
01/12/2024
*FAHAMU JUU YA TATIZO LA PRESHA YA KUPANDA NA YA KUSHUKA PAMOJA NA MATIBABU YAKE*
*Magonjwa ya moyo, presha ya kupanda/presha ya kushuka/presha.*
*Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.*
*Aina za presha.*
*Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;*
*1️⃣PRESHA YA KUPANDA*
*2️⃣PRESHA YA KUSHUKA.*
*PRESHA YA KUPANDA.*
*Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.*
*Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.*
*SABABU KUU ZA KUPANDA KWA PRESHA*
*1️⃣Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.*
*2️⃣Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.*
*3️⃣Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi*
*4️⃣Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.*
*5️⃣uzito mkubwa,unene na kitambi.*
*DALILI ZA PRESHA KUPANDA*
*1️⃣Kushikwa na kizunguzungu*
*2️⃣Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida*
*3️⃣Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.*
*4️⃣Kutokuona vizuri (kuona ukungu).*
*MADHARA YATOKANAYO NA PRESHA KUPANDA*.
*1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).*
*2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure)*
*3️⃣Kiharusi(stroke)*
*4️⃣ Kuharibika kwa ubongo.*
*Kwa upande mwingine;*
*PRESHA YA KUSHUKA.*
*Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.*
*Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa k**a presha iliyoshuka.*
*Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;*
*🔘Matatizo ya homoni.*
*🔘Maradhi ya moyo pamoja na maambukizo ya vishipa vya damu.*
*🔘Kisukari.*
*🔘Kubeba Ujauzito.*
*🔘Ukosefu wa virutubisho mwilini k**a vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k*
*🔘Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo.*
*Na moja ya dalili za presha hii ni k**a vile;*
*🔘Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu*
*🔘Maumivu ya kifua pamoja na homa kali*
*🔘Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).*
*🔘Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.*
*Moja ya madhara yanayotajwa* *yatokanayo na presha hii ni mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na* *viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.*
*Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.*
*✔️Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)*
*✔️Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa k**a Heroine*
*✔️Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).*
*✔️Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)*
*✔️Punguza unene au uzito uriokithiri kwa kutumia veggie veggie & Detoxilive *
*MATIBABU YA PRESHA_TUMIA MICRO2 CYCLE NA PURE & BROKEN KUTIBU NA KUPONA KABSA TATIZO LA PRESHA*
*FAIDA ZA MICRO2 CYCLE TABLETS & PURE*
*● Huzuia Damu kuwa nzito isivyo kawaida*
*● Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (capillary) kwa urahisi*
*● Ni nzuri kwa kukinga na kuondoa stroki,Pumu,Presha na kupona kabsa*
*● Inasaidia oxygen na virutubisho kusambazwa kwa urahisi /Huzuia KUSINYAA KWA MISHIPA YA DAMU*
*● Huongeza ufanisi wa mwili kuweza kujiponya wenyewe*
*● Huondoa mafuta ya Lehemu( Cholestral)kwenye kuta za mishipa ya damu*
*● Huongeza ufanisi wa macho kuona vizuri*
*● Huzuia kuganda kwa damu*
*● Huondoa maumivu ya miguu yanayotokana na kuziba kwa mishipa midogo.*
*● Huimarisha mfumo wa Neva ...*
*● NZURI KWA WASIOPATA USINGIZI *
*● Nzuri kwa wenye MAUMIVU YA KICHWA MARA KWA MARA*
Kwa tiba au ushauri juu ya afya ya mwili wako
Nicheck whas/call
+255755677474