
24/09/2021
Umeamkaje boss wangu. 🤓
Eti,
1. *Ulikuwa unafahamu zaidi ya asilimia 70 ya kinga yako ya mwili ina anzia kwenye utumbo wako?*
2. Ulikuwa unajua ratio ya bakteria wazuri na wabaya inayotakiwa mwilini mwako ili kuzuia maambukizi na ukuaji wa magonjwa, kupata choo vizuri, kuzuia vidonda vya tumbo ni 85:15? *Yes ni muhimu pia kuwe na bakteria wabaya kuwa keep hawa wazuri active.*
Unafahamu pia dawa zinatabia ya kuua bakteria wazuri eeh? Mara moja moja *tumia Forever active probiotic* kuhakikisha your gut health is filled na bakteria wazuri zaidi
3. Tulisomaga zamani umuhimu wa *ph balance (acidity &alkalinity)*
Mwili ukiwa na acid zaidi magonjwa, virusi, bacteria, fungus ndio hupata nafasi ya kuzaliana.
Mara nyingi asubuhi tu vifungua kinywa vyetu ni vyakula na vinywaji vyenye acid zaidi.
Anza asubuhi yako (wewe na familia yako) na *Forever supergreens kuweka mwili wako kwenye hali ya alkaline*
Hii package nzima itakutosha kwa siku 30 kuhakikisha unaboreha kinga yako ya mwili, afya yako ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na ph yako inakuwa balanced.
Karibu nikuhudumie.