Mimi na Afya yangu

  • Home
  • Mimi na Afya yangu

Mimi na Afya yangu Tunatibu kwa kutumia virutubisho lishe karibu

21/10/2022

*TATIZO LA BAWASIRI*
Ni ugonjwa unaotokana nna kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine kwenye njia ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe.
Tatizo hili huathiri watu wote ila zaidi huathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50% ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30-40.

*AINA ZA BAWASIRI*
Kuna aina mbili za bawasiri
*I. BAWASIRI YA NDANI:* Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa, huwa haiambatani na maumivu bali muwasho mkali na wengi huwa hawajitambui kuwa wana tatizo hili.
*2. BAWASIRI YA NJE:*
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu hilo pia husababisha mishipa ya damu kupasuka na damu kuganda.

*CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI*

Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha ugonjwa wa bawasiri ambavyo ni:-
I. Kupata choo kigumu
2. Kukaa kitako muda mrefu
3. Gesi kujaa tumboni
4. Magonjwa ya moyo na figo
5. Uzito kupita kiasi
6. Kufanya mapenzi kinyume na maumbile
7. Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu

*DALILI ZA BAWASIRI*
I. Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa.
2. Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
3. Kutoka uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
4. Kujitokeza kinyama katika eneo la tundu la haja kubwa
5. Choo kigumu k**a cha mbuzi
6. Kutopata choo kwa muda mrefu
7. Kutoka damu wakati wa kupata haja kubwa

*MATATIZO YA BAWASIRI*
1. Kupata upungufu wa damu
2. Kupata tatizo la kutoweza kuhimili choo
3. Hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa
4. Kuathirika kisaikolojia
5. Kukosa morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali

Kwa mawasiliano 0713934680

*🌹NINI MAANA YA PID, CHANZO, DALILI NA TIBA YA PID.**PID* Ni kifupi Cha maneno ya kiingereza *Pelvic Inflammatory Diseas...
21/10/2022

*🌹NINI MAANA YA PID, CHANZO, DALILI NA TIBA YA PID.*

*PID* Ni kifupi Cha maneno ya kiingereza *Pelvic Inflammatory Disease ( PID).*

P.I.D Ni maambukizi au uvimbe katika via vya uzazi.

*Chanzo Cha PID*

Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:- .
👉Matumizi ya antibiotics Kwa wingi,
kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote wazuri ,Na wabaya hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
👉Kadhalika ujauzito kuharibika ikiwa ni pamoja na kujifungua na kuachwa bila kusafishwa
👉 Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms( kwa baadhi ya watu) na kufanya ngono zembe.
Hapa baada ya tendo la ndoa kwa baadhi ya wanawake huwa wanapata shida na mafuta ya condom
Hivyo wanapaswa kujisafisha sana
👉 Pia *hormonal imbalance* ni chanzo moja wapo baada ya kusababisha uvimbe

*Dalili Za Ugonjwa Wa PID*

1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri .
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi wakati wa tendo la ndoa
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula

*Madhara Ya PID*

•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi

PID inatibika na kupona Kwa haraka ukipata tiba sahihi na
Ukifuata dose sahihi

Pia ni mhimu sana kutumia vitu vyenye vitamin C za kutosha

Ila ngumu kutibika usipo fuata dose sahihi na kutotambua shida ni nini.

*Mwanamke Ni Bora ukawa na shida nyingine yoyote Ila so PID* hii inauwezo wa kukuharibia maisha Yako kwa haraka sana.. Hivyo Ni Muhimu kutafuta suruhisho kwa haraka

21/10/2022

Usikubali upasuaji tezidume inatibika kwa virutubisho lishe. 0713934680

Bacter wanapo zidi kwenye mfuko wa mkojo hiyo ni UTI hupelekea. Kuharibu mfumo wa mkojo kwa mwanaume na wanawake.
20/10/2022

Bacter wanapo zidi kwenye mfuko wa mkojo hiyo ni UTI hupelekea. Kuharibu mfumo wa mkojo kwa mwanaume na wanawake.

Toa sumu katika njia ya mkojo kwa virutubisho lishe  kwa Masada . 0713934680
20/10/2022

Toa sumu katika njia ya mkojo kwa virutubisho lishe kwa Masada . 0713934680

Sabuni Bora kwa ngozi yako. Haina kemikali sumu. 1_haichubui2_huondoa chunusi na madoa3_huondoa makovu na michirizi4_huo...
20/10/2022

Sabuni Bora kwa ngozi yako. Haina kemikali sumu.
1_haichubui
2_huondoa chunusi na madoa
3_huondoa makovu na michirizi
4_huondoa fangasi na MBA
5_hufanya ngozi kuwa nyororo
6_inaondoa mikunjo mwenye ngozi
7_husaidia mapunye kupona
8_anatumia mdogo na mkubwa (hata mtoto mchanga)
9_huondoa Selina zilizokufa

20/10/2022

Jali kinywa chako kuepuka magonjwa yanayo shambulia meno.

Virutubisho vinakupa suluhisho La kudumu
15/10/2022

Virutubisho vinakupa suluhisho La kudumu

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mimi na Afya yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mimi na Afya yangu:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram