pid_na_hormone

  • Home
  • pid_na_hormone

pid_na_hormone TUNASULUHISHO UHAKIKA MAGONJWA SUGU
UTI
BAWASIRI
CHOO KIGUMU AU KUKOSA CHOO
PID
HORMONE IMBALANCE
UVIMBE
MATATIZO YA UZAZI
NGUVU ZA KIUME�

Usije ukasema sikukwambia vizuriAnza tu dose mapema
25/10/2022

Usije ukasema sikukwambia vizuri
Anza tu dose mapema

RANGI ZA UTE NA MAANA ZAKEKuna rangi za ute ambazo hutoka kwenye uke, zipo za kawaida na zisizo za kawaida, Kutofahamu u...
25/10/2022

RANGI ZA UTE NA MAANA ZAKE

Kuna rangi za ute ambazo hutoka kwenye uke, zipo za kawaida na zisizo za kawaida,

Kutofahamu ute wa kawaida huongeza hofu kwa wengi lakini ukifahamu ute wa kawaida ni msaada kujua ute upi si wa kawaida na kugundua mapema kwamba upo kwenye tatizo linalohitaji tiba.

Rangi ya ute unaotoka kwenye uke unapaswa kuwa mweupe na wenye kuonekana vyema (clear),

Ute huo ni sehemu ya mwili kufanya kazi vizuri.

UTE MWEUPE (White)
Huu ni ute wa kawaida kutoka kwa mwanamke hasa katika kipindi cha hedhi lakini utakapokuwa mzito kiasi na wenye kufanana na mtindi, ukiambatana na maumivu ni dalili ya maambukizi (Yast Infection). Matibabu baada ya uchunguzi yanahitajika.

UTE WA MAJIMAJI (Clear Waterly)
Ute wa majimaji ni ute unaohitajika zaidi kwa mwanamke, ute unaofanya uke usiwe mkamvu, ute huu mwanamke anapaswa kuhakikisha anakuwa nao hasa kwenye tendo la ndoa, unasaidia kulinda manii na kuzisafirisha, unaleta uwezekano mkubwa wa mimba kutunga.

Ute unaoshiria kwamba upo kwenye kipindi cha kuangua mayai, ukiwa nao wala hauna shida wala tatizo.

UTE WA NJANO (Yellow or Greenish)
Ute huu si salama unapomtoka mwanamke, ni ute unaoshiria maambukizi ya bakteria pamoja na magonjwa ya zinaa, hutoa harufu isiyopendeza unaweza ukaambatana na ukijani ndani yake, pindi unapouona nenda hospitali na mwenza wako, magonjwa ya zinaa hutibiwa na wapenzi wote wawili ili kuepusha muendelezo wa maambukizi endapo atatibiwa mmoja.

UTE WA KAHAWIA (Brown)
Ute huu humtoka mwanamke pindi anapomaliza hedhi yake, husafisha uke baada ya hedhi, unaweza kuambatana na damu damu kiasi lakini unaweza kutokwa na ute huu katikati ya hedhi yako au kipindi cha mwanzo cha ujauzito.

Wenye mzunguko wa hedhi unaobadilika badilika huweza kusababisha kutokwa na ute huu, pindi unapotokwa zaidi na ute huu inaweza kuwa ni dalili ya kansa ya shingo ya kizazi. Ni vyema kufika hospitali kwa uchunguzi zaidi.

UTE WAKATI WA TENDO LA NDOA
Wakati wa ashiki ya tendo la ndoa uke huzalisha ute mwepesi ulio k**a maji na unakua hauna harufu kali
Call/Whatsapp +255764976124

25/10/2022
😂😂😂😂😂P2 hazijafanya kaz..
23/10/2022

😂😂😂😂😂P2 hazijafanya kaz..

Dalili za maambukizi ya mfumo wa mkojo ni zipi?Dalili hutofautiana kulingana na ukali wa maambukizi,umri na sehemu iliyo...
22/10/2022

Dalili za maambukizi ya mfumo wa mkojo ni zipi?
Dalili hutofautiana kulingana na ukali wa maambukizi,umri na sehemu iliyoathiri..

Dalili zinazojitokeza mara nyingi pakiwa na maambukizi (UTI):

📍Uchungu au kuwashwa unapokojoa.

📍Kuhisi kukojoa mara nyingi.

📍Homa na uchovu .

📍Mkojo wenye harufu mbaya na si safi (cloudy).

Dalili zinazotokana na maambukizi ya kibofu

📍Maumivu katika upande wa chini wa tumbo.

📍Kukojoa mkojo kidogo , wenye maumivu na mara nyingi.

📍Dalili za homa kidogo. Bila maumivu ya mbavu.

📍Damu kwenye mkojo.

Dalili zinazotokana na maambukizi ya upande wa juu wa njia ya mkojo

📍Maumivu ya upande wa juu wa mgongo na mbavu.

📍Kuwa na homa na kuhisi kibaridi. Kichefuchefu, kutapika, uchovu na kujihisi mgonjwa kwa ujumla.

📍Kuchanganyikiwa kwa wazee.

Maambukizi haya ni hatari sana yasipotibiwa vyema na haraka. Aidha yanaweza hata kuhatarisha maisha.

Suluhisho linapatikana
Call/Whatsapp +255764975124

🩸Maumivu wakati wa Tendo la ndoa🩸Maumivu chini ya kitovu(tumbo la chini)🩸Kukosa hamu ya tendo la ndoa🩸Ukavu ukeni🩸Wakati...
22/10/2022

🩸Maumivu wakati wa Tendo la ndoa
🩸Maumivu chini ya kitovu(tumbo la chini)
🩸Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🩸Ukavu ukeni
🩸Wakati wa Tendo huwezi kuenjoy
🩸Periods kupishana pishana
🩸Kukosa period kwa wakati
🩸Kutoa harufu mbaya ukeni
🩸Uke kulegea
🩸Kutoa uchafu ukeni wenye rangi tofauti tofauti
🩸Mimba kuharibika
🩸Mirija ya uzazi kuziba au kujaa maji machafu
🩸Ugumba

SULUHISHO LIPO,NJOO TUZUNGUMZE
Call/watsap +255764975124

Kabla na baada ya UjauzitoHaya mambo ya kuvimba mwili mzima tumekubaliana yaisheSULUHISHO LA KUDUMU LINAPATIKANA CALL/WH...
22/10/2022

Kabla na baada ya Ujauzito
Haya mambo ya kuvimba mwili mzima tumekubaliana yaishe

SULUHISHO LA KUDUMU LINAPATIKANA
CALL/WHATP +255764975124

FAHAMU KUUSU P.I.DP.I.D  inflammatory deseaseNi maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hi...
22/10/2022

FAHAMU KUUSU P.I.D
P.I.D
inflammatory desease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula

MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi

MATIBABU
.i.d inatibika na kupona Kwa haraka

N.b - pia maradhi ya mfumo wa uzazi wa mwanamke yamekuwa Mengi ukiona unasumbuliwa na matatizo haya usisite kuwasiliana nasi
* Fungus sugu ukeni
* U.t.i mara kwa mara
* Tatizo la kutopata hedhi kwa wakati
* Maumivu wakati wa hedhi
* Vimbe kwenye kizazi
* Mirija ya uzazi kuziba
* Kutobeba ujauzito
* Kutokwa na uchafu na majimaji yenye harufu ukeni ..

Call/Whatsapp +255764975124

Umefanya mapenzi na mwanaume akakukimbia sababu ya harufu mbaya ya shombo la samaki?😥😥..Au ukifanya mapenzi basi hapo ha...
20/10/2022

Umefanya mapenzi na mwanaume akakukimbia sababu ya harufu mbaya ya shombo la samaki?😥😥..Au ukifanya mapenzi basi hapo hapo waanza kubleed?

Usiogope hauko peke yako nipigie nikusaidie...
Call/ Whatsapp +255764975124

Umefanya mapenzi na mwanaume akakukimbia sababu ya harufu mbaya ya shombo la samaki?😥😥..Au ukifanya mapenzi basi hapo ha...
18/10/2022

Umefanya mapenzi na mwanaume akakukimbia sababu ya harufu mbaya ya shombo la samaki?😥😥..Au ukifanya mapenzi basi hapo hapo waanza kubleed?

Suluhisho linapatikana
Call/Whatsapp +255764975124

Ewe dada/mama sijui unapitia changamoto gani kwa wakat huu..yamkini unapitia magumu mengi yasiyopimika kwenye ndoa yako,...
18/10/2022

Ewe dada/mama sijui unapitia changamoto gani kwa wakat huu..yamkini unapitia magumu mengi yasiyopimika kwenye ndoa yako,kwenye familia yako...imefika hatua moyo wako hauna amani kila panapokucha..nikutie moyo leo yupo

Mungu asiyeshindwa na jambo,yupo mfariji,ipo siku atabadlisha huzun yako kuwa furaha...kilio kuwa kicheko...majonzi kuwa faraja..usikate tamaa ..endelea kuomba...

P2 ni emergency contraceptive,inazuia mtu asipate Mimba kwenye mazingira ambayo umefanya s*x pasipo Kupanga na upo siku ...
16/10/2022

P2 ni emergency contraceptive,inazuia mtu asipate Mimba kwenye mazingira ambayo umefanya s*x pasipo Kupanga na upo siku za hatari,au umelazimishwa kukutana kimwili..

Mimba zisizotarajiwa unalazima Kunywa hizi DAWA. Ni Dawa imetangenezwa kutumiwa MARA CHACHE,inapokulazimu.

Sio Dawa unayotakiwa kutumia k**a Njia ya UZAZI WA Mpango ya muda mrefu,kuna wanawake KILA MWEZI P2 inaingizwa Mwilin(HAITAKIWI),standard hutakiw Meza zaid ya mara 3 kwa MWAKA,Kuendekeza kila mwezi kunywa

Hizi P2 sio sahihi,Unatakiwa uje hospitali UPATE NJIA SAHIHI ya uzazi wa mpango ya muda mrefu.

Baadhi ya Side effects/madhara ni Haya Hapa👇👇

1.Unaeza jisikia kichefuchefu au kutapika baada ya kumeza,

2.Tumbo kuuma

3.matiti kuuma na kujaa

4.Pia hedhi zako zinavofuata zinaweza zikawahi au zikachelewa au zikatoka nyingi sanaaa( ukiona zimezidi siku 8 fika muone daktari) au ukawa unapata hedhi nyepesi sana au Ukawa haupat hedhi(amenorhoea)

5.kichwa kuuma na kizunguzungu

6.Mabadiliko ya Ute uken(change in cervical secretion,hapa unakuta Ute wa ovulation mtu hapati).

7.kupata infection ukeni,va**nal infections,

8.hatari ya kupata PID

9.maumivu wakati wa s*x(dyspareunia)

10.mama anakuwa hatarin kutungisha mimba nje ya kizazi yaan ectopic pregnancy.

11.lakin pia kuna wanawake hupata Ovarian cyst,vivimbe kwenye mfuko wa mayai. Kuna sababu Hapo Juu k**a PID,kutopata UTE,infections kwenye va**na hizi zinakuja ku affect mwanamke anakuwa anapata Tabu kwenye Kupata MIMBA. K**a HUJAPANGA kupata MIMBA,uwekewe njia ya uzazi wa mpango ya muda mrefu inayokufaa,achana na KUMEZA P2 kila mwezi.

Je,wewe mhanga wa kutumia P2 na haupati mimba,una PID,haupati UTE?

Leo nina ofa kabambe .
+255764975124

Yan k**a una changamoto ya kuwashwa sehemu za siri una unachukulia poa jua ipo siku utakuwa na hali hii..unaanzaje kuwa ...
16/10/2022

Yan k**a una changamoto ya kuwashwa sehemu za siri una unachukulia poa jua ipo siku utakuwa na hali hii..unaanzaje kuwa na aman sasa..hii hali sio nzuri hata kidogo usisubir kufika hapa ndo uanze dozi

PID  ni ungojwa  unaotesa  wanawake  wengi sana Zipo  Sababu  ambazo  zinapelekea  atakupona  kwake  iwe  changamoto Una...
16/10/2022

PID ni ungojwa unaotesa wanawake wengi sana
Zipo Sababu ambazo zinapelekea atakupona kwake iwe changamoto
Unatumia dawa bado unakutana na mwenza wako ,nguo zako za ndani nizilele Vyoo unavyo yumia usafi sio mzuri ni ngumu sana kupona PID zipo sababu nyingi sana za wewe PID kwako iwe sugu

Unapogundilika una mambukizi ya PID anza tiba mara moja nawakati unatumia dawa akikisha ukutani na mwenzako badili nguo za ndani pia ata pedi badili akikisha unapo enda chooni kiwe choo nikisafi na wewe ukifika mwanga maji mengi ili kuondoa wale bacteria ambukizi ukifanya ivyo utapona kabisa PID
K**a PID ndo kilio chako Nipigie

Utapona kabisa aijalishi umetumia dawa mengi kiasi gani tuna tiba nzuri sana utapona kabisa hii tiba inatibu adi makovu ya ndani ya kizazi kilicho athilika na bacteria.

MUZUNGUKO WAKO UKOJE
16/10/2022

MUZUNGUKO WAKO UKOJE

Vitu. Ambavyo  unaweza  ikakusababishia  kukosa  mtoto Nipamoja  na1.Fangasi  isio  pona  ambayo  unantumia  dawa  inatu...
16/10/2022

Vitu. Ambavyo unaweza ikakusababishia kukosa mtoto

Nipamoja na

1.Fangasi isio pona ambayo unantumia dawa inaturia siku mbili inanzaa tena
2. Homoni imbalance (yaani mzunguko wako wa peorid aueleweki mala umeingia talehe hii mala ile kupata mabonge tumbo kuumaa sana kupata damu vitone au nyepesi sana )
3. PID mambukizi kwenye via vya uzazi. ..kupata maumivu makali nchi ya tumbo kupata damu wakati wa s*x kutoka uchafu unao nuka sana maumivu ya kichwa kupata kichefuchefu uke kutoa maji yenye harufu mbaya
4. Uvimbe fibroid na ovarian Cyst

Sio lahisi k**a ujajitibia kupata ujauzito

Call/Whatsapp +255764975124

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when pid_na_hormone posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to pid_na_hormone:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram