Koudijs Animal Nutrition - Tanzania

Koudijs Animal Nutrition - Tanzania Koudijs is an organization with a leading position in the Animal nutrition industry, focused on the

11/04/2026

Ufugaji wa Kuku Kibiashara

Endelea kutumia bidhaa za Koudijs kwa matokeo yenye tija katika ufugaji wako.

Chagua ubora, Chagua Koudijs.

Kwa Msaada Zaidi tafadhali wasiliana nasi;
0654 300 863 - Nyanda za Juu Kusini
0652 405 880 - Ukanda wa Kaskazini
0684 798 748 - Ukanda wa Pwani
0765 321 406 - Kanda ya Ziwa

ASHE NALE ARUSHA🙏🏽Tunapenda kuwashukuru wafugaji wote mliohudhuria Semina ya Ufugaji wa Kuku na Nguruwe kibiashara leo T...
14/03/2026

ASHE NALE ARUSHA🙏🏽

Tunapenda kuwashukuru wafugaji wote mliohudhuria Semina ya Ufugaji wa Kuku na Nguruwe kibiashara leo Tarehe 14/03/2026, Arusha.

Endelea kutumia bidhaa kutoka Koudijs kwa matokeo yenye tija katika ufugaji wako🔥

Ahsanteni sana.

08/03/2026

HERI YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Leo tunasherehekea nguvu, ujasiri na mafanikio ya wanawake duniani kote. Mwanamke akisimama, jamii yote inainuka.



TAARIFA KWA WATEJA WETU.
07/03/2026

TAARIFA KWA WATEJA WETU.

Wafugaji wa Kaskazini, hii ni zamu yenu.Koudijs Animal Nutrition inakualika kwenye Semina ya Ufugaji wa Nguruwe na Kuku ...
23/02/2026

Wafugaji wa Kaskazini, hii ni zamu yenu.

Koudijs Animal Nutrition inakualika kwenye Semina ya Ufugaji wa Nguruwe na Kuku Kibiashara itakayofanyika 14/03/2026 katika Ukumbi wa Golden Rose Hotel, kuanzia saa 2:30 asubuhi.

Kwenye semina hii, Utajifunza namna ya kutengeneza chakula cha mifugo chenye ubora kwa gharama nafuu, uchaguzi wa mbegu bora, na kinga dhidi ya magonjwa.

📞 Jiandikishe mapema kupitia namba:
0717 999 377 | 0652 405 880
au Tembelea duka la Wakala wa Koudijs lililo karibu yako

⚠️ Semina hii ni bure, Jiandikishe mapema, nafasi chache.
NB: Chakula cha mchana na vinywaji vitakuwepo.

Chagua Ubora, Chagua Koudijs.

WAKORA BUKOBA🙏🏽Tunapenda kuwashukuru wafugaji wote mliohudhuria Semina ya Ufugaji wa Kuku na Nguruwe kibiashara leo Tare...
21/02/2026

WAKORA BUKOBA🙏🏽

Tunapenda kuwashukuru wafugaji wote mliohudhuria Semina ya Ufugaji wa Kuku na Nguruwe kibiashara leo Tarehe 21/02/2026, Bukoba.

Awamu inayofuata ni Arusha, Tarehe 14/03/2026.

Endelea kutumia bidhaa kutoka Koudijs kwa matokeo yenye tija katika ufugaji wako🔥

Ahsanteni sana.

Chagua ubora🔥, Chagua Koudijs❤️Kwa msaada zaidi kuhusu bidhaa zetu, tafadhali wasiliana nasi;0654 300 863 - Nyanda za Ju...
14/02/2026

Chagua ubora🔥, Chagua Koudijs❤️

Kwa msaada zaidi kuhusu bidhaa zetu, tafadhali wasiliana nasi;

0654 300 863 - Nyanda za Juu Kusini
0652 405 880 - Ukanda wa Kaskazini
0684 798 748 - Ukanda wa Pwani
0765 321 406 - Kanda ya Ziwa

#2026

10/02/2026

Chagua Ubora, Chagua Koudijs

Endelea kutumia virutubisho kutoka Koudijs kwa matokeo yenye tija katika ufugaji wako.

Kwa Msaada Zaidi tafadhali wasiliana nasi;
0654 300 863 - Nyanda za Juu Kusini
0652 405 880 - Ukanda wa Kaskazini
0684 798 748 - Ukanda wa Pwani
0765 321 406 - Kanda ya Ziwa

#2026

Vacancy       #2026
05/02/2026

Vacancy

#2026

02/02/2026

Chagua Ubora, Chagua Koudijs

Endelea kutumia virutubisho kutoka Koudijs kwa matokeo yenye tija katika ufugaji wako.

Kwa Msaada Zaidi tafadhali wasiliana nasi;
0654 300 863 - Nyanda za Juu Kusini
0652 405 880 - Ukanda wa Kaskazini
0684 798 748 - Ukanda wa Pwani
0765 321 406 - Kanda ya Ziwa

#2026 FeedingPerformance

Wafugaji wa Kanda ya Ziwa, hii ni zamu yenu.Koudijs Animal Nutrition inakualika kwenye Semina ya Ufugaji wa Nguruwe na K...
27/01/2026

Wafugaji wa Kanda ya Ziwa, hii ni zamu yenu.

Koudijs Animal Nutrition inakualika kwenye Semina ya Ufugaji wa Nguruwe na Kuku Kibiashara itakayofanyika 21/02/2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Hotel, kuanzia saa 2:30 asubuhi.

Kwenye semina hii, Utajifunza namna ya kutengeneza chakula cha mifugo chenye ubora kwa gharama nafuu, uchaguzi wa mbegu bora, na kinga dhidi ya magonjwa.

📞 Jiandikishe mapema kupitia namba:
0717 999 377 | 0783 127 406 | 0786 571 954
au Tembelea duka la Wakala wa Koudijs lililo karibu yako

⚠️ Semina hii ni bure, Jiandikishe mapema, nafasi chache.
NB: Chakula cha mchana na vinywaji vitakuwepo.

Chagua Ubora, Chagua Koudijs.

Wafugaji wa Kanda ya Ziwa, hii ni fursa yenu!Koudijs Animal Nutrition inakualika kwenye Semina ya Ufugaji wa Nguruwe na ...
27/01/2026

Wafugaji wa Kanda ya Ziwa, hii ni fursa yenu!

Koudijs Animal Nutrition inakualika kwenye Semina ya Ufugaji wa Nguruwe na Kuku Kibiashara itakayofanyika 21/02/2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Hotel, kuanzia saa 2:30 asubuhi.

Kwenye semina hii, Utajifunza namna ya kutengeneza chakula cha mifugo chenye ubora kwa gharama nafuu, uchaguzi wa mbegu bora, na kinga dhidi ya magonjwa.

📞 Jiandikishe mapema kupitia namba:
0717 999 377 | 0783 127 406 | 0786 571 954
au Tembelea duka la Wakala wa Koudijs lililo karibu yako

⚠️ Semina hii ni bure, Jiandikishe mapema, nafasi chache.
NB: Chakula cha mchana na vinywaji vitakuwepo.

Chagua Ubora, Chagua Koudijs.

Address

Vingungguti Vawandani, Ilala Municipal Council
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Koudijs Animal Nutrition - Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram