Faidha Ally

Faidha Ally TUNATOA USHAURI WA AFYA NA MATIBABU

17/04/2024

Piga namba+255756920655

01/05/2023

Kwa maelezo zaidi piga namba+255753809407

*SULUHISHO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI BILA UPASUAJI{Treatment Of Fibroids Whitout Surgery}**FIBROIDS(UVIMBE KWENYE KIZAZI),...
01/03/2023

*SULUHISHO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI BILA UPASUAJI{Treatment Of Fibroids Whitout Surgery}*

*FIBROIDS(UVIMBE KWENYE KIZAZI),SABABU, DALILI,* *PAMOJA NA TIBA ..*

Ni Uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke.

Kuna Aina tatu za vimbe
*Submucosal fibroid- Uvimbe huu hutokea Ndani ya kizazi
*Intramural fibroid- uvimbe huu hutokea Ndani ya nyama ya kizazi
*Subserosal fibroid- Uvimbe huu hutokea nje kwenye ukuta wa kizazi

*SABABU YA UVIMBE*
Uvimbe huu sababu kubwa Ambayo husababisha na wingi wa vichocheo mwilini (hormon ya estrogen)ambayo hufanya kupata hedhi, *sindano,vidonge,vitanzi(uzazi wa mpango)pia nivichocheo ambavyo huchangia kuongezeka kwa hormona ya estrogen.

*WATU AMBAO WANA HATIHATI YA KUPATA UVIMBE NIKAMA:*
*ambao hawajazaa kabisa
*wanawake wanene(hasa ule wa kujiongezea na sindano)
*wanaopata hedhi mapema
*wasichana /wanawake ambao wako ktk umri wa kupata ujauzito.

*DALILI ZA UVIMBE*
dalili ya uvimbe hutegemea na ukubwa wa uvimbe Pamoja na sehemu ya uvimbe ulipo kwenye mfuko uzazi,,pia uvimbe ukiwa migo unaweza usioneshe Dalila zozote.

Dalili ni hizi zifuatazo:
*kutokwa Damu nyingi kwa muda mrefu wakati wa hedhi ikiambatana na mabonge isivyokawaida
*hedhi zisizokuwa na mpango na kutokwa Damu isiyo ya kawaida katikati ya mwezi
*kupata maumivu ya kiuno wakati wa hedhi(kutokana na ugonjwa kubana viungo vingine vya mwili)
*maumivu wakati wa tendo la ndoa
*maumivu ya mgongo
*kukokoa mara kwa mara (Uvimbe hukandamiza kibofu cha Mkojo)
*kutotunga mimba/mimba kutoka au kuharibika wakati mwingine ugumba

Uvimbe unapokuwa mkubwa sana huonesha husababisha:
*miguu kuvimba
*kufunga choo
*kupungukiwa damu
*mkojo kubaki kwenye kibofu

Nikwanini Uvimbe hufanya mtu kutopata mimba?

*uvimbe hukandamiza mirija ya kupitishia maya kutoka kwenye ovari/sehemu mayai yanapotengenezwa
*hufanya mfuko wa uzazi ukaze hivyo kushindwa kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitishia mayai
*uvimbe unaweza kuzuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi hada ikiwa ni submucosal fibroid

*TIBA YA UVIMBE HUU*
*upasuaji(myomectomy)
Tiba hii hutumika endapo Uvimbe ni mmoja na simkubwa sana,,hutoa Uvimbe na kubakiza kizazi

*dawa za kutuliza maumivu

*Hysterectomy
Hii hutoa sehemu ya Uvimbe yote iliyo ktk kizazi maanabyake hutoa kizazi chote endapo Uvimbe utakuwa mkubwa sana su vivimbe vingi vikiwa ktk kizazi.
Note:uvimbe unaweza kujirudia tena endapo vichocheo vinavyosababisha Uvimbe havita sawazishwa.

K**a una tatizo hilo wasiliana nami kwa tiba bila upasuaji🙏🏿 +255753809407

26/02/2023
26/02/2023

*XPOWER MAN EXTRA CAPSULES*
Ni TIBALISHE maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

*Tibalishe hii hufanya kazi zifuatazo Kwa mwanaume aliyeathirika na punyeto na Upungufu wa nguvu za kiume:-*
âś…Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
âś…Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
âś…Huondoa Uchovu
âś…Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
âś…Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
âś…Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
âś…Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
âś…Humfanya Mwanaume arudie tendo bila Kuchoka na kwenye ubora wa hali ya juu
âś…Huondoa tatizo la Uume kusimama ukiwa legelege
âś…Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume. 👉Wasiliana nasi kwa ushauri na tibaya kudumu. hii Kwa sasa hadi 08/03/2023 bei yake ipo chini Sana.
Fika ofisni KWETU au wasiliana nami+255753809407

26/02/2023

*XPOWER MAN EXTRA CAPSULES*
Ni TIBALISHE maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

*Tibalishe hii hufanya kazi zifuatazo Kwa mwanaume aliyeathirika na punyeto na Upungufu wa nguvu za kiume:-*
âś…Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
âś…Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
âś…Huondoa Uchovu
âś…Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
âś…Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
âś…Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
âś…Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
âś…Humfanya Mwanaume arudie tendo bila Kuchoka na kwenye ubora wa hali ya juu
âś…Huondoa tatizo la Uume kusimama ukiwa legelege
âś…Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume. 👉Wasiliana nasi kwa ushauri na tibaya kudumu. hii Kwa sasa hadi 08/03/2023 bei yake ipo chini Sana.
Fika ofisni KWETU au wasiliana nami +255753809407

07/02/2023
23/10/2022

MSHAURI MAKINI 0753809407

Hili tatizo liko kwa aina 3
1.punyeto
2.pressure&kisukari
3.lifestyle mfano vyakula tunavyokula vinakuwa havisupport , hatuna mazoezi , madereva nk......
NB LIKISHAKUWA TATIZO HATA UAZE KULA VYAKULA VYA NGUVU NA MAZOEZI BILA KUPATA TIBA UTAKUWA UNAPOTEZA MDA
WASILIANA NASI 053809407

Rudisha tabasamu lako kwa kutumia bidhaa Bora kutoka bf Suma bidhaa hizi ni suluhisho kwa magonjwa zaidi ya 200 ila nita...
03/10/2022

Rudisha tabasamu lako kwa kutumia bidhaa Bora kutoka bf Suma bidhaa hizi ni suluhisho kwa magonjwa zaidi ya 200 ila nitataja machache ktk hayo (1) kisukari (2) saratani (3) tezi dume (4) uvimbe kwenye kizazi (5) vidonda vya tumbo (6) mirija ya uzazi kuziba kwa wanawake (7) bawasiri (8) guvu za kiume (9) matatizo ya magoti mgongo mifupa nk k**a unamatatizo haya wasiliana nami 0753809407

TUNATOA USHAURI WA AFYA NA MATIBABU

Karibuni mpate suluhisho kutoka bf Suma
03/10/2022

Karibuni mpate suluhisho kutoka bf Suma

K**a unamatatizo ya kiafya bf Suma ndio suluhisho lako
03/10/2022

K**a unamatatizo ya kiafya bf Suma ndio suluhisho lako

Address

Mkwajuni
Dar Es Salaam

Telephone

+255753809407

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Faidha Ally posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram