Afya_ya mwanamme

Afya_ya mwanamme NATATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA KWA VIRUTUBISHO LISHE

Kunyonyesha ni njia Nzuri sana sanaaaaaaa ya KUPUNGUZA UZITOIla UNYONYESHE MIEZI SITA bila Kumpa mtu kitu kingine(EXCLUS...
09/01/2023

Kunyonyesha ni njia Nzuri sana sanaaaaaaa ya KUPUNGUZA UZITO
Ila UNYONYESHE MIEZI SITA bila Kumpa mtu kitu kingine(EXCLUSIVE BREASTFEEDING FOR 6MONTHS), Au mbadala wowote(na kunyonyesha hapa ni pamoja na KUKAMUA), muhimu mwanao atumie MAZIWA YAKO TU, lakin baada ya miezi sita kupita,Endelea kunyonyesha mpaka mwanao AFIKE MIAKA MIWILI AU ZAIDI...unapopata muda nyonyesha sana,inasaidia ku burn calories sana na wanawake wengi hii ni njia inawafanya Warudie miili yao ya kabla ya uzazi(ila LAZMA PIA ULE HEALTHY FOODS, usile sile Ovyo ovyo vyakula vya kunenepesha).

Wamama wengine kipindi cha kunyonyesha ndo wanafumuka sanaaa miili Yao kuliko hata kipindi cha ujauzito😃😃👐, nadhan chanzo kikubwa ni ULAJI, hata k**a unanyonyesha, Be selective vitu vya kula na kuzalisha MAZIWA ya kutosha bila kukufanya Unenepeane Kupita kawaida

Trust me, UKIZINGATIA UNYONYESHAJI HUO, Ukapata balanced diet yako, maji ya kutosha, na ukajiboost na vitu vya kuongeza uzalishaji wa maziwa(Virutubisho lishe), UTAPUNGUA na MWANAO ATAPATA AFYA na KINGA kutoka kwa Maziwa ya mama ake.
-
Wewe ulipojifungua mwanao na kuzingatia unyonyeshaji sahihi mwili wako ulikuaje..!? Tushare experience kwa pamoja kwa Mama wanaokuja 🤰🏽🤱

Kunyonyesha ni njia Nzuri sana sanaaaaaaa ya KUPUNGUZA UZITOIla UNYONYESHE MIEZI SITA bila Kumpa mtu kitu kingine(EXCLUS...
09/01/2023

Kunyonyesha ni njia Nzuri sana sanaaaaaaa ya KUPUNGUZA UZITO
Ila UNYONYESHE MIEZI SITA bila Kumpa mtu kitu kingine(EXCLUSIVE BREASTFEEDING FOR 6MONTHS), Au mbadala wowote(na kunyonyesha hapa ni pamoja na KUKAMUA), muhimu mwanao atumie MAZIWA YAKO TU, lakin baada ya miezi sita kupita,Endelea kunyonyesha mpaka mwanao AFIKE MIAKA MIWILI AU ZAIDI...unapopata muda nyonyesha sana,inasaidia ku burn calories sana na wanawake wengi hii ni njia inawafanya Warudie miili yao ya kabla ya uzazi(ila LAZMA PIA ULE HEALTHY FOODS, usile sile Ovyo ovyo vyakula vya kunenepesha).

Wamama wengine kipindi cha kunyonyesha ndo wanafumuka sanaaa miili Yao kuliko hata kipindi cha ujauzito😃😃👐, nadhan chanzo kikubwa ni ULAJI, hata k**a unanyonyesha, Be selective vitu vya kula na kuzalisha MAZIWA ya kutosha bila kukufanya Unenepeane Kupita kawaida

Trust me, UKIZINGATIA UNYONYESHAJI HUO, Ukapata balanced diet yako, maji ya kutosha, na ukajiboost na vitu vya kuongeza uzalishaji wa maziwa(Virutubisho lishe), UTAPUNGUA na MWANAO ATAPATA AFYA na KINGA kutoka kwa Maziwa ya mama ake.
-
Wewe ulipojifungua mwanao na kuzingatia unyonyeshaji sahihi mwili wako ulikuaje..!? Tushare experience kwa pamoja kwa Mama wanaokuja 🤰🏽🤱

KUTOKWA DAMU BAADA YA S*X (post-coital bleeding)~ Tatizo hili linawakumba wanawake hasa ambao wana matatizo ya mvurugiko...
09/01/2023

KUTOKWA DAMU BAADA YA S*X (post-coital bleeding)~ Tatizo hili linawakumba wanawake hasa ambao wana matatizo ya mvurugiko wa homoni hasa hasa homoni ya estrogen na pia wanawake waliofikia ukomo wa hedhi.

VISABABISHI VYA TATIZO HILI
Hali hii inaweza kutokana na sababu k**a UKAVU au uke kuwa mwembamba sana hivyo kupelekea kupata michubuko wakati wa tendo la ndoa.

Pia hali hii inaweza kuwa dalili ya tatizo la kiafya hivyo sio ya kubeza.

Baadhi Ya Visababishi Vingine:

🍊MAGONJWA YA ZINAA

Magonjwa k**a Kisonono na Chylamidia yanaambata na dalili k**a maumivu ya kiuno, muwasho ukeni, kutokwa uchafu ukeni wenye harufu mbaya. Pia magonjwa haya hupelekea mishipa midogo ya damu iliyo sehemu ya juu karibia na kuta za uke kuvimba hivyo kupasuka wakati wa tendo la ndoa.

Magonjwa mengine k**a kaswende na pangusa yanasababisha vidonda sehemu za siri vinavyoweza kupelekea maumivu na kutokwa damu wakati wa tendo la ndoa.

🍊 Vimbe zisizokuwa saratani kwenye shingo ya kizazi na mji wa mimba zinasababisha sana hali hii. Vimbe hizi huisha zenyewe ila zilizo kubwa sana huhitaji kuondolewa kwa upasuaji mfano cysts na fibroids/mayoma

3: CERVICAL ECTROPION
Hili ni tatizo la shingo ya kizazi ambapo mishipa ya damu ya shingo ya kizazi inakua kwa juu sana kwenye kuta za ndani za shingo ya kizazi hivyo inakuwa rahisi mishipa hii kupasuka na kuvuja damu wakati wa tendo la ndoa.
Hali hii inawakumba sana wanawake walio katika umri wa miaka 20 hadi 35 na wanawake wanaotumia dawa za uzazi wa mpango na wajawazito.

Kutokwa na damu ukeni wakati wa tendo la ndoa sio hali ya kawaida kwa wanawake ambao si bikra. Sio kitu cha kuchukulia poa....

-
Je, una tatizo lolote la uzazi? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe DM/ inbox au Whatsapp no: 0622453282

Njia ya uzazi huanza kutoa majimaji wakati wa balehe. Hii ni hali ya kawaida. Maji yanayotoka ukeni huwa yamechanganyika...
09/01/2023

Njia ya uzazi huanza kutoa majimaji wakati wa balehe. Hii ni hali ya kawaida. Maji yanayotoka ukeni huwa yamechanganyika na vimelea. Maji maji haya husaidia kuondoa ngozi ya uke iliyokufa hivyo kufanya uke kuwa katika hali ya usafi na yenye afya.

Iwapo sehemu ya uke inatoa harufu kali au uchafu usiokuwa wa kawaida hali hiyo hutokana maambukizi au magonjwa mengine.

Hapa chini naonyesha aina ya uchafu unaotoka, Maana yake au chanzo chake na dalili ambazo zitatokea kwenye mwili

1⃣ UCHAFU WENYE DAMU AU RANGI YA KAHAWIA
• Hi ni dalili ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke uliovurugika na Mara chache ni dalili ya cancer ya servix au aina nyingine ya cancer iitwayo endometrial cancer. Mwanamke mwenye tatizo hili atatoa damu nyingi uken na kuumwa nyonga.

2⃣UCHAFU WA NJANO AU KIJANI WENYE HARUFU MBAYA
• Endapo uchafu ukatoka k**a mapovu,wenye rangi ya kijani au njano ukiambatana na harufu mbaya ,Hi ni dalili ya Trichomoniasis .Maambukizo ya (parasitic) yanayotokana na Ngono zembe.dalili ingine ni kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

3⃣ UCHAFU MWEUPE ,WA NJANO AU KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI.
• Uchafu wa aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria (vaginosis), P.ID n.k. Mwanamke mwenye tatizo hili atasikia miwasho au maumivu ,kuvimba kwa uke au sehemu ya nje ya uke (v***a)

4⃣ UCHAFU WENYE RANGI YA MAWINGU AU NJANO
• Hi ni dalili ya ugonjwa wa kisonono (Gonerhea) mwanamke atatokwa na damu katikati ya Siku zake, Atatokwa na mkojo bila kukusudia na kupata maumivu ya nyonga.

5⃣ UCHAFU MWEUPE MZITO K**A JIBINI
• Hi ni dalili ya maambukizi ya aina ya fungas (yeast infection)
Na dalili zingine atakazozisikia mwanamke huyu ni kuvimba na maumivu kwenye sehemu za nje za siri (v***a) Kuwashwa na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa.

-
Ukiona unatokwa na harufu au uchafu kwa kutoosha sehemu za ndani ya uke , basi ujue una magonjwa ya bacteria au fungus, na unatakiwa umuone daktari ili upate ushauri Na tiba 🤝.

Kwa msaada zaidi, Zungumza nami kwa Whatsapp no: 0622453282

HAPPY NEW YEAR 2023
01/01/2023

HAPPY NEW YEAR 2023

01/01/2023
Mungu Akaguse Tumbo lako na wewe ukaitwe Mama🤰🏽🤱... Amen 🙏🏽 𝗩𝗬𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢:Tafiti zilizot...
27/12/2022

Mungu Akaguse Tumbo lako na wewe ukaitwe Mama🤰🏽🤱... Amen 🙏🏽

𝗩𝗬𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢:

Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:

👉🏾Kushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
👉🏾Maambukizi sugu k**a PID
👉🏾Mvurugiko wa homoni
👉🏾Uvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
👉🏾Mayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
👉🏾Magonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
👉🏾Matatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
👉🏾Makovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
👉🏾Kulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
👉🏾Uzito kupita kiasi
👉🏾Unywaji pombe au uvutaji wa sigara
👉🏾Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu

Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-


+255622453282

Hiki ndio kinaitwa kitanzi..wataalam wenyewe wanaita IUD..katika njia zote za uzazi wa mpango hii ndio njia inayotumiwa ...
24/12/2022

Hiki ndio kinaitwa kitanzi..wataalam wenyewe wanaita IUD..katika njia zote za uzazi wa mpango hii ndio njia inayotumiwa na wanawake wengi zaidi, karibu asilimia 23 ya wanawake wanatumia njia hii. Hii ni njia ya muda mrefu ya kuzuia mimba. Kitanzi kimoja kinaweza kutumika kwa muda wa miaka 10 au zaidi. Ina uwezo mkubwa sana wa kuzuia mimba, uwezo wake wa kuzuia mimba unafanana na ule wa kufunga kizazi.., pia inasaidia sana kuzuia mimba zaidi ya P2 hadi siku tano baada ya kukutana kimwili bila kutumia kondom..hicho kimkia chake hakizuii wala kuingilia tendo la ndoa..

✍️MADHARA YA KITANZI
✨Baadhi Ya Vitanzi Huweza Vina Homoni Ambazo Hufanya Kazi K**a vile Vidonge Vya Majira Hivyo Vinaweza Kuwa Na Madhara Kwa Mwanamke... Baadhi Ya Hatari Ya Kitanzi Ni...
👉Kupata Madhara Ya Vidonge Vya Majira k**a Ugumba,Kichwa kuuma, kichefuchefu etc Ikiwa Vimewekewa Kemikali k**a za majira
✨Kwa Ujumla Madhara Ya Kwa Pamoja Ni Pamoja Na.....
👉Kubleee Mda Mrefu
👉Kupata Hedhi Ya Mabongemabonge
👉Maumivu Makali Ya Hedhi
👉Kukosa Period Au Kupata Period Kidogo Sana
👉Kuumiza Mji Wa Uzazi(Uteras)
👉Hatari Ya Maambukizi Ya Kizazi
👉Kupata Mzio au Allergy
👉Hedhi Kubadilika.
👉Ugumba

N:B- Athari tajwa hapo juu siyo kwa Kila ambaye ametumia njia hii anaweza kupata, unaweza kutumia Na ukawa kawaida lakini kuna mwingine ataweza kutumia Na kupata athari hizo tajwa hivyo kabla ya kutumia njia hii unashauri sana kumuona daktari kuona k**a unastahili kuitumia njia hii ya uzazi wa mpango.

✍️USHAURI NA MSAADA
✨ Ni Muhimu Kuchukua Tahadhari Wakati Wote, Jua Kua Kuna watu zina wakubali ila Asilimia kubwa zinawakataa
✨K**a Umeathiriwa na Njia Ya Uzazi Wa mpango Yoyote, ni vizuri kumuona Daktari ili kupata ushauri zaidi Na msaada kabla ya kutumia dawa nyingine

Wanawake wengi hudhani kuvaa pedi na kutokuchafua nguo hukamilisha hali ya usafi wakati wa hedhi. Lakini kumbe kuvaa ped...
24/12/2022

Wanawake wengi hudhani kuvaa pedi na kutokuchafua nguo hukamilisha hali ya usafi wakati wa hedhi. Lakini kumbe kuvaa pedi moja siku nzima kuna madhara yake. Kuna njia nyingi za kutumia kujistiri kipindi cha hedhi, wengine hutumia pedi za kawaida, pedi za kuingiza ukeni. “ tampoons” ,sponji na wengine hutumia vifaa viitwavyo “menstrual cups”. Zote hizi hufanya kazi moja ya kukusanya damu kipindi cha hedhi. Ni vyema mwanamke kuchagua njia moja inayomfaa.

Nifanye Nini Wakati Wa Hedhi Ili Kujiweka Katika Hali Ya Usafi Na Salama ?

1. Kujitahidi kuoga angalau mara mbili au zaidi(kutokana na nafasi yako) kwa siku.2. Kuvaa nguo ya ndani kavu aina ya pamba na safi kila mara baada ya kuoga kisha kuvaa pedi mpya.

3. Badili pedi kila baada ya masaa manne mpaka sita, kutokwa nadamu kuna vutia vijidudu vingi kuzaliana na kukua ambavyo hukua katika hali ya jotojoto na jasho hali ambayo husababisha muwasho, magonjwa ya ukeni “urinary tract infections” na vipele

4. Kuosha uke kwa maji safi na kwa usahihi, wengi huosha uke lakini sio kwa usahihi kutoka mbele kwenda nyuma. na si vinginevyo, hii hupunguza hatari ya kupata maambukizi ya njia ya mkojo.

Matumizi ya sabuni za kemikali ?

5. Epuka kutumia sabuni zenye kemikali wakati wa ujisafisha (shower gel) hii ni kwa sababu uke una vijidudu asilia badala yake tumia feminine Wash ambayo kazi yake ni kukukinga na magonjwa mengi ya maambukizi k**a fangasi na kadharika, sabuni za kemikali huwauwa hawa bakteria na na kusababisha mabadiriko ya ph hvyo kukuweka katika hatari ya kupata maambukizi haya.

daktari k**a unafuta hayo mambo yote tajwa hapo juu lakini bado unapata magonjwa ya muwashio wakati au baada ya hedhi au unaweza kuwasiliana nasi kupata msaada wa haraka ikiwemo elimu zaidi, ushauri na matibabu kwa ajili ya kurekebisha mzunguko wako wa Hedhi salama.

“HEDHI SALAMA NI HAKI YAKO, ZUNGUMZA NASI KUBORESHA AFYA YAKO”

USIWE MCHOYO, MTAG RAFIKI YAKO TUJIFUNZE PAMOJA❤️🤝

Na hili joto kwa sasa ukijibana sana basi ni rahisi kupata miwasho na hata maambukizi ya fungus na bacteria , maana ni r...
24/12/2022

Na hili joto kwa sasa ukijibana sana basi ni rahisi kupata miwasho na hata maambukizi ya fungus na bacteria , maana ni rahisi kwa PH ya uke kubadilika 📌

Sauti inatosha au niongeze ?

Meet my girls from SINGIDA❤️
15/12/2022

Meet my girls from SINGIDA❤️

Kuna mambo mengi sana ambayo unaweza kufanikiwa katika maisha ila hofu inasababisha ushindwe kuchukua hatua kwa sababu u...
15/12/2022

Kuna mambo mengi sana ambayo unaweza kufanikiwa katika maisha ila hofu inasababisha ushindwe kuchukua hatua kwa sababu unajidharau.
Unajiona huwezi, unajiona bado ni mdogo, unajiona haujasoma, unajiona umekataliwa n.k. K**a kila mwanamke akiamua kuwa k**a Rosa Park kwa hakika kutakuwa na mabadiliko makubwa sana katika familia, nchi na dunia kwa ujumla.
Leo amua kujivika ujasiri kufanya yale unayoyaamini na usikubali kukatishwa tamaa na chochote kile, kuna maisha ya watu wengi yanayosubiri ujasiri wako.

Address

Ilala
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya_ya mwanamme posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram