bibi_afya_na_uchumi

bibi_afya_na_uchumi Tunasaidia watu kurejesha afya na furaha zao

01/01/2021
30/12/2020

Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.
Ipo wapi?
Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

Saratani ya tezi dume ni nini?
Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume
Umri Mkubwa kuanzia miaka 50
Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

Dalili zake ni zipi?
• Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
• Kwenda kukojoa mara kwa mara.
• Damu ndani ya mkojo.
• Kushindwa kukojoa.
• Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
• Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
• Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
• Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
UCHUNGUZI
Wanaume wote wanpaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.
USIACHE KU SHARE LIKE NA KU COMMENT PI PIGA NAMBA 0688896151 KUPATA SULUHU

26/11/2020

Tatizo la tezi dume na kupanuka kwa tezi
0688896151
Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaani inapopanuka,hasa kwa wanaume wenye umri wa zaidi ya miaka sitini, hutatiza kukojoa.Ugonjwa huu unazidi kuongezeka duniani kwani watu wanaishi maisha marefu zaidi siku hizi.

Tezi dume ni nini na kazi yake ni nini?

Tezi dumeni kiungo kidogo na ni sehemu moja ya uzazi wa wanaume.Hupatikana chini ya kibofu na mbele ya mwanzo cha njia itoayo mkojo hupitia ndani ya tezi dume.Tezi dume ndiyo hutoa maji yabebayo mbegu (manii)ya mwanaume.

Tezi dume kupanuka

Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Huwa ni jambo la kawaida kwa karibu kila mwanaume mzee.Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .

Ugonjwa wa kutanuka kwa tezi dume ni ugonjwa wa wanaume wazee.
Dalili za kupanuka kwa tezi dume

Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya arobaini na kuendelea. Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:

Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.
Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Hii ni dalili ya mapema sana.
Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.
Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.
Kibofu hakiishi mkojo.0688896151

Dalili za Tezi dume
22/10/2020

Dalili za Tezi dume

Madhara ya Tezi dume
15/10/2020

Madhara ya Tezi dume

Zifahamu dalili za kansa ya Tezi dume
15/10/2020

Zifahamu dalili za kansa ya Tezi dume

Vijue visababishi vya Tezi dume
15/10/2020

Vijue visababishi vya Tezi dume

Ijue Tezi dume
15/10/2020

Ijue Tezi dume

JINSI YA KUPAMBANA NA TATIZO LA TEZI DUME KUPITIA MITISHAMBA ASILIA. #0688896151  nini ..ni tezi inayopatikana kwa mwana...
15/10/2020

JINSI YA KUPAMBANA NA TATIZO LA TEZI DUME KUPITIA MITISHAMBA ASILIA.
#0688896151

nini ..ni tezi inayopatikana kwa mwanaume tu.
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..

Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.👇
1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi

2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.

3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani

4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.

5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo

6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.

7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana.

UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo La tezi dume.Sasa KUNA SULUHISHO Tuna bidhaa za asili zinazosaidia kuondoa tezi dume ..hazina kemikali, zimetengenezwa kwa mtishamba asilia.

KWA KUJIELIMISHA ZAIDI SIKILIZA VIDEO HIYO HAPO CHINI;
KWA MAWASILIO ZAIDI TUWASILIANE KWA NAMBA
#0688896151

kwa ushauri na matibabu

Address

Ilala
Dar Es Salaam
11109

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when bibi_afya_na_uchumi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to bibi_afya_na_uchumi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram