Afya care

Afya care Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya care, Medical and health, fumaoridhiki@gmail. com, Dar es Salaam.

UTATUZI SAHIHI WA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUMEUnapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu ...
10/11/2021

UTATUZI SAHIHI WA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME

Unapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu za kiume kwani nguvu za kiume SIYO UGONJWA k**a malaria au kisukari kwamba unahitaji dawa. Kukosa nguvu za kiume inaonyesha tu kuwa mwili wako umekosa virutubisho (lishe) muhimu ya kutosha. Ukipata tu hutokaa uone shida ya nguvu za kiume. Upe mwili wako virutubisho muhimu.

Sasa kwa kawaida ili kutatua changamoto za uzazi kwa mwanaume tungeweza kutumia tu lishe ya matunda na mbogamboga na mazoezi tu k**a babu zetu wa zamani.

Hata hivyo changamoto kubwa ni kuwa vyakula vingi dunia ya leo vinaandaliwa kwa kutumia kemikali za viwandani kuanzia mbolea, dawa za kuua wadudu na za uhifadhi.

Hivyo kemikali hizo zinafanya kazi kinyume chako na kudhoofisha mifumo ya mwili wako na kufanya usiwe ba afya bora na hata usifurahie tendo la ndoa tena.

Ndiyo maana kwa kuona hilo kuna virutubisho maalumu vilivyoandaliwa kitaalamu pasipo kutumia kemikali hizo ili kuusupport mwili wako urudi sawa uwe mwenye afya imara tena na uufurahie uanaume wako katika mahusiano yako.

Tutakupa pia elimu ya ziada ya afya ili uweze kuwa balozi mzuri kwa wengine wanaohangaika kwa muda mrefu.

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp number 0684688769 au Piga Simu usaidiwe Mapema

CHAKULA CHA KUIMARISHA TENDO LA NDOA! HAUHITAJI KUBEEP TENA💪💪!!! Shida kubwa katika mambo ya nguvu za kiume ni pamoja na...
10/11/2021

CHAKULA CHA KUIMARISHA TENDO LA NDOA!
HAUHITAJI KUBEEP TENA💪💪!!! Shida kubwa katika mambo ya nguvu za kiume ni pamoja na tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizuri,kushindwa kurudia tendo la ndoa baada ya mzunguko wa kwanza, kukosa hamu kabisa hasa kwa wanandoa limekuwa tatizo la wanaume wengi sana.

Mfumo wa sasa wa maisha watu wengi tunakula vyakula vilivyojaa usasa mwingi sana, Hali ya hewa ya sasa INA uchafuzi mkubwa sana hivyo tunaingiza sumu nyingi sana mwilini ambazo zinaenda kuathiri mfumo wa ndani ya mwili ikiwemo mfumo wa uzazi.

Kujichua/ musturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima pia huchangia MTU kukosa nguvu za kiume.

Zaidi ya asilimia 60% ya wanaume wote duniani wanakumbwa na hili tatizo na limesababisha ndoa nyingi kuvunjika.

Imekuwa dhahiri kuwa ni vigumu mno kwa mwanaume kula mlo uliokamilika KILA SIKU kwa mwezi mzima. Yani mlo wenye virutubisho vyote muhimu kwa ajili ya kuimarisha tendo la ndos. Ndiyo maana unahitaji kupata virutubisho vya nyongeza ili mwili wako usikose kabisa vitu muhimu katika kuimarisha zoezi la tendo la ndoa.
Tayari watu wengi tumewasaidia na leo hii wanafurahia ndoa zao kupitia virutubisho vifuatavyo:

FAIDA ZA ARG PLUS
* inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote Mbili akina baba na akina mama stamina na nguvu wakati wa tendo la ndoa
* inasaidia kuondoa msongo wa mawazo
* inasaidia Kuongeza idadi ya mbegu za kiume s***m count na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri( mobility)
* inasafisha mwili na kupunguza kazi ya kuzeeka haraka
* inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini hivyo kuboresha hamu ya tendo la ndoa kwa watu wenye changamoto ya sukari
* husaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli
* husaidia ufanisi mzuri kazi na moyo.
* husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulioganda hivyo kuweka standard pressure
* husaidia damu kusafiri vizuri sehemu mbali mbali za mwili
NI PRODUCTS ASILIA NA SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI,

KUPATA BAO LENYE MAUMIVU(PAINFUL EJ*******ON).Mwanaume anapofika kileleni siku zote tunategemea kwamba atapata raha(plea...
20/10/2021

KUPATA BAO LENYE MAUMIVU(PAINFUL EJ*******ON).
Mwanaume anapofika kileleni siku zote tunategemea kwamba atapata raha(pleasure) yakutosha lakini kwa bahati mbaya sana inatokea anapata maumivu badala ya raha.

Mwanaume anaweza kupata maumivu haya wakati tu atakapo fanya tendo na mwanamke lakini akiwa anajichua anamwaga na hahisi maumivu yoyote, hali ambayo ni hatari zaidi kwasababu mtu huyu ata ipa kipaumbele punyeto kuliko kufanya tendo na mwanamke.

Mwingine anafika kileleni bila maumivu lakini baada hapo maumivu yana anza ndani ya uume au kuzunguka uume.

Mwingine anafika kileleni vizuri tu bila maumivu lakini akienda kukojoa siku hio anapata maumivu.

Maumivu haya huwa hayadumu kwa muda mrefu, inawezekana ikawa dakika kadhaa au masaa kadhaa au siku nzima.

SABABU ZA PAINFUL EJ*******ON/BAO LENYE MAUMIVU.

1. Urinary Track Infection (UTI). Njia inakuwa imedhuriwa na hawa bacteria hivyo ile kulegea na kukaza kwa uume utapata maumivu pengine makubwa tu.

2. Prostatitis.
Hii ni hali ya tezi dume kuvimba, kiasi kwamba mbegu zikipita inakuwa k**a unatoneshwa kidonda. Sio Kansa ya tenzi dume bali ni uvimbe tu wa kawaida unaweza kutokea katika tezi dume. Inashauriwa kufanya mazoezi yakutosha kupunguza "risk" ya kupatwa na prostatitis

3. Prostate Cancer/ kansa ya tezi dume.
4. Kutumia madawa ya kuondoa uchovu au Sonona, au mawazo.
5. Kuwa na mgogoro wa kimapenzi na mwenzi.
6. Matatizo kwenye mfumo wa Neva.
7. Kisukari.

Visababishi vyote vya PAINFUL EJ*******ON ulivyovisoma hapo vinasababishwa na kujichua au punyeto kasoro U.T.I na kisukari japo hii kuna study pia zilionyesha kuwa unaweza pata UTI kwa kujichua pale utakapo tumia baadhi ya vitu k**a vile kutoboa mahali ndio uwe unaigizia kuwa ni uke.

Ndio maana wengi wanasumbuliwa na tatizo hili la kupata bao la maumivu. ..................................................

UJUE VIZURI MSULI UNAOINUA NA KUIMARISHA UUME Pelvic  muscle ni msuli unaoinua uume .Wakati uume unasimama ndiyo unashik...
20/08/2021

UJUE VIZURI MSULI UNAOINUA NA KUIMARISHA UUME

Pelvic muscle ni msuli unaoinua uume .Wakati uume unasimama ndiyo unashikilia ni k**a mzizi wa uume.Pia huwezesha kubana mkojo au kakata mkojo .Vile vile wakati wa kujamiana huwezesha mwanaume kujicontrol asitoe mbegu mapema .Huu msuli ukilegea mwanaume anashindwa kujitawala wakati wa kujamiana ,akijaribu kubana asimwage mbegu anajikuta anashindwa zinaponyoka sekunde chache tu!

Mambo Yanayolegeza msuli huu ni ;
1)Uzito mkubwa.
2)Punyeto yani kujichua Sana
3)Kivimbiwa tumbo/Tumbo kujaa gesi
4)Bawasili.
5)Matatizo Ya Mzunguko wa Damu .
6)Kukohoa Sana/kwa muda mrefu.

Suluhisho: Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0684688769 au piga simu usaidiwe mapema

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.👉Uume kusimama...
25/06/2021

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0684688769 au piga simu usaidiwe mapema

NAFURAHIA TENDO,nasimamisha imara hakuna tena legelege, mpenzi wangu anafurahia tendo,narudia zaidi ya mara tatu.Tunafur...
10/12/2020

NAFURAHIA TENDO,nasimamisha imara hakuna tena legelege, mpenzi wangu anafurahia tendo,narudia zaidi ya mara tatu.
Tunafurahia mahusiano yetu kwa kutumia virutubisho hivi asilia,hakuna madhara kwa sisi watumiaji.

Tuma neno AFYA KWANZA kwa whatsapp namba 0684688769 au piga simu usaidiwe mapema.

NAFURAHIA TENDO!  Hakuna tena KUWAHI KUFIKA KILELENI, Nasimamisha IMARA sio legelege tena, SICHOKI HARAKA , NARUDIA TEND...
22/05/2020

NAFURAHIA TENDO! Hakuna tena KUWAHI KUFIKA KILELENI, Nasimamisha IMARA sio legelege tena, SICHOKI HARAKA , NARUDIA TENDO hata zaidi ya Mara tatu nikiamua, Mpenzi wangu amezidisha upendo Kwangu, kwa kutumia Virutubisho Lishe hivi Asilia, hakuna madhara yoyote tuliyoyapata Sisi watumiaji. NAFURAHIA mahusiano yetu.

Tuma ujumbe neno AFYA KWANZA kwenda whatsupp namba 0684 688 769 au piga simu usaidiwe mapema

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINY...
22/05/2020

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
piga/sms 0684688769
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo.(K**a unavyoona kwenye picha ,Hiyo sehemu iliyozungushiwa duara). Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja, Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

Mbili,Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

Tatu,Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

Nne, Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.

Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.
Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua.

Suluhisho; Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0684688769 au Piga simu usaidiwe mapema

JUICE YENYE VIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWAAJILI YA AFYA BORA YA KILA MTUALOE VERA GEL:Husaidia:1. KUBORESHA MMENG'ENYO...
15/05/2020

JUICE YENYE VIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWAAJILI YA AFYA BORA YA KILA MTU

ALOE VERA GEL:
Husaidia:

1. KUBORESHA MMENG'ENYO WA CHAKULA TUMBONI NA KUONDOA TATIZO LA KUKOSA CHOO (CONSTIPATION)

2. KUSAFISHA NA KUONDOA TAKA MWILI/TOXINS MWILINI.

3. INASAIDIA KUONGEZA KINGA YA MWILI.

4. HUUPA MWILI VIRUTUBISHO VINGI ASILIA , MFANO: VITAMIN NA MADINI TOFAUTI, NA AMINO ACIDS

5. NZURI KWAAJILI YA NGOZI, HUSAIDIA KULETA UNYEVUNYEVU, KUREPAIR NA KUIKINGA NGOZI.

6. HUSAIDIA KUONDOA HALI YA UCHOVU NA KUUPA MWILI NGUVU.

7. HUSAIDIA AFYA YA KINYWA (Mdomo kutoa Harufu)

Ni Juice Iliyotengenezwa Kwa Mmea wa ALOE VERA aina ya (Barbadensis Miller) Kutoka Marekani, yenye 96.2% Ya Aloe Vera, Huupa Mwili Virutubisho vingi kuifanya Afya Yako iwe imara na kukuepusha na magonjwa:

Tuma ujumbe neno ALOEVERA JUICE kwenda whatsapp namba 0684688769 au piga simu usaidiwe mapema ndugu.

AINA ZA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.2.MWANAUME KUWAHI KUGIKA KILELENI.Aina nyingine ya tatizo la nguvu za kiume ni pale mwa...
15/05/2020

AINA ZA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.

2.MWANAUME KUWAHI KUGIKA KILELENI.
Aina nyingine ya tatizo la nguvu za kiume ni pale mwanaume anapowahi kufika kileleni wakati wa kujamiiana.

Tatizo hili limekuwa kero kubwa kwa wanawake,kwa sababu kwa maumbile ya mwanamke hisia zake ziko mbali na huwa wanapenda sana waume wao wachukue muda mrefu angalau dak 30 kwenye kumwandaa kabla ya kujamiiana.
Lakini wanaume wengi wamekuwa wanakwenda kinyume na matakwa haya hali ambayo inasababisha kumwingilia mwanamke kabla hajawa tayari,kwa kufanya hivyo unasababisha kupishana katika miemko wakati wa tendo ambapo mwanaume anakuwa anafika mshinda mwanamke bado,inakera sana na mara nyingi wanapoteza hadhi yao kwa namna hii.

Lakini pia tatizo hili linatokea k**a ugonjwa ambapo mwanaume anawahi kufika kileleni baada ya dak 10 tu unakuta mwanaume tayari ameshachoka na kumwacha mwanamke akiwa bado hamu haijamuishia.

Na huwa anashindwa kurudia tena tendo labda mpaka siku nyingine au hata baada ya siku mbili au wiki.
Tatizo hili limekuwa likileta kero kubwa sana na ugomvi katika mahusiano ya wapenzi wengi.

SABABU ZAKE.
Tatizo hili linasababishwa na mambo mbali mbali hasa lifestyle.
Baadhi ya sababu ni k**a zifuatazo.
*Uzito uliopitiliza.
*Msongo wa mawazo
*Umri mkubwa
*Magonjwa k**a vile blood pressure na kisukari.
*Wasi wasi.
*Ajali
*unywaji wa pombe kali.
*Matumizi ya dawa za hospitali kwa muda mrefu na kiholela.
*Kukosa virutubisho katika vyakula.
*Kutofanya mazoezi.

SULUHU
Wanaume wengi wanahangaika kutafuta dawa za kuondokana na tatizo,wengi huamua kutumia dawa za hospitali kiholela bila maelekezo ya daktari,na wengine huamua kwenda kwa waganga wa jadi jambo ambapo limekuwa likiwaathiri zaidi badala ya kutibu tatizo.
Tatizo hili unaweza kulitatua kwa njia za kawaida tu,hasa kwa wataalamu na washauri wa mambo ya afya ya uzazi na tibalishe.

Kwa maoni,ushauri tuma neno SULUHU kwa WhatsApp no

0684 688 769.

Au piga simu usaidiwe haraka.

Address

Fumaoridhiki@gmail. Com
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram