Afya ni Utajiri wa Kwanza

  • Home
  • Afya ni Utajiri wa Kwanza

Afya ni Utajiri wa Kwanza Tunatibu chanzo cha magonjwa mbalimbali kama pressure,kisukari PID, uvimbe katika kizazi, homa ya ini

⛔BAADHI YA FAIDA ZA KUTUMIA *MYCHOCO 👆*‼️💳Thamani Yake ni *Tsh. 60,000/-tu✅* Tunakutumia Popote Ulipo. 📱0 7 4 4 2 2 8 4 ...
05/02/2024

⛔BAADHI YA FAIDA ZA KUTUMIA *MYCHOCO 👆*

‼️💳Thamani Yake ni *Tsh. 60,000/-tu✅*

Tunakutumia Popote Ulipo.


📱0 7 4 4 2 2 8 4 2 2

*⛔BAADHI YA DALILI ZA UTI*🔵Kujisikia kukojoa muda wote🔵kuchoka sanaa🔵Mkojo kutoa harufu🔵Mkojo wa rangi🔵Homa Kali🔵kichefu...
04/02/2024

*⛔BAADHI YA DALILI ZA UTI*

🔵Kujisikia kukojoa muda wote
🔵kuchoka sanaa
🔵Mkojo kutoa harufu
🔵Mkojo wa rangi
🔵Homa Kali
🔵kichefuchefu
🔵kutapika

*⛔BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI*

▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

*⛔BAADHI YA DALILI ZA P.I.D*

⏩Kutokwa na uchafu mzito ukeni
⏩Uchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano
⏩Uke kutoa harufu mbaya
⏩Kuwashwa sehemu za siri
⏩maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
⏩Uke kuwa mlaini sana
⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa
⏩Kuvurugikwa kwa hedhi
⏩Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
⏩Maumivu wakati wa kukojoa
⏩Homa/uchovu na kuchoka
⏩kizungu zungu na n.k

*⛔BAADHI YA DALILI ZA FIBROIDS AU UVIMBE KWENYE KIZAZI*

🔴Kutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
🔴Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni
🔴Kutokwa na uchafu mwingi na mweupe ukeni
🔴Maumivu makali ya kiuno wakati wa hedhi
🔴Tumbo kuuma sanaa chini ya kitovu
🔴Hedhi isiyokuwa na mpangilio
🔴Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔴Maumivu makali wakati wa hedhi
🔴kukosa hamu ya tendo la ndoa na n.k

*⛔BAADHI YA DALILI ZA HORMONE IMBALANCE* (mvurugiko wa vichocheo)

🔵ukavu ukeni
🔵Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔵Kutoa jasho jingi usiku
🔵Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
🔵Kukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa
🔵Hedhi isiyo na mpangilio na n.k

*⛔BAADHI YA DALILI ZA UGUMBA*

🔷Kutoshika ujauzito wakati unakutana na mwanaume
🔷Kutoingia kwenye siku za hatari
🔷Kukosa ute wa siku za hatari
🔷Zaidi ya mwaka bila kupata ujauzito huku ukishiriki tendo la ndoa na mwenzio.

________________________
🔥K**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa,

🔴Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa✍️

🔴Kwa ushauri au kapata huduma zetu 👇
_____ ___ ___
Uzazi_salama
0 7 4 4 2 2 8 4 2 2

👉Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?👉je, unapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa hedhi?👉Je, una uvimbe kwenye k...
05/12/2023

👉Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?
👉je, unapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa hedhi?
👉Je, una uvimbe kwenye kizazi?
👉Je, unapata maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na kushoto?
👉Je, unatokwa na uchafu wa aina yeyote ile ukeni?
👉Je, unapata siku zako vile inavyotakiwa? Yaani mzunguko wa siku zako upo sawa?
👉Je, unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?
👉Je, unapata ukavu wakati wa tendo la ndoa?
👉Je unakosa hisia za tendo la ndoa?
👉Je, huwa unapata ute wa uzazi siku za hatari (ovulation days)?
👉Je, ulishawahi kutoa ujauzito?
👉Je, umeshawahi kuugua P.I.D (mashambulizi ya bakteria kwenye kizazi)?
k**a jibu ni ndio kwa sababu mojawapo tajwa hapo juu basi hiyo ndiyo Sababu inayokuzuia kupata ujauzito.
*Je wewe unatatizo gani linakusumbua? Niambie sasahivi! Nikusaidie ;👇*
wa.me/0744 228 422

*NIMEPIMA VIPIMO VYOTE VYA UZAZI KWA MWANAMKE SINA TATIZO LOLOTE LAKINI SIBEBI UJAUZITO?.🤷‍♂️🤷‍♀️*Baadhi yetu tumeshajit...
02/12/2023

*NIMEPIMA VIPIMO VYOTE VYA UZAZI KWA MWANAMKE SINA TATIZO LOLOTE LAKINI SIBEBI UJAUZITO?.🤷‍♂️🤷‍♀️*
Baadhi yetu tumeshajitibu na kujiridhisha kwenye vipimo vyote vya uzazi lakini bado hatujafanikiwa kubeba ujauzito.
"Dr. Marwa ahsante kwa huduma yako nzuri nimepona kila kitu, nimepima homoni zote ziko sawa, mirija haina shida, mayai yanapevuka vizuri, ute wa uzazi napata, sina uvimbe na hata ultrasound nimepiga zaidi ya tatu niko sawa, hedhi napata vizuri na hata maziwa hayaumi wala kujaa LAKINI kwanini sibebi ujauzito?."😳
Au kwanini sipati period k**a wengine?.🥹
*Hili swali wengi linawasumbua bila majibu wala ufafanuzi mzuri.*
*K**A HUYU NI WEWE FANYA HIVI:👇*
1. Mwambie mwenza wako (mme) nae akapime kipimo cha wingi na ubora wa mbegu (semen analysis) kwa sababu baadhi ya wanaume pia wana changamoto za Uzazi hasa katika wingi na ubora wa mbegu zake.
2. Punguza matumizi ya dawa za vipodozi (make up) hasa zenye kemikali kali.
Baadhi ya kemikali zilizopo kwenye vipodozi hasa zenye uwezo wa kuchubua ngozi huathiri taratibu katika mishipa ya neva na damu hivo kupelekea uwezo mdogo wa mayai kupevuka au kukomaa. Mfano mwingine dawa/ vipodozi vya kubadili muonekano ukitumika kwa kipindi kirefu unaweza kuchochea madhara katika uwiano wa homoni.
3. Punguza mawazo na jipe miezi 6 upime upya vipimo vyote na katika kipindi hiki unaweza kujipa likizo ya kupunguza safari za mara kwa mara zisizokuwa za lazima kuepuka kubadili mazingira. Maana kubadili mazingira mara kwa mara huchochea homoni kubadilika hasa kupata period kabla ya wakati au kuchelewa kupata period.
4. Punguza uzito endapo una uzito mkubwa lakini pia punguza mazoezi makali k**a wewe ni mpenda mazoezi sana basi fanya mazoezi kwa wastani yasiwe makali sana kwa kipindi kirefu.
5. Katika kipindi unachohitaji ujauzito na hupati kwa wakati jitahidi kupunguza baadhi ya vyakula, vilevi hasa vilevi vikali vyenye wingi wa kafeini ndani yake na punguza pia uraibu mfano kuvuta sigara, sh**ha na uraibu mwingine wenye kufanana na hivyo.
6. Chunguza utokaji wa hedhi yako, mzunguko wako, aina ya damu inayotoka (nyeusi, mabonge, inatoa harufu au yenye utelezi), na ishara zingine ambazo hujitokeza siku kadhaa kabla hujaingia hedhi.
Lifanye hili zoezi kwa kipindi ulichojipa cha miezi 6 mfululizo ili kubaini kipi ambacho kinaweza kuwa kisababishi cha wewe kutokubeba ujauzito kwa wakati.
Baada ya miezi sita rudia vipimo vyote na unashauriwa kupima hata hospitali tatu tofauti tofauti ili kujiridhisha na majibu.
*NYONGEZA:* Kuwa karibu na mwenza wako uwapo siku za hatari kwani ndizo siku pekee zinazoleta ujauzito na mtoto.🤰🤱
*Je, kipi umejifunza hapo kwenye makala ya leo?.*

*Je, bado unasumbuka na,👇*⛔ Harufu mbaya ukeni⛔Miwasho ukeni⛔kutokwa na Uchafu wenye harufu mbaya⛔Kukosa hamu ya Tendo l...
01/12/2023

*Je, bado unasumbuka na,👇*
⛔ Harufu mbaya ukeni
⛔Miwasho ukeni
⛔kutokwa na Uchafu wenye harufu mbaya
⛔Kukosa hamu ya Tendo la Ndoa
⛔Maumivu makali Wakati wa Tendo
⛔Kutokwa vipele ukeni
⛔Kushindwa kushika Mimba
⛔Ukishika Mimba inatoka
⛔kukosa hedhi kwa muda mrefu
⛔Damu ya hedhi Kuendelea kutoka kwa muda mrefu
⛔Kupata hedhi Ya Matone
⛔Damu ya hedhi kutoka K**a vipande vya maini
⛔Siku za hedhi kuvurugika
⛔Maumivu makali ya tumbo Wakati Wa hedhi
⛔Mirija ya uzazi imeziba
⛔Mayai hayakomai
⛔Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
N.k
Wasiliana nasi ;
_uzazi_salama_
0744 228 422
WhatsApp/Sms/Call

*katika breakfast yako na familia yako hakikisha unapata liven alkaline coffeee, iliyo katika flavor 4 tofauti pamoja na...
28/11/2023

*katika breakfast yako na familia yako hakikisha unapata liven alkaline coffeee, iliyo katika flavor 4 tofauti pamoja na vitafunwa vyako😋 na kupata faida teletele, pia unaweza tumia MYCHOCO,(good appetizer) 😋😋☕☕☕*

sms/call/whatsApp:- 0744 228 422

*MWANAMKE ZINGATIA HAYA KWENYE NDOA YAKO ILI USIGOMBANE NA MMEO MARA KWA MARA KUPUNGUZA MAWAZO YAWEZAYO KUVURUGA HOMONI ...
27/11/2023

*MWANAMKE ZINGATIA HAYA KWENYE NDOA YAKO ILI USIGOMBANE NA MMEO MARA KWA MARA KUPUNGUZA MAWAZO YAWEZAYO KUVURUGA HOMONI ZAKO.*
1) Hakuna mwanaume mkamilifu
2) Wanaume ni k**a watoto. Kwa hivyo uwe k**a mama yake.
3) Sikia haraka; ongea taratibu.
4) Kamwe usishindane na mwanaume.
5) Usijaribu kujilinganisha naye.
6) Kuwa mwepesi wa kuomba msamaha wakati unajua kuwa umekosea.
7) Usiwe na wivu sana naye. Hii ni nzuri kwa afya ya akili yako
8. Unaweza kuangalia kwenye simu yake ukitaka, lakini hiyo si lazima.
9) Daima kuwa mwaminifu k**a mke.
10) Kamwe usiondoke nyumbani kwako kwa umbali mrefu bila idhini yake.
11) Hakikisha unajua chakula anachopenda, na umtayarishe angalau mara mbili kwa juma k**a pesa inaruhusu.
12) Usimruhusu mumeo aingie ndani ya nyumba akiwa na kifurushi mkononi.
13) Jaribu kufanya bajeti pamoja.
14) Kuwa mshauri wake, sio mkosoaji.
15) Usisahau kwamba mke ni msaidizi wa mume.
16) Jifunze mambo mazuri kutoka kwa mama yako.
17) Mungu anapokubariki kuwa na watoto, usijali zaidi watoto wako na kumsahau mumeo.
18) Jifunze kutabasamu ukiwa na mumeo.
19) Mumeo anapotoka kazini, msalimie. Ikiwezekana, mkumbatie.
20) Usiruhusu mumeo aondoke nyumbani bila kula. Hii inaweza kumaanisha "kula" na "kula".
21) Mume anapokasirika, acha kuongea.
22) Weka chumba cha kulala safi kila wakati.
23) Kamwe usiweke vitambaa kitandani. Wanaume wengine huchukia hilo.
24) Kuwa mwanamke safi.
25) Angalia kimapenzi.
26) Daima kumbuka kufanya kile ambacho mke anapaswa kufanya. Wewe si dada yake.
27) Watendee jamaa zake wema k**a utakavyo watendea wako.
28) Mara nyingi muulize jinsi jamaa zake wanavyoendelea.
29) Nendeni kanisani au msikitini pamoja.
30) Kamwe usimlinganishe mumeo au nyumba yako na ya mtu mwingine.
Nakutakia kila la kheri katika ndoa yako. Na Mungu akubariki na akupe idadi ya watoto unaotaka.
*Namba ngapi umeipenda zaidi?.*

*♓ MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONE IMBALANCE):-*👇🔵 Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa v...
27/11/2023

*♓ MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONE IMBALANCE):-*👇
🔵 Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapopata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya %80.
*VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI:-*
⭕Uwepo wa sumu mwilini,
⭕Mfumo Mbovu wa maisha,
⭕Umri kuenda sana, kukoma kwa hedhi,
⭕Uzito mkubwa,
⭕Mabadiliko ya mazingira,
⭕Msongo wa mawazo,
⭕Upungufu wa lishe bora mwilini,
⭕Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango,
⭕ Utoaji wa mimba kiholela,
⭕Ongezeko la homoni ya Androgen hupelekea mwanamke [kuota ndevu, base voice]
*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI:-*
🔵Uke kuwa mkavu,
🔵Maumivu wakati wa tendo la ndoa,
🔵Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi,
🔵Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa,
🔵Mabadiliko ya siku za hedhi mfano kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7 na hutoka mabonge ya dam au dam nyingi zaid kuliko kawaida.

piga/sms/whatsApp:-
0744 228 422

baada ya uchovu wa shughuli za kutwa nzima, pata kikombe cha liven alkaline coffee kuondoa uchovu, kukupa usingizi mzuri...
26/11/2023

baada ya uchovu wa shughuli za kutwa nzima, pata kikombe cha liven alkaline coffee kuondoa uchovu, kukupa usingizi mzuri na pia kuulinda mwili ndidi ya magonjwa mbalimbali😋😋😋☕☕☕
offa yetu bado yaendelea, hadi tarehe 1/12/2023 box 1 ni 45,000/= tu badala ya 60,000

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni Utajiri wa Kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni Utajiri wa Kwanza:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram