AFYA Maridhawa.

AFYA Maridhawa. Nawasaidia Watu Wazima Kutokomeza Maumivu Ya Viungo Na Kusagana Kwa Mifupa Bila Kufanyiwa Upasuaji.

19/01/2023

Nawasaidia Watu Wazima Kutokomeza Maumivu Ya Viungo Na Kusagana Kwa Mifupa Bila Kufanyiwa Upasuaji.

HII NDIO NJIA RAHISI NA SALAMA YA KUPUNGUZA TUMBOWengi wa wagonjwa wa mifupa ambao nawahudumia wamemtumia meseji za kuta...
11/01/2023

HII NDIO NJIA RAHISI NA SALAMA YA KUPUNGUZA TUMBO
Wengi wa wagonjwa wa mifupa ambao nawahudumia wamemtumia meseji za kutaka kujua njia ya kupunguza tumbo na mafuta tumboni...

Na hii ni kutokana kwamba wengi wao sababu ya maumivu ya viungo imesababishwa na Uzito mkubwa unaombatana na kuwa na tumbo kubwa na manyama uzembe .

Njia nyepesi kabisa ya kupunguza tumbo kubwa ni ile ya kupangilia chakula na kufanya mazoezi.

Nilipata nafasi wiki hii ya kuzungumza na daktari mmoja katika hospitali ya Muhimbili ambaye sitamtaja kwa jina na alikuwa na mengi ya kuelezea jinsi hali hiyo inavyoanza na husababishwa na nini.

Alisema kuwa,k**a unataka kupunguza tumbo kwa haraka basi punguza kula vyakula vyenye wanga na badala yake tumia mbogamboga na matunda kwa wingi.

Vyakula k**a viazi mviringo, wali mkate hukaa tumboni kwa zaidi ya siku tatu, pia ulaji wa nyama nyekundu inasababisha kuongezeka uzito na pia huongeza ukubwa wa tumbo,vyakulahivyo vinatakiwa kutumiwa kwa kiasi kidogo sana.

"Kuna wakati tumbo linajitokeza na kuwa kubwa kuliko kawaida hali hiyo inasababishwa na kula vyakula vya wanga kwa wingi, kutokunywa maji ya kutosha na pia kula bila ya mpangilio maalum" aliendelea kusema.

Alisema pia kuwa k**a mtu anataka kupunguza mafuta au kuondoa kitambi anatakiwa kula milo mitatu kwa siku na si kujinyima kula kwa kudhani kuwa unaweza kupungua uzito.

"Vyakula vya wanga na mafuta hufanya mtu kunenepa, acha au punguza kula vyakula vyenye wanga ili kupunguza mafuta yaliyozidi mwilini.

Mafuta yanaporundikana mwilini athari moja kubwa ni kuwa na tumbo kubwa." Alikazia Kwa kusema hivyo.

Na mwisho aliniambia kuwa ,tumbo kuwa kubwa ni dhahiri kuwa chakula unachokula hakifanyi kazi inayotakiwa, kumekuwa na ziada mwilini na hii ziada inafanyika mafuta ambayo hujiwekesha akiba katika maeneo mbalimbali ya mwili.

Na Kwa kuwa Chakula hiki cha ziada huwa hakitakiwi, mwili hukibadilisha na kuweka akiba katika mfumo wa mafuta kitaalamu k**a glycogem.Unaweza kukabiliana na kuzidi kwa protini zinazoyeyushwa na kuwekwa katika akiba kwa mfumo huo wa mafuta.

TIBA NA USHAURI
K**a mtu mwenye tatizo hilo ni bora akapangilia mlo wake kwa siku k**a ifuatavyo👇🏼

"Asubuhi pata kifungua kinywa kilichokamilika, pata mlo wa mchana k**a kawaida na usiku kula matunda tu kunaweza kufanya mwili wako uwe katika hali inayotakiwa.

Watu wengi wanatumia wanga mwingi wakati wa usiku muda ambao unaenda kulala na ziada ya chakula haifanyi kazi vizuri zaidi ya kujikusanya, kujibadilisha na kuhifadhiwa katika maeneo mbalimbali ya mwili hasa tumboni.

Je Mazoezi husaidia kupunguza uzito wa mwili na manyama uzembe?

Ni kweli Mazoezi ya viungo yamethibitishwa kusaidia kuchoma mafuta ya ziada katika mwili. Kutokana na hali ya ulaji unaweza kutengeneza manyama uzembe katika kifua, mapaja na maeneo fulani ya tumbo ambayo yametengenezwa kupokea maeneo ya ziada yanayotokana na mafuta yenyewe au sukari iliyobadilishwa kuwa mafuta. Nishati inayotokana na nafaka ambayo pia haiwezi kutumika muda huo hutengenezwa kuwa mafuta na kupelekwa eneo husika.

Wanaume huwa na asilimia 8 hadi 20 ya mafuta katika mwili na ni kawaida wakati kwa wanawake ni asilinia 13 hadi 25.

Unapofanya mazoezi ya viungo unaongeza hewa ya oksijeni kwa wingi katika mapafu yako na wakati huohuo mwili nao unaunguza mafuta ili kutoa nguvu kwa mwili. Mafuta yanayounguzwa kwanza ni yale ya kawaida kabla ya kuingia katika akiba.

Lakini pia unashauri k**a mtu atakula kidogo kabla ya kuanza mazoezi ili kutoa nishati ya kutosha ya kufanyisha mazoezi. "Lakini k**a unaenda mwendo fulani mdogo tu au unatembea kwa dakika 30 huenda usiwe na haja kabisa ya kula hata hicho kidogo na hasa ikiwa uliweka kitu kidogo saa tatu/nne zilizopita.

DALILI ZA KUSAGIKA KWA PINGILI ZA UTI WA MGONGO✍️maumivu kwenye mgongo✍️kushindwa kuinama✍️Maumivu makali ya kiuno.✍️Mau...
05/01/2023

DALILI ZA KUSAGIKA KWA PINGILI ZA UTI WA MGONGO

✍️maumivu kwenye mgongo
✍️kushindwa kuinama
✍️Maumivu makali ya kiuno.
✍️Maumivu makali ya shingo
✍️kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
✍️Kuhisi ganzi kwenye mapaja na miguuni au kwenye mikono na kuwaka moto.
✍️kuhisi k**a shoti za umeme kwenye paja,nyayo na vidole

K**a Umejaribu Tiba MBALIMBALI Bila Ya Mafanikio .

Tutafute tukushauri nini ufanye ili kumaliza changamoto yako.

Dr.Shafii call 0655343483

Sababu kuu ya osteo Arthritis ni umri mkubwa ambapo mtu akifikisha umri WA miaka 30 na kuendelea virutubisho  k**a vile ...
05/01/2023

Sababu kuu ya osteo Arthritis ni umri mkubwa ambapo mtu akifikisha umri WA miaka 30 na kuendelea virutubisho k**a vile glucoseamine na chondritine vinakua vimepungua mwilini mwake na mwili unakua hauwezi tena kuzalisha virutubisho hivi.

Na virutubisho hivi kazi Yake ni kuimarisha gegedu(cartilage) na kuzalisha uteute( synavial fluid)

✴️Hivyo Ute Ute ukipungua kwenye maungio ndipo husababisha gegedu Kulika na baadae kuathiri mifupa na kuanza kusagana .

SABABU ZINAZOONGEZA KASI YA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS

✔️Uzito uliopindukia
✔️Historia ya familia
✔️Ajali
✔️Kutumikisha viungo kupita kiasi k**a vile wanamichezo,wana mazoezi n.k

Huu ni Miongoni mwa mrejesho kutoka Kwa wagonjwa wetu ambao wametendewa Maajabu kupitia Tiba zetu
02/01/2023

Huu ni Miongoni mwa mrejesho kutoka Kwa wagonjwa wetu ambao wametendewa Maajabu kupitia Tiba zetu

25/12/2022
24/12/2022

Jinsi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Viungo Na Mifupa Bila Ya Kutumia Dawa Za Kemikali Au Kufanyiwa Upasuaji

K**a wewe ni Miongoni mwa unayehangaika kujitibia maumivu ya Viungo na mifupa kwa kipindi kirefu bila ya kuona mafanikio basi nina habari nzuri mno.

Nimekuandalia DARASA BURE kabisa Kupitia WhatsApp yako Lenye kukuonyesha .....

Jinsi ya kutokomeza Maumivu ya Viungo na mifupa bila ya kutumia dawa za Kemikali au kufanyiwa upasuaji

Kujiunga na Darasa Hilo Gusa LINK Hapa Chini

https://bit.ly/3vg018e

Ndani ya darasa hilo tutazungumzia yafuatayo......

1️⃣Maana ya Arthritis na Aina za arthritis(maumivu ya mifupa).

2️⃣sababu zinazopelekea maumivu ya viungo.

3️⃣Jinsi pingili za mgongo zinavyosagika hatua kwa hatua.

4️⃣Dalili za viungo kusagana.

5️⃣Chanzo cha ganzi,miguu kuvimba na kuwaka Moto.

6️⃣Madhara ya kutotibia maumivu ya viungo na mifupa.

7️⃣Changamoto Za kutibu Maumivu Ya mifupa.

8️⃣Madhara ya Dawa Za maumivu(pain killer) .

9️⃣Matibabu Sahihi Ya Maumivu Ya Viungo Kwa njia asilia.

Kujiunga na Darasa Hili Gusa LINK Hapa Chini.

https://bit.ly/3vg018e

Au bonyeza kitufe cha WhatsApp chini ya picha ya tangazo hili.

Wahi kabla group halijajaa kwani nafasi ni chache!.

NB.
K**a sio muhusika tafadhali usitujazie group ili uwape nafasi wahusika tu.

Ni mimi mwenye kujali afya yako....

Dr.Shafii.

Mamia Ya Watu Ambao Wanasumbuliwa Na Maradhi Ya Moyo Ukifuatilia Historia Zao Watakuambia Walikua Wanatumia Dawa Za Kutu...
02/12/2022

Mamia Ya Watu Ambao Wanasumbuliwa Na Maradhi Ya Moyo Ukifuatilia Historia Zao Watakuambia Walikua Wanatumia Dawa Za Kutuliza Maumivu Ya Changamoto Fulani k**a Vile maumivu ya mifupa n.k.

Tumia Dawa Za Asili Ambazo Hazina kemikali sumu Kwa ajili ya kujikinga na madhara makubwa ambayo utayapata hapo baadae.

Kwa Tiba na Ushauri 📞0655343483
Dr.Shafii@Afya Maridhawa

15/11/2022

Kiti Cha Ofisini: Rafiki Au Adui Wa Afya Yako?


Siyo kila kiti kimeundwa kukidhi mahitaji ya ukaaji wa watu tofauti.

Ukikalia kiti kisicho sahihi unajiletea matatizo ya misuli na mgongo.

Kalia kiti kinachoendana na umbile lako na aina ya kazi unayofanya.

"Ninaingia katika ofisi moja kwa ajili ya masuala fulani ya kiutawala kisha nakutana na rafiki yangu wa siku nyingi ambae pia ndiye muhusika katika ofisi hii.

Kwa muda tunasahau hata kuwa kilichonipeleka pale siyo stori za kiuswahiba bali masuala nyeti kabisa ya kiofisi.

Hata hivyo, katika kuongea huku ananiambia “Daktari hivi viti vyetu vitakua na shida kubwa sana maana wengi wanalalamika vinawaumiza mgongo.”

Ikanibidi nitazame kiti anachokalia ambacho kinafanana na viti vyote wanavyotumia wafanyakazi wa ofisini.

Baadhi ya viti hivi havina ubora wa kibaiomekaniki ambao humuwezesha mtu kufanya kazi yake bila maumivu na kuwa hata k**a angezingatia ukaaji mzuri bado kingemletea shida tu.

🤓Basi tuachane na hiyo story ngoja tuangazie kwa undani k**a kiti chako kinaweza kuwa rafiki mwema ama adui wa afya yako.

Twende sasa👇🏼

Siyo kila kiti kimeundwa kukidhi mahitaji ya ukaaji wa watu tofauti.

Kiti bora ni kile ambacho hukidhi mpangilio wa dawati la kazi, ukubwa wa mwili wa mfanyakazi (yaani vipimo vya mwili) na aina za kazi anazofanya katika dawati lake la kazi.

📌 Vitu hivi vyote havina budi kuzingatiwa wakati unachagua kiti cha kutumia.

Mfanyakazi anapaswa kukaa katika kiti ambacho hufanya miguu yake ikae kwa kunyooka kabisa na bila kujikunja sana ama kuning'inia na bila kutengeneza mzio ama mkazo kwenye eneo la mapaja.

Kwanini Kuna Umuhimu Wa Kutumia Kiti Sahihi?

Huenda unaona hakuna umuhimu huo lakini majibu yake yatakushangaza.🤔

Majeraha yanayotokana na ukaaji wa muda mrefu ni mojawapo ya matatizo ya kiafya yaambatanayo na kazi za ofisini.

Kazi hizi za ukaaji muda mrefu hazitumii nguvu nyingi ya misuli.

Lakini haimanishi zinawatenga watu na majeraha yatokanayo na kazi za watu ambao hufanya kazi zinazohusisha utumiaji mkubwa wa misuli au kazi za shuruba.

✳️ Zingatia Haya Unapochagua Kiti Cha Ofisini:👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

1️⃣kiti cha aina moja kinaweza kabisa kisiw

*Zijue Faida Sita Za Kutumia Maji Ya Uvuguvugu Nyakati Za Asubuhi*🖊️Inawezekana unatumia kikombe cha chai au kikombe cha...
04/11/2022

*Zijue Faida Sita Za Kutumia Maji Ya Uvuguvugu Nyakati Za Asubuhi*

🖊️Inawezekana unatumia kikombe cha chai au kikombe cha kahawa kila siku asubuhi, wengi wao hutumia maji ya kawaida ili kuanza siku vizuri.

Hivi vitu vimekuwa ndio tabia ya kila siku , hata hivyo wachunguzi wanasema kunywa maji ya uvuguvugu asubuhi wakati tumbo halina kitu unapata faida za kiafya zaidi.

Madactari wanashauri kutumia maji ya uvuguvugu yaliotiwa limau au ndimu ili kupunguza radical ndani ya mwili.

Kutumia maji ya moto inaongeza na kufungua utumbo ili kukufanya wewe upate haja kubwa kwa urahisi

🍓 Na hapa kuna faida 7 za vitu vinavyotokea katika mwili wako utakapoanza kutumia maji ya moto kila asubuhi.

1. Yanasaidia kuondoa Mikunjo.
Kunywa maji inakusaidia usizeeke mapema,hakuna mtu anaependa kuzeeka mapema.hata hivyo sumu ndani ya mwili inaweza kukufanya uzeeke mapema. Wakati mwili wako unapotoa sumu utapunguza magonjwa na uzee. Maji ya moto usaidia kuondoa sumu na yanasafisha kabisa. Zaidi sana yanasaidia kurejesha cells za ngozi iwe inaonekana kuvutia na nyororo.

2. Huepusha maumivu kipindi cha hedhi.
Dawa ya nguvu ya kutegemea kupunguza maumivu wakati wa hedhi ni maji ya moto, yanafanya misuli ya tumbo irelax na kupungua kwa maumivu. Maji ya moto husaidia mzunguko kapirali na misuli katika mwili pia.

3.Yanasaidia kupunguza uzito.
Inawezekana unajaribu kupunguza uzito na umesikia kuwa maji ya moto asubuhi yanaweza kuwa ni msaada mkubwa kwako. Hii ni kweli., maji ya moto yanaongeza joto la mwili, ambalo linabadilisha ongezeko la kiasi cha metabolic, kuongezeka kwa metabolic mwili unakuwa na uwezo wa kuchoma carories siku nzima.

K**a ukianza na kunywa maji ya moto yenye limau. Utausaidia mwili wako kuvunja vunja mafuta yalioko ndani.

4. Yanaboresha digestion.(mmeng'enyo wa chakula)

Unapokunywa maji ya moto asubuhi unastimulate digestion yako na kuusaidia mwili kuwa na digestion bora. Kunywa maji ya baridi katikati ya kula chakula inaweza kusimamisha digestion yako, na mwili wako ukawa na matatizo, maana maji yabaridi yana gandisha mafuta yalioko kwenye chakula na kufanya digestion iwe ngumu kwako. Ni bora ukatumia maji ya moto kuliko ya baridi.

5. Yanaboresha mzunguko wa damu mwilini.

Kunakuwa na mlimbikizo wa mlolongo wa nervous na mlimbikizo wa mafuta mwilini , lakini unapotumia maji ya moto yanaenda kuondoa hio migandanizo. Hii process inaflash sumu yote ndani ya mwili na kuufanya mzunguko wa damu kuwa mzuri na kufanya misuli kupumzika.

6. Yanakufanya Upate Usingizi Vizuri.
Unapotumia maji ya moto wakati wa chakula cha usiku, na kabla ya kwenda kulala, utaufanya mwili wako kurelax na kulainisha nerves zako. Hii itakufanya ulale vizuri na kuwa na utashi mzuri kwa ajili ya kuamka asubuhi.

Tumeona faida 7 za kushangaza ambazo zinaweza kutokea katika mwili wako utakapoanza kutumia maji ya moto kila asubuhi na jioni . Anza sasa kutumia maji ya moto kila siku ili uone faida nzuri tulizosoma hapo juu kwa ajili ya manufaa yako .

Dr.Shafii@ Afya Maridhawa

Address

Ilala
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 18:00
Sunday 09:00 - 12:00

Telephone

+255655343483

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA Maridhawa. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA Maridhawa.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram