AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI NAWASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME JUU YA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA
0623875425

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA GOUT+255623875425Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za m...
07/08/2022

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA GOUT
+255623875425

Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za maungio ya mifupa). Huu ndiyo ugonjwa wa joints ambao huwashambulia sana na kuwapa maumivu makali wanaume. Wanawake pia huweza kuathirika na ugonjwa huu hasa baada ya kukoma hedhi. Ugonjwa huu huleta maumivu makali ya ghafla, hasa kwenye sehemu linapoanzia dole gumba la mguu. Dalili za ugonjwa huanza kuonekana pale uric acid, tindikali ambayo huzalishwa na mwili katika ufanyaji kazi wake (ambayo haina manufaa kwa mwili) inapobakia katika viungo vya mwili na katika majimaji ya mwili. Uric acid iliyoganda (tophi) huweza kujikusanya na kubaki chini ya ngozi inayozunguka joints, huweza pia kujikusanya ndani ya figo na kusababisha kidney stones (namna ya kokoto ndogo ndani ya figo).

Gout inaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye maungio ya mifupa na figo. Endapo hatua za kuutibu ugonjwa huu hazitachukuliwa kwa muda mrefu (miaka 10 au zaidi), madhara ya kudumu humtokea mgonjwa. Piga/whatsap 06237545425

29/07/2022
29/07/2022
26/07/2022
25/07/2022

TATUA CHANGOTO YA TEZI DUME KWA NJIA SALAMA BILA UPASUAJI

+255623875425
Mara nyingi dalili za tezi dume huwa zinafanana na dalili hizi kila mwanaume mwenye tatizo la tezi dume atakuambia
Dalili zenyewe ni

Kukujoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku,
Kukosa mkojo
Kupoteza ufasini wa tendo la ndoa
Kupata Maumivu wakati wa Kukojoa

MADHARA YA TEZI DUME
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini โ€ฆ โ€ฆ n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Saratani ya Tezi Dume
- Kifo

Wengi wanashindwa kujua k**a ni tatizo la tezi dume kwa Sababu wanaogopa kuongea
Sasa k**a una dalili hizo nipigie

Au WhatsApp https://wa.me/255623875425
nikushauri ufanye nini uondokane na hilo tatizo.

25/07/2022

๐‰๐„ ๐”๐๐€๐’๐”๐Œ๐๐”๐‹๐ˆ๐–๐€ ๐๐€ ๐Œ๐€๐“๐€๐“๐ˆ๐™๐Ž ๐˜๐€ ๐Œ๐ˆ๐…๐”๐๐€ ๐ˆ๐Š๐ˆ๐–๐„๐๐Ž ๐Œ๐€๐”๐Œ๐ˆ๐•๐” ๐Œ๐€๐Š๐€๐‹๐ˆ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐†๐Ž๐“๐ˆ ๐๐€ ๐Œ๐†๐Ž๐๐†๐Ž ๐.๐Š (๐Ž๐’๐“๐„๐Ž๐๐Ž๐‘๐Ž๐’๐ˆ๐’) 0623875425

Ni ugonjwa ambao husababishwa na maambukizo ya bacteria katika mfupa na misuli inayozunguka mfupa bacteria hao ni (staphylococci).

Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea ktk uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma Mara kwa Mara), MAGOTI kuuma,nyonga na kifuani.

*SABABU ZINAZOSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OETEOPOROSIS)

*1โƒฃMagonjwa ya figo.
*2โƒฃUpungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye`` ( *MENOPAUSE) kikomo cha hedhi
*3โƒฃUpasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
*4โƒฃANOREXIA uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoez`` kupita kiasi.

*KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA.(OSTEOPOROSIS)

*1โƒฃEpuka matibabu yeye kutumia kemikali
*2โƒฃ Zingatia rishe bora haaa utotoni pia pendelea kula vyakula vya asili vyenye madini yakutosha yanayoimarisha MIFUPA
*3โƒฃ Acha au punguza matumizi ya pombe
*4โƒฃ Fanya mazoez ya kutosha na kunywa maji ya kutosha

ATHARI
*ZINAZOSABABISHWA NA TATIZO HILI
1โƒฃMifupa kuvunjika kwa urahisi.
*2โƒฃkupinda mgongo wakati wa uzeeni
*3โƒฃMaumivu makali ya Mifupa hasa ktk uti wa mgongo,mabegani,kifuani na ktk nyonga.

*Karibu sana*๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘บ๐‘จ๐‘ฐ๐‘ซ๐‘ฐ๐‘ฌ ๐‘ท๐‘ฐ๐‘ฎ๐‘จ +255623875425 ๐‘จ๐‘ผ ๐‘พ๐‘ฏ๐‘จ๐‘ป๐‘บ๐‘จ๐‘ท๐‘ท ๐‘ฒ๐‘จ๐‘น๐‘ฐ๐‘ฉ๐‘ผ.

25/07/2022

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*

+255623875425
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
โž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa.

*CHANZO CHA BAWASIRI*
โž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โž– Tatizo sugu la kuharisha
โž– Ujauzito
โž– Uzito wa mwili kupita kiasi
โž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โž– Kupata haja kubwa ngumu
โž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โž– Kunywa pombe
โž– Kula sana nyama nyekundu
โž– Vidonda vya tumbo
โž– Ngiri(Chango/Hernia
โž– Kula sana pilipili
โž– Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
โž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โž– Kupata kinyesi chenye damu
โž– Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
โž– Upungufu wa damu mwilini
โž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
โž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โž– Kupata tatizo la kisaikolojia
โž– Kutopata ujauzito
โž– Mimba kuharibika
Callโž–textโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

+255 623875425

SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
Au WhatsApp 0623875425

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam

Telephone

+255623875425

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA NI MTAJI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram