25/05/2022
BAWASIRI/KIKUNDU (HAEMORHOIDS)
BAWASIRI NI NINI? https://wa.link/fl8n91
Ni mkusanyiko wa damu ndani ya njia ya haja kubwa (mkundu na puru) katika sinusoid za ateri na vena za njia ya haja kubwa. Ikumbukwe kwamba mifumo hii ya damu ni ya kawaida na kila binadamu anazo. Mifumo hio ya damu ya ndani ya njia ya haja kubwa ikijaa damu ndipo inavimba na inakua bawasiri au vijivimbe laini ndani ya njia hiyo. Watu wengi sana wana bawasiri na kwa kua hazinaga dalili basi hata watu wengi hawajijui k**a wana hali hii.Bawasiri huwapata sana watu kuanzia miaka 30 hadi 65;chini ya miaka 20 au juu ya miaka 70 ni ngumu sana kupata bawasiri. Ikumbukwe kwamba bawasiri zipo sana na k**a hazikupi shida yeyote wala hazihitaji matibabu ya aina yeyote
AINA ZA BAWASIRI
👉BAWASIRI ZA NDANI(INTERNAL HAEMORHOIDS)
👉BAWASIRI ZA NJE(EXTERNAL HAEMORHOIDS)
👉BAWASIRI MCHANGANYIKO(MIXED HAEMORHOIDS)
WALIOPO KWENYE HATARI YA KUPATA BAWASIRI
👉Wanaoharisha sana(diarrhea)
👉Wajawazito( pregnancy)
👉Wanaopata choo kigumu kwa muda mrefu(chronic constipation)
👉Wanaokaa muda mrefu kwenye kiti( prolonged sitting)
👉Watu wenye kiribatumbo(obesity)
👉Wanaofanya mapenzi ya njia ya haja kubwa(a**l in*******se)
👉Wanaonyanyua vitu vizito(Regular heavy lifting)
👉Watu wenye maisha mazuri na wasomi(Higher socioeconomic status)
👉Waliofanyiwa operesheni ya aina yeyote ya mkunduni(Rectal surgery)
👉Wenye magonjwa ya ini(Hepatic disease)
👉Watu wenye saratani ya utumbo mpana(Colon malignancy)
👉Wenye presha ya puru(Elevated a**l resting pressure)
👉Wenye presha ya Ini(Portal hypertension
ATHARI ZA BAWASIRI
🔹Upungufu wa damu mwilini
🔹Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
🔹kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
🔹kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
🔹kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
🔹Kupata tatizo la kisaikolojia
NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI
🔹Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
🔹kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
🔹Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
🔹Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
➡️matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI *BODY SYSTEM* na *BAWASIR LIQUID* hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri
ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU
EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI
MADHARA YA BAWASIRI
➡️Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri
➡️KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
➡️KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI
➡️HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU
➡️HUATHIRI KISAIKOLOJIA
MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
➡️KUPATA KANSA YA YTUMBO✍ hayo ni mambo ya msingi sana kuyajua kabla ya kujua tiba
AFYA KWANZA HERBAL CLINIC TUPO KWAAJILI YA KUKUPATIA TIBA YA BAWASIR WW UNAYESUMBULIWA NA TATIZO HILI TUPIGIE SASA KWA NAMBA ZIFUATAZO:-
+255 652402949 Call 📞
WhatsApp --->>> https://wa.link/fl8n91
https://wa.link/fl8n91
https://wa.link/fl8n91
TUPO DARESALAAM KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZI TUNATAZAMANA NA DUKA LA NGUO LA SANDALEND THE ONLY ONE 🏨 NYOTE MNAKARIBISHWA. https://wa.link/fl8n91