Afya ya muonekano

Afya ya muonekano Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ya muonekano, Medical and health, Makumbusho, Dar es Salaam.

Karibu sana ndugu
Kwa changamoto ya Kupunguza uzito
Kuwa na muonekano mzuri
Kukupa kinga ya mwili
Na changamoto za uzazi
Wasiliana nasi kupitia Whatsapp namba +255764225170

Je unachangamoto ya uzito ulio zidi 💁 na je unafanya mazoezi lakn matokeo huyapat vile unataka kuwa .Usichoke karbu nina...
29/11/2021

Je unachangamoto ya uzito ulio zidi 💁 na je unafanya mazoezi lakn matokeo huyapat vile unataka kuwa .
Usichoke karbu ninayo program ambayo itakupatia matokea ndani ya siku 9 tu .na ukihitaj kuendelea na programu nyingine zipo .
kwa ushaur zaidi tuma neno afya yangu kwenda 📞+255764225170

Tujitahidi kupenda ngozi zetu , kwahili jua jamn.hata K**a unakaa kivulini jitahid kupata kitu hich bora zaid kwa ngozi ...
26/11/2021

Tujitahidi kupenda ngozi zetu , kwahili jua jamn.hata K**a unakaa kivulini jitahid kupata kitu hich bora zaid kwa ngozi Aina zote ;
Hutojutia kutumia bidhaa hii .
Karbun saan nawapenda saan 💃🕺🕺
Haichagui inatumika kwa jisia zote
Kwa mawasiliano zaidi 0764225170

JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika ...
23/11/2021

JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?

Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress's
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo

Suluhisho sahihi la vidonda vya tumbo Ni virutubisho asilia vyenye uwezo wa kuboresha Mfumo mzima wa tumbo, kuongeza Kinga ya mwili na kuondoa mazingira ya kuzaliana bakteria wabaya.

Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp namba 0764225170au piga sim usaidiwe Mapema.

Je unajihisi vp unapokuwa na Changamoto hiyo 💁 Basi wasiliana na mm kupata virutubisho sahihi na mfumo wa maisha .Afya n...
22/11/2021

Je unajihisi vp unapokuwa na Changamoto hiyo 💁
Basi wasiliana na mm kupata virutubisho sahihi na mfumo wa maisha .
Afya ni mjat mkubwa saan 💰💰 . K**a unaumwa bas utakuwa umenielewa🙏
📞0764225170

15/11/2021

Kwa joto hili unaikosaje bidhaa bora K**a hii . Jitahidi usiwe kero kwa wenzako🙊🙊🙊🙊 .lazm uwe jasiri mbele za watu kwa kutumia bidhaa hii💃🕺
📞 0764225170 karbun saan

LIJUE TATIZO LA UKAVU UKENI NA SULUHISHO LAKEKwa kawaida uke wa mwanamke unapaswa uwe au ute ambao huongezeka wakati wa ...
11/11/2021

LIJUE TATIZO LA UKAVU UKENI NA SULUHISHO LAKE

Kwa kawaida uke wa mwanamke unapaswa uwe au ute ambao huongezeka wakati wa tendo la ndoa lakini kwa baadhi ya wanawake wamekua wakikosa raha wakati wa tendo la ndoa kutokana na uke kuwa mkavu. Sababu kubwa ya ukavu ukeni ni kushuka kwa kiwango cha homoni ya k**e ya ostrojeni ambayo ndio ina kazi ya kufanya uke uwe na ute na laini wakati wote.

SABABU ZA UKE KUWA MKAVU:
▪️Hormoni kutobalance Mwilini (hormone imbalance)
▪️ Ukomo wa hedhi.
Hii ndio sababu kuu ya uke kukosa unyevu nyevu kutokana na kushuka kwa kiwango cha homoni ya ostrojeni mwilini. Wengi hudhani tatizo litaisha baada ya mda lakini ukweli ni kwamba tatizo huongezeka siku zinavyozidi kwenda k**a halijatafutiwa ufumbuzi.

▪️Kujifungua na kunyonyesha kutokana na kushuka kwa kiwango cha ostrojeni
▪️Ukosefu wa maandalizi ya kutosha kabla ya tendo la ndoa
▪️Msongo wa mawazo, hofu, historia mbaya ya ngono na shida nyingine za kisaikolojia
▪️Matibabu ya vimbe kwenye uzazi, saratani, allergy
▪️Uvutaji wa sigara
▪️Upasuaji kuondoa mifuko ya mayai
▪️Sabuni, lotion, manukato yatumikayo ukeni
▪️Kukosa hamu ya kufanya mapenzi husababisha ukavu na ukavu husababisha kukosa hamu

UKAVU UKENI HUAMBATANNA NA DALILI NYINGINE K**A:
• Maumivu na kuungua hasa wakati wa tendo la ndoa
• Michubuko, miwasho, kuungua sehem ya ukeni
• Kutokwa matone ya dam baada ya tendo
• Kupungua kwa hamu ya tendo

MATOKEO MABAYA AU MADHARA YA UKE KUWA MKAVU
• Michubuko ukeni
• Hatari ya maambukizi ya bacteria au fungus
• UTI (maambukizi kwenye njia ya mkojo) zinazojirudia
• Kutokufika kileleni na kutokufurahia mapenzi
• Kutokujiamini na kuchukiwa na mwenza wako kwa kutompa ladha ya tendo.
Lishughulikie Mapema hilo tatizo kabla halijawa sugu.

SULUHISHO:
Tuwasiliane ,0764225170
👇

*KWA NINI MTU ATUMIE FOOD SUPPLEMENTS* Kwa nini watu wana opt kwenye food supplements.Jibu halisi la swali lako linapati...
10/11/2021

*KWA NINI MTU ATUMIE FOOD SUPPLEMENTS*

Kwa nini watu wana opt
kwenye food supplements.Jibu halisi la swali lako linapatikana katika swali kwa nini tunakula chakula?

Tunakula ili miili yetu iweze kupata virutubisho, miili ivitumie hivyo virutubisho kuupa mwili nguvu uweze kufanya kazi yake vizuri. According to World Health Organization (WHO) *Tunapaswa kula k**a ifuatavyo:*

1. nafaka ambazo hazijakobolewa (lipids and sterols)
2. mboga na matunda (fruits and vegetables) 5 to 9 types a day
3. protein
4. mafuta yasiyoganda kwa urahisi (unsaturated fats)
5. carbohydrates (sukari)

Mpangilio huo hapo juu unaashiria umuhimu wa chakula, yaani sehemu kubwa ya chakula chetu inapaswa kuwa lipids, ikifuatiwa na fruits and veg, protein, unsaturated fats na sukari.

Lakini asilimia 99 ya watu hula kinyume: sehemu kubwa tunakula sukari na mafuta yanayoganda, protein, matunda na mboga kidogo sana, nafaka zisizokobolewa ndio hatuli kabisa.

*Nini matokeo ya kula kinyume na maagizo ya WHO? MAGONJWA* :
1.Uchovu
2.Kisukari
3.Blood pressure
4.Cancer
5.Impotency
6.Heart attack
7.Stroke etc.

*Kwa nini watu wasile fresh food?*

Ukweli ni kwamba ni vigumu mno kupata virutubisho vyote vinavyotakiwa mwilini kwenye vyakula vya siku hizi.
*Kwa nini?*
Sababu ni nyingi sana mfano *uharibifu wa mazingira* umechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uwezo wa ardhi.
Pili muda wa kuvuna vyakula shambani mpaka kumfikia mlaji unachangia kwa kiasi kikubwa sana upotevu wa virutubisho. Chukulia chungwa ambalo lina vitamin c nyingi sana, dakika 15 tu baada ya kuchumwa vitamini c yote inakuwa imeondoka na kubaki fructose tu! Sasa piga hesabu wewe mwenyewe uone chungwa linalotoka Tanga kuja Dar es Salaam litakuwa katika hali gani? Na hii ni hivyo hivyo katika vyakula vyote.

*Suluhisho ninini?*

Solution ni kupata vyakula mbadala (food supplements )! Kwa nini? Kwa sababu ni vyakula halisi vimetengenezwa kwa technologia ya hali ya juu kuhakikisha mwili unapata exactly 0764225170

10/11/2021

*KWA NINI MTU ATUMIE FOOD SUPPLEMENTS*

Kwa nini watu wana opt
kwenye food supplements.Jibu halisi la swali lako linapatikana katika swali kwa nini tunakula chakula?

Tunakula ili miili yetu iweze kupata virutubisho, miili ivitumie hivyo virutubisho kuupa mwili nguvu uweze kufanya kazi yake vizuri. According to World Health Organization (WHO) *Tunapaswa kula k**a ifuatavyo:*

1. nafaka ambazo hazijakobolewa (lipids and sterols)
2. mboga na matunda (fruits and vegetables) 5 to 9 types a day
3. protein
4. mafuta yasiyoganda kwa urahisi (unsaturated fats)
5. carbohydrates (sukari)

Mpangilio huo hapo juu unaashiria umuhimu wa chakula, yaani sehemu kubwa ya chakula chetu inapaswa kuwa lipids, ikifuatiwa na fruits and veg, protein, unsaturated fats na sukari.

Lakini asilimia 99 ya watu hula kinyume: sehemu kubwa tunakula sukari na mafuta yanayoganda, protein, matunda na mboga kidogo sana, nafaka zisizokobolewa ndio hatuli kabisa.

*Nini matokeo ya kula kinyume na maagizo ya WHO? MAGONJWA* :
1.Uchovu
2.Kisukari
3.Blood pressure
4.Cancer
5.Impotency
6.Heart attack
7.Stroke etc.

*Kwa nini watu wasile fresh food?*

Ukweli ni kwamba ni vigumu mno kupata virutubisho vyote vinavyotakiwa mwilini kwenye vyakula vya siku hizi.
*Kwa nini?*
Sababu ni nyingi sana mfano *uharibifu wa mazingira* umechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uwezo wa ardhi.
Pili muda wa kuvuna vyakula shambani mpaka kumfikia mlaji unachangia kwa kiasi kikubwa sana upotevu wa virutubisho. Chukulia chungwa ambalo lina vitamin c nyingi sana, dakika 15 tu baada ya kuchumwa vitamini c yote inakuwa imeondoka na kubaki fructose tu! Sasa piga hesabu wewe mwenyewe uone chungwa linalotoka Tanga kuja Dar es Salaam litakuwa katika hali gani? Na hii ni hivyo hivyo katika vyakula vyote.

*Suluhisho ninini?*

Solution ni kupata vyakula mbadala (food supplements )! Kwa nini? Kwa sababu ni vyakula halisi vimetengenezwa kwa technologia ya hali ya juu kuhakikisha mwili unapata exactly unachotakiwa kupata (natural,

JE UNGEPENDA KUPUNGUZA UZITO NA KUONEKANA VIZURI HUKU UKIBORESHA AFYA YAKO?Watu wengi wamekuwa wakipata changamoto ya uz...
09/11/2021

JE UNGEPENDA KUPUNGUZA UZITO NA KUONEKANA VIZURI HUKU UKIBORESHA AFYA YAKO?

Watu wengi wamekuwa wakipata changamoto ya uzito. Hii hutokana na sababu mbali mbali. Sababu uzito uliopitiliza sio mzuri kiafya na unaweza kusababisha magonjwa mbali mbali hatarishi, ni muhimu kwa kila anayependa kuwa na afya njema akazingatia kuwa na uzito sahihi.

Program zetu zimewasaidia wengi sana kuboresha afya zao. Ni program salama kabisa kutumia na zimethibitishwa kwenye zaidi ya nchi 160 duniani.


Kwa ushauri wa Bure, Tuma neno UZITO Kwenda whatsapp namba 0764225170Wahi mapema usaidiwe mapema.

Amepata mabadiliko ndani ya siku 24......wewe jee umejiandaa na mabadiliko gani ndani ya siku 24? Tupigie au Whatssap 07...
08/11/2021

Amepata mabadiliko ndani ya siku 24......wewe jee umejiandaa na mabadiliko gani ndani ya siku 24?
Tupigie au Whatssap 0764225170 ili tuweze kukusaidia kwa kukupa product nzuri sana ili uweze kufikia lengo lako🔥🔥🔥

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam
14107

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya muonekano posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya muonekano:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram