Health Solution Natural products

Health Solution Natural products ONDOA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO BILA KUFANYA UPASUAJI KARIBU NIKUSAIDI

Zifahamu faida za limao  katika mwili wa binadamu, k**a haumudu limao karibu ujipatie virutubisho vya kuongeza king a ya...
01/03/2023

Zifahamu faida za limao katika mwili wa binadamu, k**a haumudu limao karibu ujipatie virutubisho vya kuongeza king a ya mwili wako kuondoa harufu mbaya ya kinywa, kuzuia maumivu ya viungo vilivyopo katika mfumo wa vidonge
Hutumika ndani ya mwezi mzima.
Kuvipata virutubisho ivyo Nitafute 0713051747 (whatsap).
karibu sana k**a upo mikoani Tunatuma

INAKUHUSU HII MTOTO WA K**E AU KIUME ANATOKEAJEHabari rafiki yangu kuendana na maswali mengi ya jinsi gani mtoto wa k**e...
01/03/2023

INAKUHUSU HII MTOTO WA K**E AU KIUME ANATOKEAJE

Habari rafiki yangu kuendana na maswali mengi ya jinsi gani mtoto wa k**e au kiume hutokea. Inakuwa hivi nifatilie.

Katika urutubishaji yai la mwanamke linabeba chromosome X yaani XX

Na mbegu ya mwanaume inabeba chromosome XY

Chromosome X kutoka kwa mwanamke ikikutana na Y kutoka kwa mwanaume mtoto wa kiume hupatikana.
Chromosome X kutoka kwa mwanamke ikikutana na X kutoka kwa mwanaume mtoto wa k**e hupatikana

*FAHAMU SIFA ZA CHROMOSOMES X na Y za mwanaume*

Ili uweze kufanikiwa kuchagua mtoto wa kiume au wa k**e lazima ujue sifa za chromosomes hizi zinazoamua jinsia ya mtoto.

*SIFA ZA CHROMOSOMES Y*

Zina spidi kubwa sana kwa hiyo k**a yai lipo tayari zenyewe zitawahi kwenda kurutubisha

Zina maisha mafupi sana kulinganisha na X

*SIFA ZA CHROMOSOMES X*

Zina spidi ndogo sana

Zina maisha marefu kulinganisha na Y
Baada ya kujua sifa za chromosome ambazo ndo zinatusaidia kuamua jinsia twende moja kwa moja kwenye jinsi ya kupata mtoto wa jinsia unayotaka

*MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA KUAMUA JINSIA*

Lazima mwanamke ajue mzunguko wake (menstrual cycle)siku ya 1-28

Lazima mzunguko wako uwe na mpangilio sahihi(unaweza ukachunguza mzunguko wako kwa miezi minne mfululizo)

PH ya uke lazima iwe kiwango sahihi 4-5.5(Tumia neplily pads kwa kuwa na PH sahihi

Ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume

*JINSI YA KUPATA MTOTO WA KIUME*
Ili uweze kupata mtoto wa kiume kisayansi unashauriwa kushiriki tendo la ndoa siku ambayo yai litakuwa limetoka k**a mzunguko wako uko sahihi ni siku ya 14.

Njia nyingine ya kujua yai limetoka baba anaingiza vidole viwili ukeni wakati wa asubuhi na ukikuta uteute ujue yai limetoka kwa hiyo jioni mnashiriki tendo la ndoa kwa ajili ya kupata mtoto wa kiume

*KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA WAKATI YAI LIMETOKA ILI KUPATA MTOTO WA KIUME?*
Kisayansi chromosome Y ambayo inahusika katika kutunga mimba ya mtoto wa kiume ina spidi kubwa sana ni nyepesi na haiwezi kuishi muda mrefu kwa hiyo ukishiriki tendo la ndoa wakati yai limetoka maana yake unaongeza nafasi ya kupata mtoto wa kiume.

