Afya ni Utajiri

Afya ni Utajiri Tunatoa ushauri na tiba kwa magonjwa ya mfumo wa Uzazi kwa mwanaume hasa TEZI DUME NA NGUVU ZA KIUME. MkwayaClinic-Afya Yako Ni Utajiri No 1
wa.me/255657045331

28/12/2025

27/12/2025

Ni hali ambayo kibofu cha mkojo kinashindwa kuuzuia mkojo kwa muda unaotakiwa, au mtu anahisi mkojo mara kwa mara lakini unapotoka unatoka kidogo au kwa shida. Wengine huhisi kibofu kimejaa, lakini mkojo haupati kutoka vizuri.



Dalili Kuu
• Kuhisi haja ndogo mara kwa mara
• Mkojo kutoka kidogo kidogo
• Kujikojolea bila kutaka (hasa kwa wazee au baada ya kujifungua)
• Kuhisi kibofu kimejaa lakini mkojo hausogei
• Maumivu chini ya tumbo au kwenye kibofu
• Kuamka usiku mara nyingi kwenda kukojoa



Sababu Zinazoweza Kusababisha

Kwa wanaume:
• Tezi dume (prostate) kuvimba au kuongezeka
• Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)
• Misuli ya kibofu kudhoofika
Usichukulie poa hali ni Mbaya kwa Afya ya uzazi kwa Mwanaume.

Wasiliana nasi kwa huduma na ushauri wa kitabibu
+255657045331.
゚ #255657045331

26/12/2025

🚨 USIPUUZE DALILI ZA HIZI ZA TEZI DUME 🚨

❌ Unakojoa mara kwa mara hasa usiku?
❌ Mkojo unatoka kidogo kidogo au kwa kusita?
❌ Unahisi kibofu hakimalizi mkojo?
❌ Una maumivu ya kiuno, mgongo au chini ya kitovu?
❌ Nguvu za kiume zimepungua ghafla?

⚠️ Dalili hizi zinaweza kuashiria tatizo la tezi dume (Prostate).
Kadri unavyochelewa kuchukua hatua, ndivyo tatizo linavyozidi kuathiri afya na ndoa.

✅ Habari njema:
Tezi dume inatibika bila upasuaji endapo utachukua hatua mapema.

📞 Wasiliana nasi leo
📲 0657 045 331
🏥 Mkwaya Clinic
💬 AFYA YAKO NI UTAJIRI NO 1
゚ #255657045331

25/12/2025
Afya yako Njema ndo furaha Yetu Mkwaya Clinic, Wahi punguzo kubwa la Christmass Ambalo halijawahi kutokea na la kufungwa...
24/12/2025

Afya yako Njema ndo furaha Yetu Mkwaya Clinic, Wahi punguzo kubwa la Christmass Ambalo halijawahi kutokea na la kufungwa mwaka.

CHRISTMASS OFFERS;
1.Discount 30%
2.Free Consultation
3.Christmass Gift
Usikoseee Offer hizi wahi mapema
Tarehe 24-27 Siku 4 tu na kwa watu 10 tu wa kwanza
Piga 0657045331.

19/12/2025

TEZI DUME SIO JAMBO LA KUONEA AIBU.

Wanaume wengi wanateseka kimya kimya.
Kuamka usiku kukojoa,
mkojo kutoka kidogo kidogo,
maumivu ya chini ya tumbo,
kupungua nguvu za kiume…

Lakini bado unasema, “itaisha tu.”

👉 Ukweli ni huu:
Tezi dume ni suala la afya, sio udhaifu.
Kujitunza mapema ni ujasiri, sio aibu.
Kuchelewa kutafuta msaada ndiko kunaleta madhara makubwa.

👨‍⚕️ Mwanaume wa kweli:
✔ Anasikiliza mwili wake
✔ Hachukui dalili poa
✔ Anachagua tiba mapema

Usinyamaze. Chukua hatua leo.
Afya yako ni heshima yako.

📞 Wasiliana nasi: +255657045331
🏥 Mkwaya Clinic
✨ AFYA YAKO NI UTAJIRI NO 1.
゚ #255657045331

17/12/2025

Maumivu na magonjwa hujaumbiwa mwanaume.
Wahi mapema k**a unapata dalili ambazo sio za kawaida ili uwahi matibabu na changamoto isiwe kubwa zaidi.

Wasialiana nasi Mkwaya clinic kwa +255657045331 kwa ushauri,vipimo na tiba kupitia program yetu ya TBU.
゚ #255657045331

16/12/2025

゚ #

11/12/2025

゚ #

06/12/2025

Vyakula a INAWEZA kuwa sababu ya Changamoto zetu tunazozupitia au vikaongeza zaidi Changamoto zetu.

Njoo ujifunze tukusikilize na kukupatia Tiba ya changamoto yako na Namna Nzuri ya kula ili kutibu tatizo lako.

Wasilaina nasi Mkwaya Clinic +255657045331
゚ TikTok

04/12/2025

Huduma zetu zinakugikia popote ulipo.

Karibu tukusikilize na kukuhudumia kwa Upendo mkubwa.

Hufuma zetu zitakufikia popote ulipo,ndnai na nje ya nchi,kwa urahisi,salana na uaminifu mkubwa.wasiliana nasi kwa +255657045331
゚ #255657045331

02/12/2025

゚ #255657045331

Address

Makumbusho Bus Stand
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 17:00
21:00 - 18:00

Telephone

+255763377079

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni Utajiri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram