drkihindo

drkihindo DrKihindo Ni mtaalamu wa Antioxidants anahudumu DrKihindo Clinic iliyoko Jijini Dar es Salaam. TUNAT

IJUE CHANGAMOTO YA SHAMBULIO LA KWENYE KIZAZI (P.I.D)Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke (PID)Tiba na ushaurikw...
28/09/2021

IJUE CHANGAMOTO YA SHAMBULIO LA KWENYE KIZAZI (P.I.D)

Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke (PID)

Tiba na ushauri

kwa mawasiliano zaidi;

Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a cervicitis, nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis, na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

PID husababishwa na nini?

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

Je mwanamke huambukizwaje PID?

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

Kufanya ngono isiyo salama Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period) Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage) Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

Dalili za PID ni zipi?

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni

- Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu - Kupata maumivu ya mgongo - Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya. - Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa - Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa - Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi - Kupata homa - Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na Pia kutapika

Vipimo vya PID

Ili kuweza kutambua k**a mwanamke ameambukizwa ugonjwa huu, tabibu anaweza kufanya vipimo kadhaa vikiwemo

Kuchunguza mkojo ili kufahamu k**a mgonjwa ana mimba. Kipimo hiki ni muhimu hasa kwa mwanamke aliye katika umri wa kuzaa au mwenye uwezo wa kubeba mimba

Uchunguzi wa mkojo kwenye darubini ili kutambua aina za vimelea vinavyomletea mgonjwa uambukizi. Aidha mkojo huweza kuoteshwa katika maabara kwa

MWANAUME OKOA NDOA YAKO ...  Ukosefu wa Nguvu Za Kiume, Kibamia, Uume Legelege, kutohimiri tendo, Kukosa Hamu ya tendo l...
28/09/2021

MWANAUME OKOA NDOA YAKO ...
Ukosefu wa Nguvu Za Kiume, Kibamia, Uume Legelege, kutohimiri tendo, Kukosa Hamu ya tendo la Ndoa, na Premature ejaculations..
Tunakupa ANTIOXIDANTS dose ya UHAKIKA..
SIMU: 0629980862 (WhatsApp)
Email: drkihindo@yahoo.com

FURAHA YAKO KIAFYA NI JUKUMU LETU.

P.I.D NI HATARI (CHANZO CHA UGUMBA/UTASA NA SARATANI YA KIZAZI).. Ukipona P.I.D Unakua Umepona Matatizo zaidi ya 5 (FIBR...
27/09/2021

P.I.D NI HATARI (CHANZO CHA UGUMBA/UTASA NA SARATANI YA KIZAZI)..
Ukipona P.I.D Unakua Umepona Matatizo zaidi ya 5 (FIBROIDS, Ovariancyst, Hormone Imbalance, UTI Sugu, Ugumba/UTASA, Mimba Kuharibika nk..) ..
KUBWA Zaidi Unakua Umejikinga Na SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI....
DrKihindo Clinic tunayotiba Tiba ya UHAKIKA YA ANTIOXIDANTS ZITAKUPONYA MOJA KWA MOJA..
Wasiliana Nasi Sasa
Simu: 0629980862 (WhatsApp)
Email: drkihindo@yahoo.com

FURAHA YAKO KIAFYA NI JUKUMU LETU..

Tunaendelea Kukupa Dose za UHAKIKA KWA Changamoto yako Sugu Kiafya.. Wasiliana Nasi Sasa
25/09/2021

Tunaendelea Kukupa Dose za UHAKIKA KWA Changamoto yako Sugu Kiafya..
Wasiliana Nasi Sasa

UKIPONA P.I.D Unakua Umepona Matatizo zaidi ya 5 (H.Imbalance, Uvimbe Kwenye Kizazi, U.T.I SUGU, Ugumba na Mimba Kuharib...
25/09/2021

UKIPONA P.I.D Unakua Umepona Matatizo zaidi ya 5 (H.Imbalance, Uvimbe Kwenye Kizazi, U.T.I SUGU, Ugumba na Mimba Kuharibika) na KUBWA Zaidi UNAJIKINGA NA SARATANI YA KIZAZI..
Wasiliana Nasi Sasa Kwa Dose ya Uhakika
Simu: 0629989862 (WhatsApp)
Email: drkihindo@yahoo.com

FURAHA YAKO KIAFYA NI JUKUMU LETU..

DrKihindo Delivery Ni Huduma ya Haraka na Salama ya Ufikishwaji wa Dose kwako ndani na Nje y Tanzania tunafikisha dose K...
25/09/2021

DrKihindo Delivery Ni Huduma ya Haraka na Salama ya Ufikishwaji wa Dose kwako ndani na Nje y Tanzania tunafikisha dose KWA wakat na kwa uaminifu Mkubwa..
Wasiliana Nasi Sasa

KISUKALI NA PRESHA PAMOJA NA MATATIZO YA MOYO.. Changamoto hiizi ni hatar sana KWA afya na Sasa tunalosuluhisho madhubut...
25/09/2021

KISUKALI NA PRESHA PAMOJA NA MATATIZO YA MOYO..
Changamoto hiizi ni hatar sana KWA afya na Sasa tunalosuluhisho madhubut kwa Kisukali, Presha na Changamoto za Moyo..
Wasiliana Nasi Sasa kwa Dose ya Uhakika..
Simu: 0629989862 (WhatsApp )
Email: drkihindo@yahoo.com

FURAHA YAKO KIAFYA NI JUKUMU LETU..

MWANAUME PIGA SHOW ZA KIBABE.. Tokomeza Kibamia na Ukosefu wa Nguvu Za Kiume Kwa Kupona Kabisa.. Wasiliana Nasi Sasa kwa...
25/09/2021

MWANAUME PIGA SHOW ZA KIBABE.. Tokomeza Kibamia na Ukosefu wa Nguvu Za Kiume Kwa Kupona Kabisa.. Wasiliana Nasi Sasa kwa Dose ya Uhakika
Simu: 0629989862 (WhatsApp)
Email: drkihindo@yahoo.com

FURAHA YAKO KIAFYA NI JUKUMU LETU..

Unakabiriwa na Changamoto gani Kiafya Tafadhali.. wasiliana Nasi Sasa upate dose ya Uhakika na Kupona kabisa.. Simu: 062...
25/09/2021

Unakabiriwa na Changamoto gani Kiafya Tafadhali.. wasiliana Nasi Sasa upate dose ya Uhakika na Kupona kabisa..
Simu: 0629989862 (WhatsApp)
Email: drkihindo@yahoo.com

Mwanaume Tatua Changamoto ya Nguvu Za Kiume KWA Kupona kabisa Tatizo lako.. Dose yetu Kupona Ni Uhakika.. Wasiliana Nasi...
25/09/2021

Mwanaume Tatua Changamoto ya Nguvu Za Kiume KWA Kupona kabisa Tatizo lako.. Dose yetu Kupona Ni Uhakika..
Wasiliana Nasi Sasa.
Simu: 0629989862 (WhatsApp)
Email: drkihindo@yahoo.com
FURAHA YAKO KIAFYA NI JUKUMU LETU..

Ukipona P.I.D Unakua umepona Matatizo zaidi ya 5 ( FIBROIDS, UTI Sugu, Maumivu ya hedhi, Ugumba na Mimba Kuharibika) ya ...
25/09/2021

Ukipona P.I.D Unakua umepona Matatizo zaidi ya 5 ( FIBROIDS, UTI Sugu, Maumivu ya hedhi, Ugumba na Mimba Kuharibika) ya Afya Ya UZAZI kwa Mwanamke.
Wasiliana Nasi Sasa kwa dose ya Uhakika..
Simu: 0629989862 (WhatsApp)
Email: drkihindo@yahoo.com

DrKihindo Clinic Tunakuletea SULUHISHO LA CHANGAMOTO YAKO KIAFYA KWA ANTIOXIDANTS..  Dose inakufikia Popote Ulipo Mikoan...
17/09/2021

DrKihindo Clinic Tunakuletea SULUHISHO LA CHANGAMOTO YAKO KIAFYA KWA ANTIOXIDANTS..
Dose inakufikia Popote Ulipo Mikoani na Dar es Salaam unafika ofisin kwetu..
Wasiliana Nasi Sasa
Simu: 0629989862
Email: drkihindo@yahoo.com

17/09/2021

MWANAUME NJOO UTIBIWE KABISA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME NA UNAPONA MOJA KWA MOJA..
Tumia Antioxidants Toka DrKihindo Clinic Matokeo Ni ndani ya Siku 7 na Unapona Moja KWA Moja..

Tunatuma Mikoani na Nje ya Nchi pia, Dar es Salaam unaipata kwa haraka sana..
Simu: 0629989862
Email: drkihindo@yahoo.com

HAKIKA FURAHA YAKO KIAFYA NI JUKUMU LETU..

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when drkihindo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to drkihindo:

Share

Category