30/12/2025
๐ฉ๐ถ๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ถ๐๐ต๐ถ ๐๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐ฟ๐๐ด๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐ต๐ผ๐ฟ๐บ๐ผ๐ป๐ฒ๐ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐บ๐ธ๐ฒ
Homoni ni nini? ni kemikali zinazo zalishwa mwilini ili husafirisha ishara za taarifa kupitia damu ili kudhibiti na kuratibu kazi mbalimbali za mwili.
kimsingi homoni hubeba maagizo kwa sehemu tofauti za mwili kuwaambia mwili nini cha kufanya na wakati gani wa kufanya.
Linapo tokea tatizo la hormones kutowiana ndipo linapo kuja tatizo la kuvurugika kwa hormone (Hormones imbalance) kwa wanawake kuna visababishi mbali mbali vya tatizo hili kwao ikiwemo
โ๏ธUnywaji & ulaji wa mara kwa mara wa vyakula vya viwandani.
โ๏ธKupendelea sana kula vyakula vya kukaangiza.
โ๏ธMatumizi ya dawa za kuzuia mimba P2 na (dawa za mpango).
โ๏ธUgonjwa wa tezi.
โ๏ธKukaa mazingila yenye sumu/chemicali mdamlefu
โ๏ธLishe duni
โ๏ธMatumiz ya pombe
โ๏ธUvutaji sigara au uvutaji wa moshi wa sigara kutoka kwa mvuta sigara
โ๏ธMatumizi ya mara kwa mara ya madawa (antibiotics & antpain) n.k
๐๐๐ต๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐ฟ๐๐ด๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐ต๐ผ๐ฟ๐บ๐ผ๐ป๐ฒ๐ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐บ๐ธ๐ฒ
โ
Kukosa hamu ya tendo
โ
Kuwa mkavu ukeni
โ
Hedhi ya mdamrefu/hedhi nying sana/kiduchu/mabonge/hedhi ya matope
โ
Ukomo wa hedhi kabla ya wakati.
โ
kushindwa kushika mimba/kuharibika.
โ
Kuwashwa/kutoka mapele usoni/kuharibika kwa ngozi.
โ
Maumivu makali ya kichwa/kipanda uso/kukosa usingizi
โ
Uchovu wa mdamlefu/kupungua au kukosa ukamini
โ
Kuongezeka uzito kupitiliza
โ
Mwanamke kuota nywele za kidevuni/kifuani
Jiepusha na tatizo hili kwa kuepuka visababishi ikiwa tayali unalo tatizo hili wasilina nasi 0718 750 220 Naimulika Afya tunakupenda sana๐ซถ Neema na Baraka njema ziendelee kuwa nawe๐