Healthy_linetz

Healthy_linetz If YOU belive your HEALTH is your first WEALTH follow me.My post are to educate not medical advice.

Baada  ya majaribio mengi bila mafanikio usilie na kupoteza tumaini dada simama tena  kwa sababu kupata mtoto sio rahisi...
23/11/2025

Baada ya majaribio mengi bila mafanikio usilie na kupoteza tumaini dada simama tena kwa sababu kupata mtoto sio rahisi kwa kila mwanamke.

Usione AIBU kutafuta msaada wa kimatibabu kwa sababu wapo wanandoa wanaohitaji usaidizi wa dawa za uzazi ,maboresho ya mtindo wa maisha na lishe na ushauri wa kitaalam kutimiza malengo ya uzazi .

Kwa msaada na ushauri binafsi karibu
Whatsapp +255766856450.

23/11/2025
Ikiwa HEDHI yako itaanza leo tarehe 22 Novemba na una mzunguko wa siku 26 ovulation yako itakuwa tarehe 3 Desemba.Siku a...
22/11/2025

Ikiwa HEDHI yako itaanza leo tarehe 22 Novemba na una mzunguko wa siku 26 ovulation yako itakuwa tarehe 3 Desemba.

Siku ambazo unaweza kushiriki tendo k**a uko kwenye safari ya na kutafuta ujauzito ni kati ya Novemba 30, 1, 2, (3 ovulation kuu), 4 na 5 Desemba.

🍀 🤞
+255766856450

Kwa wanawake uke kutoa maji maji mazito k**a maziwa yaliyo ganda yasiyo na harufu hiyo ni dalili ya maambukizi ya fangas...
22/11/2025

Kwa wanawake uke kutoa maji maji mazito k**a maziwa yaliyo ganda yasiyo na harufu hiyo ni dalili ya maambukizi ya fangasi "FUNGAL OVERGROWTH" na sababu kubwa ya maambukizi haya kwenye kizazi kuongezeka?
- Matumizi ya bidhaa zenye harufu ukeni
- Mabadiliko ya homoni
- Matumizi mabaya ya ant-biotics
- Mfumo dhaifu wa kinga
- Usafi duni wa mtu binafsi
- kupanda kwa sukari ya damu
- STRESS
- Aina ya nguo za ndani ambazo mtu anavaa.
- ngono.
Tatizo hili linatibika lakini ukichelewa kutibu madhara yakeni ni mirija kuziba ,makovu kwenye kizazi mimba kuharibika ni chanzo cha ugonjwa wa PID.

Kwa msaada na ushauri binafsi
Whatsapp +255766856450.
.

KUOTA MATITI KWA MWANAUME NI TATIZO LA LISHE.Matiti kwa mwanaume sio ishara ya afya njema hasa katika Upande wa Homoni.S...
22/11/2025

KUOTA MATITI KWA MWANAUME NI TATIZO LA LISHE.

Matiti kwa mwanaume sio ishara ya afya njema hasa katika Upande wa Homoni.
Sayansi ya Homoni Inasema katika damu ya mwanaume homoni ya uzazi ambayo huwa inatakiwa ijioneshe imetawala (Juu) huitwa Testosterone ndio maana huitwa homoni ya Kiume. Lakini pia mwanaume huwa ana Homoni iitwayo Estrogen ambayo huwa ni homoni tawala kwa wanawake.
Homoni ya Testosterone huratibu matukio yote ya kubarehe kwa mwanaume huratibu hamu ya tendo la ndoa,Nguvu za kiume nk na Homoni ya Estrogen yenyewe huratibu Kubarehe kwa mwanamke k**a kuota matiti,Ngozi nyororo,Kuvunja ungo nk.
Homoni ya Testosterone ikiwa juu kwa mwanaume basi Estrogen inatakiwa ijioneshe iko chini huwa zinakinzana hivyo.
Mwanaume ana homoni ya K**e estrogen kidogo maana husaidia kuimarisha mifupa, Matumizi ya vyakula nk.
SABABU YA KUOTA MATITI NI HOMONI YA K**E INAPOKUWA TAWALA KWA MWANAUME

SABABU ZAKE NI:-

1. Kadri Umri unavyo enda Homoni ya Kiume Testosterone hushuka na hivyo Husababisha homoni ya Estrogen kuongezeka ingawaje hali hii haiwezi pekee kusababisha Estrogen kuwa tawala mpaka kuotesha matiti.
2. Kubadilishwa kwa Homoni ya Kiume.
Testosterone kuwa Estrogen kitendo hicho huitwa Aromatization. Hii ni SABABU KUBWA
Kuna mambo ambayo huchochea Aromatase enzyme ifanye kazi kwa Kishindo na Utengeneze Estrogen nyingi mwilini mwanaume.
Kitu cha kwanza ni Uzito mkubwa na kitambi, Unamkuta mtu ana Kitambi Matiti Hips k**a za mwanamke na Maumbile sehemu za siri kupungua (Kibamia) bila kusahau nguvu za kiume zinaanza Kupotea taratibu. Mafuta mabaya husababisha Insulin resistance (udumavu wa seli za mwili) .
Vyakula na mifumo ya maisha vinavyo Chochea Aromatization ni Pombe sigara Matumizi ya Juisi zenye sukari na Juisi za kukamua matunda asili,Vyakula vya wanga na sukari Kupindukia.
Tiba sio Kufanyiwa Upasuaji wa Kuondoa matiti, Tiba sio Kuchua uume Uongezeke. Badilisha mfumo wa Lishe yako mwili UJITIBU KWA NDANI KUJA NJE.
Tafiti zina onesha mwanaume Mwenye ESTROGEN DOMINANCE SYNDROME, Kutawala kwa Homoni ya K**e. Tezi ya Kiume Prostate Hukua kwa Kasi sana na Kusababisha UGONJWA WA TEZI DUME (BPH) Mapema.
Kwa msaada na ushauri

Moja ya madhara kwa waliogua fangasi na  P.I.D kwa muda mrefu ni kuwa na makovu kwenye mji wa uzazi, mirija, uchafu kwen...
22/11/2025

Moja ya madhara kwa waliogua fangasi na P.I.D kwa muda mrefu ni kuwa na makovu kwenye mji wa uzazi, mirija, uchafu kwenye kizazi na wengine hupata tatizo la kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa au maumivu ya chini ya tumbo siku za hatari.
Kana mambo ya kuyachukulia poa siyo suala la afya yako uzazi ni gharama sana...usichukulie poa baadhi ya dalili.

Whatsapp +255766856450

Kwa wanandoa matatizo ya uzazi au ugumba chanzo inaweza kuwa ubora wa mbegu   kwa sababu mwanaume anaweza kumwaga maji m...
22/11/2025

Kwa wanandoa matatizo ya uzazi au ugumba chanzo inaweza kuwa ubora wa mbegu kwa sababu mwanaume anaweza kumwaga maji maji ya shahaw lakini yasiwe na mbegu ndani yake halii hii kitaalam tunaita Azoospermia .

Kuna wakati mwingine chanzo anaweza kuwa mke sababu anaweza kupata damu ya hedhi bila tai kutoka au ovulation kukosekana....kwa wanawake kupata hedhi siyo kiashria pekee cha wewe kuweza kupata mtoto.

Whatsapp +255766856450.


Hivi ndivyo ute wa uzazi unavyoonekana, unapaswa kuwa laini, wenye kuteleza ,angavu na wenye kuvitika  k**a ute mwepupe ...
22/11/2025

Hivi ndivyo ute wa uzazi unavyoonekana, unapaswa kuwa laini, wenye kuteleza ,angavu na wenye kuvitika k**a ute mwepupe wa yai 👇.

Ute huu huwa ni kielelezo cha mwanamke kuweza kuwa ana uwezo wa kuzaa.

Whatsapp+255766856450.



#

Kujibu swali la msingi ni kweli Bado unaweza kupata ujauzito ukiwa na shida katika  usawa wa homoni - lakini inategemea ...
21/11/2025

Kujibu swali la msingi ni kweli Bado unaweza kupata ujauzito ukiwa na shida katika usawa wa homoni - lakini inategemea ni aina gani ya homoni hazina usawa unayo na jinsi tatizo hilo linavyosimamiwa.
Zile homoni za kawaida zinazoathiri uzazi ni pamoja na:

PCOS (ugonjwa huu wa homoni ni sababu ya ugumba dalili zake
- matatizo ya hedhi
- kukosa ovulation
- Chunusi/uzito mkubwa

Prolactin kuwa juu
- Kutokwa kwa maziwa kwenyematiti
-matatizo ya hedhi au kutokuwepo kwa hedhi kabisa
- hali hii huzuia ovulation

Matatizo ya tezi ya shingoni "THYROID" inaweza kupanda au kuwa chini
- Mizunguko isiyo ya kawaida sana
- inaweza kuathiri ovulation

Progesterone ikiwa chini
- Ovulation hufanyika, lakini mimba ikitungwa huharibika au utungisho hautafanyika

Perimenopause (matatizo ya homoni yanayohusiana na umri)
- Ubora wa mayai kupungua
- matatizo ya hedhi

Ili kupata mjamzito, ovulation lazima ifanyike. Kukosekana kwa usawa wa homoni kawaida huacha huathiri ovulation na kusababisha ugumba.

Kwa msaada na ushauri binafsi
Whatsapp +255766856450.

Kemi alilia katika DM yangu.Alisema daktari  tumbo langu sasa limebaki k**a  k**a kaburi tu  mimba niliwahi kubeba ikaha...
21/11/2025

Kemi alilia katika DM yangu.
Alisema daktari tumbo langu sasa limebaki k**a k**a kaburi tu mimba niliwahi kubeba ikaharibika kwa sasa nimejaribu hadu nimechoka kila kipimo cha ujauzito nilichofanya
Kila mwezi huonyesha kutofaulu

Nilipo msikiliza Aliniambia alikuwa amejaribu kila kitu ila isipokuwa kuusikiliza mwili wake.

Mwili wake ulikuwa ukinong'ona na kupiga kelele kwa miaka kadhaa lakini alipuuzia dalili k**a
- kupata hedhi yenye maumivu makali ya tumbo
- Chunusi.
- Uchovu usio isha
- tumbo kujaa na kuvimbiwa
- mabadiliko ya kimhemko "Mood swings"
- vimbe maji kwenye vufuko vya mayai cysts.
- inflammation
- matatizo ya hedhi
- Na kukosa nguvu mwilini

Ishara zote hizi zilionyesha kuwa ana matatizo na mvurugiko wa homoni ilikua ndiyo tatizo lake kwa sauti kubwa mwili ulipiga kelele lakini aliendelea kupuzia

Tulipo boresha lishe yake akatuliza sukari kwenye damu ma nsulini yake ikafanya kazi vizuri, akapunguza inflammation na uzito wake na akaijenga tena tumbo lake na tulifanya kila jiihada kufungulia na kuliponya kwa lishe mitidawa (herbals ) na virutubisho lishe na nutritional supplement.

Tumbo lako sio UGUMBA
Imezidiwa na baadhi ya vitu .

Wanawake, ni dalili gani ambayo imekataa kupotea katika maisha yako?

Unaweza kushiriki kile unachopatia katika sehemu ya maoni.

Ili kupata msaada na ushaur wa kitaalam karibu
Whatsapp +255766856450

Usisahau kunifikia ili kupata mpango wa lishe na matibabu ya kurejesha usawa wako wa kijinsia.
whatsapp +255766856450.

Kwa wanawake :Mzunguko wako haupo kwa lengo la   uzazi tu.Ni kiashiria cha kila mwezi kinacho eleza  jinsi afya ya mwili...
20/11/2025

Kwa wanawake :Mzunguko wako haupo kwa lengo la uzazi tu.Ni kiashiria cha kila mwezi kinacho eleza jinsi afya ya mwili wako na hali ya kimetaboliki inavyofanya kazi.
Hapa kuna nini mzunguko wako unakuambia hivyo ukiona hizi hali chukua hatua:

1.Kuchelewa kuona hedhi - inaashiria Upinzani wa insulini au homoni ya mfadhaiko au stress ijalikanayo k**a cortisol iko juu.

2. Hedhi yenye maumivu makali sana dalili ya inflammation na upungufu wa magnesiamu mwilini.

3. Kutokwa uchafu wa rangi ya kahawia baada au kabla ya hedhi ni Upungufu wa homoni ya progesterone.

4. Kutokwa na damu nyingi - mwili unashida katika uzalishaji wa homoni ya estrogeni.

5. Chunusi kabla ya siku za hedhi homoni ya androgen imepanda.

Mzunguko wako wa hedhi utakuambia mengi kuhusu usawa wa mwili wako na afya yako.

Kwa msaada na ushauri binafsi
Whatsapp +255766856450.

Kwa wanaume uko na Miaka 20 - 30 inapaswa kula  milo miwili kwa siku (2 meal a day) lakini unaweza kula mlo mmoja ( one ...
20/11/2025

Kwa wanaume uko na Miaka 20 - 30 inapaswa kula milo miwili kwa siku (2 meal a day) lakini unaweza kula mlo mmoja ( one meal day )

Miaka 30 na zaidi unapaswa kula mlo mmoja hujiwezi usizidishe miwili na jitahidi kufanya funga za mara kwa mara.

Unapokuwa na umri mkubwa, testosterone yako inashuka, cortisol yako inaongezeka na uwezo wa mwili kimetaboliki hupungua.
Hii ndio sababu mafuta kuzunguka tumbo yanaongezeka wenyewe mnaita kitambi utashangaaa hakikutoki na huongezeka kadri umri unaposonga.

Whatsapp +255766856450
.

Address

Africana Mbezibeach
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy_linetz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Healthy_linetz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram