
30/08/2025
Siku ya 14 β Faida za Nafaka Kamili (Whole Grains):
πΎ SIKU YA 14 β FAIDA ZA NAFAKA KAMILI (WHOLE GRAINS)
Nafaka kamili ni zile ambazo hazijakobolewa, zinabaki na sehemu zote muhimu: ganda, kiini na endosperm. Mfano wa nafaka hizi ni mtama, uwele, ulezi, brown rice, oats na shayiri.
Faida kuu za nafaka kamili kwa afya:
β
Zinatoa nishati ya kudumu mwilini
β
Zina fiber nyingi β husaidia mmengβenyo wa chakula na kuzuia kujaa gesi
β
Husaidia kupunguza uzito kwa kushiba haraka
β
Hudhibiti kiwango cha sukari na mafuta kwenye damu
β
Zinaboresha afya ya moyo na mishipa
β
Hupunguza hatari ya saratani ya utumbo mpana
Virutubisho vilivyopo kwenye nafaka kamili:
πΏ Vitamin B (B1, B3, B6)
πΏ Iron, magnesium, zinc
πΏ Selenium na antioxidants
πΏ Fiber ya kutosha kwa afya ya utumbo
Vidokezo vya matumizi bora:
β Kula angalau mlo 1β2 kwa siku wenye nafaka kamili
β Tumia uji wa nafaka asilia badala ya unga mweupe
β Epuka mikate au wali wa mchele mweupe β tumia brown rice au uwele
β Pika bila mafuta mengi au chumvi kupita kiasi
π²
π 0759 855 687
Follow