Bantu care.

Bantu care. We take care to people having health problem such as: body paralysis, diabetes and reproductive organs system.

Karibu tukuhudumie kwa watu wanao sumbuliwa na mwili kupooza, afya ya uzazi na kisukari,

Bantu care TIBA YA KUREFUSHA UUME NA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA WANAUMELEO NITATOA ELIMU YA NAMNA YA KUTENGENEZA TIBA Y...
09/12/2024

Bantu care

TIBA YA KUREFUSHA UUME NA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA WANAUME

LEO NITATOA ELIMU YA NAMNA YA KUTENGENEZA TIBA YA KUREFUSHA UUME BILA KUTUMIA DAWA ZA KEMIKALI KUEPUSHA MADHARA YA BAADAE

SABABU ZA UUME MDOGO AU KURUDI NDANI NI K**A IFUATAVYO

1) KUJICHUA AMA PUNYETO KWA MDA MREFU HUSABABISHA MISULI KULEGEA NA KUSABABISHA DAMU ISITEMBEE VIZURI KWENYE UUME NA KUFANYA UIMARA WAKE WA UKUAJI KUPUNGUA(KUSIZI)

2) KUOGA MAJI YA BARIDI SANA MARA KWA MARA NAYO NI SABABU KUBWA YA UUME KUWA MDOGO SANA AMA KURUDI NDANI,,, HII HUTOKEA MARA KWA MARA KWA WANAOKAA MANEO YA BARIDI SANA K**A LIMURU, LOITOK TOK, MARARAL NK NA KITU AMBACHO HUSABABISHA PIA NGIRI(Hernia)

3)KUTOKUFANYA MAPENZI MARA KWA MARA NAYO NI SABABU YA MAUMBILE KURUDI NDANI, KISAYANSI INASEMEKANA KITU KISIPOTUMIKA KWA MDA MREFU HUPUNGUZA UWEZO WAKE WA KUFANYA ZAIDI NA IKIZIDI HUPOTEA ZAID (law of use and disuse).

4)PIA KUWA NA UUME MDOGO SIO TATIZO HATA KIDOGO WALA SIO UGONJWA ILA K**A UNAWEZA KUZIJUA STAILI ZA KUKUSAIDIA MWENZAKO (MPENZI) KUMFKISHA ANAPOTAKA NAKUSHAURI USIHANGAIKE NA KUREFUSHA MAUMBILE K**A PIA HAUFIKI KABISA ANAPOTAKA APO NDIO TATIZO

Ama mada yetu ya leo itahusu kuongeza urefu wa dhakari(uume) kwan ni moja ya tatizo lililopo kwenye jamii yetu.

Watu wengi wamekua wakihangaika kutafuta dawa ya kuongeza Uume bila mafanikio pia kuna watu ambao wamepata madhara maada ya kutumia dawa za kuongeza Uume na hii inatokana na matumizi ya dawa za kemikali

Pia kuna wengine wamekata tamaa na kudhani kua hakuna dawa ya kuongeza Uume ila ni udanganyifu tu. ukweli ni kwamba dawa zipo tatizo ni kuzijua tu

Ili kutengeneza dawa ya kukuza Uume fuata hatua zifuatazo
kwa wale wallo na dhakari(Uume) isiyofika inchi sita ( 6inch ) ipo tiba yake ya asili isiyo na madhara (side effect) kwa mtumiaji kwani ni ya asili kabisa na unaweza kujitengenezea mwenyewe kuliko ukae unasumbuka na kununua dawa usizozijua

DAWA ZA KUREFUSHA:
X-CHUKUA MAFUTA YA KITUNGUU SWAUMU UJAZO ML50
X-MAFUTA YA NYONYO UJAZO ML50
X-MAFU

Kwa changamoto ya uzito uliopitiliza, kitambi,nyama zembe ,matende ,miguu kuvimba,presha , tumia foot pack ni dawa inayo...
05/12/2024

Kwa changamoto ya uzito uliopitiliza, kitambi,nyama zembe ,matende ,miguu kuvimba,presha , tumia foot pack ni dawa inayopenya kupitia unyayo na kuweza kuchoma mafuta mwilini na kuondoa sumu,

Kwa nini inamatokeo mazuri na ya uhakika? Jibu ni kwamba ni tiba ya reflexology ambayo inatumia ngozi ya unyayo wa miguu kupenya kwenye mwili mzima kwani unyayo wa miguu ni sehemu ya mwili ambapo kila aina ya kiungo cha mwili kimeunganishwa pale

Licha ya kupunguza uzito uliopitiliza, kitambi,tumbo la homoni baada ya kujifungua kuna faida nyingi za kitiba kwa walio wengi waliowahi tumia foot soak pack ni kwamba

Mtu mwenye miguu ya matende inaondoa uvimbe wa miguu

Miguu kuwaka moto
Mwili uliovimba odema
Presha
Tatzo la moyo
Magaga sugu
Varicose vein

Karibu sana tuwasiane kwa 0788357263 au 0755469094

Tunapatikana dar es salaam, mwanza ,kahama ,na arusha ,sehemu mbali mbali pia tuna tuma

Bei 38,000 elfu thelathini na nane tu

Dozi

Hello  nina miaka 30 niliolewa na mme wangu miaka 6 iliyopita, alinitoa kwetu bukoba kijijini na kunileta Dodoma mjini.....
05/12/2024

Hello nina miaka 30 niliolewa na mme wangu miaka 6 iliyopita, alinitoa kwetu bukoba kijijini na kunileta Dodoma mjini..Ila naona k**a ndoa inanishinda maana wakati mume wangu ananioa toka kijijini alisema ana kazi nzuri sana Airport na nitafurahia maisha. Kumbe uongo, kuja huku kumbe anafanya vibarua hata visivyoeleweka, mara achimbe mitaro, mara abebe zege na kuzibua vyoo. Yaani mwenzenu nakula dagaa na mboga za majani kila siku na sembe...Ndizi nilizozoea hakuna, nyama na hata vyakula vingine navisikia kwa majirani yaani naona k**a uvumilivu umenishinda kwakweli maana k**a ndoa yenyewe ndio hivi , natamani hata kurudi kwetu kikwazo ni watoto maana nilikuja na watoto 2 nikajisahau nikamzalia mmoja jumla 3 cha Kuumiza zaidi hata mwenzangu hajali ananiambia tu nivumilie sasa nachoka hadi natamani kumtoroka ..Naombeni ushauri mwenzenu nifanyeje

Kimo cha Kinembe !Wanawake lazima mtambue k**a kinembe chako ni kifupi uwezekano wa kufike kileleni ni mdogo sana,Kiembe...
05/12/2024

Kimo cha Kinembe !
Wanawake lazima mtambue k**a kinembe chako ni kifupi uwezekano wa kufike kileleni ni mdogo sana,

Kiembe ni nini !?
Usiniulize mswali ya kishamba kinembe ni kinyama ambacho kinachomoza eneo la ukeni hiki ndio k**a kichwa cha uke uki kigusa hapo ni rahisi kupatwa na hisia hata kujichafu kabisa.

Ukeni ni ndani, ila uke ni nje hivyo kinembe kina kaa nje ya uke na sio ndani ya ukeni chenyewe kina mishipa zaidi ya 100,000 kiasi kwamba kinapotokea kumpenda mtu kikimwona tu kinasimama k**a ume sema chenyewe kinakuwa k**a kinauma kinapovimba kikizidiwa.

Kwa wastani kinembe kinatakiwa kiwe na nchi 1 hadi 2 inaruhusiwa sema wenye kinembe cha nchi 3 hawa ukiziona uke zao unahisi wana uume.

Kimo cha Kinembe !Wanawake lazima mtambue k**a kinembe chako ni kifupi uwezekano wa kufike kileleni ni mdogo sana,Kiembe...
05/12/2024

Kimo cha Kinembe !
Wanawake lazima mtambue k**a kinembe chako ni kifupi uwezekano wa kufike kileleni ni mdogo sana,

Kiembe ni nini !?
Usiniulize mswali ya kishamba kinembe ni kinyama ambacho kinachomoza eneo la ukeni hiki ndio k**a kichwa cha uke uki kigusa hapo ni rahisi kupatwa na hisia hata kujichafu kabisa.

Ukeni ni ndani, ila uke ni nje hivyo kinembe kina kaa nje ya uke na sio ndani ya ukeni chenyewe kina mishipa zaidi ya 100,000 kiasi kwamba kinapotokea kumpenda mtu kikimwona tu kinasimama k**a ume sema chenyewe kinakuwa k**a kinauma kinapovimba kikizidiwa.

Kwa wastani kinembe kinatakiwa kiwe na nchi 1 hadi 2 inaruhusiwa sema wenye kinembe cha nchi 3 hawa ukiziona uke zao unahisi wana uume.
0788357263 ushauri na tiba dr bantu

UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI/ SEHEMU ZA SIRI Ndugu zangu naomba nielezee kuhusu mwanamke na uke,kwa maana ya UKE ni kiung...
05/12/2024

UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI/ SEHEMU ZA SIRI


Ndugu zangu naomba nielezee kuhusu mwanamke na uke,kwa maana ya

UKE ni kiungo cha uzazi wa mwanamke, ambamo ndani yake kuna Lactobacillus bacteria na fangasi wazuri abao wako katika kiwango kinacho lingana/a balanced mix. Bacteria hawa na fangasi hizi husaidia sana kuulinda uke na maradhi mbalimbali endapo uwiano wake hauta bughuziwa. LActobacillus bakteria hutoa acid ambazo huzuia fangasi kukuwa au kuwa wengi zaidi.

UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI ni ugonjwa anaoupata mwanamke endapo fangasi watakuwa wengi zaidi ya bacteria wazuri waliopo ukeni au k**a pH ya ukeni imezidi kiwango cha kawaida kinachopaswa(pH 3.5-4.5 ndio kiwango kizuri kiafya).

FANGASI ZA UKENI MARA NYINGI HUSABABISHWA NA FANGASI WAITWAO CANDIDA ALBICANS, LAKINI WAKATI MWINGINE NI AINA NYINGINE ZA FANGASI NA HIZI NI VIGUMU SANA KUTIBIKA

VITU VINAVYOWEZA KUSABABISHA UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI

1.MATATIZO YA HOMONI(HOMONI ZA KUBADILIKA/KUWANYINGI SANA AU KUSHUKA SANA) hii inaweza kusahabishwa na; ukomo wa hedhi,ujauzito, (MP)kuwa katika siku za mwezi, matumizi ya dawa za kuongeza kiwango cha hormon za k**e

2. MATUMIZI YA ANTIBIOTICS hizi huuwa bacteria wazuri na kubadiri ph ya uke

3.KUFANYA MAPENZI NA MTU ALIYE NA UGONJWA WA FANGASI ZA SEHEMU ZA SIRI BILA KINGA

4.KUSHUKA KWA KINGA YA MWILI hii inaweza kusababishwa na magonjwa mbalimbali k**a UKIMWI, KISUKARI, UPUNGUFU WA MADINI,VITAMINI NA VIRUTUBISHO MBALIMBALI VYA MWILI.

5.ULAJI MBAYA HASA KUPENDELEA VYAKULA VYENYE SUKARI KWA WINGI (SUKARI NI CHAKULA KWA FANGAS HIVYO HUONGEZEKA).

DALILI ZINAZOONESHA KUWA UNAUGONJWA WA FANGAS ZA UKENI

~MUWASHO SEHEMU ZA SIRI

~VIPELE VIDOGO VIDOGO UKENI

~KUTOKWA UCHAFU MWEUPE AU WA RANGI YA KIJIVU UKENI WENYE HARUFU MBAYA

~VIDONDA AU MICHUBUKO UKENI

~KUTOKWA NA HARUFU MBAYA UKENI

~KUPATWA NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA

~KUVIMBA NA KUWA MWEKUNDU KATIKA MDOMO WA NJE WA UKE

~KUWAKA MOTO NDANI NA NJE YA UKE
Kwa ushauri na tiba 0788357263

JE, UNATESEKA NA TATIZO LA UKE MKAVU NA UNAHITAJI TIBA...?  JE, UNAJUA NINI CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?                  ...
05/12/2024

JE, UNATESEKA NA TATIZO LA UKE MKAVU NA UNAHITAJI TIBA...? JE, UNAJUA NINI CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU? Uke mkavu; ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu wa homoni au kutokua na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo hupelekea misuli ya uke kusinyaa na kukosa vilainishi. Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na Raha ya tendo. Ute huo ukizidi Sana au kua pungufu Sana nalo ni tatizo. *VISABABISHI VYA UKE KUWA MKAVU.* ✍🏽-Utumiaji mafuta yenye kemikali (cosmetics). ✍🏽-Magonjwa ya zinaa na fangasi. ✍🏽-Matumizi ya sabuni za antibiotics kwa kuoshea uke. ✍🏽-Upungufu wa homoni. ✍🏽-Uoga na wasiwasi. *DALILI ZA UKE MKAVU* ✍🏽-Maumivu wakati wa tendo la ndoa. ✍🏽-Kupungua hamu ya tendo la ndoa. ✍🏽-Kua na ngozi kavu. ✍🏽-Maumivu ya mifupa na viungo. ✍🏽-Msongo wa mawazo. ✍🏽-Mzunguko wa hedhi. ✍🏽-Kubadilika badilika. ✍🏽-Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na Maumivu. .....karibu na wewe unaweza kuondokana na ukavu ukeni na ukafurahia tendo pamoja na mume wako Kwa maelezo zaid piga simu 0788357263

PID NI NINI, DALILI, MADHARA NA TIBA YAKE.PID (Pelvic informatory Disease) Ni maambukizi katika via vya uzazi.Maambukizi...
05/12/2024

PID NI NINI, DALILI, MADHARA NA TIBA YAKE.

PID (Pelvic informatory Disease) Ni maambukizi katika via vya uzazi.

Maambukizi hayo yanaweza kusababishwa na

1️⃣magonjwa: kisonono, kaswende, UTI au Fangasi rudizi
2️⃣Utoaji mimba
3️⃣Matumizi ya madawa kiholela
4️⃣Vizuizi mimba
5️⃣Kuwa na wapenzi Wengi
6️⃣Mtindo wa maisha (Ulaji mbovu na kutokuzingatia usafi) n.k

PID Ni ugonjwa hatari Sana kwa wanawake unaoshambulia via vya uzazi na Madhara yake Ni makubwa isipotibika kwa haraka.

HIZI NI BAADHI YA DALILI ZA PID

1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za Siri, yawezekana ukawa Ni mweupe, njano, au maziwa na unaharufu mbaya
2️⃣Kuwashwa sehemu za Siri
3️⃣Uke Kuwa mkavu na kutoa Harufu mbaya
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke Kuwa na ulaini Sana kulegea
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na Wakati wa choo Kubwa
🔟Homa, uchovu, kuzunguzungu na kukosa hamu ya kula
1️⃣1️⃣ Maumivu ya chini ya kitovu upande wa kulia au kushoto

MADHARA YA PID
🔸Ugumba
🔸Kansa ya shingo ya kizazi
🔸Mirija ya uzazi kuziba
🔸Majeraha kwenye Mirija ya uzazi

ANGALIZO: Uonapo dalili moja au zaidi wahi katika kituo cha Afya ili kuepuka Madhara makubwa baadae.

TIBA YA PID
PID Inatibika na kupona kabisa. Kwa ushauri, swali juu ya tatizo hili waweza kuwasiliana nami Ni Bure kabisa. Karibu 0788357263

24/09/2024

Kwa changamoto ya uzito uliopitiliza, kitambi,nyama zembe ,matende ,miguu kuvimba,presha , tumia foot pack ni dawa inayopenya kupitia unyayo na kuweza kuchoma mafuta mwilini na kuondoa sumu,

Kwa nini inamatokeo mazuri na ya uhakika? Jibu ni kwamba ni tiba ya reflexology ambayo inatumia ngozi ya unyayo wa miguu kupenya kwenye mwili mzima kwani unyayo wa miguu ni sehemu ya mwili ambapo kila aina ya kiungo cha mwili kimeunganishwa pale

Licha ya kupunguza uzito uliopitiliza, kitambi,tumbo la homoni baada ya kujifungua kuna faida nyingi za kitiba kwa walio wengi waliowahi tumia foot soak pack ni kwamba

Mtu mwenye miguu ya matende inaondoa uvimbe wa miguu

Miguu kuwaka moto
Mwili uliovimba odema
Presha
Tatzo la moyo
Magaga sugu
Varicose vein

Karibu sana tuwasiane kwa 0788357263 au 0755469094

Tunapatikana dar es salaam, mwanza ,kahama ,na arusha ,sehemu mbali mbali pia tuna tuma

Bei 38,000 elfu thelathini na nane tu

Dozi

24/09/2024

Kwa changamoto ya uzito uliopitiliza, kitambi,nyama zembe ,matende ,miguu kuvimba,presha , tumia foot pack ni dawa inayopenya kupitia unyayo na kuweza kuchoma mafuta mwilini na kuondoa sumu,

Kwa nini inamatokeo mazuri na ya uhakika? Jibu ni kwamba ni tiba ya reflexology ambayo inatumia ngozi ya unyayo wa miguu kupenya kwenye mwili mzima kwani unyayo wa miguu ni sehemu ya mwili ambapo kila aina ya kiungo cha mwili kimeunganishwa pale

Licha ya kupunguza uzito uliopitiliza, kitambi,tumbo la homoni baada ya kujifungua kuna faida nyingi za kitiba kwa walio wengi waliowahi tumia foot soak pack ni kwamba

Mtu mwenye miguu ya matende inaondoa uvimbe wa miguu

Miguu kuwaka moto
Mwili uliovimba odema
Presha
Tatzo la moyo
Magaga sugu
Varicose vein

Karibu sana tuwasiane kwa 0788357263 au 0755469094

Tunapatikana dar es salaam, mwanza ,kahama ,na arusha ,sehemu mbali mbali pia tuna tuma

Bei 38,000 elfu thelathini na nane tu

Dozi

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bantu care. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bantu care.:

Share