Naimulika Afya

Naimulika Afya Aina ya Vitu Unavyo kula mara kwa mara + Mtindo wako wa Maisha Ndio Matokeo ya Afya yako Leo /Kesho.

31/03/2026

Amini nakuambia Baraka zako ziko njiani
Jiandae kuzipokea.

Mafanikio yako furaha yetu sote๐ŸŽ‰Ijumaa ya week hii nimepokea habari nzuli sanaKupitia mazungumo ya chati nashare nanyi u...
08/03/2026

Mafanikio yako furaha yetu sote๐ŸŽ‰Ijumaa ya week hii nimepokea habari nzuli sana

Kupitia mazungumo ya chati nashare nanyi ushuhuda wa Glory All the way from mwanza
kwakufanikiwa kushika ujauzito.

Glory alinitafuta kuitaji huduma zetu baada ya kupata ushuhuda kutoka kwa nduguye ambae nae pia alifanikiwa kushika ujauzito kupitia huduma zetu. wapendwa ukiwa na kitu kizuli unakijua wambie wenzio๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ‘‚.

Nawatakia mafanikio mema nyote mnao endelea na program yetu na wote mnao tarajia kushika ujauzito kupata mtoto/watoto.

Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nanyi nyote

Afya ipo kwa ajili yako kukukinga na kuondoa kero zote za changamoto na magonjwa yanayo kunyima aman tuna (Tibu & Tuna kinga)

Wasiliana nasi 0718 750 220 au share habari zetu na yoyote unae his anauwitaji.

Chanzo kinacho ongoza tatizo la wanawake wengi kushindwa kushika mimba ni tatizo la Kuvurugika kwa homoni. kuna sababu k...
05/03/2026

Chanzo kinacho ongoza tatizo la wanawake wengi kushindwa kushika mimba ni tatizo la Kuvurugika kwa homoni. kuna sababu kuu 3 zinazo ongoza kusababisha homoni Kuvurugika

1โ€ขHistoria ya matumizi ya dawa za uzazi wa mpango na P2.

2โ€ขUlaji na unywaji wa mara kwa mara wa kileo. kula na kunywa vyakula vyenye wingi wa viburudisho na sio virutubisho, kiuhalisia wanawake huongoza kula mapocho pocho sababu inayo wapelekea homoni zao kuvurugika na wengine maumbo kuaribika pia. hutokana na ulaji na unywaji wa mara kwa mara wa vyakula vyenye sukari nyingi na mafuta mengi. hata kwenye ugali wanawake wengi hupendelea kula ugali wa sembe yaani urio kobolewa na sio dona ambao haujakobolewa.

3โ€ขStress na Kutofanya mazoezi. hutokana na tabia ya wengi kupenda kudeka hata sehem ya kutembea yeye atataka atumie usafiri Boda, Bajaji au gari + kulala mara kwa mara na kutojishugulisha vya kutosha.

โœ๐ŸพZipo sababu zingine zinazo changia Kuvurugika kwa homoni.
๐Ÿ‘‰Madhara ya Kuvurugika kwa homoni unayajua?
๐ŸŽฏSuluhisho la tatizo hili hutegemeana na chanzo cha tatizo ili kupata msaada wasiliana nasi ๐Ÿ‘‰ what's app na kawaida 0718 750 220
๐ŸŽ‰Angalia kwenye comment shuhuda za wanufaika wa huduma zetu.

Mwaka huu utapata mtoto
03/03/2026

Mwaka huu utapata mtoto

Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nawe ๐Ÿ™๐Ÿพ
23/02/2026

Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nawe ๐Ÿ™๐Ÿพ

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜Complete ni tibalishe yenye kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa ya uzazi kwa kina mama hutibu na k...
13/02/2026

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜

Complete ni tibalishe yenye kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa ya uzazi kwa kina mama hutibu na kuondoa kero za magonjwa mbali mbali ikiwemo.

1โ€ขTatizo la kutokwa na uchafu ukeni usio wa kawaida. ๐Ÿ‘‰wenye harufu na usio na harufu, mzito na mwepesi na husaidia kupata ute mweupe wa uzazi.

2โ€ขHuondoa tatizo la ukavu kwa bibi.

3โ€ขHutibu matatizo yote ya hedhi (kuvurugika kwa hedhi, kukoma kwa hedhi, kupata hedhi ya mdamlefu, mabonge/matope au vitone n.k

4โ€ขHutibu maambukizi ya magonjwa sugu ya via vya uzazi (PID, UTI & FUNGUS).

5โ€ขHuzuia tatizo la kuharibika kwa mimba.

6โ€ขHutibu tatizo la kushindwa kushika mimba.

7โ€ขHutibu na kuondoa uvimbe kwenye kizazi (fibroids) bila upasuaji.

8โ€ขHuondoa tatizo la mvurugiko wa hormones (Hormones imbalance).

9โ€ขHutibu tatizo kujaa maji kwenye mifuko ya mayai (ovarian cyst).

10โ€ขHusaidia kupevusha mayai na kuweza kushika mimba.

11โ€ขHuzibua milija ya uzazi na kuondoa tatizo la milija kujaa maji.

12โ€ขHuondoa madhara yatokanayo na utumiaji wa dawa za uzazi wa mpango zinazo changia kuvuruga homoni na kushindwa kushika mimba.

13โ€ขHuondoa sumu mwilini.

14โ€ขHutibu cancer ya mlango wa kizazi na aina zingine.

15โ€ขHusaidia sana kuongeza damu mwilini.
anaweza tumia mjamzito na mama anae nyonyesha.

16โ€ขHuongeza hamu ya kushiriki tendo.

Hutibu na kuzuia magonjwa mengine mengi
Kupata ufaham zaid na matibabu 0718 750 220

๐˜ฟ๐™Š๐™Ž๐™€ ๐™‚๐™ƒ๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™ˆ๐˜ผ ๐™”๐˜ผ๐™†๐™€.
Tsh165,000 kwa Tsh 85,000

๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐—œ๐—ฝ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜. ๐Ÿ‘‡

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜Tibalishe zenye uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa na matatizo mengi ya kiafya kwa wakin...
15/01/2026

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜

Tibalishe zenye uwezo wa kutibu na kuondoa kabisa kero za magonjwa na matatizo mengi ya kiafya kwa wakina mama hutibu na kuondoa kero za magonjwa mbali mbali ikiwemo.

1โ€ขHutibu tatizo la kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu na usio na harufu, mzito na mwepesi na husaidia kupata ute mweupe wa uzazi.

2โ€ขHuondoa tatizo la ukavu ukeni linalo sababisha kupata maumivu makali wakati wa kukutana kimwili.

3โ€ขHutibu matatizo yote ya hedhi (kuvurugika kwa hedhi, kukoma kwa hedhi, kupata hedhi mdamlefu mabonge/matope au vitone nk.

4โ€ขHutibu maambukizi ya magonjwa sugu ya via vya uzazi (PID, UTI & FUNGUS).

5โ€ขHuzuia tatizo la kuharibika kwa mimba mara kwa mara.

6โ€ขHutibu tatizo kushindwa kushika mimba.

7โ€ขHutibu na kuondoa uvimbe kwenye kizazi (fibroids) bila upasuaji.

8โ€ขHuondoa tatizo la mvurugiko wa hormones (Hormones imbalance).

9โ€ขHutibu tatizo kujaa maji kwenye mifuko ya mayai (ovarian cyst).

10โ€ขHusaidia kupevusha mayai.

11โ€ขHuzibua milija ya uzazi na kuondoa tatizo la milija kujaa maji.

12โ€ขHuondoa madhara yatokanayo na utumiaji wa dawa za uzazi wa mpango zinazo changia kuvuruga homoni na kushindwa kushika mimba.

13โ€ขHuondoa sumu mwilini.

14โ€ขHutibu cancer ya mlango wa kizazi na aina zingine.

15โ€ขHusaidia sana kuongeza damu mwilini.
nzuli sana kwa mjamzito kutumia wakati wa ujauzito(CPE).

16โ€ขHuongeza hamu ya kushiriki tendo.

Tiba lishe hizi zinatibu na kuzuia magonjwa mengine pia ili Kufaham zaidi piga namba hizi โ˜Ž๏ธ0718 750 220

๐˜ฟ๐™Š๐™Ž๐™€ ๐™‚๐™ƒ๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™ˆ๐˜ผ ๐™”๐˜ผ๐™†๐™€.
165,000 or ยฝD 85,000

๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐—œ๐—ฝ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜. ๐Ÿ‘‡

๐—ฉ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—ฟ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒHomoni ni nini? ni kemikali zinazo zalishwa mwilini ili husafirisha i...
30/12/2025

๐—ฉ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—ฟ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ

Homoni ni nini? ni kemikali zinazo zalishwa mwilini ili husafirisha ishara za taarifa kupitia damu ili kudhibiti na kuratibu kazi mbalimbali za mwili.

kimsingi homoni hubeba maagizo kwa sehemu tofauti za mwili kuwaambia mwili nini cha kufanya na wakati gani wa kufanya.

Linapo tokea tatizo la hormones kutowiana ndipo linapo kuja tatizo la kuvurugika kwa hormone (Hormones imbalance) kwa wanawake kuna visababishi mbali mbali vya tatizo hili kwao ikiwemo

โœ๏ธUnywaji & ulaji wa mara kwa mara wa vyakula vya viwandani.
โœ๏ธKupendelea sana kula vyakula vya kukaangiza.
โœ๏ธMatumizi ya dawa za kuzuia mimba P2 na (dawa za mpango).
โœ๏ธUgonjwa wa tezi.
โœ๏ธKukaa mazingila yenye sumu/chemicali mdamlefu
โœ๏ธLishe duni
โœ๏ธMatumiz ya pombe
โœ๏ธUvutaji sigara au uvutaji wa moshi wa sigara kutoka kwa mvuta sigara
โœ๏ธMatumizi ya mara kwa mara ya madawa (antibiotics & antpain) n.k

๐—”๐˜๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—ฟ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ
โœ…Kukosa hamu ya tendo
โœ…Kuwa mkavu ukeni
โœ…Hedhi ya mdamrefu/hedhi nying sana/kiduchu/mabonge/hedhi ya matope
โœ…Ukomo wa hedhi kabla ya wakati.
โœ…kushindwa kushika mimba/kuharibika.
โœ…Kuwashwa/kutoka mapele usoni/kuharibika kwa ngozi.
โœ…Maumivu makali ya kichwa/kipanda uso/kukosa usingizi
โœ…Uchovu wa mdamlefu/kupungua au kukosa ukamini
โœ…Kuongezeka uzito kupitiliza
โœ…Mwanamke kuota nywele za kidevuni/kifuani

Jiepusha na tatizo hili kwa kuepuka visababishi ikiwa tayali unalo tatizo hili wasilina nasi 0718 750 220 Naimulika Afya tunakupenda sana๐Ÿซถ Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nawe๐Ÿ™

๐™ƒ๐™„๐™„ ๐™‰๐™„ ๐™‹๐˜ผ๐˜พ๐™†๐˜ผ๐™‚๐™€ ๐™”๐˜ผ ๐™†๐™๐™๐™„๐˜ฝ๐™ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„ ๐™†๐™’๐˜ผ ๐™ˆ๐™’๐™€๐™‰๐™”๐™€๐™’๐™€ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„Inatibu na kunaondoa madhara yote ya tokanayo na kisukari k**a vi...
24/12/2025

๐™ƒ๐™„๐™„ ๐™‰๐™„ ๐™‹๐˜ผ๐˜พ๐™†๐˜ผ๐™‚๐™€ ๐™”๐˜ผ ๐™†๐™๐™๐™„๐˜ฝ๐™ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„ ๐™†๐™’๐˜ผ ๐™ˆ๐™’๐™€๐™‰๐™”๐™€๐™’๐™€ ๐™†๐™„๐™Ž๐™๐™†๐˜ผ๐™๐™„

Inatibu na kunaondoa madhara yote ya tokanayo na kisukari k**a vile

โœ…Upungufu wa nguvu za kiume
โœ…Ganzi miguuni, mikonani na sehem zingine
โœ…Matatizo ya macho kushindwa kuona vzuli
โœ…Figo kufeli
โœ…Matatizo ya nerva kushindwa kufanya mawasiliano na sehem zingine za mwili
โœ…Matatizo ya ngozi
โœ…Kuchoka choka
โœ…Matatizo Mmeng'enyo
โœ…Kuvurugika kwa hormones n.k

Faida zingine
โœ๏ธHusaidia kupunguza sukari ilio zidi mwilini
โœ๏ธHuondoa sumu mwilini
โœ๏ธHuongeza ufanisi wa hormones na kongosho kufanya kazi yake vizuli
โœ๏ธHutibu Tezi dume
โœ๏ธHuondoa vimbe mbali mbali mwilini
โœ๏ธHusaidia kupunguza uzito
โœ๏ธHusaidia kuondoa mikunjo ya ngozi n.k

0718 750 220
Afya-Coffee.

HABARI KUBWA YA LEO NI KUHUSU C24/7C24/7 ni nini? hii ni tibalishe/kirutubisho lishe kipya - chenye uundwaji wa kipekee ...
22/12/2025

HABARI KUBWA YA LEO NI KUHUSU C24/7

C24/7 ni nini? hii ni tibalishe/kirutubisho lishe kipya - chenye uundwaji wa kipekee ulio bora zaidi kuliko bidhaa zingine za asili sokoni za virutubisho lishe/tibalishe. NATURE's WAY imetumia michakato yake ya utengenezaji inayoruhusu viungo vyote kutoa kiwango cha juu cha antioxidants na phytonutrients.

C24/7 ina kiwango cha juu zaidi cha antioxidants na takriban 22,000 Phytonutrients katika Kila kidoge kimoja.

FAIDA UNAZO PATA UKITUMIA C24/7

โœ…Huchangia kuishi mdamlefu.
โœ…Husaidia kuondoa mafuta mabaya mwilini (bad cholesterol.
โœ…Hukukinga na magonjwa ya moyo na Athari zake.
โœ…Inasaidia kuzuia saratani ya asili yoyote.
โœ…Hudhibiti shinikizo la juu la damu.
โœ…Hudhibiti sukari ya damu

โœ…Huimarisha na kuwekwa usawa wa metabolism.
โœ…Huongeza uzalishwaji wa glutathione ya asili mwilini.
โœ…Hurudisha muonekano asili wa ngozi.
โœ…Huzalisha seli mpya za ini.
โœ…Hupromote mzunguko mzuli wa damu wenye afya.
โœ…Huondoa sumu mwilini. โœ…Huondoa uchovu, Msongo wa mawazo na wasiwasi.
โœ…Huongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa

INAMUNGANIKO WA VIRUTUBISHO MUHUMIM VYA KILA SIKU

29Vitamins/Minerals/Trace minerals.
18Amino Acids.
14Vyakula vya kujani/juice ya spirulina.
12Juice za matunda tofauti yalio sagwa pamoja.
12Juice za mboga mboga zilizo sagwa pamoja.
12Aina za uyoga
12Aina vimeng'enya chakula
12Mimea & irutubisho Maalum
10Essential fatty acids
5Kuzuia uzee/Kiboreshaji cha Antioxidant
4longevity polyphenols/mega Resveratrol blend

C24/7 imetengenezwa na kampuni ya NATURE's WAY kampuni Bora iliobobea kwa utengenezaji wa Bidhaa za asili za mitishamba kutokea marekan.

C24/7
C INAWAKILISHA

โœ๏ธCellular protection (kulinda seli)
โœ๏ธCellular immunity (kinga seli)
โœ๏ธCellular Energizer (Huzipa seli nishati/nguvu)
โœ๏ธcellular Enhancement (Huimarisha seli)
โœ๏ธCellular longevity (Huzinya seli kuishi mdamlefu)
โœ๏ธCellular Nourishment (lishe ya seli)
โœ๏ธCardio protection (ulizi wa moyo)
โœ๏ธCancer protection (kinga ya saratani)

Utumiapo C24/7 unaupatia mwilini wako virutubisho lishe vyote muhim ndani ya masaa 24 kwa siku saba ya week. C24/7 ni kinga na tiba ya magonjwa 100 kuipata C24/7 wasilina nasi
0718 750 220
Bei yake ni kwanzia Tsh 30,000 - 85,000

22/12/2025

๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ž๐—” ๐—ง๐—”๐—•๐—œ๐—” ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ญ๐—˜ ๐—ž๐—จ๐—œ๐— ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—ข ๐—ก๐—” ๐—จ๐— ๐—”๐—›๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ช๐—”๐—ž๐—ข ๐—จ๐—ž๐—œ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—ช๐—˜๐—ก๐—ญ๐—” ๐—ช๐—”๐—ž๐—ข

1โ€ขEpuka kuvuta sigara/kuvuta moshi wa mvuta sigara.

2โ€ขEpuka kunywa pombe kupita kiasi ikiwezekana acha kabisa.

3โ€ขEpuka/punguza kula vyakula vyenye mafuta mengi/kukaanga na vyenye sukari nyingi.

4โ€ขEpuka tabia ya kukaa na stress mdamlefu sana (wakati mwingine jifunze kuachia mambo au tafuta wa kushare nae)

5โ€ขKukosa mda wa kutosha kupumzika.

6โ€ขAcha tabia ya kupotezea/ Kuchukulia poa dalili zisizo za kawaida kiafya zinazo jionesha.

7โ€ขAcha kujichua na epuka vishawishi vya kujichua mfano (kuangalia kuhifadhi video na picha za mgono)

Neema na Baraka njema ziendele kuwa nawe ๐Ÿ™๐Ÿพ Naimulika Afya tunakupenda๐Ÿซถ๐Ÿฝ
0718 750 220

๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚, ๐—ต๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ถโœ๏ธNdiziโœ๏ธAvocadoโœ๏ธkarangaโœ๏ธS...
15/12/2025

๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚, ๐—ต๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ผ๐—ป๐—ถ

โœ๏ธNdizi
โœ๏ธAvocado
โœ๏ธkaranga
โœ๏ธSamaki wenye omega 3
โœ๏ธKitungu saumu
โœ๏ธMboga za majani
โœ๏ธTikiti
โœ๏ธKomamanga
โœ๏ธMbegu za maboga
โœ๏ธugali wa dona/wali wa mchele wa brown

Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nawe๐Ÿ™
Afya tunakupenda sana kula vizuli ili we vizuli na unaweza kuwasiliana nasi 0718 750 220
Afya-Coffee.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 21:00
Tuesday 09:00 - 21:00
Wednesday 09:00 - 21:00
Thursday 09:00 - 21:00
Friday 09:00 - 21:00
Saturday 09:00 - 21:00

Telephone

+255718750220

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Naimulika Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram