22/11/2025
KUOTA MATITI KWA MWANAUME NI TATIZO LA LISHE.
Matiti kwa mwanaume sio ishara ya afya njema hasa katika Upande wa Homoni.
Sayansi ya Homoni Inasema katika damu ya mwanaume homoni ya uzazi ambayo huwa inatakiwa ijioneshe imetawala (Juu) huitwa Testosterone ndio maana huitwa homoni ya Kiume. Lakini pia mwanaume huwa ana Homoni iitwayo Estrogen ambayo huwa ni homoni tawala kwa wanawake.
Homoni ya Testosterone huratibu matukio yote ya kubarehe kwa mwanaume huratibu hamu ya tendo la ndoa,Nguvu za kiume nk na Homoni ya Estrogen yenyewe huratibu Kubarehe kwa mwanamke k**a kuota matiti,Ngozi nyororo,Kuvunja ungo nk.
Homoni ya Testosterone ikiwa juu kwa mwanaume basi Estrogen inatakiwa ijioneshe iko chini huwa zinakinzana hivyo.
Mwanaume ana homoni ya K**e estrogen kidogo maana husaidia kuimarisha mifupa, Matumizi ya vyakula nk.
SABABU YA KUOTA MATITI NI HOMONI YA K**E INAPOKUWA TAWALA KWA MWANAUME
SABABU ZAKE NI:-
1. Kadri Umri unavyo enda Homoni ya Kiume Testosterone hushuka na hivyo Husababisha homoni ya Estrogen kuongezeka ingawaje hali hii haiwezi pekee kusababisha Estrogen kuwa tawala mpaka kuotesha matiti.
2. Kubadilishwa kwa Homoni ya Kiume.
Testosterone kuwa Estrogen kitendo hicho huitwa Aromatization. Hii ni SABABU KUBWA
Kuna mambo ambayo huchochea Aromatase enzyme ifanye kazi kwa Kishindo na Utengeneze Estrogen nyingi mwilini mwanaume.
Kitu cha kwanza ni Uzito mkubwa na kitambi, Unamkuta mtu ana Kitambi Matiti Hips k**a za mwanamke na Maumbile sehemu za siri kupungua (Kibamia) bila kusahau nguvu za kiume zinaanza Kupotea taratibu. Mafuta mabaya husababisha Insulin resistance (udumavu wa seli za mwili) .
Vyakula na mifumo ya maisha vinavyo Chochea Aromatization ni Pombe sigara Matumizi ya Juisi zenye sukari na Juisi za kukamua matunda asili,Vyakula vya wanga na sukari Kupindukia.
Tiba sio Kufanyiwa Upasuaji wa Kuondoa matiti, Tiba sio Kuchua uume Uongezeke. Badilisha mfumo wa Lishe yako mwili UJITIBU KWA NDANI KUJA NJE.
Tafiti zina onesha mwanaume Mwenye ESTROGEN DOMINANCE SYNDROME, Kutawala kwa Homoni ya K**e. Tezi ya Kiume Prostate Hukua kwa Kasi sana na Kusababisha UGONJWA WA TEZI DUME (BPH) Mapema.
Kwa msaada na ushauri