Makiriaafyacare

Makiriaafyacare Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Makiriaafyacare, Medical and health, Mbezi kimara, Dar es Salaam.

Tunatoa tiba ya
✅ Mifupa
✅Maungio
✅Nyonga
✅Kiuno
✅Pingili kusagika
✅Gauti
✅ Rheumatoid arthritis
✅Oestroposis

kwa wanawake na wanaume kwa Kutumia tiba
zisizo na Kemikali

Tunakutakia Sikukuu njema pamoja na familia yako kumbuka kutunza Afya yako.
26/12/2025

Tunakutakia Sikukuu njema pamoja na familia yako kumbuka kutunza Afya yako.




📌𝐉𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 𝟒𝟎+ 𝐌𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐡𝐮𝐩𝐨𝐭𝐞𝐳𝐚 𝐯𝐢𝐫𝐮𝐭𝐮𝐛𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐦𝐮𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞  𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚? Ndio maana watu wengi wanapata MAUMIVU y...
13/12/2025

📌𝐉𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 𝟒𝟎+ 𝐌𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐡𝐮𝐩𝐨𝐭𝐞𝐳𝐚 𝐯𝐢𝐫𝐮𝐭𝐮𝐛𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐦𝐮𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚?

Ndio maana watu wengi wanapata MAUMIVU ya magoti, mgongo na viuno

Je wewe ni Mmoja wapo au una ndugu, jamaa au rafiki Mwenye Changamoto hii?

𝐓𝐮𝐦𝐞𝐰𝐚𝐬𝐢𝐝𝐢𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐦𝐞 𝟏𝟎𝟎𝟎𝟎+ Wenye MAUMIVU ya Mifupa, magoti na joints

𝐊𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐜𝐡𝐨𝐬𝐡𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐠𝐡𝐚𝐫𝐚𝐦𝐚 𝐊𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐢𝐛𝐮 𝐛𝐢𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐨𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚

Wasiliana nasi kwa
Bonyeza hapa 👇Leo
https://wa.me/255692624471

Kumbuka kutunza Afya yako, itunze leo ikutunze kesho
09/12/2025

Kumbuka kutunza Afya yako, itunze leo ikutunze kesho



Tunajali Afya yako karibu Tukuhudumie Leo
09/12/2025

Tunajali Afya yako karibu Tukuhudumie Leo










Kwa ushauri na Matibabu ya Mifupa na maungio wasiliana nasi Leo 0692624471Tunza mifupa yako kwa kula vyakula Sahihi na k...
05/12/2025

Kwa ushauri na Matibabu ya Mifupa na maungio wasiliana nasi Leo 0692624471

Tunza mifupa yako kwa kula vyakula Sahihi na kufanya mazoezi






Je ni wewe au ndugu yako  yuko na Changamoto gani kati ya hizo tajwa hapo juu? Hayo ni Magonjwa yanayoongoza kwa kumaliz...
24/09/2025

Je ni wewe au ndugu yako yuko na Changamoto gani kati ya hizo tajwa hapo juu?

Hayo ni Magonjwa yanayoongoza kwa kumaliza maisha ya watu

Takwimu zinaonyesha kati ya watu 3 Mtu 1 amefariki kwa ugonjwa Mmoja wapo hapo juu

Chukua tahadhari Leo, Mimi Mwenye kujali Afya yako Makiriaafyacare 0692624471

Hii ni pointi muhimu sana 👍. Dawa za maumivu (painkillers) mara nyingi hutumiwa na watu wenye changamoto za mifupa na ma...
09/09/2025

Hii ni pointi muhimu sana 👍. Dawa za maumivu (painkillers) mara nyingi hutumiwa na watu wenye changamoto za mifupa na maungio (mfano arthritis, osteoporosis, au maumivu ya viungo). Ingawa zinaweza kusaidia kupunguza maumivu ya haraka, zikichukuliwa kwa muda mrefu bila ushauri wa daktari zinaweza kusababisha madhara yafuatayo:

🩺 Madhara ya dawa za maumivu kwa wenye changamoto za mifupa na maungio:

1. Kuficha tatizo halisi

Dawa hupunguza maumivu tu, hazitibu chanzo cha ugonjwa wa mifupa. Hii inaweza kuchelewesha matibabu sahihi.

2. Kuumiza tumbo na figo

Dawa za kundi la NSAIDs (k**a diclofenac, ibuprofen, aspirin) zikitumika muda mrefu huongeza hatari ya vidonda vya tumbo, kutokwa na damu tumboni, na kuathiri figo.

3. Kuathiri moyo na presha ya damu

Baadhi ya dawa huongeza presha ya damu na hatari ya matatizo ya moyo.

4. Kulevya au kutegemea dawa

Dawa za kundi la opioids (k**a tramadol, morphine) huweza kusababisha utegemezi, yaani mtu akawa anahitaji dawa kila mara hata k**a maumivu si makali.

5. Kuharibu ini

Dawa zenye paracetamol zikizidi kipimo zinaweza kuharibu ini, hasa kwa wale wanaotumia kila siku au kuchanganya na pombe.

6. Kudhoofisha mifupa zaidi

Utafiti unaonyesha matumizi ya muda mrefu ya baadhi ya dawa yanaweza kupunguza uwezo wa mifupa kujijenga upya, hivyo kuongeza hatari ya mifupa kupasuka (fractures).

Kwa ushauri na Matibabu bila Upasuaji 0692624471 Makiriaafyacare

Kupunguza UzitoUzito kupita kiasi huongeza mzigo kwa nyonga, magoti, na viungo vingine.Kupunguza uzito huleta nafuu ya h...
22/07/2025

Kupunguza Uzito

Uzito kupita kiasi huongeza mzigo kwa nyonga, magoti, na viungo vingine.

Kupunguza uzito huleta nafuu ya haraka kwa wale wenye maumivu ya joints na kiuno.

Mimi Mwenye kujali Afya yako Daktari Makiria 0692624471

MPENDWAHongera kwa kupata Nafasi ya kuona mwezi wa 6, nakutakia mafanikio mema wewe na familia yako. Kumbuka kutunza Afy...
01/06/2025

MPENDWA

Hongera kwa kupata Nafasi ya kuona mwezi wa 6, nakutakia mafanikio mema wewe na familia yako.

Kumbuka kutunza Afya yako, Mtu bila Afya hawezi kufanya lolote duniani.

Mimi Mwenye kujali Afya yako Daktari Makiria 0692624471.




𝐏𝐫𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐣𝐮𝐮 (𝐚𝐮 𝐬𝐡𝐢𝐧𝐢𝐤𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐝𝐚𝐦𝐮 𝐥𝐚 𝐣𝐮𝐮 — 𝐡𝐲𝐩𝐞𝐫𝐭𝐞𝐧𝐬𝐢𝐨𝐧) ni hali ya kiafya ambayo, ikiwa haitatibiwa au kudhibitiwa vi...
17/05/2025

𝐏𝐫𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐣𝐮𝐮 (𝐚𝐮 𝐬𝐡𝐢𝐧𝐢𝐤𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐝𝐚𝐦𝐮 𝐥𝐚 𝐣𝐮𝐮 — 𝐡𝐲𝐩𝐞𝐫𝐭𝐞𝐧𝐬𝐢𝐨𝐧) ni hali ya kiafya ambayo, ikiwa haitatibiwa au kudhibitiwa vizuri, inaweza kusababisha madhara makubwa kwa mwili. Haya ni baadhi ya madhara yake:

1. 𝐊𝐢𝐡𝐚𝐫𝐮𝐬𝐢 (𝐒𝐭𝐫𝐨𝐤𝐞)

Presha ya juu huongeza hatari ya mishipa ya damu kupasuka au kuziba kwenye ubongo, jambo ambalo husababisha kiharusi.

2. 𝐌𝐚𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐨𝐲𝐨

Presha ya juu hufanya moyo ufanye kazi kwa nguvu zaidi, hali inayoweza kusababisha:

Moyo kuwa mkubwa (left ventricular hypertrophy)

Moyo kushindwa kufanya kazi vizuri (heart failure)

Mshtuko wa moyo (heart attack)

3. 𝐌𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐟𝐢𝐠𝐨

Mishipa midogo ya damu kwenye figo huharibika kutokana na presha ya juu, na kusababisha figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).

4. 𝐔𝐩𝐨𝐟𝐮 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐜𝐡𝐨

Presha ya juu huweza kuharibu mishipa ya damu kwenye

Kwa muda mrefu, presha ya juu inaweza kuathiri mzunguko wa damu kwenye ubongo, na kusababisha matatizo ya kumbukumbu au hatari ya ugonjwa wa akili uzeeni k**a vile dementia.

6. 𝐄𝐫𝐞𝐜𝐭𝐢𝐥𝐞 𝐝𝐲𝐬𝐟𝐮𝐧𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 (𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐦𝐞)

Shinikizo la damu linaweza kuathiri mtiririko wa damu kwenye viungo vya uzazi na kusababisha tatizo la kutokuwa na nguvu za kiume.

𝐍𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐦𝐚 𝐩𝐫𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚, 𝐤𝐮𝐳𝐢𝐧𝐠𝐚𝐭𝐢𝐚 𝐥𝐢𝐬𝐡𝐞 𝐛𝐨𝐫𝐚, 𝐤𝐮𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐚 𝐜𝐡𝐮𝐦𝐯𝐢, 𝐤𝐮𝐞𝐩𝐮𝐤𝐚 𝐦𝐬𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐰𝐚𝐳𝐨, 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐳𝐨𝐞𝐳𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐢𝐝𝐡𝐢𝐛𝐢𝐭𝐢

MAUMIVU YA VIUNGO, KIUNO, MGONGO NA MIGUU KUWAKA MOTO?Je, unakabiliwa na changamoto k**a:Maumivu ya viungoMikono au migu...
28/04/2025

MAUMIVU YA VIUNGO, KIUNO, MGONGO NA MIGUU KUWAKA MOTO?

Je, unakabiliwa na changamoto k**a:

Maumivu ya viungo

Mikono au miguu kuwaka moto

Kukak**aa kwa misuli

Maumivu ya kiuno au mgongo

Haya ni matatizo yanayowakumba:
✔ Wazee
✔ Wanamichezo
✔ Wenye uzito mkubwa
✔ Wapenzi wa mazoezi na kunyanyua vyuma (wana gym)

CHANZO CHA TATIZO:
Umri unavyosonga mbele, mwili hupunguza uzalishaji wa maji maalum ya viungo (Synovial fluid) na kuharibu cartilage (gegedu). Hali hii husababisha msuguano wa mifupa unaoleta maumivu makali, ugumu wa kutembea, kukimbia, au hata kuinuka.

UGONJWA WA ARTHRITIS:

Husababishwa na:

Uharibifu wa cartilage

Upungufu wa Synovial fluid

Maambukizi au uzito mkubwa

Dalili huanza taratibu lakini hukua haraka, ikiwemo:
✔ Maumivu baada ya shughuli au mapumziko ya muda mrefu
✔ Kukak**aa kwa viungo hasa asubuhi
✔ Ugumu wa kufanya shughuli za kila siku

USIKUBALI MAUMIVU YAWE SEHEMU YA MAISHA YAKO!
Tuna suluhisho sahihi kwa changamoto hizi.

TUPIGIE LEO:
📞 0692624471
Kwa msaada wa haraka

Address

Mbezi Kimara
Dar Es Salaam

Telephone

+255692624471

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Makiriaafyacare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram