Naimulika Afya

Naimulika Afya Aina ya Vitu Unavyo kula mara kwa mara + Mtindo wako wa Maisha Ndio Matokeo ya Afya yako Leo /Kesho.

๐—ฉ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—ฟ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒHomoni ni nini? ni kemikali zinazo zalishwa mwilini ili husafirisha i...
30/12/2025

๐—ฉ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—ฟ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ

Homoni ni nini? ni kemikali zinazo zalishwa mwilini ili husafirisha ishara za taarifa kupitia damu ili kudhibiti na kuratibu kazi mbalimbali za mwili.

kimsingi homoni hubeba maagizo kwa sehemu tofauti za mwili kuwaambia mwili nini cha kufanya na wakati gani wa kufanya.

Linapo tokea tatizo la hormones kutowiana ndipo linapo kuja tatizo la kuvurugika kwa hormone (Hormones imbalance) kwa wanawake kuna visababishi mbali mbali vya tatizo hili kwao ikiwemo

โœ๏ธUnywaji & ulaji wa mara kwa mara wa vyakula vya viwandani.
โœ๏ธKupendelea sana kula vyakula vya kukaangiza.
โœ๏ธMatumizi ya dawa za kuzuia mimba P2 na (dawa za mpango).
โœ๏ธUgonjwa wa tezi.
โœ๏ธKukaa mazingila yenye sumu/chemicali mdamlefu
โœ๏ธLishe duni
โœ๏ธMatumiz ya pombe
โœ๏ธUvutaji sigara au uvutaji wa moshi wa sigara kutoka kwa mvuta sigara
โœ๏ธMatumizi ya mara kwa mara ya madawa (antibiotics & antpain) n.k

๐—”๐˜๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—ฟ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ
โœ…Kukosa hamu ya tendo
โœ…Kuwa mkavu ukeni
โœ…Hedhi ya mdamrefu/hedhi nying sana/kiduchu/mabonge/hedhi ya matope
โœ…Ukomo wa hedhi kabla ya wakati.
โœ…kushindwa kushika mimba/kuharibika.
โœ…Kuwashwa/kutoka mapele usoni/kuharibika kwa ngozi.
โœ…Maumivu makali ya kichwa/kipanda uso/kukosa usingizi
โœ…Uchovu wa mdamlefu/kupungua au kukosa ukamini
โœ…Kuongezeka uzito kupitiliza
โœ…Mwanamke kuota nywele za kidevuni/kifuani

Jiepusha na tatizo hili kwa kuepuka visababishi ikiwa tayali unalo tatizo hili wasilina nasi 0718 750 220 Naimulika Afya tunakupenda sana๐Ÿซถ Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nawe๐Ÿ™

๐™ƒ๐™„๐™„ ๐™‰๐™„ ๐™‹๐˜ผ๐˜พ๐™†๐˜ผ๐™‚๐™€ ๐™”๐˜ผ ๐™†๐™๐™๐™„๐˜ฝ๐™ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„ ๐™†๐™’๐˜ผ ๐™ˆ๐™’๐™€๐™‰๐™”๐™€๐™’๐™€ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„Inatibu na kunaondoa madhara yote ya tokanayo na kisukari k**a vi...
24/12/2025

๐™ƒ๐™„๐™„ ๐™‰๐™„ ๐™‹๐˜ผ๐˜พ๐™†๐˜ผ๐™‚๐™€ ๐™”๐˜ผ ๐™†๐™๐™๐™„๐˜ฝ๐™ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„ ๐™†๐™’๐˜ผ ๐™ˆ๐™’๐™€๐™‰๐™”๐™€๐™’๐™€ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„

Inatibu na kunaondoa madhara yote ya tokanayo na kisukari k**a vile

โœ…Upungufu wa nguvu za kiume
โœ…Ganzi miguuni, mikonani na sehem zingine
โœ…Matatizo ya macho kushindwa kuona vzuli
โœ…Figo kufeli
โœ…Matatizo ya nerva kushindwa kufanya mawasiliano na sehem zingine za mwili
โœ…Matatizo ya ngozi
โœ…Kuchoka choka
โœ…Matatizo Mmeng'enyo
โœ…Kuvurugika kwa hormones n.k

Faida zingine
โœ๏ธHusaidia kupunguza sukari ilio zidi mwilini
โœ๏ธHuondoa sumu mwilini
โœ๏ธHuongeza ufanisi wa hormones na kongosho kufanya kazi yake vizuli
โœ๏ธHutibu Tezi dume
โœ๏ธHuondoa vimbe mbali mbali mwilini
โœ๏ธHusaidia kupunguza uzito
โœ๏ธHusaidia kuondoa mikunjo ya ngozi n.k

0718 750 220
Afya-Coffee.

HABARI KUBWA YA LEO NI KUHUSU C24/7C24/7 ni nini? hii ni tibalishe/kirutubisho lishe kipya - chenye uundwaji wa kipekee ...
22/12/2025

HABARI KUBWA YA LEO NI KUHUSU C24/7

C24/7 ni nini? hii ni tibalishe/kirutubisho lishe kipya - chenye uundwaji wa kipekee ulio bora zaidi kuliko bidhaa zingine za asili sokoni za virutubisho lishe/tibalishe. NATURE's WAY imetumia michakato yake ya utengenezaji inayoruhusu viungo vyote kutoa kiwango cha juu cha antioxidants na phytonutrients.

C24/7 ina kiwango cha juu zaidi cha antioxidants na takriban 22,000 Phytonutrients katika Kila kidoge kimoja.

FAIDA UNAZO PATA UKITUMIA C24/7

โœ…Huchangia kuishi mdamlefu.
โœ…Husaidia kuondoa mafuta mabaya mwilini (bad cholesterol.
โœ…Hukukinga na magonjwa ya moyo na Athari zake.
โœ…Inasaidia kuzuia saratani ya asili yoyote.
โœ…Hudhibiti shinikizo la juu la damu.
โœ…Hudhibiti sukari ya damu

โœ…Huimarisha na kuwekwa usawa wa metabolism.
โœ…Huongeza uzalishwaji wa glutathione ya asili mwilini.
โœ…Hurudisha muonekano asili wa ngozi.
โœ…Huzalisha seli mpya za ini.
โœ…Hupromote mzunguko mzuli wa damu wenye afya.
โœ…Huondoa sumu mwilini. โœ…Huondoa uchovu, Msongo wa mawazo na wasiwasi.
โœ…Huongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa

INAMUNGANIKO WA VIRUTUBISHO MUHUMIM VYA KILA SIKU

29Vitamins/Minerals/Trace minerals.
18Amino Acids.
14Vyakula vya kujani/juice ya spirulina.
12Juice za matunda tofauti yalio sagwa pamoja.
12Juice za mboga mboga zilizo sagwa pamoja.
12Aina za uyoga
12Aina vimeng'enya chakula
12Mimea & irutubisho Maalum
10Essential fatty acids
5Kuzuia uzee/Kiboreshaji cha Antioxidant
4longevity polyphenols/mega Resveratrol blend

C24/7 imetengenezwa na kampuni ya NATURE's WAY kampuni Bora iliobobea kwa utengenezaji wa Bidhaa za asili za mitishamba kutokea marekan.

C24/7
C INAWAKILISHA

โœ๏ธCellular protection (kulinda seli)
โœ๏ธCellular immunity (kinga seli)
โœ๏ธCellular Energizer (Huzipa seli nishati/nguvu)
โœ๏ธcellular Enhancement (Huimarisha seli)
โœ๏ธCellular longevity (Huzinya seli kuishi mdamlefu)
โœ๏ธCellular Nourishment (lishe ya seli)
โœ๏ธCardio protection (ulizi wa moyo)
โœ๏ธCancer protection (kinga ya saratani)

Utumiapo C24/7 unaupatia mwilini wako virutubisho lishe vyote muhim ndani ya masaa 24 kwa siku saba ya week. C24/7 ni kinga na tiba ya magonjwa 100 kuipata C24/7 wasilina nasi
0718 750 220
Bei yake ni kwanzia Tsh 30,000 - 85,000

22/12/2025

๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ž๐—” ๐—ง๐—”๐—•๐—œ๐—” ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ญ๐—˜ ๐—ž๐—จ๐—œ๐— ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—ข ๐—ก๐—” ๐—จ๐— ๐—”๐—›๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ช๐—”๐—ž๐—ข ๐—จ๐—ž๐—œ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—ช๐—˜๐—ก๐—ญ๐—” ๐—ช๐—”๐—ž๐—ข

1โ€ขEpuka kuvuta sigara/kuvuta moshi wa mvuta sigara.

2โ€ขEpuka kunywa pombe kupita kiasi ikiwezekana acha kabisa.

3โ€ขEpuka/punguza kula vyakula vyenye mafuta mengi/kukaanga na vyenye sukari nyingi.

4โ€ขEpuka tabia ya kukaa na stress mdamlefu sana (wakati mwingine jifunze kuachia mambo au tafuta wa kushare nae)

5โ€ขKukosa mda wa kutosha kupumzika.

6โ€ขAcha tabia ya kupotezea/ Kuchukulia poa dalili zisizo za kawaida kiafya zinazo jionesha.

7โ€ขAcha kujichua na epuka vishawishi vya kujichua mfano (kuangalia kuhifadhi video na picha za mgono)

Neema na Baraka njema ziendele kuwa nawe ๐Ÿ™๐Ÿพ Naimulika Afya tunakupenda๐Ÿซถ๐Ÿฝ
0718 750 220

๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚, ๐—ต๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ถโœ๏ธNdiziโœ๏ธAvocadoโœ๏ธkarangaโœ๏ธS...
15/12/2025

๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚, ๐—ต๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ถ

โœ๏ธNdizi
โœ๏ธAvocado
โœ๏ธkaranga
โœ๏ธSamaki wenye omega 3
โœ๏ธKitungu saumu
โœ๏ธMboga za majani
โœ๏ธTikiti
โœ๏ธKomamanga
โœ๏ธMbegu za maboga
โœ๏ธugali wa dona/wali wa mchele wa brown

Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nawe๐Ÿ™
Afya tunakupenda sana kula vizuli ili we vizuli na unaweza kuwasiliana nasi 0718 750 220
Afya-Coffee.

CPE & C24/7 Kwa wanawake 0718 750 220 Wanaume  njooni hapa ๐Ÿ‘‰Afya-Coffee.
13/12/2025

CPE & C24/7 Kwa wanawake
0718 750 220
Wanaume njooni hapa ๐Ÿ‘‰Afya-Coffee.

MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA ZIJUE SABABUZipo sababu nyingi zinazo weza kusababisha mwanamke ashindwe kushika ujauzi...
11/12/2025

MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA ZIJUE SABABU

Zipo sababu nyingi zinazo weza kusababisha mwanamke ashindwe kushika ujauzito.

1โ€ขTatizo la kuvurugika kwa homoni. (Hormonal Imbalance).

2โ€ขTatizo la mayai kuto kupevuka.

3โ€ขTatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi.

4โ€ขTatizo kwenye pengu za mwaume kushindwa kutungisha mimba.

5โ€ขKuwa na historia ya kuwawahi kutumia dawa za uzazi wa mpango(sindano/kijiti/ vidonge/kipandikizi).

6โ€ขKuwa na historia ya kuwahi au kutumi dawa za kuzuia mimba P2.

7โ€ขTatizo la mirija ya uzazi kujaa maji.

8โ€ขTatizo la uvimbe katika mji wa mimba (Fibroids)

9โ€ขKuwa na uvimbe kwenye mirija au mfuko wa mayai (ovarian cyst)

10โ€ขKusa na maambukizi ya bacteria kwenye via vya uzazi ambapo husababisha Uti, fungus, Pid na maambukizi mengine.

11โ€ขKuwa na majeraha kwenye kizazi kutokana na utoaji wa mimba au kusafishwa kizazi.

12โ€ขKuwa na uzito mkubwa kupita kiasi (over-weight).

Ili Kupata huduma zetu wasiliana nasi
0718 750 220 what's app au kawaida.

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜C24/7 & CPE hizi ni tibalishe zenye uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa na matatizo mengi...
11/12/2025

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜

C24/7 & CPE hizi ni tibalishe zenye uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa na matatizo mengi ya kiafya kwa wakina mama hutibu na kuondoa kero za magonjwa mbali mbali ikiwemo.

1โ€ขHutibu tatizo la kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu na usio na harufu, mzito na mwepesi na husaidia kupata ute mweupe wa uzazi.

2โ€ขHuondoa tatizo la ukavu ukeni linalo sababisha kupata maumivu makali wakati wa kukutana kimwili.

3โ€ขHutibu matatizo yote ya hedhi (kuvurugika kwa hedhi, kukoma kwa hedhi, kupata hedhi mdamlefu mabonge/matope au vitone nk.

4โ€ขHutibu maambukizi ya magonjwa sugu ya via vya uzazi (PID, UTI & FUNGUS).

5โ€ขHuzuia tatizo la kuharibika kwa mimba mara kwa mara.

6โ€ขHutibu tatizo kushindwa kushika mimba.

7โ€ขHutibu na kuondoa uvimbe kwenye kizazi (fibroids) bila upasuaji.

8โ€ขHuondoa tatizo la mvurugiko wa hormones (Hormones imbalance).

9โ€ขHutibu tatizo kujaa maji kwenye mifuko ya mayai (ovarian cyst).

10โ€ขHusaidia kupevusha mayai.

11โ€ขHuzibua milija ya uzazi na kuondoa tatizo la milija kujaa maji.

12โ€ขHuondoa madhara yatokanayo na utumiaji wa dawa za uzazi wa mpango zinazo changia kuvuruga homoni na kushindwa kushika mimba.

13โ€ขHuondoa sumu mwilini.

14โ€ขHutibu cancer ya mlango wa kizazi na aina zingine.

15โ€ขHusaidia sana kuongeza damu mwilini. Nizuli sana kwa mjamzito kutumia wakati wa ujauzito(CPE).

16โ€ขHuongeza hamu ya kushiriki tendo.

Tiba lishe hizi zinatibu na kuzuia magonjwa mengine pia ili Kufaham zaidi piga namba hizi โ˜Ž๏ธ0718 750 220

๐˜ฟ๐™Š๐™Ž๐™€ ๐™‚๐™ƒ๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™ˆ๐˜ผ ๐™”๐˜ผ๐™†๐™€.
165,000 or ยฝD 85,000

๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐—œ๐—ฝ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜. ๐Ÿ‘‡

Siku ya leo Naimulika Afya  tunapenda kushare nanyi Baadhi ya shuhuda za wanufaika wa huduma za huduma zetu. ikiwa nawe ...
08/12/2025

Siku ya leo Naimulika Afya tunapenda kushare nanyi Baadhi ya shuhuda za wanufaika wa huduma za huduma zetu. ikiwa nawe ni miongoni mwa wanao itaji huduma zetu wasiliana nasi โ˜Ž๏ธ 0718 750 220

๐Ÿ†Mafanikio yako ni mafanikio yatu sote kwa pamoja tunaweza ๐Ÿ’ช

Hivi unajua kutumia Dawa za kuzuia mimba aina ya vidonge vya majira, sindano kitanzi, p2 na vijiti  huweza kusababisha k...
04/12/2025

Hivi unajua kutumia Dawa za kuzuia mimba aina ya vidonge vya majira, sindano kitanzi, p2 na vijiti huweza kusababisha kushindwa kushika mimba kabisa Baadae pale utakapo itaji mtoto?

Au unaweza bahatika ukashika mimba kisha ikaharibika Baadae?

Wajua kuwa unaweza kupata kansa ya kizazi au kansa ya uke? n.k

Je wajua kuwa unaweza poteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa na mwezi wako?

Je wajua unaweza pata changamoto ya ukavu ukeni na ikawa unapata maumivu makali sana pale mwenzi wako anapo kuingia?

Je wajua unaweza pata matatizo ya hedhi?
Yaani Kuvurugika kwa mpangilio au kupata hedhi ya mdamlefu, au kiduchu au nyingi sana au kupata mabonge mabonge au kukosa hedhi kabisaaaaaaaaa?

Hivi unajua madhara ya dawa za kuzuia mimba yana madhara meeeeeeengi na faida Moja tu๐Ÿค”?

Sasa ushajua athari zake epukana nazo kabisaaaaa

Ikiwa ushakuwa miongi mwa waathirika.

Ikiwa Umeisha wahi tumia Dawa hizi hata kwa siku moja tu. jiandae kwa madhara nilio yataja๐Ÿ‘†.

Ipo njia ya kuondokana na madhara ya hayo ๐Ÿ‘†piga namba 0718 750 220

Kwa wanaume tu ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Afya-Coffee.

C24/7 & CPE KWA AFYA YA MWANAMKE.Hizi ni tibalishe zenye uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa mbali mbali....
04/12/2025

C24/7 & CPE KWA AFYA YA MWANAMKE.

Hizi ni tibalishe zenye uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa mbali mbali. kwa wakina mama Tibalishe hizi hutibu na kuondoa kero za magonjwa mbali mbali, ntagusia chache.

๐Ÿ‘‰Hutibu tatizo la kutokwa na harufu mbaya/kali ukeni.

๐Ÿ‘‰Hutibu tatizo la kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu na usio na harufu, mzito na mwepesi na husaidia kupata ute mweupe wa uzazi.

๐Ÿ‘‰Huondoa tatizo la ukavu ukeni. linalo sababisha kupata maumivu makali wakati wa kushiriki tendo.

๐Ÿ‘‰Hutibu matatizo yote ya hedhi (kuvurugika kwa hedhi, kukoma kwa hedhi, kupata hedhi mdamlefu mabonge au vitone nk.

๐Ÿ‘‰Hutibu maambukizi ya magonjwa sugu ya via vya uzazi (pid ,u t i,fungus).

๐Ÿ‘‰Huzuia tatizo la kuharibika kwa mimba mara kwa mara.

๐Ÿ‘‰Hutibu tatizo kushindwa kushika mimba.

๐Ÿ‘‰Hutibu na kuondoa uvimbe kwenye kizazi (fibroids) bila upasuaji.

๐Ÿ‘‰Hutibu tatizo la mvurugiko wa hormones(Hormones imbalance).

๐Ÿ‘‰Hutibu tatizo kujaa maji kwenye mifuko ya mayai (ovarian cyst).

๐Ÿ‘‰Husaidia kupevusha mayai.

๐Ÿ‘‰Huzibua milija ya uzazi na kuondoa tatizo la milija kujaa maji.

๐Ÿ‘‰Huondoa madhara yatokanayo na utumiaji wa dawa za uzazi wa mpango.

๐Ÿ‘‰Huondoa sumu mwilini.

๐Ÿ‘‰Hutibu cancer ya mlango wa kizazi na aina zingine.

๐Ÿ‘‰Husaidia sana kuongeza kwa damu mwilini (nzuli pia kwa mjamzito kutumia wakati wa ujauzito).

๐Ÿ‘‰Na huongeza hamu ya tendo la ndoa.

Tiba lishe hizi zinatibu na kuzuia magonjwa mengine, na ili Kufaham zaidi piga namba ๐Ÿ‘‡
0718 750 220

๐˜ฟ๐™Š๐™Ž๐™€ ๐™‚๐™ƒ๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™ˆ๐˜ผ ๐™”๐˜ผ๐™†๐™€.
165,000 or ยฝD 85,000

1โ€ข๐—ญ๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ฝ๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐— ๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐— ๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐Ÿ‘‡
https://wa.me/c/255718750220

2โ€ข๐™ƒ๐™–๐™ฅ๐™– ๐™†๐™ช๐™ฃ๐™– ๐™Ž๐™๐™ช๐™๐™ช๐™™๐™– ๐™ฎ๐™– ๐˜ผ๐™ก๐™ž๐™š๐™ฅ๐™ค๐™ฃ๐™– ๐™๐™ซ๐™ž๐™ข๐™—๐™š ๐™ ๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™–๐™ฏ๐™ž ๐™๐™ž๐™—๐™ง๐™ค๐™ž๐™™๐™จ ๐™—๐™ž๐™ก๐™– ๐™๐™ฅ๐™–๐™จ๐™ช๐™–๐™Ÿ๐™ž๐Ÿ‘‡

https://www.facebook.com/share/v/Y5ebAGPRx1U5oWi4/?mibextid=oFDknk

3โ€ข๐™Ž๐™๐™ช๐™๐™ช๐™™๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™ซ๐™ž๐™™๐™š๐™ค ๐™ฎ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฅ๐™–๐™ฉ๐™– ๐™ˆ๐™ฉ๐™ค๐™ฉ๐™ค ๐Ÿ‘‡

https://www.facebook.com/share/v/XbjYYa6GXE9PZzyC/?mibextid=oFDk

Kwa wanaume tu ๐Ÿ‘‰ Afya-Coffee.

๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐Ÿฏ ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜๐—ก ๐—–๐—ข๐—™๐—™๐—˜๐—˜ โ˜•1โ€ขKwa matumiz ya Tiba. 2โ€ขUnaweza itumia kujikinga na magonjwa na changamoto mbali mbali. ...
12/11/2025

๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐Ÿฏ ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜๐—ก ๐—–๐—ข๐—™๐—™๐—˜๐—˜ โ˜•

1โ€ขKwa matumiz ya Tiba.

2โ€ขUnaweza itumia kujikinga na magonjwa na changamoto mbali mbali.

3โ€ขUnaweza tumia kwa kupata burudani Kutokana na Radha yake na harufu yake nzuli na faida za kiafya zitokanazo na liven coffee.

Kumbuka kuwa liven coffee ni tibalishe pia inayo upatia mwili wako virutubisho na madini mbali mbali ili kuweka sawa mfumo wako wa mwili.

Kwa Tsh 45,000 - 60,000
0718 750 220
Afya-Coffee.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 21:00
Tuesday 09:00 - 21:00
Wednesday 09:00 - 21:00
Thursday 09:00 - 21:00
Friday 09:00 - 21:00
Saturday 09:00 - 21:00

Telephone

+255718750220

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Naimulika Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram