25/10/2022
ZOEZI LA UCHUNGUZI WA KIAFYA KWA WATU WOTE.
Unachangamoto yoyote ya kiafya inayokusumbua, au inayokukabili au kukukosesha usingizi au kukupa mawazo?
Umewahi kufanya uchunguzi wa kina watatizo lako?
Kwa sasa taasisi ya Gcat eternal health inayojihusisha na afya na kutoa huduma ya uchunguzi wa mag'onjwa mbalimbali imeanza zoezi la utoaji wa vipimo vya mwili mzima kwa gharama nafuu sana ya 20,000 tu.
Utafanyiwa uchunguzi kwenye maeneo haya;
1/Mfumo wa damu/mishipa ya damu(Moyo na ubongo)
2/Mifupa na maradhi ya Mifupa
3/Mfumo wa uyeyushaji na mmeng'enyo wa chakula
4/Afya ya uzazi kwa kina mama
5/Afya ya Ngozi na maradhi ya Ngozi
6/Mfumo wa fahamu
7/Jicho na maradhi ya macho
8/Afya ya uzazi kwa kinababa
9/Mfumo wa upumuaji.
Zaidi ya watu 230 sasa wamepata huduma ya uchunguzi wa vipimo na kupatiwa ufumbuzi wa matatizo yanayowakabili.
Baada ya uchunguzi utaweza jua chanzo Cha tatizo lako, tatizo lenyewe na ugonjwa nyemelezi.
Pia utakutana na wataalamu watakao kusimamia, kukushauri, na kukusaidia kuondokana na tatizo lako,
Zaidi sana utaokoa muda wako Kwa kuhudumiwa kwa haraka na Kwa gharama nafuu.
Tupo Dar es salaam, kariakoo mtaa wa Uhuru na Muheza,
Mawasiliano 0743 696 935.
Kumbuka Huduma hii ni Kwa watu 20 tu wa mwanzo idadi ikitimia gharama itapanda.