
21/03/2023
Ujumbe muhimu kwa watu wenye NYUMBA
Watu wengi wamekuwa wakihitaji bima za nyumba kuepuka janga la moto na mafuriko kwenye nyumba/ majengo yao.
K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.
Kwa jina naitwa Zahe Amini.
Ninawasaidia watu wenye uhitaji wa kukatia bima za nyumba.
kuepuka kufirisika kutokana na changamoto za moto na mafuriko kupitia darasani maalum la whatsapp
Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kukatia bima ya nyumba yako.
K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ucomment namba yako ya simu ya watsapp hapa chini.
Au nitumie ujumbe wa watsapp kwenda namba 0788883983
Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia (wewe pamoja na wenzako) darasa bure kabisa kupitia group la watsapp.
Comment namba yako hapa chini mara moja kabla ya group letu kujaa.
Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,
_Zahe Amini_
*Mtaalamu*