NobleDream Green Health

NobleDream Green Health Mimea asilia, ndio suluhisho la matatizo yote ya mwanadamu. NOBLEDREAM GREEN HEALTH tupo kwa ajili y

27/02/2022
Kwa mawasiliano.Whatsapp +255 621392776
28/12/2021

Kwa mawasiliano.
Whatsapp +255 621392776

Kwa mawasilianoWhatsapp +255 621392776
28/12/2021

Kwa mawasiliano
Whatsapp +255 621392776

Kwa tiba na ushauri, wasiliana nasiWhatsapp +255 621392776
28/12/2021

Kwa tiba na ushauri, wasiliana nasi
Whatsapp +255 621392776

Tibu kwa virutubisho vya asili vitakavyo poteza tatizo lako sugu.Whatsapp +255 621392776
28/12/2021

Tibu kwa virutubisho vya asili vitakavyo poteza tatizo lako sugu.
Whatsapp +255 621392776

Kwa tiba ya virutubisho asilia wasiliana nasiWhatsspp +255 621392776
28/12/2021

Kwa tiba ya virutubisho asilia wasiliana nasi
Whatsspp +255 621392776

🏥TATIZO LA TEZI DUME.Kila mwanaume anazaliwa na Tezi ya kiume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine...
29/11/2021

🏥TATIZO LA TEZI DUME.

Kila mwanaume anazaliwa na Tezi ya kiume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo.

Kazi yake kubwa ni kutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.

Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka.
Kiungo hiki kinatanuka taratibu mno. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.
Takwimu zinaonesha kuwa, kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.

📌UKUAJI WA TEZI DUME.

Ukuaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume.

Tatizo hili kwa sasa huwapata wanaume kuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.

📣📣🗳VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA.

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana, hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyopo kwenye jamii kuhusu afya bora na virutubisho. Vifuatavyo ni baadhi ya sababu zinazopelekea kuwa na tatizo la tezi dume:
📝
1.ukosefu wa lishe kamili na upungufu wa virutubisho muhimu mwilini.
2.uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini hasa katika mishipa na ogani za uzazi.
3.kutokufanya mazoezi.
4.matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara.
5.uzito mkubwa uliopindukia na kukithiri, na kitambi.
6.kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili(hormone imbalance.)
7.msongo wa mawazo.
8.magonjwa ya zinaa.
9.umri mkubwa.
10.upasuaji wa korodani, matatizo ya kimaumbile.
11.historia ya familia(kurithi.) N.k.

📍📍DALILI ZA MTU ALIYEATHIRIKA NA TATIZO LA TEZI DUME.

a)DALILI ZA AWALI.
1.kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu.
2.kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu.
3.maumivu kwenye mfumo wa mkojo.
4.kuhisi maumivu wakati wa kukojoa/haja ndogo.
5.kuhisi kibofu kimejaa mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
6.homa.
7.kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku.

b)DALILI ZA MTU ALIYEATHIRIKA.
1.maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno, na mbavu.
2.miguu kuwa dhaifu
3.kuto mudu tendo la ndoa, au kuhisi maumivu makali baada ya tendo la ndoa.
4.kushindwa kuzuia mkojo pindi unapohisi mkojo.
5.kushindwa kuzuia haja kubwa.(kinyesi cha majimaji).
6.tumbo kujaa gesi.

📮MADHARA.
1.kibofu cha mkojo kuuma, hivyo kupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na ini n.k.
2.kufunga kwa njia ya mkojo kabisa.
3.figo kushindwa kufanya kazi( kidney failure).
4.kushindwa kumudu tendo la ndoa.
5.ugumba( infertility, frigidity for men.)
6.kutokea kwa majipu sehemu ya tezi dume.
7.⚰kifo.

🍉🌶🍈🥦💊 TIBA.

Tumia tiba lishe iliyothibitishwa kisayansi na mamlaka za afya Tanzania. Epuka kubana mkojo muda mrefu, epuka vilevi, epuka kutotibu magonjwa ya njia ya mkojo n.k.

KWA WALIOPO DAR ES SALAAM fika jengo la MLIMANI TOWEL karibu na MLIMANI CITY kwa tiba na ushauri au wasiliana nasi.
KWA WALIOPO MIKOANI AU NJE YA NCHI tunaweza kukutumia bidhaa za virutubisho popote ulipo mara baada ya kupata ushauri wakitabibu na kufanya malipo.

☎️📞📲 MAWASILIANO.
WHATSAPP +255 621392776 au tuma ujumbe mfupi kupitia page hii NOBLEDREAM GREEN HEATH.

🏥TIBU UGONJWA WA GAUTI KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE MAALUMU.GAUTI ni kati ya magonjwa yanayoathiri sana maungio ya mwil...
29/11/2021

🏥TIBU UGONJWA WA GAUTI KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE MAALUMU.

GAUTI ni kati ya magonjwa yanayoathiri sana maungio ya mwili wa mwanadamu.
Husababishwa zaidi na ulaji wa nyama hasa ya mbuzi. Njia rahisi ya kuushinda ni kupunguza ulaji wa nyama na unywaji wa pombe lakini ongeza kasi ya kufanya mazoezi.

SIKU MOJA NIKIWA NIMEKAA NA RAFIKI tunakula nyama choma ya mbuzi, ghafla anapita barubaru mmoja mdogo kwetu sote, anasimama karibu yangu na kunigusa begani akicheka kwa bashasha na kusema "Dokta! Siamini k**a nawe unashiriki dhambi hii ya kuwafanyia vijana hawa kuapata Gauti wakiwa bado wachanga sana" kisha akaondoka.
Waugwana hawa wakabaki wakiniangalia na kucheka, kisha wakanisihi hebu tupe madini kidogo kuhusu hii Gauti"mzee" na mimi bila hiyana nikaweka pembeni kipande cha nyama nilichokuwa nakula ili niwaeleze kuhusu ugonjwa huo. Nikaanza....

GAUTI(GOUT) Ni moja kati ya magonjwa yanayoathiri sana maungio ya mwili wa mwanadamu. Huhusishwa kwa ukaribu na jamii ya magonjwa ya maumivu ya viungo vya mwili(arthritis).

Gauti hutokea sana kwa watu ambao hula vyakula ambavyo huonekana ni vyakula vya kitajiri(rich foods) k**a keki, nyama, viungo vingi pamoja na pombe.

Watu ambao wana uzito mkubwa wana uwezekano wakupata shambulio la Gauti. Baadhi ya tafiti zinahusisha ugonjwa huo na urithi ndani ya familia yenye historia yakuwa na Gauti.

📬VISABABISHI VYA GAUTI.

👉Kujengeka na kujikusanya kwa wingi wa tindikali asilia (uric acid) ndani ya damu ambayo hupendelea kujikita kwenye maungio(joints).

Uric acid ni kemikali asilia inayopatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya Purine ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha tindikali hiyo.

Viwango vya tindikali hiyo vinapozidi kile kiwango ambacho mwili una uwezo wa kutoa kupitia figo zake, tindikali asilia huanza kujenga vibonge vidogo na vibonge hivi hupendelea kukaa katika maungio na kisha husababisha mahmivu makali. Wakati mwengine huweza kujikusanya ndani ya viungo muhimu vya mwili na kuleta madhara makubwa zaidi.

*nyama nyekundu ina kiwango kikubwa cha kemikali aina ya purines. Baada ya kumeng'enywa ndani ya mwili hupatikana uric acid.
Hata hivyo mwili hauwezi kuhimili viwango vikubwa vya acid hiyo, hivyo hujirundika ndani ya damu na hupendelea kukaa kwenye maungio madogo na hasa vidole gumba. Hii ni kwa sababu katika maeneo hayo kuna joto dogo kulinganisha na sehemu nyingine za mwili.

📌Gauti huathiri sana wanaume wenye umri zaidi ya miaka 30 katika asilimia 90 ya kesi zote zinazogundulika.
📌📌GAUTI hutokana na kujengeka na kujikusanya kwa wingi kwa uric acid ndani ya damu ambayo hupendelea kujikita kwenye maungio (joints).

✏DALILI ZA GAUTI NA ATHARI.

👉Shambulio la Gauti ni la kushtukiza na wakati mwingine hutokea usiku. Maumivu yanakuwa ni makali na mtu hupata uvimbe katika maungio ya vidole na hasa kidole gumba cha mguu.

👉Inaweza kuathiri enka, viwiko na maungio mengine pia. Ukipata shambulio la Gauti, maumivu huongezeka zaidi pale unaposimama au kutembea.

👉 Mara nyingi, mtu aliyepata shambulizi la Gauti hukosa hamu ya kula, hupata maumivu ya tumbo na homa pia kiwango kidogo cha mkojo.

💊💊🍉🌶🥦🍈 TIBA YA GAUTI.

👉 Gauti hutibika kwa tiba lishe, zilizothibitishwa kisayansi zisizo na kemikali.
Wasiliana nasi kwa tiba na ushauri wa kiafya NOBLEDREAM GREEN HEALTH.

KWA WALIO DAR ES SALAAM unaweza kufika jengo la MLIMANI TOWEL karibia na MLIMANI CITY au kwa njia ya simu kuweza kupata ushauri na virutubisho lishe vya tiba.
KWA WALIO MIKOANI AU NJE YA NCHI wasiliana nasi na tutakutumia virutubisho hivyo popote ulipo mara tu baada ya kupata maelezo ya utabibu na kufanya malipo.

☎️📲📞MAWASILIANO.
WHATSAAP 0621392776,
AU TUMA UJUMBE MFUPI KUPITIA PAGE HII YA NOBLEDREAM GREEN HEALTH.

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.Katika zama hizi za sayansi na teknolojia, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume lim...
22/11/2021

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Katika zama hizi za sayansi na teknolojia, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limezidi kuwa kubwa Tanzania na dunia nzima.

Hapo zamani tatizo hili lilikuwa la wazee zaidi lakini jambo la ajabu na kuhuzunisha tatizo hili kwa miaka ya sasa, limekuwa likiwakumba vijana wengi sana zaidi hata ya wazee. Utamkuta mwanaume ni wa umri wa miaka 18 au 25 ama 30 au 40 lakini jinsi anavyotenda tendo la ndoa ni sawa na mzee wa umri wa miaka 90 au 100.

Atakwambia, "ninafika kileleni ndani ya dakika 2," au " nikimaliza raundi ya kwanza siwezi kurudia mpaka ifike kesho," au "uume wangu unasimama kwa uregevu sana, na nikiingia ukeni tu unaregea,". Habari k**a hizo ni nyingi mno na kwa watu tofauti tofauti, vijana kwa wazee, na vijana kwa miaka ya sasa wakiwa wameshika usukani zaidi hata ya wazee.

Kwa bahati nzuri matatizo mengi ya nguvu za kiume yanatibika, iwapo tu matibabu sahihi yatachukuliwa kuanzia kwenye chanzo cha tatizo.

Hata hivyo, kwa bahati mbaya, waathirika wengi wa nguvu za kiume wamekuwa hawaponi kutokana na kubugia tu chungunzima ya dawa mbalimbali na kupoteza tu pesa bure kwa matibabu hayo yakubahatisha.

YA NGUVU ZA KIUME.
Ni neno lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi, kusimama kwa uume barabara, uwezo wa kurudia tendo la ndoa kwa wakati muafaka, pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili muda wa tendo. Kwa ujumla vipengele hivyo ndivyo ukamilifu wa nguvu za kiume.

ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1.kukosa hamu ya tendo la ndoa.
2.k**a uume hausimami barabara.
3.k**a uume unasimama kwa muda mfupi kisha kulegea.
4.k**a uume wako unalegea mara tu ya kuingia kwenye uke wa mwanamke.
5.k**a unafika kileleni muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni.
6.k**a unashindwa kufika kileleni kabisa.
7.k**a unasikia maumivu wakati uume unaposimama, wakati wa tendo au baada.
8.k**a unashindwa kutoa mbegu(shahawa).
9.kuchelewa kupita kiasi kufika kileleni.
10,kuchoka sana baada ya tendo.

MWILINI VINAVYOHUSIKA NA NGUVU ZA KIUME.
1.ubongo. 2.moyo. 3.mishipa ya neva. 4.mishipa ya ateri. 5.mirija iliyo ndani ya uume( corpora cavernosa). 6.neva maalumu za parasympathetic. 7.tezi dume(prostate gland). 8.ini. 9.figo. 10.homini ya testestorone. 11.kemikali za acetylcholine. 12.serotonin. 13.dopamine. 14.uti wa mgongo. 15.kiuno au eneo la chini ya mgongo. 16.eneo la nyonga. 17.misuli maalumu iitwayo pelvic floor. 18.tezi pituitari(pituitary gland). 19.utando maalumu wa uume uitwao tunica albuginea. 20.misuli iitwayo pubococcygeus (PC muscles). 21.kemikali ya nitric oxide n.k...

/SABABU.
Zipo sababu mbalimbali na tofauti, zikiwemo vyakula,maradhi, tabia za mtindo wa maisha zakujizoesha.
1.punyeto(masturbation).
2.kisukari.
3.presha yakupanda na kushuka.
4.uvutaji wa sigara.
5.unywaji wa pombe.
6.madawa ya kulevya.
7.kufanya kazi kuzidi kiwango na kukosa muda wa kupumzika.
8.matatizo yakukosa usingizi.
9.unene au uzito wa mwili kuwa mkubwa.
10.kutokunywa maji ya kutosha.
11.kutofanya mazoezi ya mwili.
12.tatizo la kumbukumbu.
13.kuvimba kwa tezi dume.
14.saratani ya tezi dume.
15.matibabu ya mionzi ya tezi dume na operesheni.
16.vyakula vilivyowekea homoni bandia za k**e.
17.ugonjwa ambao huduru ubongo na mwondoko.
18.vyakula vya mafuta mengi.
19.kiharusi (stroke).
20.madawa ya kemikali(madawa ya hospitalini).

**Upungufu wa kiume unatibika, endapo utapata tiba sahihi itakayoweza kutibu hadi chanzo cha tatizo hilo. Watu wengi hukurupuka kutumia madawa mbalimbali pasipo hata kupona. Sababu kubwa ya kutokupona ni kutumia dawa za mitishamba ambazo hazijafanyiwa utafiti wakisayansi, pia kutumia dawa pasipo kujua chanzo cha tatizo hilo ni nini.

KWA TIBA YA VIRUTUBISHO VYA MIMEA YA ASILI SAHIHI KWA TATIZO LAKO NA USHAURI, KARIBU NobleDream Green Health
Kwa walio Dar es Salaam fika MLIMANI TOWEL karibia na MLIMANI CITY au wasiliana nasi kwa simu.
kwa walio mikoani au nje ya nchi wasiliana nasi kwa ushauri na pia tutaweza kukutumia virutubisho kukufikia popote ulipo mara tu utakapo pata mashauri na kufanya malipo.

MAWASILIANO:
TUMA UJUMBE KUPITIA PAGE HII NOBLEDREAM GREEN HEALTH. AU
WHATSAPP 0621392776.

Hakuna haja ya kupoteza urembo wako ama asili yako. Kwanini utumie kemikali au vipodozi vyenye kemikali kali kujichubua ...
19/11/2021

Hakuna haja ya kupoteza urembo wako ama asili yako. Kwanini utumie kemikali au vipodozi vyenye kemikali kali kujichubua na kuharibu mwili wako!!?. Tumia sasa ANATIC SOAP, sabuni yenye mchanganyiko wa asali mbichi,mafuta ya mzaituni, riwa, na mawese. Inauwezo kuondoa chunusi, makunyanzi, mapere, makovu, miwasho, kubadilisha rangi ya ngozi yako, kuifanya ngozi yako kuwa nyororo na yakuvutia, kujikinga na madhara ya kuungua na moto au maji ya moto na mvuke.. Haina madhara yoyote yale.

Pia kwa ambaye ameshaasirika sana kwa chunusi harara, fangasi ,anaweza kutumia FEMINERGY ambayo ni dawa ya vidonge inayofanya kazi zote za ANATIC SOAP na kuondoa madhara yote yaliofika kwenye damu nakufanya ngozi yako kuwa na afya zaidi.

Wasiliana nasi NOBLEDREAM GREEN HEALTH kuboresha afya ya ngozi yako.
Kwa waliopo Dar es Salaam unaweza kufika MLIMANI TOWER karibia na MLIMANI CITY ama unaweza kuagiza baada ya kufanya malipo nasi tukakufikishia hadi ulipo.
Kwa walio mikoani ama nje ya Nchi tunaweza kukutumia product popote ulipo mara baada yakufanya malipo na kupewa maelekezo ya namna ya matumizi na ushauri wakitabibu.

MIMEA, UHAI WETU.

MAWASILIANO.
TUMA UJUMBE MFUPI WA MESSAGE KWA KUPITIA FACEBOOK PAGE HII, AU WHATSAPP +255621392776.

Kupunguza unene, kitambi, kutibu kisukari, inazuia kiharusi, kuvunjavunja sukari iliyozidi mwilini.Kwanini uendelee kute...
17/11/2021

Kupunguza unene, kitambi, kutibu kisukari, inazuia kiharusi, kuvunjavunja sukari iliyozidi mwilini.
Kwanini uendelee kuteseka wakati mkombozi wa kweli yuko hapa.

WASILIANA NASI.
NOBLEDREAM GREEN HEALTH. Upate virutubisho vya asili mbalimbali vitakavyokusaidia kukuondolea tatizo lako.

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NobleDream Green Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to NobleDream Green Health:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram