejijenga ndani yako kwa muda mrefu.
โ‡Hivyo, unapoamua kuzitatua ni vyema kufuata mwongozo sahihi wa suluhisho kwa kutumia virutubisho, kubadili mfumo wa ulaji, mazoezi sahihi utakayopewa na pia uzingatiaji mzuri wa ulaji kulingana na blood group yako. Je unapata changamoto yotote kati ya hizo โ‰๏ธ Karibu tuzungumze,nifahamu chanzo cha tatizo lako, ukubwa wake then utapata mwongozo wa suluhisho la moja kwa moja la changamoto yako** Wasiliana nasi +255 627 362 567 WhatsApp/Call karibu

Address

3000
Dar Es Salaam

Telephone

+255627362567

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imarisha Afya yako Leo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Imarisha Afya yako Leo:

Share