*JINSI YA KUPATA MTOTO WA K**E*
Ili ufanikiwe kupata mtoto wa k**e utatakiwa ushiriki tendo la ndoa siku tatu kabla ya yai kupevuka yaani hapa ni baada ya kujua mzunguko

*KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA SIKU TATU Kabla. ?*

Hii ni kwasababu chromosome X ambazo ndo zinaunda mtoto wa k**e huwa zina sifa ya kuwa na maisha marefu na kutembea taratibu hivyo yai likitolewa litakuta chromosome X ziko hai

KUNA BAADHI YA WAZEE WA ZAMANI WANAAMINI HAYA KATIKA KUPATA MTOTO WA JINSIA UNAYOTAKA

KUPATA WA K**E
Kula samaki, mboga za majani, matunda, bidhaa za maziwa, mbegu za matikiti maji, alzeti n.k

-Wakati wa kufanya tendo la ndoa mwanamke akae juu n.k

KUPATA WA KIUME
Kula nyama, ndizi, Vyakula vya chumvi k**a chips ila usizidishe chumvi, karanga na vyakula vingine vya potassium na sodium.
Chromosomes Y zinahitaji pH ya alkane kuliko asidi ndio maana wazee waliona hili.

Kuna mengi kuhusu wazee wa zamani ila tumeongelea haya ya mlo kwa maana yana mantiki kibaiolojia

MAMBO YANAYOWEZA ATHIRI KUPATA MTOTO UNAYEMTAKA

Kushindwa kuhesabu siku

Mzunguko mbovu wa hedhi(Tumia neplily pad)

Kutokuwa na PH sahihi ukeni tumia Neplily

WANAUME:
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wanaume kutoweza kubebesha mimba au kuishiwa nguvu za kiume. Sababu ni nyingi tumekuwa tukizitaja katika makala zetu zilizopita ikiwemo upigaji holela wa punyeto

Baada ya mambo mengi kupita nimeanza kutoa mwongozo ambao mtu akiufuata atarudisha kabisa uwezo wake katika tendo la ndoa. Huu ni mwongozo salama kiafya kwani utatumia vitu salama na vyenye faida katika mwili wako.

Ambavyo ni virutubisho vya tiba mbadala sahihi kabisa bila Kemikali.

UFAHAMU UGONJWA WA TEZI DUME (PROSTATE CANCER) HUTIBIKA BILA HATA YA OPERATION.Saratani ni nini? Neno saratani ni jina l...
01/03/2023

UFAHAMU UGONJWA WA TEZI DUME (PROSTATE CANCER) HUTIBIKA BILA HATA YA OPERATION.

Saratani ni nini? Neno saratani ni jina la ugonjwa ambalo hutokea wakati chembechembe za uhai au seli katika sehemu fulani ya mwili zinapoanza kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili na kutengeneza vijiuvimbe vidogo vidogo. Ugonjwa huu ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea, hata hivyo, satarani ya tezi dume kwa sasa inawapata sana wanaume kuanzia miaka 25.
Kwa kawaida seli huwa zinajigawa, kupevuka na baadaye kufa kwa kufuata taratibu za mfumo wa mwili. Lakini seli za saratani hazifuati mfumo huo, badala ya kufa, zenyewe huishi muda mrefu kuliko chembe chembe za kawaida na wakati huohuo huendelea kutengeneza seli nyingine na kuwa uvimbe wa saratani au tumour.
Tezi dume linapatikana katika mwili wa mamalia dume tu na pale seli katika kiungo hicho zinapoanza kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili hapo ndipo mtu huyo hupata saratani ya tezi dume.
Ugonjwa huu pia hujulikana k**a saratani ya kipofu huwapata wanaume tu na hasa wenye umri wa takriban miaka 50 na kuendelea.
Saratani hii imethibitika kushika nafasi ya pili, ukiachia mbali saratani ya mapafu kwa kusababisha vifo vya wanaume wenye umri wa takriban miaka 50 na kuendelea.
Kuna vihatarishi vingi vinavyochangia mwanaume kupata saratani ya tezi dume. Vifuatavyo ni baadhi yake: Kwanza kabisa ni umri. Nafasi ya kupata saratani ya tezi dume huongezeka sana hasa ukifikia umri wa karibu miaka 50 na kuendelea.
Nasaba ni kihatarishi kingine ambapo wanaume wenye historia ya tatizo hili kwenye familia zao, yaani wale ambao mmoja wa ndugu zao wamewahi kuugua ugonjwa huu huwa katika hatari ya kupata kansa hiyo kutokana na kurithi jeni za ugonjwa huo.
Suala jingie ni lishe ambapo wanaume wanaopenda kula nyama au (red meat) na walaji wa chakula chenye kiasi kikubwa cha mafuta hasa ya wanyama huwa katika hatari kubwa ya kupata saratani ya tezi dume.
Pia wanaume wasiopenda kufanya mazoezi, wanene na wenye upungufu wa virutubisho vya Vitamin E wako kwenye hatari zaidi ya kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
Nao wakulima wanaotumia aina fulani ya mbolea za kemikali, wanaofanya kazi katika viwanda vya kutengeneza matairi na wachimbaji madini, hususan aina ya cadmium hao wamo hatarini kupata saratani hii.

Viungo vya uzazi ya mwanaume vimegawanyika katika sehemu kuu mbili. Kuna viungo vya uzazi vya nje na vile vya ndani.
Viungo vya uzazi vya nje ni vile tunavyoviona k**a uume na mfuko wa korodani.
Viungo vya uzazi vya ndani ni mirija ya mbegu za kiume ambacho ni kifuko cha akiba cha mbegu na tezi dume au tezi ‘Prostate’.
TEZI HIZI ZINA SIFA ZIPI?
Ina umbo k**a yai (oval shape)
Ina ukubwa wenye vipimo hivi, upana 4cm na unene 3cm ingawaje hivi vipimo vinatofautiana kwa kila mwanaume.
Tezi hii ipo inazunguka shingo ya kibofu cha mkojo na kuzunguka mrija unaopeleka mkojo nje(urethra)
Tezi hii hua yenye ukubwa wa kawaida lakini huongezeka ukubwa kadri ya umri.
Tezi hii hutengeneza majimaji yenye rutuba ya mbegu za kiume (shahawa)
Viungo hivi vyote vina umuhimu mkubwa kwa mwanaume katika kumfanikisha kuweza kufanya tendo la ndoa kwa ufanisi pamoja na uzalishaji wa mbegu za kiume.Matatizo yakitokea katika sehemu yeyote hapo humuathiri mwanaume inategemea wapi athari ilipo.
Athari ni kushindwa kufanya tendo la kujamiiana na kuzalisha mbegu au manii. Manii ni majimaji yanayolisha mbegu za kiume na kuzisafisha na huzalishwa na tezi dume.
Chanzo cha tatizo
Hutegemea mahali linapoathirika. Matatizo hutokea popote katika viungo vya uzazi vya mwanaume iwe nje au ndani.
Uume
Matatizo kwenye uume ni kupata maumivu katika njia ya mkojo kutokana na maambukizi au kuumia njia ya mkojo.Mwanaume mwenye tatizo hili hulalamika maumivu wakati wa kukojo, muwasho katika njia ya mkojo na mkojo kutotoka vizuri.
Kuumia kutokana na kuingiziwa mrija wa mkojo mara kwa mara katika njia ya mkojo.
Maambukizi inaweza kuwa na U. T. I. za mara kwa mara na magonjwa mengine
MATIBABU :Operation hufanyika katika kuondoa sehemu yenye tatizo ilo pia huacha madhara kwa mfanyiwaji

SULUHISHO :Food supplements tafiti huonesha kunavirutubisho ambavyo huweza kuzuia kujitokeza kwa tatizo hilo iwapo utatumia vizuri na kwa uangalifu. Tumia angalau kopo mbili za food supplement kwa mwaka kujikinga na tezi hii k**a bado hujapata ugonjwa huu.

KWA USHAURI ZAIDI NAKUPATA FOOD SUPLEMENT. Wasiliana nasi 0713051747

UFANYE NINI UNAPOKUMBWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?Unapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya ...
26/02/2023

UFANYE NINI UNAPOKUMBWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?

Unapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu za kiume kwani nguvu za kiume SIYO UGONJWA k**a malaria au kisukari kwamba unahitaji dawa. Kukosa nguvu za kiume inaonyesha tu kuwa mwili wako umekosa virutubisho (lishe) muhimu ya kutosha. Ukipata tu hutokaa uone shida ya nguvu za kiume. Upe mwili wako virutubisho muhimu.

Sasa kwa kawaida ili kutatua changamoto za uzazi kwa mwanaume tungeweza kutumia tu lishe ya matunda na mbogamboga na mazoezi tu k**a babu zetu wa zamani.

Hata hivyo changamoto kubwa ni kuwa vyakula vingi dunia ya leo vinaandaliwa kwa kutumia kemikali za viwandani kuanzia mbolea, dawa za kuua wadudu na za uhifadhi.

Hivyo kemikali hizo zinafanya kazi kinyume chako na kudhoofisha mifumo ya mwili wako na kufanya usiwe ba afya bora na hata usifurahie tendo la ndoa tena.

Ndiyo maana kwa kuona hilo kuna virutubisho maalumu vilivyoandaliwa kitaalamu pasipo kutumia kemikali hizo ili kuusupport mwili wako urudi sawa uwe mwenye afya imara tena na uufurahie uanaume wako katika mahusiano yako.

Tutakupa pia elimu ya ziada ya afya ili uweze kuwa balozi mzuri kwa wengine wanaohangaika kwa muda mrefu.

Wasiliana nasi kupitia namba hii 0713051747

TIBA YA  MIFUPA NA MAUNGIO KWA  WASUMBULIWAO NAMAUMIVU YA NYONGA,  KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?  MSHAURI: +2557130...
26/02/2023

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?

MSHAURI: +255713051747
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti

Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.

SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)

1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.

MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;

1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.

Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,+255713051747

K**a unasumbuliwa na changamoto ya kiafya miongoni mwa changamoto hizo hapo chini wasiliana nasi tukusaidie kupona tatiz...
18/05/2022

K**a unasumbuliwa na changamoto ya kiafya miongoni mwa changamoto hizo hapo chini wasiliana nasi tukusaidie kupona tatizo lako
Wasiliana nasi kwa namba 0713051747

K**a unapitia katika changamoto hii ya kupata choo kigumu na umetafuta suluhisho kwa mda mrefu bila mafanikio tafadhali ...
18/05/2022

K**a unapitia katika changamoto hii ya kupata choo kigumu na umetafuta suluhisho kwa mda mrefu bila mafanikio tafadhali wasiliana nami nitakusaidia kuondokana na changamoto yako kwani nimewasaidia watu wengi Sana kupona tatizo hili
WASILIANA NAMI KWA NAMBA 0713051747

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBONINI VIDONDA VYA TUMBO?Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda ...
19/04/2022

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

NINI VIDONDA VYA TUMBO?
Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika k**a peptic ulcers. Vidonda hivi hutokea kutokana na mashambulizi ya bakteria wanaoitwa Helicobacter pylori (H.pylori) au kulika kwa ukuta wa tumbo kutokanana na athari za tindikali zilizopo tumboni (stomach acids) k**a vile tindikali ya hydrocloric yaani hydrocloric acid. Kwa wakati tulio nao hili ni tatizo la kawaida maana limewapata watu wengi na halisabababishi vifo vya watu wengi k**a maaradhi ya saratani na kisukari.

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda hivi vimegawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni:-
1.Gastric ulcers hivi hutokea ndani ya tumbo la chakula
2.Esophageal ulcers hivi hutokea ndani ya esophagus. Hii ni sehemu inayounganisha kati ya koo la chakula na tumbo la chakula.
3.Duodenal ulcers hivi hutokea kwenye sehemu ya juu ya utumbo mdogo inayoitwa duodenum
Vidonda vya tumbo ni pamoja na:

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO
Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H. pylori) na utumiaji wa dawa za muda mrefu za aspirini na aina za dawa ziitwazo nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs) ni k**a (Advil, Aleve, na nyingine).

Stress (msongo wa mawazo) na vyakula vyenye viungo havisababishi vidonda vya tumbo. Walakini, vinaweza kufanya dalili zako kuwa mbaya zaidi.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Dalili hizi hutofautiana kulingana na aina za vidonda. Ila hapa nitaorodhesha baadhi ambazo ni kawaida kwa vidonda hivi.
1.maumivu ya tumbo kutokea kitomvuni mpaka kifuani
2.Kukosa hamu ya kula
3.Kutoka na damu na kupata choo cheusi sana au chenye damu
4.Kupungua uzito bila sababu
5.Kutapika na kutapika damu
6.kupata kiungulia mara kwa mara.
7.Tumbo kujaa gesi.
8.Kuchoka sana

Tunda la ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi amb...
10/03/2022

Tunda la ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana faida kubwa sana katika afya ya mwili wa mwanadamu.

NAMNA YA KUTENGENEZA JUISI YA UKWAJU.

Nunua ukwaju wako, ukwaju unapatikana kwa wingi sana masokoni na kwenye supermarkets
Andaa maji kwenye dishi na uoshe kidogo tuu baada ya kuuosha chukua ukwaju wako weka kwenye sufuria yenye maji ya saizi na injika jikoni uache uchemke kwa dakika 10/15 ili uuwe vijidudu
Ipua ukwaju wako jikoni na uache kwa muda upoe andaa maji yako masafi na chujio ili uweze kuchuja juice yako kwa uangalifu zaidi ili upate juice yenyewe
Weka sukari kwa kiasi unachopendelea pia ili kupunguza ukali unaweza ukaweka hiliki au vanila ili kupata taste weka juice yako kwenye fridge ili ipoe tayari kwa kunywa.

FAIDA YA JUISI YA UKWAJU.

Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
Husaidia kurahisisha choo (laxative)
Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)

ZIJUE FAIDA ZA TUNDA LA PERA PAMOJA NA MAJANI YAKEKati ya mimea yenye faida kubwa katika mwili wa mwanadamu ni tunda la ...
10/03/2022

ZIJUE FAIDA ZA TUNDA LA PERA PAMOJA NA MAJANI YAKE

Kati ya mimea yenye faida kubwa katika mwili wa mwanadamu ni tunda la pera ni moja wapo. Majani ya tunda la mpera yakitumiwa vizuri yanaweza kukuletea matokeo ya kushangaza katika nywele hasa kwa watu wenye tatizo la kukatika kwa nywele na mwili kwa ujumla
Majani ya mpera yana kiwango kikubwa cha Vitamin C, Vitamin A, fiber na potassium.
Wanawake wengi wanaopenda urembo wa nywele wamekuwa wakihangaika na ‘steaming’ za bei mbaya kisa tu kujaza nywele kichwani na kuzifanya zisikatike,
Wasiokuwa na muda wa saluni na wasiokuwa na hela hizi ni habari njema kwao kwamba majani ya mpera ni mazuri kwa kukuza nywele na kuzitibu zile zinazokatika.

Jinsi ya kuyatengeneza k**a dawa
Chukua majani yanayotosha kwenye kiganja chako kisha weka kwenye sufuria yenye lita moja ya maji, chemsha kwa muda wa dakika 15 mpaka 20.
Baada ya hapo, yaache yapoe kisha paka kwenye nywele zako kuanzia kwenye mzizi wa nywele mpaka mwisho.


Ukimaliza fanyia masaji nywele zako k**a mtu anayepaka mafuta nywele zote.
Baada ya hapo unaweza kuacha kwa muda k**a steaming kisha ukaosha.
Fanya hivi mara kwa mara, walau mara 3 kwa juma, naamini utaona mabadiliko.

FAIDA PIA ZA MATUNDA YAKE (MAPERA YENYEWE)
Mapera ni miongoni mwa matunda yenye kiwango kizuri cha vitamin C pamoja na vitamin A na inaelezwa kuwa kiwango cha vitamin C kinachopatikana ndani ya pera ni mara nne ya kiwango cha vitamin hiyo kinachopatikana kwenye chungwa.
Pia mapera yamesheheni virutubisho mbalimbali ikiwa ni pamoja na vitamin B2, E na K pamoja na madini ya chuma, ‘copper’, ‘potassium’ na ‘manganese.’
Kwa mujibu wa utafiti uliowahi kuchapishwa na Jarida la Journal of Human Hypertension mwaka 1993 ulieleza kuwa tunda aina ya pera hupunguza kiwango cha msukumo mkubwa wa damu ndani ya mwili yaani ‘High Blood Pressure’ hii ni kwa sababu ya madini ya potassium na vitamin C ambayo husaidia kuweka sawa msukumo wa damu ndani ya mwili.
1. Utajiri wa Vitamin C:


Mapera yana utajiri mkubwa wa Vitamin C ambayo ni muhimu sana katika mwili wa mwanadamu.
2. Ni kinga nzuri ya kisukari.
Ulaji wa watu wengi unawaweka katika hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari lakini matumizi ya mapera yatakupunguzia hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari Hii ni kwa sababu mapera yana utajiri mkubwa sana wa Fibre.
Fibre ni muhimu sana katika kupunguza kiasi cha sukari kwenye damu. Vilevile ni muhimu sana katika kuusafisha mfumo wa usagaji
3. Kuimarisha Uwezo Wa Kuona
Mapera yana utajiri mkubwa sana wa Vitamin A au Retinol ambayo ni muhimu sana katika kusaidia kuona vizuri.
Hivyo basi k**a ilivyo kwa karoti, mapera yanasaidia sana katika kuongeza na kuimarisha uwezo wa mtu kuona.
4. Kusaidia katika Uzazi
Mapera yana madini yaitwayo Folate ambayo husaidia katika kurutubisha mayai ya uzazi..
5. Kurekebisha Kiwango Cha Shinikizo la Damu
Madini ya Potassium yaliyomo ndani ya mapera yanasaidia katika ku-normalise shinikizo la damu (Blood Pressure)
Ndizi na mapera vina kiwango cha potassium sawa.
6. Utajiri mkubwa wa Madini Ya Shaba
Mapera yana madini ya shaba (Trace element copper) ambayo ni mazuri sana katika ku- maintain ufanyaji kazi wa tezi ziitwazo thyroid.
Tezi za thyroid zisipofanya kazi vizuri zinaweza kusababisha matatizo mengi ya kiafya kwa mwanadamu.
7. Utajiri wa Madini Ya Manganese
Mapera yana utajiri mkubwa wa madini ya manganese ambayo yanausaidia mwili katika kunyonya ama kupata virutubisho muhimu kutoka kwenye vyakula tunavyo kula.
Chakula tunachotumia kikitumika vizuri mwilini, tunapata virutubisho vyote muhimu k**a vile biotini, vitamin nakadhalika
8. Kuusadia mwili na akili katika ku–relax
Mapera yana utajiri mkubwa wa madini ya magnesium ambayo hufanya kazi ya kuvifanya akili na mwili wa mwanadamu viweze ku relax. Unashauriwa kutumia mapera baada ya kazi nzito. Hii itasaidia katika kuufanya mwili na akili yako kupumzika
9. Mapera ni muhimu katika afya ya akili ya mwanadamu.
Vitamin B3, Vitamin B6 ambazo zinapatikana ndani ya tunda la mpera muhimu katika kuimarisha afya ya akili ya mwanadamu.
Mapera yatasaidia kuufanya ubongo wako u relax
10. NI MUHIMU KATIKA NGOZI YA MWANADAMU
Vitamin C, viondoa sumu na karotini ambavyo vyote vinapatikana ndani ya tunda la mpera ni muhimu sana katika kuimarisha afya ya ngozi.
K**a hiyo haitoshi, kokwa la mpera huwa linatumika katika kutengeneza vipodozi na losheni kwa ajili ya matumizi ya mwanadamu.
FAIDA 16 ZA MAJANI YAKE
1. Chai ya majani ya mpera inaponyesha kifua na kikohozi,
Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu muwasho uliotokana na mzio (allergy)
Pia majani haya ya mpera yakichemshwa k**a chai yanaondoa cholesterol iliyozidi mwilini
Chai ya majani ya mpera inapunguza kiwango cha tatizo la sukari mwilini
Chai ya mpera ni dawa nzuri kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume
Pia inatumika k**a scrub ya uso chukua majani ya mpera saga kisha tia maji kiasi na inasaidia kuondoa uchafu usoni
7. Pia majani ya mpera yakichemshwa ni dawa ya kuponyesha tumbo la kuhara
8. K**a umejikata kidogo unaweza kutumia majani ya mpera yaliyoshwa na kusagwa vizuri kwa kupunguza maumivu na kukulinda na maambukizi ya bakteria
9. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu eneo la mwili lililong’atwa na mdudu na kupunguza maumivu
10. Chai ya majani ya mpera inaaminika kuwa ina uwezo wa kutibu tezi dume
11. Kutokana na kuwa na vitamini C kwa wingi majani ya mpera yana uwezo mkubwa wa kutibu chunusi
12. Chai ya majani ya mpera inasaidia kupunguza uzito mwilini na kuzuia uharibifu ndani ya sukari mwilini
13. Majani ya mpera yanajaza nywele na kurefusha nywele kwa watu wenye tatizo la kukatika kwa nywele, unasaga na kuchemsha kisha acha yapoe ndio upake kichwani kutoka chini ya ngozi ya kichwa hadi kwenye ncha ya nywele zako
14. Ukiwa na tatizo la vidonda kwenye ufizi, maumivu ya jino na ufizi tafuna majani ya mpera na utaona maajabu ya majani haya
15. Chukua majani ya mpera saga vizuri mpaka yawe laini kabisa ongeza na maji kidogo kisha tumia kupaka usoni k**a scrub inatibu ngozi inayoanza kuzeeka mapema
16. Chai ya mpera inasaidia kwa kutibu mvurugiko wa tumbo.
Pamoja na majani hayo kuwa msaada wa kutibu maradhi mbalimbali , halikadhalika juisi ya mapera nayo husaidia sana kutibu mgolo au bawasiri, figo na hata kuondoa mafuta katika moyo.
Kimsingi mti wa mpera karibu kila sehemu yake ni tiba kwani hata mizizi yake inapochemshwa na kutumia kwa kunywa huenda kuwasaidia wanawake wenye matatizo ya hedhi au wenye matatizo ya kutokwa na maji yenye harufu mbaya sehemu zao za siri.
Sanjari na hayo, watoto wadogo wenye matatizo ya kutopata choo zaidi ya siku mbili, wakinyweshwa maji ya majani hayo baada ya kuchemshwa huwasaidia kuondokana na shida hiyo, lakini ni vyema kuwasiliana na wataalam wa tiba asili kabla ya kuamua kutumia majani hayo k**a tiba kwa mtoto.

Nimewahudumia watu wengi sana kupona  bawasiri,wengi wao wanasema anapata choo kigumu ila wachache kwa sababu ya ujauzit...
24/02/2022

Nimewahudumia watu wengi sana kupona bawasiri,wengi wao wanasema anapata choo kigumu ila wachache kwa sababu ya ujauzito,k**a ulikua hujui bawasiri ni nini, kwa Nina jingine huwa inaitwa MGOLO au kwa Nina LA kiingereza huitwa HAEMORRHOID au PILES hii ni hali inayotokea pale kinyama kinajitokeza eneo LA Haja kubwa hali hii huambatana na maumivu,muwasho na hata kutoka kwa damu kipindi unapata choo,

Watu wengi niliowahudumia huwa na bawasiri ya nje ambayo kinyama kinatoka.nje kabisa na kinaonekana au bawasiri ya ndani ambapo kinyama kinakuwa bado nje

Watu wengi ninaowahudumia huwa hawajui kuwa tatizo lao ni la mfumo wa chakula na huwezi kutatua BAWASIRI bila kurekebisha mfumo wako wa chakula

Nimewasaidia watu wengi sana kurekebisha mfumo wako wa chakula kwa kutumia na kuondoa kabisa bawasiri bila upasuaji

Usisubiri hadi bawasiri iwe sugu ndio uamue kujitibia

Ushauri,na kuondoa tatizo kabisa bila upasuaji nicheki kwa 0713051747 AFYA YA MWANAUME

UGONJWA WA BAWASIRI DALILI ZAKE  MADHARA NA TIBA YAKEBAWASIRI NI NINI?Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka...
18/02/2022

UGONJWA WA BAWASIRI DALILI ZAKE MADHARA NA TIBA YAKE

BAWASIRI NI NINI?
Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo nk

▶️Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu .

*DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI*

1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6. Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya

*MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI*

▶️ Uzito kupita kiasi(Overweight)
▶️ Ujauzito
▶️ Unywaji pombe
▶️ Kukaa sana sehemu ngumu
▶️ Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume na maumbile).
▶️ Kujisaidia Choo Kigumu. Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji mbovu
▶️ Kula sana nyama nyekundu
▶️ Presha ya kupanda
▶️ Kula sana pilipili
▶️ Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo

AINA ZA BAWASIRI* ⤵️
-Kuna aina 2 za Bawasiri k**a ifuatavyo⤵⤵⤵⤵

1⃣. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2️⃣.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa
Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵

HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.

HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda

HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.

*ATHARI ZA BAWASIRI*
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
7.Kutopata ujauzito
8 Mimba kuharibika
9 Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
10 Mwili kudhoofika

BAWASIRI INATIBIKA BILA UPASUAJI K**A UNATATIZO HILO NIPIGIE 0713051747 NIKUSAIDIE NIMEWASAIDIA WATU WENGI KUPONA

02/02/2022

BORESHA TENDO LA NDOA PAMOJA NA TATIZO LA UZAZI KWA WANAUME

🌷🌷X POWER MAN PLUS & MICRO2 CYCLE🌹& PROSTATE RELAX &ZAMINOCAL PLUS &X POWER COFFEE

0713051747 Hizi ni dawa maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume pamoja na wanaume wenye matatizo ya uzazi
Dawa hizi hufanya kazi zifuatazo:-

✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa

✅Hufungua Mirija
Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu

✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume

✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama

✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo

✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi

✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu

✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege

✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto

✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume

Huongeza uzalishaji wa mbegu za kiume hivyo huondoa tatizo la mbegu chache

Husaidia tezi dume kutengeneza majimaji ambayo yanalinda mbegu za kiume

Husaidia kutengeneza umbo sahihi la mbegu za kiume

Ni Asili yenye viambata zaidi ya Vinne
🍎Haina Madhara yeyote Na huongeza kinga
Kwa mwanaume mwenye changamoto hizo Nipigie nikusaidie
TUNAPATIKANA ILALA BOMA DAR ES SALAM PIA TUNATUMA MZIGO MIKOA YOTE YA TANZANIA

31/01/2022

BAWASIRI (kinyama Haja Kubwa)

Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

ATHARI ZA BAWASIRI

-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume.

OFISI ZETU ZIPO ILALA DAR ES SALAAM PIA TUNAFANYA DELIVERY MIKOA YOTE NDANI YA MASAA 24 KWA UAMINIFU MKUBWA
Tupigie 0713051747 tukusaidie

WATU WANAPONA KILA INAPOITWA LEO.

31/01/2022

TIBA NA SULUHISHO LA VINDONDA VYA TUMBO SUGU

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Maumivu ya tumbo ya kuchoma au ya kunyonga ambayo huanza dakika 45 hadi saa 1 baada ya kula chakula. Mara nyingi ukinywa maji maumivu ya tumbo huisha au ukitapika au kula kitu cha alkaline mfano kulamba majivu au baking soda hutuliza tumbo.
2. Maumivu haya ya tumbo wakati mwingine hukuamsha usiku wa manane hasa saa saba au nane usiku.
3. Maumivu chini ya kifua (chembe moyo), ambayo hutembea mpaka kwenye uti wa mgongo. Maumivu haya hufanana na kiungulia, au maumivu ya mtu mwenye njaa kali.
4. Dalili zingine ni maumivu ya kichwa, kichefuchefu, maumivu ya uti wa mugongo kucheua nyongo.

DALILI MBAYA YA VIDONDA VYA TUMBO.
Wengi wanaopata vidonda vya tumbo huwa wanapuuzia dalili za mwanzo za vidonda vya tumbo. Na asilima kubwa hugundulika pale anapoanza kutapika damu au vitu vyeusi au kujisaidia kinyesi cha langi ya dawa au kahawa.
Ukianza kutapika damu au vitu vyeusi, au ukianza kujisaidia kinyesi chenye damu, hii ni dalili mbaya kabisa maana sasa vidonda vinatoa damu. K**a hii hali haitatibiwa haraka, unaweza kutoka damu hadi kufa (kifo).
NAMNA YA KUJICHUNGUZA
Je? Una vidonda vya tumbo. Hii ni njia ya kujichunguza
1. Ukipata maumivu ya tumbo, kunywa kijiko kimoja cha maji ya limao. K**a maumivu yakipungua basi hauna vidonda vya tumbo, lakini maumivu yakiongezeka basi ujue una vidonda vya tumbo na asidi nyingi tumboni.
2. Je Unapenda vyakula vichachu k**a ndimu, limao au maembe yasiyokomaa? K**a unaenda hivyo basi una aside kidogo tumboni, k**a huvipendi, wewe una aside nyimgi tumboni, na k**a havikupi shida hivyo vyakula basi wewe uko vizuri.
VITU VYA KUEPUKA UKIWA NA VIDONDA VYA TUMBO.
I. Kuepuka mazingira yote yanayoleta hofu, wasiwasi, mawazo na hasira. Jitahidi kutulia na kuridhika hata k**a uko kwenye changamoto zinazokusonga. Tuliza akili.
II. Usile vyakula vya kukaanga,majani ya chai, kahawa iwe chai au juisi, chumvi, chocolate, vinyaji baridi,. Usinywe maziwa ya ng’ombe, usivute sigara au kuwa karibu na wanaokunya, la sivyo havitapona.
III. Chumvi huchefua tumbo,hivyo huongeza vidonda kwenye tumbo la chakula lakini sio kwenye utumbo mdogo.
IV. Vyakula vyenye sukari nyingi, mkate mweupe pia hochochea asidi nyingi kuzalishwa
📲PATA SULUHISHO LA VINDONDA VYA TUMBO SUGU KWA KUTUMIA DAWA ZENYE VIRUTUBISHO LISHE ASILIA KWA WINGI 👉 NIPIGIE SASA 0713051747 NIKUSAIDIE

Address

ILALA
Dar Es Salaam

Telephone

+255783148453

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health Solution Natural products posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health Solution Natural products:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram