Jali Afya Yako Utimize Ndoto Zako.

Jali Afya Yako Utimize Ndoto Zako. Tunatibu matatizo yote ya uzazi kwa wanaume na wanawake, nguvu za kiume, kukosa hamu ya tendo la ndo

Natumaini upo salama ndugu.ELIMU HII YA LEO ITAKUSAIDIA WEWE NA FAMILIA YAKO YOTE, Soma hadi mwisho kwa utulivu.Ubongo n...
07/09/2022

Natumaini upo salama ndugu.

ELIMU HII YA LEO ITAKUSAIDIA WEWE NA FAMILIA YAKO YOTE, Soma hadi mwisho kwa utulivu.

Ubongo ni muhimu sana kwa mwili na maisha ya binadamu. Ubongo ndio unahakikisha viungo muhimu vya mwili k**a vile moyo na mapafu vinafanya kazi ipasavyo.

Ubongo ni muhimu sana kwa afya ya mwanadamu na hivyo ni muhimu kuhakikisha kiungo hicho cha mwili kinapata virutubisho vifaavyo. Wengi wanahusisha ubongo na werevu wa mtu, lakini ubongo unafanya kazi kuhakikisha kuwa mwili wa mtu unaendesha shughuli zake ipasavyo.

Ubongo huongoza kufanya kazi na kusonga kwa viungo vya mwili, mawazo, kumbukumbu za akilini na kuhakikisha viungo vya mwili vinafanya kazi ipasavyo kwa uwiano na ushirikiano unaostahili. Ndio maana sasa hivi matatizo ya kupooza mwili(stroke) ni makubwa sana kwenye jamii, ukichunguza kila familia utagundua ina mtu mwenye tatizo la stroke, kutokana na kukosekana kwa afya ya Ubongo. Pia matatizo ya kuwahi haraka kufika kileleni kwenye tendo kwa asilimia kubwa inakua ni tatizo la ubongo kushindwa ku-connect vizuri na mfumo wa uzazi.

Leo ninakupatia Elimu sahihi juu ya chakula muhimu kinachoimarisha Afya ya ubongo, na chakula hicho ni SAMAKI.

Samaki k**a vile salmon, trout na sardines Wana virutubisho vya asili ya mafuta vya omega-3. Karibu 60% ya ubongo wa binadamu ni mafuta; na nusu ya mafuta hayo ni aina ya omega-3.Ubongo wa binadamu hutumia omega-3 kutengeneza seli mpya za neva. Mafuta hayo ni muhimu kwa kumwezesha mtu kujifunza kitu na kukumbuka.

Afya jamii tunawasaidia watu kuboresha Afya ya ubongo kwa kutumia kirutubisho kilichotengenezwa kwa Mafuta ya Samaki aina ya Salmon , wanaopatikana kwenye kina kirefu cha bahari ya Arctic. Product hii inaitwa ARCTIC SEA, bei yake ni Shilingi Tisini elfu tu.Utakua umejiokoa na tatizo la stroke, pia kwa wanaume utakua umejiepusha na tatizo la kuwahi kufika kileleni.

Ulingependa kupata lini product hii ya mafuta ya Samaki , kwa ajili ya kujiboresha afya ya ubongo?
0742511713

BEDROOM PACKAGE hii itakupa faida nyingi zifuatazo 1.kurudisha NGUVU ZA KIUME ZILIZO POTEA  kwa sababu ya mlo mmbovu , k...
30/08/2022

BEDROOM PACKAGE hii itakupa faida nyingi zifuatazo

1.kurudisha NGUVU ZA KIUME ZILIZO POTEA kwa sababu ya mlo mmbovu , kwa kufanya punyeto kwa mdaa mrefu bila kujua madhara yake package hii itakusaidia kuboresha nguvu zako za asili

2.Inaboresha mzunguko wa damu mwilini tunatambua kua mwanaume uwezi kusimamisha kabsa /kusimamisha kwa muda mrefu k**a damu haitoingia yakutosha kwenye maumbile yako hivyo inaboresha mzunguko wa damu mwilini mpaka kwenye ncha ya uume hivyo uume wako utakua IMARA muda mrefu

3.Itakusaidia kuweka sawa homoni ya kiume ( Testosterone) homon hii isipo balance ndio unakuta mwanaume anakosa hamu ya tendo la ndoa ,hivyo itakuongezea hamu ya tendo la ndoa mara dufu .

4.Itakupa STAMINA YA KUENDELEA NA TENDO LA NDOA TENA BAADA YA KUMWAGA kuna wanaume wanashindwa kuendelea na tendo la ndoa pale tu wanapofika mshindo wa kwanza package itakusaidia kurudia tendo utakavyo utafurahia na itakupa heshima

5.Itakuongezea IDADI na KUBORESHA MBEGU kuna wanaume wanatoa mbegu nyepesi sana na hazina ubora na kuna wengine wanashindwa kabisa kumpatia mwanamke ujauzito kwa sababu tu ya mbegu zake kukosa ubora au kuwa chache hivyo hii itakusaidia kuboresha mbegu zako na utatoa mbegu za kutosha na zenye afya njema.

6.Itakusaidia misuli ya uume na kuweza kusimamisha uume kwa UIMARA na USIWE LEGELEGE kuna wanaume wanashindwa kuendelea na tendo la ndoa kwa sababu ya uume kusinyaa ndani ya uke au akishafika tu kileleni hivyo hii BEDROOM PACKAGE itakusaidia uume usimame IMARA na USIWE LEGELEGE. Hivyo utafurahi tendo muda mrefu zaidi bila kuchoka haraka.

7. Itakusaidia kutokuwai KUFIKA KILELENI mapema kuna wanaume wanawai sana kufika kileleni wengine wanashindwa kudumu hata dakika 5 hivyo hii package itakusaidia kuboresha mfumo wa fahamu na mishipa midogo midogo iliopo kwenye ilioathirika kwa punyeto kurudi kwenye hile hali yake ya kawaida k**a mwanaume RIJALI na utakua na uwezo wa kudumu kwenye tendo kwa muda mrefu bila kuwai kifika kileleni mapema. 0742511713

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.👉Uume kusimama...
22/08/2022

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0742511713 au piga simu usaidiwe mapema

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. 1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke...
21/08/2022

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kuhisi harufu mbaya, kichefuchefu mara tu baada ya Kimwaga mbegu za Kiume.

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito.

4)Kuhisi maumivu kwenye korodani baada ya kumaliza tendo la ndoa.

5)Mwili kukinai na kuhisi ganzi mwili nzima.

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

Jaribu kuangalia performance yako ya tendo kwa miaka mitatu iliyopita.Alafu lingalisha na performance yako ya sasa, utagundua tofauti kubwa.

Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0742511713 au piga simu usaidiwe haraka

MADHARA YA KUWA NA KITAMBI NA UZITO MKUBWA!!Ukiwa na uzito mkubwa na kitambi itasababisha madhara yafuatayo;1.Kwa wanaum...
20/08/2022

MADHARA YA KUWA NA KITAMBI NA UZITO MKUBWA!!

Ukiwa na uzito mkubwa na kitambi itasababisha madhara yafuatayo;
1.Kwa wanaume upungufu wa nguvu za kiume, asilimia kubwa uume husinyaa unarudi ndani unakua mdogo.
2.kwa wanawake matatzo ya Mfumo wa uzazi hormones zinavurugika.
3. uwezo wako wa kufikiria hupungua. IQ yako itakuwa miaka 10 nyuma kwa kufikiri.
4. Tatizo ya fibroids kwa wanawake
5. Tatizo la hormonal imbalance kwa wanaume na wanawake
6. Magonjwa sugu k**a vile kisukari, shinikizo la damu, matatizo ya figo, ugonjwa wa moyo, matatizo ya tezi dume.
7.Ugumba kwa wanawake na mwanaume
8. Muonekano mbaya ,kila nguo unayoivaa haikupendezi hadi inakua kero.
9. Kushindwa kupona baadhi ya maradhi hata utibiwe vipi huponi na ikitokea umepona tatizo hujiludia.

Kumbuka umepambana Sana kuijenga future yako. Lakini unapokua na kitambi au uzito mkubwa hautoifurahia hiyo future. Utaanza kuhudhulia Clinic za gharama kubwa kwa ajili ya matatizo ya Presha, kisukari, stroke na upungufu wa nguvu za kiume. Kwa Nini usubirie matatizo yote hayo yakufike wakati suluhisho salama lipo?

Tuma ujumbe neno JALI AFYA YAKO kwenda WhatsApp number 0742511713 au Piga Simu usaidiwe Mapema.

Naitwa Dr kalinda,Karibu kwa ushauli na Tiba kuusu magonjwa ya uzazi kwa wanaume na wanawake, na udhaifu wa mwili kiujum...
18/08/2022

Naitwa Dr kalinda,
Karibu kwa ushauli na Tiba kuusu magonjwa ya uzazi kwa wanaume na wanawake, na udhaifu wa mwili kiujumla na utoaji sumu mwilini kupitia vilutubisho maalumu visivyo na kemikari.
-Kuwah kufika kileleni kwa wanaume,
-Kushindwa kuludia tendo,
-kukosa hamu yatendo kwa wote,
-kushindwa kubeba au kutungisha mimba,
- matatizo katika njia ya uzaz kwa wanawake(PID),
-Mvulugiko wa Hedhi. Nk. .

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jali Afya Yako Utimize Ndoto Zako. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jali Afya Yako Utimize Ndoto Zako.:

Share