Makiriaafyacare

Makiriaafyacare Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Makiriaafyacare, Medical and health, Mbezi kimara, Dar es Salaam.

Tunatoa tiba ya
✅ Mifupa
✅Maungio
✅Nyonga
✅Kiuno
✅Pingili kusagika
✅Gauti
✅ Rheumatoid arthritis
✅Oestroposis

kwa wanawake na wanaume kwa Kutumia tiba
zisizo na Kemikali

Kupunguza UzitoUzito kupita kiasi huongeza mzigo kwa nyonga, magoti, na viungo vingine.Kupunguza uzito huleta nafuu ya h...
22/07/2025

Kupunguza Uzito

Uzito kupita kiasi huongeza mzigo kwa nyonga, magoti, na viungo vingine.

Kupunguza uzito huleta nafuu ya haraka kwa wale wenye maumivu ya joints na kiuno.

Mimi Mwenye kujali Afya yako Daktari Makiria 0692624471

MPENDWAHongera kwa kupata Nafasi ya kuona mwezi wa 6, nakutakia mafanikio mema wewe na familia yako. Kumbuka kutunza Afy...
01/06/2025

MPENDWA

Hongera kwa kupata Nafasi ya kuona mwezi wa 6, nakutakia mafanikio mema wewe na familia yako.

Kumbuka kutunza Afya yako, Mtu bila Afya hawezi kufanya lolote duniani.

Mimi Mwenye kujali Afya yako Daktari Makiria 0692624471.




𝐏𝐫𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐣𝐮𝐮 (𝐚𝐮 𝐬𝐡𝐢𝐧𝐢𝐤𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐝𝐚𝐦𝐮 𝐥𝐚 𝐣𝐮𝐮 — 𝐡𝐲𝐩𝐞𝐫𝐭𝐞𝐧𝐬𝐢𝐨𝐧) ni hali ya kiafya ambayo, ikiwa haitatibiwa au kudhibitiwa vi...
17/05/2025

𝐏𝐫𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐣𝐮𝐮 (𝐚𝐮 𝐬𝐡𝐢𝐧𝐢𝐤𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐝𝐚𝐦𝐮 𝐥𝐚 𝐣𝐮𝐮 — 𝐡𝐲𝐩𝐞𝐫𝐭𝐞𝐧𝐬𝐢𝐨𝐧) ni hali ya kiafya ambayo, ikiwa haitatibiwa au kudhibitiwa vizuri, inaweza kusababisha madhara makubwa kwa mwili. Haya ni baadhi ya madhara yake:

1. 𝐊𝐢𝐡𝐚𝐫𝐮𝐬𝐢 (𝐒𝐭𝐫𝐨𝐤𝐞)

Presha ya juu huongeza hatari ya mishipa ya damu kupasuka au kuziba kwenye ubongo, jambo ambalo husababisha kiharusi.

2. 𝐌𝐚𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐨𝐲𝐨

Presha ya juu hufanya moyo ufanye kazi kwa nguvu zaidi, hali inayoweza kusababisha:

Moyo kuwa mkubwa (left ventricular hypertrophy)

Moyo kushindwa kufanya kazi vizuri (heart failure)

Mshtuko wa moyo (heart attack)

3. 𝐌𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐟𝐢𝐠𝐨

Mishipa midogo ya damu kwenye figo huharibika kutokana na presha ya juu, na kusababisha figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).

4. 𝐔𝐩𝐨𝐟𝐮 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐜𝐡𝐨

Presha ya juu huweza kuharibu mishipa ya damu kwenye

Kwa muda mrefu, presha ya juu inaweza kuathiri mzunguko wa damu kwenye ubongo, na kusababisha matatizo ya kumbukumbu au hatari ya ugonjwa wa akili uzeeni k**a vile dementia.

6. 𝐄𝐫𝐞𝐜𝐭𝐢𝐥𝐞 𝐝𝐲𝐬𝐟𝐮𝐧𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 (𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐦𝐞)

Shinikizo la damu linaweza kuathiri mtiririko wa damu kwenye viungo vya uzazi na kusababisha tatizo la kutokuwa na nguvu za kiume.

𝐍𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐦𝐚 𝐩𝐫𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚, 𝐤𝐮𝐳𝐢𝐧𝐠𝐚𝐭𝐢𝐚 𝐥𝐢𝐬𝐡𝐞 𝐛𝐨𝐫𝐚, 𝐤𝐮𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐚 𝐜𝐡𝐮𝐦𝐯𝐢, 𝐤𝐮𝐞𝐩𝐮𝐤𝐚 𝐦𝐬𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐰𝐚𝐳𝐨, 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐳𝐨𝐞𝐳𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐢𝐝𝐡𝐢𝐛𝐢𝐭𝐢

MAUMIVU YA VIUNGO, KIUNO, MGONGO NA MIGUU KUWAKA MOTO?Je, unakabiliwa na changamoto k**a:Maumivu ya viungoMikono au migu...
28/04/2025

MAUMIVU YA VIUNGO, KIUNO, MGONGO NA MIGUU KUWAKA MOTO?

Je, unakabiliwa na changamoto k**a:

Maumivu ya viungo

Mikono au miguu kuwaka moto

Kukak**aa kwa misuli

Maumivu ya kiuno au mgongo

Haya ni matatizo yanayowakumba:
✔ Wazee
✔ Wanamichezo
✔ Wenye uzito mkubwa
✔ Wapenzi wa mazoezi na kunyanyua vyuma (wana gym)

CHANZO CHA TATIZO:
Umri unavyosonga mbele, mwili hupunguza uzalishaji wa maji maalum ya viungo (Synovial fluid) na kuharibu cartilage (gegedu). Hali hii husababisha msuguano wa mifupa unaoleta maumivu makali, ugumu wa kutembea, kukimbia, au hata kuinuka.

UGONJWA WA ARTHRITIS:

Husababishwa na:

Uharibifu wa cartilage

Upungufu wa Synovial fluid

Maambukizi au uzito mkubwa

Dalili huanza taratibu lakini hukua haraka, ikiwemo:
✔ Maumivu baada ya shughuli au mapumziko ya muda mrefu
✔ Kukak**aa kwa viungo hasa asubuhi
✔ Ugumu wa kufanya shughuli za kila siku

USIKUBALI MAUMIVU YAWE SEHEMU YA MAISHA YAKO!
Tuna suluhisho sahihi kwa changamoto hizi.

TUPIGIE LEO:
📞 0692624471
Kwa msaada wa haraka

AFYA NI BORA KULIKO PESA✅Watu wengi wanatafuta pesa Sana kuliko kujali Afya zao, pasipo kujua msingi wa kupata pesa ni k...
24/04/2025

AFYA NI BORA KULIKO PESA

✅Watu wengi wanatafuta pesa Sana kuliko kujali Afya zao, pasipo kujua msingi wa kupata pesa ni kutokana na Afya njema.

✅Je unajua kuwa Magonjwa mengi yanatokana na Nini unakula au kunywa Kila siku?

Ndio vyakula na vinjwaji unavyotumia Kila siku ndivyo vinavyojenga Mwili wako, kukiona Mwili wako ni dhaifu jua Matokeo ni kutokana na vyakula unavyotumia.

✅Hivyo jali Afya yako kwa kuwa mwangalifu wa vyakula na vinywaji unavyotumia Sababu vinaweza kujenga Afya yako au kubomoa.

Mimi Mwenye kujali Afya yako

Daktari Makiria 0692624471

Uwe na sikukuu njema kwako na Familia yako.
20/04/2025

Uwe na sikukuu njema kwako na Familia yako.


UMUHIMU WA MAZIWA KWA AFYA YA MIFUPAMifupa imara ni msingi wa mwili wenye nguvu na afya. Ili kuhakikisha mifupa inaendel...
13/04/2025

UMUHIMU WA MAZIWA KWA AFYA YA MIFUPA

Mifupa imara ni msingi wa mwili wenye nguvu na afya. Ili kuhakikisha mifupa inaendelea kuwa imara na yenye afya, lishe bora ni jambo la msingi—na mojawapo ya vyakula muhimu katika hili ni maziwa.

Kwa nini maziwa ni muhimu kwa mifupa?

Chanzo bora cha kalsiamu
Maziwa yana kiwango kikubwa cha kalsiamu, madini muhimu kwa ukuaji na uimara wa mifupa. Mwili wa binadamu unahitaji kalsiamu kila siku ili kuimarisha na kutunza uzito wa mifupa.

Husaidia kufyonzwa kwa kalsiamu kupitia vitamini D
Maziwa mengi huongezewa vitamini D, ambayo husaidia mwili kufyonza kalsiamu kwa ufanisi zaidi. Hii huchangia kwa kiasi kikubwa katika kuzuia udhaifu wa mifupa.

Hupunguza hatari ya magonjwa ya mifupa
Unywaji wa maziwa mara kwa mara unaweza kusaidia kuzuia magonjwa k**a osteoporosis, hasa kwa watu wazima na wazee. Ugonjwa huu husababisha mifupa kuwa dhaifu na kuvunjika kwa urahisi.

Huchangia ukuaji wa mifupa kwa watoto na vijana
Katika hatua za ukuaji, watoto na vijana wanahitaji virutubisho vya kutosha kujenga mifupa imara. Maziwa ni miongoni mwa vyanzo bora vya virutubisho hivyo.

Protini kwa ujenzi wa mifupa
Mbali na kalsiamu na vitamini D, maziwa yana protini ambayo ni muhimu kwa ukuaji wa tishu mbalimbali mwilini, ikiwemo mifupa.

Hitimisho:
Unywaji wa maziwa kila siku ni njia rahisi lakini yenye nguvu ya kuimarisha afya ya mifupa. Hii ni muhimu kwa kila mtu—kutoka kwa watoto, vijana, watu wazima hadi wazee.

Kwa ushauri na matibabu ya mifupa na maungio 0692624471

𝙏𝘼𝙃𝘼𝘿𝙃𝘼𝙍𝙄!Leo ni maadhimisho ya siku ya ugonjwa wa Figo Duniani, yani Kila inapofika Tarehe 13.03Siku hii huadhimishwa k...
13/03/2025

𝙏𝘼𝙃𝘼𝘿𝙃𝘼𝙍𝙄!

Leo ni maadhimisho ya siku ya ugonjwa wa Figo Duniani, yani Kila inapofika Tarehe 13.03

Siku hii huadhimishwa kwa kutoa Elimu kwa watu kufahamu kiundani kuhusu ugonjwa huu wa Figo.

Kwa Leo naomba nikukumbushe mpendwa kulinda Afya yako Ili kuepuka ugonjwa huu.

Takwimu nchini Tanzania zinaonyesha kuwa watanzania 7% wanaugua ugonjwa wa figo.

Kuna vyanzo vikuu 2 AMBAVYO kusababisha tatizo la Figo navyo ni

1.Kisukari

2.Shinikizo la juu la Damu au chini

Muhimu.

𝐄𝐏𝐔𝐊𝐀
matumizi holela ya Kutumia Dawa za maumivu Kila mara, Sababu nazo ni chanzo Cha Kufeli kwa figo Sababu ya chanzo kikubwa Cha sumu.

𝐌𝐢𝐦𝐢 𝐌𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐤𝐮𝐣𝐚𝐥𝐢 𝐀𝐟𝐲𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐨
𝐌𝐚𝐤𝐢𝐫𝐢𝐚𝐀𝐟𝐲𝐚𝐂𝐚𝐫𝐞 𝟎𝟔𝟗𝟐𝟔𝟐𝟒𝟒𝟕𝟏


04/03/2025

𝐓𝐀𝐇𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐈!

Kwa mujibu wa Shirika la kimataifa la Mifupa yani (Osteoporosis) inakadiriwa kuwa watu million 200 duniani kote wameathirika na udhaifu wa mifupa.

𝐇𝐢𝐢 𝐢𝐧𝐚𝐦𝐚𝐚𝐧𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐦𝐤𝐞 𝐦𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚𝐭𝐮 𝐧𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐦𝐞 𝐦𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚𝐧𝐨 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 𝟒𝟓 𝐚𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐭𝐡𝐢𝐫𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐡𝐮𝐮.

Ili usiendelee kupata madhara zaidi kujua k**a una tatizo hili la mifupa na maungio ni lazima ujue k**a una dalili hizi

1. 𝐌𝐚𝐮𝐦𝐢𝐯𝐮 𝐦𝐚𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐮𝐧𝐠𝐢𝐨

2. 𝐌𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚 𝐤𝐢𝐬𝐚𝐠𝐚𝐧𝐚 𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐠𝐞𝐠𝐞𝐝𝐮

3.𝐊𝐮𝐤𝐚𝐤𝐚𝐦𝐚𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐮𝐧𝐠𝐢𝐨 𝐲𝐚 𝐦𝐢𝐠𝐮𝐮 𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐭𝐞𝐭𝐞 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐮𝐧𝐠𝐢𝐨.

4. 𝐊𝐮𝐭𝐨𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐧𝐚𝐦𝐚 𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐮𝐦𝐢𝐯𝐮 𝐦𝐚𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐠𝐨𝐧𝐠𝐨 & 𝐊𝐢𝐮𝐧𝐨

5. 𝐊𝐮𝐭𝐨𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐲𝐚𝐧𝐲𝐮𝐚 𝐯𝐢𝐭𝐮 𝐯𝐢𝐳𝐢𝐭𝐨 (𝐧𝐝𝐨𝐨 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐣𝐢

Ukiachana na Dalili hizi ambazo inawezekana umeona unazo, lakini Kuna madhara ya kupuuzia kutibu tatizo la Mifupa na maungio.

Kwa Leo nitakuonyesha baadhi ya madhara 3 kati ya mengi yaliopo.

1.𝐇𝐚𝐭𝐚𝐫𝐢 𝐊𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐊𝐮𝐯𝐮𝐧𝐣𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐌𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚

2.𝐔𝐥𝐞𝐦𝐚𝐯𝐮 𝐰𝐚 𝐊𝐮𝐝𝐮𝐦𝐮

3.𝐌𝐚𝐮𝐦𝐢𝐯𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐝𝐮𝐦𝐮 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐞𝐦𝐛𝐞𝐚

K**a unajiona unadalili moja wapo kati ya hizi na hutaki kuja kupata madhara Zaidi ya haya niliokutajia , Sasa ni muda mwafaka kutafuta suluhisho la tatizo lako kabla halijawa kubwa na kukugarimu zaidi

𝐓𝐮𝐧𝐚𝐭𝐨𝐚 𝐨𝐟𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝟓 𝐰𝐚 𝐊𝐰𝐚𝐧𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐚𝐭𝐢𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐦𝐢𝐚 𝟓𝟎 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐳𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐰𝐚 𝐑𝐚𝐦𝐚𝐝𝐡𝐚𝐧 𝐧𝐚 𝐊𝐰𝐚𝐫𝐞𝐬𝐦𝐚

Ili kuwa kati ya watu 5 wa Kwanza kupata ofa hii

𝐏𝐢𝐠𝐚 𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐥𝐞𝐨 𝟎𝟔𝟗𝟐𝟔𝟐𝟒𝟒𝟕𝟏 𝐤𝐮𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐨𝐟𝐚 𝐡𝐢𝐢

Au
𝐍𝐣𝐨𝐨 𝐰𝐡𝐚𝐭𝐬𝐚𝐩𝐩 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐛𝐨𝐧𝐲𝐞𝐳𝐚 𝐬𝐞𝐧𝐝 𝐦𝐞𝐬𝐬𝐚𝐠𝐞𝐬 𝐥𝐞𝐨

Address

Mbezi Kimara
Dar Es Salaam

Telephone

+255692624471

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Makiriaafyacare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram