Uhai Ni Afya

Uhai Ni Afya karibu sana kwenye changamoto
ya uzazi ili usaidiwe mapem. Whatsapp +255786440816

Aloe vera gel ni Juice asilia inayo tokana na mmea wa Aloe vera kwa kiini cha ndani Asilia. Ni kinywaji safi kwa mfumo w...
17/01/2022

Aloe vera gel ni Juice asilia inayo tokana na mmea wa Aloe vera kwa kiini cha ndani Asilia.

Ni kinywaji safi kwa mfumo wa umeng’enywaji wa chakula na kina FAIDA NYINGI KWA AFYA YAKO K**A:

▪️Kusaidia watu wenye changamoto ya kukosa choo au kupata choo kigumu inakusaidia kupata choo vizuri kila siku.
▪️kuondoa taka mwili na free radicals mwilini .
▪️kuongeza kinga mwilini na vitamini C kwa wingi.
▪️Kuondoa gas na miungulumo tumboni
▪️Inasaidi chakula kinyonywe vizuri.
▪️Ni kinywaji kizuri kwa kuimarisha ngozi isichoke na kuzeeka haraka.
▪️Inakupa virutubisho muhimu mwilini,madini na vitamins
▪️Inapunguza Acidity mwilini.
▪️Inaondoa uchafu ulio gandamana kwenye tumbo.

Tuma neno ALOEVERA kwenda WhatsApp namba +255786440816 Wahi mapema usaidiwe mapema.

Je Unafahamu Kinachofanya Uume Usimame? Kwa haraka unaweza kusema ni msisimko. Naam, unaweza kuwa sahihi. Lakini msisimk...
14/01/2022

Je Unafahamu Kinachofanya Uume Usimame?

Kwa haraka unaweza kusema ni msisimko. Naam, unaweza kuwa sahihi. Lakini msisimko ni matokeo. Kuna kinachosababisha msisimko huo. Bila hicho, msisimko hauwezi kutokea.Kila mwanaume anapaswa kuwa na Elimu ya kujijuwa jinsi mfumo wake wa mwili unavyofanya kazi.Kutokuwa na chochote kichwani kuhusu miili yetu ndiyo sababu kubwa inayotufanya kutumia madawa kiholela na hivyo kujidhuru badala ya kujitibu.

Kinachofanya uume usimame ni mzunguko wa damu. Na kabla hujaendelea kusoma tambua jambo moja muhimu ; ''Asilimia 94 ya damu ni maji''. Hii ni kusema katika kila lita 10 za damu, lita 9 kati ya hizo 10 ni maji. maji ndiyo kila kitu mwilini na k**a bado unasubiri kiu ndipo unywe maji na tena unakunywa maji ya baridi ya kwenye friji, POLE SANA.

Mzunguko wa damu unaofanya kazi vizuri k**a inavyotakiwa na usio na hitilafu yeyote ni kipengele muhimu sana katika kusimama kwa uume wako.

Mzunguko wa damu ulio katika afya njema husambaza damu ya kutosha katika viungo vyako vyote vya mwili wako ikiwa ni pamoja na kwenye mishipa ya uume wako. Ina maana kwamba, chochote ambacho huzuia mtiririko wa damu kwenda kwenye uume kinaweza kuzuia kusimama kwa uume. K**a mishipa yako ya vena na ateri imeziba, mwili wako hautaweza kusimamisha uume. Hii ni kwa sababu uume hautapata damu ya kutosha

Kwa watu wengi, sababu ya kuishiwa nguvu za kiume ni mlo wa mafuta mengi ambayo yanaweza kuzuia mtiririko mzuri wa damu kwenye uume. Inashauriwa pia kuepuka vyakula vilivyosindikwa viwandani.

Katika tendo la ndoa kwa mwanaume, mishipa ya ateri ina nafasi kubwa sana kutokana na kazi yake ya usafirishaji wa damu kwenda sehemu mbalimbali za mwili, hivyo unashauriwa kujifunza namna ya kutunza ateri za mwili wako ili kuruhusu mtiririko mzuri wa damu mwilini mwako.

Kwa Ushauri na msaada zaidi wasiliana nasi kupitia Whatsapp namba 0786440816 Wahi mapema usaidiwe mapema.

KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?🔷SWALI:Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wi...
13/01/2022

KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?

🔷SWALI:
Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wingi,mafuta mazuri, sili sukari, nafanya mazoezi na kadhalia; KWA NINI NILE TENA VIRUTUBISHO? KWA NINI NILE TENA VIDONGE LISHE ?

👉JIBU:
Swali zuri sana, hata mimi kabla ya kuwa na elimu ya virutubisho lishe nilikua najiuliza hivyo hivyo.
Ukweli ni kwamba k**a unataka kupambana na magonjwa na kufikia urefu wa maisha huwezi kwa kutumia diet peke yake, unahitaji namna ya kuongeza lishe zaidi ambazo zitapatikana tuu kwa wewe kutumia virutubisho lishe.

✍️Jinsi ambavyo mbolea ilivyo muhimu kwa mmea ndivyo virutubisho lishe vilivyo muhimu kwa binadamu. Upe mmea jua na maji na utaishi, uongezee mbolea yenye virutubisho hai na uta stawi zaidi.

Binadamu ndivyo hivyo hivyo, lishe yenye afya, yenye usawa inaipa mwili virutubisho vya kutosha kuendesha kazi za kawaida. Vidonge vyenye virutubisho lishe k**a madini,vitamini, asidi muhimu ya mafuta (essential fatty-acid), na kadhalika vinaimarisha mazingira ya ndani ya mwili kwa kuimarisha ulinzi wa seli, kukarabati na kuzaliwa upya na kusaidia mchakato wa utengenezaji upya wa seli.

✍️VIRUTUBISHO LISHE (SUPPLEMENTS) NI MUHIMU SANA.

Kwa ushauri na msaada zaidi

Tum ujumbe Neno VIRUTUBISHO kwenda WhatsApp namba 0786440816 Wahi mapema usaidiwe mapema.

KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?🔷SWALI:Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wi...
13/01/2022

KWA NINI UTUMIE VIRUTUBISHO LISHE!?

🔷SWALI:
Nakula vizuri, nakula nafaka kamili, matunda kwa wingi, mboga za majani kwa wingi,mafuta mazuri, sili sukari, nafanya mazoezi na kadhalia; KWA NINI NILE TENA VIRUTUBISHO? KWA NINI NILE TENA VIDONGE LISHE ?

👉JIBU:
Swali zuri sana, hata mimi kabla ya kuwa na elimu ya virutubisho lishe nilikua najiuliza hivyo hivyo.
Ukweli ni kwamba k**a unataka kupambana na magonjwa na kufikia urefu wa maisha huwezi kwa kutumia diet peke yake, unahitaji namna ya kuongeza lishe zaidi ambazo zitapatikana tuu kwa wewe kutumia virutubisho lishe.

✍️Jinsi ambavyo mbolea ilivyo muhimu kwa mmea ndivyo virutubisho lishe vilivyo muhimu kwa binadamu. Upe mmea jua na maji na utaishi, uongezee mbolea yenye virutubisho hai na uta stawi zaidi.

Binadamu ndivyo hivyo hivyo, lishe yenye afya, yenye usawa inaipa mwili virutubisho vya kutosha kuendesha kazi za kawaida. Vidonge vyenye virutubisho lishe k**a madini,vitamini, asidi muhimu ya mafuta (essential fatty-acid), na kadhalika vinaimarisha mazingira ya ndani ya mwili kwa kuimarisha ulinzi wa seli, kukarabati na kuzaliwa upya na kusaidia mchakato wa utengenezaji upya wa seli.

✍️VIRUTUBISHO LISHE (SUPPLEMENTS) NI MUHIMU SANA.

Kwa ushauri na msaada zaidi

Tum ujumbe Neno VIRUTUBISHO kwenda WhatsApp namba 0629224104 Wahi mapema usaidiwe mapema.

Madhara K**a KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA kURUDIA TENDO NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA....Kwa upande mwingine kwa ...
13/01/2022

Madhara K**a KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA kURUDIA TENDO NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA....

Kwa upande mwingine kwa kuwa kitendo hiki Cha kujichua kinatumia nguvu physically Ni Rahisi Sana kuleta athari, K**a UUME KUJIKUNJA NA KUWA MDOGO NA KURUDI NDANI K**A WA MTOTO MDOGO, kuwa mlegevu na kukosa nguvu kabisa,kuuwa pelvic floor ambazo zinahusika na good blood flow kwenye uume ,pia kitendo hiki kinahusisha na upotevu wa madini K**a calcium na zinc ambayo Ni mhimu katika mfumo wa uzazi mwwnaume na ni kutokana na hivyo Shida za maumivu ya kiuono ama kukak**aa mgongo au hata uchovu uchovu usioisha inakua Ni sehemu ya madhara ya punyeto

Pia kwa Dini zote zinakataza kupiga punyeto so unapopiga punyeto Ni dhambi mbele za Mungu
So unaeza kuona Richa ya kwamba sayansi haijaweka wazi madhara unayoweza kuyapata kwa kujichua lakini experience inaonesha kuwepo kwa madhara psychologically, physically pamoja spiritually K**a ambavyo nimeeleza.

Madhara yote haya yanatibika kwa haraka pale unapotoa ushirikiano na mtoa huduma ,utajengwa kisaikolojia pamoja physically na utaifurahia ndoa yako.

PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.👉Uume kusimama kwa ule...
12/01/2022

PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII Sasa hivi kwenda WhatsApp number 0786440816 wahi mapema usaidiwe Mapema.

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Telephone

+255786440816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uhai Ni Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram