Healthy_linetz

Healthy_linetz If YOU belive your HEALTH is your first WEALTH follow me.My post are to educate not medical advice.

Mikoani na nje ya nchi tunafanya delivery kwa usalama kabisa.   +255766856450.
10/01/2026

Mikoani na nje ya nchi tunafanya delivery kwa usalama kabisa.

+255766856450.

"Uzalishaji wa juu wa homoni ya Progesterone baada ya OVULATION, huweza kusababisha kuongezeka kwa gesi tumboni, kichefu...
10/01/2026

"Uzalishaji wa juu wa homoni ya Progesterone baada ya OVULATION, huweza kusababisha kuongezeka kwa gesi tumboni, kichefuchefu, matiti kujaa na kuuma pamoia na maumivu ya kichwa., Dalili hizo hufanana na wenye mimba changa na kupelekea wanawake wanaopata dalili hizo kudhania wameshika ujauzito.,”

Ndiyo, unaweza kushika mimba ukiwa na fibroids kwenye kizazi, lakini hali hii inategemea mambo kadhaa k**a vile ukubwa w...
09/01/2026

Ndiyo, unaweza kushika mimba ukiwa na fibroids kwenye kizazi, lakini hali hii inategemea mambo kadhaa k**a vile ukubwa wa fibroids, idadi, eneo lake kwenye kizazi, na jinsi zinavyoathiri mfumo wa uzazi.

Fibroids ni uvimbe usio wa saratani unaotokea kwenye misuli ya kizazi. Wanawake wengi wenye fibroids wana uwezo wa kushika mimba bila matatizo makubwa. Hata hivyo, kuna baadhi ya hali ambapo fibroids zinaweza kuathiri uzazi au ujauzito kwa njia zifuatazo:

1. Eneo la Fibroids:
- Fibroids zilizo ndani ya tundu la kizazi (submucosal fibroids): Hizi zinaweza kuathiri nafasi ya kiinitete kujishikiza kwenye kuta za kizazi, hivyo kusababisha ugumu wa kushika mimba au kuharibika kwa mimba.
- Fibroids kwenye misuli ya kizazi (intramural fibroids): Ikiwa ni kubwa, zinaweza kupunguza nafasi ndani ya kizazi, na kuathiri mfumo wa uzazi.
- Fibroids zilizo nje ya kizazi (subserosal fibroids): Mara nyingi hazina athari kubwa kwenye uzazi kwa sababu ziko nje ya kizazi, ingawa fibroids kubwa zinaweza kuleta matatizo k**a vile maumivu au kuathiri viungo vya karibu.

2. Ukubwa wa Fibroids:
Fibroids kubwa zaidi zinaweza kubana au kubadilisha umbo la kizazi, na kuzuia upatikanaji wa nafasi ya kutosha kwa kiinitete kukua vizuri.

3. Dalili na Athari kwenye Mimba:
- Baadhi ya wanawake wenye fibroids hawapati dalili yoyote, lakini wengine hupata dalili k**a maumivu ya tumbo, hedhi nzito, au matatizo ya kibofu cha mkojo. Hali hizi zinaweza kuathiri hali ya uzazi au ujauzito.
- Fibroids zinaweza kusababisha kuharibika kwa mimba (miscarriage) au kuzaa kabla ya wakati (preterm birth) iwapo zitaathiri jinsi mtoto anavyokua ndani ya kizazi.

Kwa hiyo, ikiwa una fibroids na unapanga kushika mimba, ni muhimu kuonana na daktari kwa uchunguzi wa kina na ushauri

Whatsapp +255766856450

Unajaribu kupata mimba mwaka huu wa  2026? Kuna mambo  mwili wako unayahitaji kweli 🤍 hata k**a umeambiwa hauna shida na...
08/01/2026

Unajaribu kupata mimba mwaka huu wa 2026? Kuna mambo mwili wako unayahitaji kweli 🤍 hata k**a umeambiwa hauna shida na mayai yako yanapevuka.

Uzazi sio tu kuhusu kupanga muda wa kupata mimba bali ni juu ya kuunda mazingira sahihi ya ndani ya mwili ili kusaidia ustawi homoni na mayai yako .

Jitahidi kuingatia mambo haya ni muhimu ili kufanikisha malengo yako ya uzazi 👇🏻
• Mbinu ya kwanza ni chakula au maboresho ya lishe huu ndio msingi wa afya yako ya uzazi

• chagua Folates badala ya folic acid
• afya ya Uzazi ya mwanaume ni muhimu sababu uzazi ni safari ya watu wawili.

▪︎boresha afya ya tumbo lako (gut health) ikiwa utumbo wako unashida tegemea hata homoni zako kuwa na shida.

▪︎ sawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na ondoa inflammation

▪︎Afya ya uke na mlango wa kizazi ni muhim hakikisha unapata ute wa uzazi k**a una maambukizi k**a PID na fangasi tibu.

Uko katika safari ya kushika mimba ? Karibu nitakupatia mpango wa kuharakisha mchakato wako wa mimba.

WhatsApp +255766856450

(kupanga uzazi, kujaribu kushika mimba mwaka 2026, usawa wa homoni, ubora wa mayai, afya ya kudondosha mayai, u, afya ya uzazi ya wanawake, usaidizi wa uzazi kwa njia ya asili , elimu ya uzazi)

NI UKWELI UNAO UMIZA: watu wengi wanatumia gharama kubwa  kutibu matatizo ya uzazi au ugumba lakini ukisikiliza  hadithi...
08/01/2026

NI UKWELI UNAO UMIZA: watu wengi wanatumia gharama kubwa kutibu matatizo ya uzazi au ugumba lakini ukisikiliza hadithi zao walio wengi kwa namna moja walihusika wao wenyewe kujitengenezea haya matatizo iwe kwa kujua au kutokujua.... unapofanya baadhi ya mambo tazama na kesho yako.

Whatsapp +255766856450.

Iwapo umekuwa umemeza kila dawa  kwa lengo la kupandisha  "AMH"  tafadhali acha. ❤️‍🩹 AMH ni hesabu tu na kielelezo cha ...
08/01/2026

Iwapo umekuwa umemeza kila dawa kwa lengo la kupandisha "AMH" tafadhali acha. ❤️‍🩹

AMH ni hesabu tu na kielelezo cha akiba ya mayai , sio upungufu unaoweza kurekebishwa. Vyakula havipandishi. Virutubisho havina uwezo wa kuinua. Lakini unaweza kupata mimba hata ukiwa na upungufu wa AMH ikiwa ubora wa mayai yako ni dhabiti.

Tafuta mtaalam wako wa uzazi atakaekusaidia na haya:
✨ Kupunguza inflammation
✨ kusawazisha insulini + na kuboresha tezi k**a thyroid
✨ kuboresha Utendaji wa mitochondrial
✨kupata lishe yenye nguvu na iliyo sheheni virutubishp
✨ kuboresha DNA ya manii na ubora wa mbegu

Hii ndiyo sababu wanawake walio na upungufu wa AMH ado wanapata mimba kwa njia ya asili - na kuwa na "AMH ya kawaida" haihakikishii chochote katika safari ya uzazi

🤗 Ikiwa majibu yako ya AMH yalikuogopesha, toa maoni AMH hapa chini. Tunaweza kukusaidia kukuambia nini cha kufanya ili kuharakisha safari yako ya uzazi

Whatsapp +255766856450.
wa mayai wa uzazi
ya chini, wa mayai, # usaidizi wa uzazi, za uzazi, ya uzazi, kutunga mimba, ya homoni, wa wanawake, kabla ya mimba, # kliniki ya uzazi

PID na infections kwenye kizazi ni changamoto inayotesa sana Bahati mbaya zaidi maambukizi ya bakteria,fangasi na  PID k...
08/01/2026

PID na infections kwenye kizazi ni changamoto inayotesa sana Bahati mbaya zaidi maambukizi ya bakteria,fangasi na PID kwenye kizazi usipo pata tiba sahihi ni magonjwa hatari kwa afya ya uzazi sababu ni chanzo cha ugumba kwa wanawake wengi,mirija kuziba,makovu kwenye kizazi uvimbe na hata saratani ya kizazi

Habari njema suluhisho lipo karibu
WhatsApp +255766856450.

Chakula hiki kimetumika tangu enzi na mababu.Hapo sokoni ukipita unakiona ni  Nafuu lakini unapokula kwako ni Uponyaji.L...
07/01/2026

Chakula hiki kimetumika tangu enzi na mababu.
Hapo sokoni ukipita unakiona ni Nafuu lakini unapokula kwako ni Uponyaji.
Lakini unakipita kana kwamba unajiambia ni chakula cha watu wa hali ya chini.

Kisha unakuja mtandaoni kulia kuhusu homoni, unene na kitambi, ugumba , PCOS, sukari ya juu kwenye damu, maumivu ya viungo…
Lakini bado wewe ni umefunga ndoa nà ulaji wa :
- Mikate
- Tambi za papo hapo
- Custard
- una ubinamu na ngano na bidhaa za ngano
- Mafuta ya mbegu
- Vitafunio vilivyochakatwa sana

Na unaweza kuthubutu kusema "ninakupangia kula chakula chako?"

Hapana.
Ninakukumbusha nini maana ya chakula.

Boga hili?
Ni nyuzinyuzi.
Ni udhibiti wa sukari.
Ni msaada wa afya yako ya tumbo.
Ni chakula halisi sio bidha

Lakini ulimi wako umetawaliwa na takataka za viwandani,
na seli zako zina njaa katika ya virutubisho ila zimeshiba sumu

Rekebishe lishe

Ikiwa uko tayari kuacha kubahatisha kuhusu lishe na unataka kuanza kula kwa nia na uelewa unaweza kunitumia ujumbe kupata mpango wa lishe wa kutibu homoni ,kupunguza uzito na kurejesha usawa wako wa kijinsia .
Shiriki hii na umtag mtu anayehitaji kusoma ukumbusho huu.


Whatsapp +255766856450.
ni dawa

Kwa wanawake; k**a unandevu,chunusi ambazo hazisikii dawa,matatizo ya hedhi (irregular menstralcycle) kitambi kukosa ham...
07/01/2026

Kwa wanawake; k**a unandevu,chunusi ambazo hazisikii dawa,matatizo ya hedhi (irregular menstralcycle) kitambi kukosa hamu ya tendo na maumivu ya tumbo
Hizi ni dalili za HORMONE IMBALANCE....lakini pia kuna uwezekano mkubwa ukawa na PCOS (polysyctic ovarian syndrome.Tembelea ukurasa wetu kwa elim na ushauri kuhusu namna bora ya kuboresha afya yako kwa kutumia mitidawa na lishe.
+255766856450

Kwa wanaume Ukosefu wa nguvu za kiume ni tatizo kwenye jamii., huweza kuathiri wanaume katika rika zote na zaidi huongez...
07/01/2026

Kwa wanaume Ukosefu wa nguvu za kiume ni tatizo kwenye jamii., huweza kuathiri wanaume katika rika zote na zaidi huongezeka kadri umri unavyosogea. Chanzo huweza kuwa homoni, madhara ya punyeto na udhaifu wa mishipa ya damu, msukumo wa damu, mishipa ya fahamu, magonjwa k**a kisukari na changamoto za masuala ya akili k**a sonona, msongo wa mawazo, shida za mahusiano, wasiwasi na mengineyo. Matibabu hutegemea na chanzo chake.,”

Whatsapp +255766856450

Matumaini yanakupa nguvu ya kuamka tena baada ya kuanguka. Yanakurudishia tabasamu hata unapochoka. Yanakuonyesha kuwa k...
07/01/2026

Matumaini yanakupa nguvu ya kuamka tena baada ya kuanguka. Yanakurudishia tabasamu hata unapochoka. Yanakuonyesha kuwa kuchelewa siyo kushindwa.

Ukipoteza matumaini, unapoteza mwelekeo. Ukipoteza mwelekeo, safari inaweza kukwama njiani.

Kumbuka:
* hauko peke yako
* safari yako ina thamani
* mwili na moyo wako unastahili upendo
* muujiza unaweza kuja wakati usiotarajia

Endelea kusimama, endelea kutafuta msaada wa kitabibu, endelea kuamini — ndoto yako ya kuwa mzazi bado ina nafasi.

+255766856450

Kukoma hedhi kabla ya wakati ni hali zinazo tibika ....k**a haujapa hedhi miezi 3 na zaidi  na hauna mimba ni wakati wa ...
05/01/2026

Kukoma hedhi kabla ya wakati ni hali zinazo tibika ....k**a haujapa hedhi miezi 3 na zaidi na hauna mimba ni wakati wa kutafuta tiba na ushauri wa kitaalam

📲+255766856450

Address

Africana Mbezibeach
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy_linetz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Healthy_linetz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram