Afya Ya Uzazi Kwa Mwanamke

Afya Ya Uzazi Kwa Mwanamke Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Ya Uzazi Kwa Mwanamke, Women's Health Clinic, Mlimani City, Dar es Salaam.

♓ MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONE IMBALANCE):-🔵 Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vich...
18/08/2022

♓ MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONE IMBALANCE):-

🔵 Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapopata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya %80.

VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI:-
â­•Uwepo wa sumu mwilini,
â­•Mfumo Mbovu wa maisha,
â­•Umri kuenda sana, kukoma kwa hedhi,
â­•Uzito mkubwa,
â­•Mabadiliko ya mazingira,
â­•Msongo wa mawazo,
â­•Upungufu wa lishe bora mwilini,
â­•Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango,
â­• Utoaji wa mimba kiholela,
â­•Ongezeko la homoni ya Androgen hupelekea mwanamke [kuota ndevu, base voice]

DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI:-
🔵Uke kuwa mkavu,
🔵Maumivu wakati wa tendo la ndoa,
🔵Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi,
🔵Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa,
🔵Mabadiliko ya siku za hedhi mfano kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7 na hutoka mabonge ya dam au dam nyingi zaid kuliko kawaida.

Kwa Tiba Na Ushauri Kuhusu Afya Ya Uzazi Kwa Mwanamke Wasiliana Nasi Kwa Namba:
+255755944117
Dr. Hassani
[Whatsapp/Sms/Call]


Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ya Uzazi Kwa Mwanamke posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram