09/01/2024
Wanawake wanaapitia katika vipindi mbalimbali vya ukuaji na katika vipindi hivyo hukutana na changamoto nyingi Sana za kiafya kutokana na maumbile yao.
Kuanzia kwenye kuvunjanungo,kuolewa,kuzaa na kukoma hedhi wanawake wanakutananna changamoto nyingi Sana za mfumo WA uzazi.
Mwanamke hakikisha unalinda afya yako ya uzazi ili usije kupata madhara makubwa katika maisha yako na kushindwa kupata mtoto kabisa.
Jali afya yako mapema,kuwa msafi,vaa nguo za ndani za cotton na hakikisha unatumia vyoo visafi.
K**a umeshapata au kuna mtu UNAMFAHAMU anachangamoto ZA afya ya uzazi tafadhali wasikiana nami Kwa +(255) 657045331.
#