Elimu ya Afya

Elimu ya Afya NAWASAIDIA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZAO ZA KIAFYA KWA KUTUMIA TIBALISHE…!

TEZİ DUME INAPONA BILA UPASUAJI
26/02/2024

TEZİ DUME INAPONA BILA UPASUAJI

SASA MALIPO YOTE YA HUDUMA YA AFYA KUPITIA LIPA NAMBA HII YA TIGO
16/12/2023

SASA MALIPO YOTE YA HUDUMA YA AFYA KUPITIA LIPA NAMBA HII YA TIGO

WANAUME WENGI WANASUMBULIWA NA CHANGAMOTO Z UZAZI BILA KULARA TIBA SAHIHI UNGANA NAMI KWA ELIMU ZAID NA MATIBABU YOTE YA...
22/08/2023

WANAUME WENGI WANASUMBULIWA NA CHANGAMOTO Z UZAZI BILA KULARA TIBA SAHIHI UNGANA NAMI KWA ELIMU ZAID NA MATIBABU YOTE YANAYOMUHU MWANAUME KWA KUTUMIA TIBALISHE

JIUNGE KUPITIA LINK YA GROUP MAAALUMU HAPA CHINI

https://wa.me/message/OMIQDDAA6YTBJ1

JUKWAA KWA WANAUME NA WANAWAKE WOTE KUPATA ELIMU KUHUSU YA UZAZI KWA KUTUMIA TIBALISHE JIUNGE UPATE ELIMU NA TIBALISHE Y...
02/08/2023

JUKWAA KWA WANAUME NA WANAWAKE WOTE KUPATA ELIMU KUHUSU YA UZAZI KWA KUTUMIA TIBALISHE

JIUNGE UPATE ELIMU NA TIBALISHE YA UHAKIKAA NA KUPONA CHANGAMOTO

https://wa.me/message/OMIQDDAA6YTBJ1

WANAUME WENGI WANAKOSA RAHA NA AMANI KWA KUTOKUSHIRIKISH VYEMA TENDO LA NDOA INATOKANA NA CHANGAMOTO ZA UMRI PAMOJA NA M...
30/06/2023

WANAUME WENGI WANAKOSA RAHA NA AMANI KWA KUTOKUSHIRIKISH VYEMA TENDO LA NDOA INATOKANA NA CHANGAMOTO ZA UMRI PAMOJA NA MFUMO WA MAISHA

PONA TEZI DUME bila UPASUAJI.TEZI DUMENi tezi inayozunguka shingo ya kibofu cha mkojo.Huvimba na kubana shingo ya  kibof...
11/06/2023

PONA TEZI DUME bila UPASUAJI.

TEZI DUME
Ni tezi inayozunguka shingo ya kibofu cha mkojo.
Huvimba na kubana shingo ya kibofu ukifikisha miaka 40 na kuendelea.
Dalili za tezi DUME,
1.haja ndogo mara nyigi usiku.
2.kupungua Kasi ya kuruka kwa haja ndogo.
3.kunuka Mkojo.
4.kupungua nguvu za tendo
5. Kushindwa kuzuia haja ndogo.

Ukiwa na dalili hizo tuwasiliane kwa matibabu ya tiba asilia
Kuongea na mtalaam ni bure
Piga 0656779983

22/05/2023

PONA TEZI DUME bila UPASUAJI.

TEZI DUME
Ni tezi inayozunguka shingo ya kibofu cha mkojo.
Huvimba na kubana shingo ya kibofu ukifikisha miaka 40 na kuendelea.
Dalili za tezi DUME,
1.haja ndogo mara nyigi usiku.
2.kupungua Kasi ya kuruka kwa haja ndogo.
3.kunuka Mkojo.
4.kupungua nguvu za tendo
5. Kushindwa kuzuia haja ndogo.

Ukiwa na dalili hizo tuwasiliane kwa matibabu ya tiba asilia
Kuongea na mtalaam ni bure
Piga 0656779983

NAWASAIDIA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZAO ZA KIAFYA KWA KUTUMIA TIBALISHE…!

Tatizo la tumbo kujaa gesi imekuwa kubwa kwa siku za hivi karibuni. Hii inatokana nalishe mbovu tunayokula kila siku kwa...
08/05/2023

Tatizo la tumbo kujaa gesi imekuwa kubwa kwa siku za hivi karibuni. Hii inatokana nalishe mbovu tunayokula kila siku kwa kutegemea zaidi vyakula vya haraka na bei rahisi (fast foods & snacks). Vyanzo vingine vya tatizo ni msongo wa mawazo, matumizi ya vidonge mara kwa mara na mazingira yenye sumu yanayotuzunguka k**a moshi wa magari na kemikali za viwandani

Madhara ya Tumbo Kujaa Gesi

Kuwa na gesi tumboni ni tofauti kabisa na kitambi. Kitambi kinaweza kuwa cha muda mrefu lakini tumbo la gesi ni la muda tu baadae husinyaa na kurudi katika hali ya kawaida kwani huletekezwa na hewa kukwama tumboni na kufanya tumbo kutanuka. Kwa watu wengine tumbo linaweza kuwa kubwa k**a mjamzito

📍Homa
📍Muwasho kwenye koo, machozi
📍Kukosa choo au kupata choo kigumu na kuharisha
📍Uwepo wa damu kwenye hajakubwa au mkojo
📍Kupungua kwa uzito kusiko kawaida
📍Maumivu kwenye sehemu za tezi hasa kwenye koo na kwapa
📍Mwili kukosa nguvu na uchovu sana
📍Kuvurugika kwa hedhi
📍Bawasiri
📍Ubongo kutofanya kazi vizuri

Sababu Zinazoletekeza Tumbo Kujaa Gesi

📍Matatizo kwenye Mmeng’enyo wa Chakula

Magojwa k**a Ulcerative colitis, celiac disease na IBS-inflammatory bowel syndrome huletekeza kujaa gesi kwa tumbo

📍Maji kubakizwa mwilini (fluid retention)

Wakati fulani maji yanaweza kuabakizwa kwenye sehemu fulani za mwili k**a kweye magoti, tumboni na kwenye nyonga. Maji haya huletekeza maumivu makali kwenye joints na tumboni. Uwepo wa maji tumboni hujulikana k**a ascites na inaweza kuashiria kwamba una tatizo kwenye ini au maambukizi ya bacteria.

📍Mwili kukosa maji (Dehydration)

Umewahi kufuatilia siku ukiwa umekunywa sana pombe ama kula zaidi vyakula vyenye chumvi kwa wingi na tumbo likajaa gesi?. Mwili unapokosa maji hufanya uchakataji na usagaji wa chakula kuwa mgumu. Mwili unapokosa maji ya kutosha hufanya kazi ya kuvuta na kuhifadhi maji mengi zaidi pale utakapokunywa maji ili kuepuka kutokea kwa upungufu huu.

Majeraha Kwenye Mfumo wa Chakula

Wakati mwingine unaweza kupata gesi tumboni kutokana na vidonda ama uvimbe kwenye baadhi ya sehemu za mfumo wa chakula k**a utumbo mdogo na utumbo mpana. Uvimbe unaweza kuzuia utolewaji wa uchafu na kuletekeza gesi na maji kukwama.

📍Mabadiliko ya Homoni

PMS (pre menstrual syndrome) ikimaanisha mkusanyiko wa dalili zisizo za kawaida za kipindi cha hedhi ni chanzo cha tumbo kujaa gesi. Tatizo linaweza kuwa kubwa k**a una uvimbe kwenye kizazi na hedhi yako inavurugika. Kwanini wanawake hupata gesi tumbo wakati au karibia na kipindi cha hedhi? Mwanamke anapokaribia hedhi kiwango cha homoni ya estrogen huongezeka na ukuta wa mfuko wa mimba kuongezeka. Pale anapopata siku zake basi damu na maji mengi hutolewa nje na hivo tumbo kurudi katika hali ya kawaida.

📍Saratani

Moja ya dalili za saratani ya utumbo mpana na saratani ya mfuko wa mimba ni tumbo kujaa gesi. Ndio maana ni muhimu kuongea na daktari wako pale ambapo umejaribu kila njia ya kundoa tatizo lako lakini bado halijaisha.

USHAURI

Vyakula vya Kuepuka pale Unapotaka Kutibu Tatizo la Tumbo Kujaa Gesi

📍Vyakula vya sukari na snacks zilizooongezewa utamu
😒Nafaka na vyakula vya nafaka hasa ngano na Maharage huongeza uzalishaji wa gesi tumboni
📍Vinywaji vilivosindikwa k**a soda (Carbonated drinks)

MUHIMU UTUMIE TIBALISHE KUIMARISHA MFUMO MZURI WA MMENG’ENYO WA CHAKULA NA KUZALISHA BACTERIA WALINZI TUMBONI (probiotics) ITAKUSAIDIA SANA KUONDOKANA NA TATIZO LAKO GAS TUMBONI

NIPIGIE KWA NAMBA +255 786 094 976

FAHAMU KUHUSU MADHARA YA BAWASIRI         (HEMORRHOIDPindi damu inapoanza kuganda katika misuli iliopo katika njia ya ha...
30/04/2023

FAHAMU KUHUSU MADHARA YA BAWASIRI (HEMORRHOID

Pindi damu inapoanza kuganda katika misuli iliopo katika njia ya haja kubwa au vinyama vilivyopo nje ya njia ya haja kubwa thrombosis process huanza.

Pindi kuganda kwa damu kunapokamilika (thrombosis process inapokamilika)

mgonjwa hupata maumivu makali sana na vinyama /uvimbe mkubwa kuzunguka njia ya haja kubwa unajitokeza.

Ndani ya masaa 72 matibabu ya hospitali ni kufanyiwa operesheni na ikiwa baada ya hayo masaa mara nyingi hutumika njia mbadala kuondosha bawasiri inayoganda damu.

EPUKA KUFANYA UPASUAJI WA BAWASIRI IPO NJIA SAHIHI KUTUMIA TIBALISHE UNAPONA CHANGAMOTO YAKO BILA UPASUAJI

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255656779983

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elimu ya Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram