15/04/2026
Mnaotafuta Mimba au mtoto | Mwanamke akitoka hedhi mwili wake unahitaji sana nguvu ya virutubisho ili lizalishwe yai bora na lenye kupevushwa
Wakati mkiendelea kuzisubiri siku za hatari, pendeleaeni kutumia mara kwa mara vyakula hivi, parachichi, samaki wabichi, Almonds (lozi), jozi au walnuts, mdalasini, ndizi mbivu, bamia, karoti, matango, mboga za kijani aina zote, karoti, tikiti maji na matunda kwa wingi zaidi haswa kwa mwanamke kwa sababu inasaidia kurekebisha homoni za uzazi na kukupa uhakika wa kupata ujauzito katika siku za uzazi na ni bora katika kuimarisha manii / mbegu za mwanaume
Sio kwamba ni lazima mle vyakula vyote hivi kwa wakati mmoja HAPANA, Inategemea na uwezo wa Familia yenu, hata mkipata kimoja au viwili kati ya hivyo it's ok..! ila kadri unavyopata wingi wa vyakula hivi, ndivyo mnajiongezea nafasi nzuri ya kufanikiwa, chaguo ni lako mwenye ndoa
Kipindi mnazisubiri siku za hatari ni muhimu sana kupunguza matumizi ya sukari ya viwandani, pombe na vyakula vilivyokobolewa, sigara, pombe, kwani hivi ni visababishi vikubwa vinavyovuruga homoni na ubora wa mbegu za mwanaume
K**a unapitia changamoto za uzazi na unapenda kupata dawa zilizoandiliwa kutoka kwetu zipo na very affordable
🤰 Kwa wanawake tunayo FERTILITY CLEANSER ambayo kazi yake ni kuondoa maambukizi ya bakteria na fangasi kwenye kizazi yaani PID na UTI, inaondoa uvimbe kwenye kizazi, inaondoa uchafu kwenye mirija na kwenye tumbo la uzazi pia inabalansi homoni kwa wanawake wenye shida ya hedhi kuvurugika, kukosa hisia, kuwa wakavu, mayai kushindwa kupevuka, chango n.k
KWA MSAADA NA USHAURI BINAFSI@healthy_linetz
Whatsapp +255766856450.