Afya Ya Mzazi na Mtoto

Afya Ya Mzazi na Mtoto You're Health is Our Concern ~
Call Us +255655562181 / +255769600821

UKIWA NA DALILI HIZI USISEME UNA VIDONDA VYA TUMBO~ +255655562181 , +255769600821 ~• Kupatwa na kiungulia mara kwa mara ...
09/12/2024

UKIWA NA DALILI HIZI USISEME UNA VIDONDA VYA TUMBO

~ +255655562181 , +255769600821 ~

• Kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama au kulalia tumbo.

• Kiungulia hiki huanza baada ya lisaa limoja na kuisha baada ya masaa mawili baada ya kula.

• Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula ,Kikohozi kisichopona au kupaliwa na kukosa pumzi akiwa usingizini.

•Dalili zingine ni k**a;

• Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
• Kutokwa na makohozi kooni mara kwa marq.
• Kutoa mabaki ya chakula wakati was kupiga mswaki.
• Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
• Kupata hali ya kuunguza kwenye koo , kifua na karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
• Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
• Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
• Mdomo kuwa mchachu muda mwingi hasa baada ya kutoka usingizini.
• Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
• Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
• Mdomo na koo kukauka.
• Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
• Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
• Tumbo Kuunguruma Hasa Muda Mfupi Baaada Ya Kula.

• Hii inaitwa ACID REFLUX au GERD
( *GastroEsophagaelRefluxDesease* na siyo vidonda vya tumbo k**a wengi wanavyodhani , Kwa sababu Ugonjwa huu unafanana sana na Vidonda vya Tumbo.
• Watu wengi wanao jitambulisha kuwa wana Vidonda vya tumbo baada ya vipimo vya Kumulika tumboni kufanyika na Kuonyrsha “Kuta ni Nyekundu. Lakini pia huonyesha Gesi imejaa tumboni”. Kitalamu wanaangukia kwenye GERD na Gastritis na Siyo Vidonda vya Tumbo.
:
ENDOSCOPY - Vipimo vya Kuingiziwa Kumulika ndani haviwezi kukwambia CHANZO CHA TATIZO halisi cha Tatizo na ndiyo maana wagonjwa wengi wamekuwa wakijitafsiri wana Madonda ya tumbo kwa sababu wameanzishiwa dawa za Kutibu dalili (Gesi na Kiungulia) bila Kuchunguzwa chanzo.

• Kibaya zaidi Watalamu wengi wamekuwa wakikimbilia kutibu H Pylori na kusahau kuna vyanzo Vingi Vinavyo sababisha Mtu kuwa na GERD na Gastritis.

• Katika mfumo wa chakula kuna bakteria rafiki ambao husaidia kumeng’enya chakula vizuri. Maisha ya Pombe, sigara, Vyakula vya kukaanga, Soda Na juisi Huathiri hawa bakteria na Kusababisha vimelea maadui kuota katika kuta na kushambulia ukuta wa Mfumo wa chakula. Kitalamu husababisha SIBO (Small Intestine Bakteria and Yeast Overgrowth) Hali hio Huvimbisha Mfumo wa chakula Gut Inflammation na Unaweza Kuibua mzio sugu, Kukosa usingizi, Mvurugiko wa homoni kwa sababu ya Kudhoofika kwa Mfumo wa Chakula.

“Uhai na Kifo vipo katika Mfumo wa Chakula”

•.Vyakula Vya Sukari na wanga kwa mtu k**a uwezo wa mwili Kutumia wanga huo ni Mdogo. Husababisha wanga kukaa tumboni muda mrefu badala ya kuwa Dighested kwa wakati na kusababisha kuchachuka haraka na Kuongeza makali ya gesi na kiungulia.

• Hivyo katika matibabu Mgonjwa huwa tunampampatia Suluhisho kwa Kuondoa changamoto ziluzopo jwa kusafisha mfumo wake wote na kuufanyia repair ili kurudisha hali yake ya asili ndani ya muda mfupi Sana.

♐Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

🕳 Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.

*DALILI ZA UGONJWA WA FANGASI UKENI*✓ kuwashwa sehem za siri✓ kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana (superficial dy...
16/03/2024

*DALILI ZA UGONJWA WA FANGASI UKENI*

✓ kuwashwa sehem za siri
✓ kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana (superficial dysapareunia)
✓kuhisi kuwaka moto sehemu za siri Mara baada ya kutoka kufanya tendo la ndoa au kutoka kukojoa (burning sensation)
✓kupata vidonda ukeni (soreness)
✓ kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke (l***a minora)
✓kupata maumivu wakati wa kukojoa
✓kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa MWEPESI au MZITO au majimaji

NOTE :Dalili na viashiria hivi huwa mbaya Zaidi mwanamke anapokua mwezini.

Kwa Msaada Zaidi , Mawasiliano Yetu : 0655562181 / 0769600821

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*   +255655562181 / +255769600821- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza ...
14/03/2024

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

+255655562181 / +255769600821

- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba,uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba kuzuia au kutibu tatizo la kupanda kwa presha ya damu husaidia kupunguza hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids). Utafiti uliofanyika katika chuo kikuu cha Havard unasema kuna uhusiano mkubwa kati ya presha ya damu na hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids) kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi.

*DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

*Je,fibroids inaweza kusababisha kuvuja damu Kwa Kinamama,Maumivu ya mgongo na Dalili zingine mbaya?*

Inawezekana kabisa lakini siyo kila mwanamke mwenye fibroids hupata dalili hizi, lakini pia uwepo wa dalili hizi siyo lazima uwe na fibroids ,Bali unaweza kuwa na tatizo lingine la Kiafya.

*Zifuatazo ni Dalili Zinazojitokeza kwa Wanawake Wengi Zaidi Wenye Uvimbe Kwenye Kizazi*

- Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi.
•Hedhi nzito.
•Kujisikia umeshiba mda mwingi
•Maumivu ya nyonga.
•Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
•Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
•Kupata maumivu wakati watendo la ndoa.
•Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
•Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba Kuharibika

*Inaendelea.....**UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

+255655562181 / +255769600821

- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba,uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba kuzuia au kutibu tatizo la kupanda kwa presha ya damu husaidia kupunguza hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids). Utafiti uliofanyika katika chuo kikuu cha Havard unasema kuna uhusiano mkubwa kati ya presha ya damu na hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids) kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi.

*DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

*Je,fibroids inaweza kusababisha kuvuja damu Kwa Kinamama,Maumivu ya mgongo na Dalili zingine mbaya?*

Inawezekana kabisa lakini siyo kila mwanamke mwenye fibroids hupata dalili hizi, lakini pia uwepo wa dalili hizi siyo lazima uwe na fibroids ,Bali unaweza kuwa na tatizo lingine la Kiafya.

*Zifuatazo ni Dalili Zinazojitokeza kwa Wanawake Wengi Zaidi Wenye Uvimbe Kwenye Kizazi*

- Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi.
•Hedhi nzito.
•Kujisikia umeshiba mda mwingi
•Maumivu ya nyonga.
•Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
•Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
•Kupata maumivu wakati watendo la ndoa.
•Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
•Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba Kuharibika

*Inaendelea.....**UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

+255655562181 / +255769600821

- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba,uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba kuzuia au kutibu tatizo la kupanda kwa presha ya damu husaidia kupunguza hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids). Utafiti uliofanyika katika chuo kikuu cha Havard unasema kuna uhusiano mkubwa kati ya presha ya damu na hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids) kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi.

*DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

*Je,fibroids inaweza kusababisha kuvuja damu Kwa Kinamama,Maumivu ya mgongo na Dalili zingine mbaya?*

Inawezekana kabisa lakini siyo kila mwanamke mwenye fibroids hupata dalili hizi, lakini pia uwepo wa dalili hizi siyo lazima uwe na fibroids ,Bali unaweza kuwa na tatizo lingine la Kiafya.

*Zifuatazo ni Dalili Zinazojitokeza kwa Wanawake Wengi Zaidi Wenye Uvimbe Kwenye Kizazi*

- Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi.
•Hedhi nzito.
•Kujisikia umeshiba mda mwingi
•Maumivu ya nyonga.
•Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
•Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
•Kupata maumivu wakati watendo la ndoa.
•Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
•Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba Kuharibika.

🕳 Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.

*MFUMO WA UMENG’ENYAJI CHAKULA*   +255655562181 / +255769600821- Mfumo wako wa umeng’enyaji chakula umeundwa na njia ya ...
10/01/2024

*MFUMO WA UMENG’ENYAJI CHAKULA*

+255655562181 / +255769600821

- Mfumo wako wa umeng’enyaji chakula umeundwa na njia ya utumbo (gastrointestinal. GI) , ini, kongosho na kibofu cha nyongo. Njia ya GI ni safu ya viungo vya mashimo ambavyo vimeunganishwa kutoka mdomoni hadi kwenye tundu ya nyuma. Viungo vinavyounda njia yako ya GI, kwa utaratibu wa kuwa vimeunganishwa, ni pamoja na mdomo wako, umio, tumbo, utumbo mdogo, utumbo mkubwa na tundu ya nyuma.

*JINSI MFUMO WA UMENG’ENYAJI CHAKULA HUFANYA.*

- Mfumo wako wa usagaji chakula umeundwa kwa namna ya kipekee kufanya kazi yake ya kugeuza chakula chako kuwa virutubisho na nishati unayohitaji ili kuwa na afya njema.

Usagaji chakula ni muhimu kwa sababu mwili wako unahitaji virutubisho kutoka katika chakula unachokula na vinywaji unavyokunywa ili kuwa na afya nzuri. Virutubisho ni pamoja na wanga, protini, mafuta, vitamini, madini na maji.
Mfumo wako wa usagaji chakula husaga na kufyonza virutubisho kutoka katika chakula na vimiminika unavyotumia ili kutumika k**a vile nishati, ukuaji na ukarabati wa seli.

*MAGONJWA YANAYOWEZA KUTOKANA NA MFUMO WA MMENG'ENYOWA CHAKULA*

- Kutokana mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuwa chanzo kikuu cha mahitaji ya mwili inapelekea mfumo huu unapopata shida magonjwa mengi kuibuka bila mfumo huu kuhusishwa kwamba ndiyo chanzo cha moja kwa moja kutokana na baadhi ya mifumo kujitenga lakini kuwa na uhusiano wa kimahitaji na kiutendaji kazi kwa namna moja au nyingine.

- Mfano - Uwepo wa sumu nyingi mwilini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na mfumo huu , lakini madhara yanaweza kuhusisha uzazi upende wa homoni , mzunguko wa damu ,moyo na fahamu, magonjwa ya ngozi ikiwemo saratani, mabadiliko ya mfumo wa Kinga mwili na mengineyo mengi.

*Miongoni mwa magonjwa mengine ni pamoja na*:-

~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi na kitambi.
~Bawasiri i(*Vinyama sehemu ya haja kubwa*).
~Maumivu ya Kiuno ,Nyongq, Magoti,, Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.n.k.
~Kukosa usingizi(*Insomnia*)
~Kukosa hamu ya kula (*Loss of appetite*).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (*Ulcers*).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( *Ugumba* ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( *Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi*).
~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.
~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .
~ Maumivu ya Koromeo ( *Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka* ).
~ Kiungulia (*ACID REFLUX*).
~ Magonjwa ya Ngozi.
~ Ngiri (*HERNIA*).
~ Kiharusi
~ Pressure.
~ Hormone imbalances
~ Kisukari. Magonjwa ya figo.
• Na Mengine Mengi Sana.

- 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜-
- Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia ☎️ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

➖ *Ili Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA.* 👉 👇👇 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ *SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA* 🙏🙏🙏 *Kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini*

*KUFANYA TENDO LA NDOA HAKUNA UHUSIANO NA KUBEMENDA MTOTO*+255655562181 / +255769600821 • Hili ni Neno Linalotumika sana...
31/12/2023

*KUFANYA TENDO LA NDOA HAKUNA UHUSIANO NA KUBEMENDA MTOTO*

+255655562181 / +255769600821

• Hili ni Neno Linalotumika sana Kumaanisha *KUDHOOFIKA* au *KUZOROTA* Kwa afya ya Mtoto au Mtoto *KUDUMAA* na Kutokukua Inavyotakiwa.

*DHANA POTOFU*.

• *Maneno yaliyopo ( *Imani Zilizojengeka* ) Katika Jamii , Siku zote ni Haya*:-

A• Wazazi wakishiriki Tendo la ndoa baada ya mama kujifungua hata K**a 40 Imepita *WANAWEZA KUBEMENDA MTOTO*.

B• Kwa Kuwa Shahawa za mwanaume Zinaenda Kwenye maziwa ya mama na Hivyo mtoto anaponyonya Shahawa Kupitia Maziwa hayo na Hatimaye Zinadhoofisha afya ya mtoto ( *ANABEMENDEKA* )..

C• Mama akipata Mimba huku akiwa na Mtoto Mchanga wa Miezi Kadhaa *ANABEMENDA MTOTO*.

D• Mtoto Mchanga Akinyonya maziwa ya Mama ambaye ni Mjamzito *ANAWEZA KUBEMENDEKA*.

E• Mwanandoa Akitoka Nje ya NDOA akizini na Akarudi Kutoka Kusex Mtoto *Anabemendeka*..

F. Et Uki S*x Ukamgusa Mtoto Wakati Wa Kusex au Kabla Ya Kuoga Baada Ya Kumaliza S*x , Mtoto *ANABEMENDEKA* Kwa Jasho Lako tu. 👐

*HIZO ZOTE SIO KWELI* - *UKELI NI HUU*.

• Mbegu za Mwanaume Haziwezi Kwenda Kwenye Maziwa ni Uongo na Hauna Mashiko *KISAYANSI*.

• Kufanya Tendo la Ndoa Ndani au Nje ya Ndoa *HAIBEMENDI MTOTO* ( *Sababu Zipo za Kutosha* ).

• Ukipata Mimba Bado Unaruhusiwa Kuendelea Kunyonyesha Mtoto Mchanga Wako. ( *Nitaandaa SOMO Mahususi juu ya hili* ).

• *MTOTO KUBEMENDWA*.

• Hali hii Kitaalamu tunaita *DELAYED DEVELOPMENTAL MILESTONES* , Yaani Mtoto Kukua Kinyume na Inavyotakiwa au Kutofuata Hatua za Ukuaji Kulingana na Umri Wake.

• *Mfano* - Utakuta Mtoto ana Miezi 9 Lakini Shingo Hajakaza , Wala Kiuno na Wakati Mwingine Miguu haina Nguvu au Mgongo haukazi.

• Mtoto hawezi Kukaa , au Mtoto wa Mwaka na Nusu Hawezi hata Kusimama na Kilo Zinakuwa Haziongezeki au anakuwa na Uzito Mkubwa ambao Hauonyeshi Dalili za Ukak**avu ipasavyo Kulingana na Umri ( *inability to gain Weight* ).

• *Vyanzo Vikubwa vya mtoto Kutokukua Inavyotakiwa ni:-*

- *NINI HUWA KINABEMENDA MTOTO*?

- Wakati wa ujauzito mama hugawana na mtoto aliyeko tumboni 60% ya virutubisho vilivyopo mwilini mwake na hasa madini chuma.

- Hivyo kutokana na nguvu kubwa ya mwili kutumika kulea ama kuleta ukuaji mzuri wa mtoto aliyeko tumboni , hupelekea maziwa ya mama kukosa virutubisho muhimu kwa mtoto anayemnyonyesha.

- *Ziko sababu nyingi za kiafya zinazochangia afya ya mtoto anayenyonya kudhoofu au kutokuwa vizuri*

1. Mtoto kutokupata maziwa yenye virutubisho vya kutosha ( *mama Kutonyonyesha Ipasavyo , Kukosa Maziwa ya Kutosha ,Mtoto Kutokunyonya Ipasavyo Kutokana na Sababu Mbali Mbali za Kiafya au Mifumo Mibaya Ya Unyonyeshaji au Mzazi Kutoa na Maziwa Yenye Virutubisho hafifu , hii husababisha pia mtoto kukosa Kinga imara kutokana na lishe duni na kuwa chanzo Cha magonjwa kwa mtoto.

2. Magonjwa k**a Ukimwi , Magonjwa ya Moyo ya Kuzaliwa nayo , Pneumonia , Magonjwa Ya Mifupa , Tuberculosis ( * T.B* ) au Mashambulizi Ya Magonjwa Ya Mara Kwa Mara Kwa Mtoto Ikiwemo Magonjwa Ya Tumbo , Homa na Mengineyo...Yanayotokana na Kukosa Lishe inayofaa , Yaani Utapiamlo.

N.B. - Kitaalamu Mke na Mume Wanaruhusiwa Kufanya Tendo la Ndoa mara tu Baada ya SIKU 42 KUPITA Tangu Kujifungua.

*Mambo Muhimu Ya Kuzingatia ni Haya:-*

1• Mama Anyonyeshe Mtoto Wake ipasavyo Mara Kwa Mara ( *asipozingatia Ratiba Ya Unyonyeshaji Kwa Mtoto italeta Shida Kwenye Ukuaji wa Mtoto* ) , K**a ni Mfanyakazi ahakikishe mtoto anayo lishe bora Ya ziada inayotosha kukidhi mahitaji ya afya ya mtoto na maziwa yabaki K**a pambo tu au kiburudisho kwa mtoto kwa sababu hayatokuwa na lishe ya kutosha.hasa endapo atapata ujauzito mwingine muda wa kunyonyesha.

2• Mtoto anyonye miezi Sita ( 6 ) Pasipo Kumpa Kitu Kingine Chochote , Baada Ya Miezi Sita Hakikisha Unampa Lishe Bora ( *Lishe Yenye Makundi Yote ya Vyakula* ) Ikiwemo Madin chuma , Vitamin ,Potini , Wanga na Mafuta.

3• Kutoka Nje ya ndoa yako ni Hatari maana Unaweza Pata Magonjwa ya Kuambukizwa K**a Maambukizi ya VVU , Fungus na Magonjwa Mengine ambayo Yanaweza Kuwa Hatari Kwa afya Ya Mtoto ambaye Bado *ANANYONYA* na Kumsababishia Udhaifu Wa Mwili Wake.

• *Muhimu* :Unapoona Afya ya Mtoto Wako HAIKO SAWA , Nenda Hospitali iliyokaribu.

*KWA MATIBABU NA USHAURI*:-

TUPIGIE 📞☎️📲 +255655562181 ( Whatssapp , Sms & Call ) au +255769600821 ( Call & SMS ).

• Kujiunga na Group letu la whatssapp Fuata Link hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/KAAlGY7L9ykC4KZexHm5jQ

• Tafadhali

_*JE UNAFAHAMU NINI KUHUSU UGONJWA WA MAWE KATIKA NYONGO*_?    +255769600821 / +255655562181       *Gallstone ni nini?* ...
28/12/2023

_*JE UNAFAHAMU NINI KUHUSU UGONJWA WA MAWE KATIKA NYONGO*_?

+255769600821 / +255655562181

*Gallstone ni nini?*

Gallbladder (*Nyongo*) Iiko chini ya uso wa ini, Shingo ya kibofu cha nyongo ina kipenyo cha 5 hadi 7 mm na mara nyingi huunda curve yenye umbo la S. Ni ya juu na ya kushoto, ikipungua ndani ya kuunganishwa kwenye makutano na duct ya cystic.

*Zifuatazo ni dalili za kawaida za ugonjwa wa gallstones kulingana na eneo la maumivu ya gallstone:-*

• Maumivu chini ya mbavu upande wa kulia.
• Maumivu kati ya bega
• Vinyesi vyepesi au vya rangi ya chaki.
• Ukosefu wa chakula baada ya kula, haswa vyakula vya mafuta.
• Kuunguua kifuani juu ya tumbo na hasa kulia.
• Hisia ya kushiba au chakula kutosaga.
• Kichefuchefu, Kizunguzungu, Kuhara, Kuvimbiwa, Tumbo kujaa gesi ,Kutapika, Kuvimbiwa, Maumivu ya kichwa juu ya macho, haswa upande wa kulia, Kujaa maji machungu kinywani hasa baada ya kula. Nk.

*Vyanzo vya gallstone*

- *Umri* : Matukio ya ugonjwa wa gallstone huongezeka kutokana na umri. Dalili ya ugonjwa wa calculous ya njia ya bili ni nadra kabla ya umri wa miaka 20, na inapopatikana katika kundi hili, ni kawaida kati ya wagonjwa walio na hali sugu k**a vile cystic fibrosis au anemia ya hemolytic.

- *Madawa ya kulevya* : Dawa nyingi zinehusishwa na ugonjwa wa gallstone ni pamoja na ceftriaxone, clofibrate, uzazi wa mpango, uingizwaji wa estrojeni, projestojeni na octreotidi. Baadhi ya dawa hutupwa kwenye nyongo na huweza kuwa ngumu, kuondosha, na kutengeneza mawe.

- *Jinsia* : Tatizo la kuenea kwa vijiwe vya nyongo kwa wanawake ni kubwa kuliko kwa wanaume. Uchunguzi umeonyesha kuwa ugonjwa wa gallstone ni kawaida kwa wanawake lakini ni nadra kwa wanaume. Hata hivyo, tofauti hupungua na umri unaoongezeka. Inafikiriwa kuwa sababu ya tofauti hii ya kijinsia ni homoni. Kuongezeka kwa estrojeni ya Serum (hasa wakati wa ujauzito) kukuza kueneza kwa cholesterol ya biliary na kuongezeka kwa projesteroni kunaweza kusababisha kizuizi cha kusinyaa kwa gallbladder.

- *Jiografia na Ukabila* : Wahindi wa Pima wa Arizona wana maambukizi ya juu zaidi ya mawe ya nyongo duniani kote. Asilimia 65 ya wanawake wa Pima walio na umri wa zaidi ya miaka 40 wana ugonjwa wa gallstone. Wahindi wa Micmac wa Kanada, Wahispania, na wanawake wa Marekani wa Meksiko pia wana kiwango kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa vijiwe vya nyongo, k**a vile wanaume na wanawake nchini Norway na Chile. Hatari inaonekana kuwa chini kwa weusi.

- *Uzito* -: Kunenepa kupita kiasi ni hatari kubwa kwa ugonjwa wa gallstone, haswa kwa wanawake. Uchunguzi umeonyesha kuwa wanawake walio na uzito mkubwa walio na index ya uzito wa mwili (BMI) zaidi ya au sawa na kilo 30 / m2 wana hatari mara mbili ya ugonjwa wa gallstone ikilinganishwa na wanawake wenye uzito wa kawaida na chini ya kilo 25 / m2. Cholesterol hypersecretion (inayohusishwa na fetma) ni sababu kuu ya pathogenic.

- *Kupoteza uzito haraka* : Hatari ya kuongezeka kwa ugonjwa wa gallstone inaweza kupatikana kati ya watu ambao hupoteza uzito haraka kwa vyakula vya chini sana vya kalori. Uundaji wa gallstone ni mojawapo ya matatizo muhimu zaidi ya mipango ya kupoteza uzito kwa hiari. Katika matukio haya, cholesterol imeamilishwa kutoka kwa tishu za adipose na kuingizwa kwenye bile. Hii inasababisha cholesterol supersaturation na kupunguza contraction nyongo, kuzalisha stasis. Uchunguzi umeonyesha kuwa watu walio kwenye mipango ya kupunguza uzito, ama lishe iliyopunguzwa sana ya kalori au taratibu za upasuaji za kupunguza uzito, wana matukio ya juu ya ugonjwa wa gallstone ikilinganishwa na wale ambao hawapendi kujinuima lishe.

-*Matibabu* - :Wagonjwa wanaougua vijiwe vya nyongo wanapaswa kutibiwa ili kuepusha hali yoyote ya dharura.

-*Ushauri* : Dumisha Uzito Wenye Afya wa Mwili, Epuka Kupunguza Uzito Haraka , Punguza Uzito kwa kufuata Lishe ya Kuzuia Kuvimba ambayo Inasaidia Afya ya Ini na NyongoKuwa na Shughuli Zaid, iFikiri upya Kumeza Vidonge vya Kuzuia Uzazi au Dawa Zisizo za Ulazima.

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia ☎️ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

➖ Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA. 👉 👇👇 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

_*HIZI HAPA NDIYO FAIDA TANO KUU ZA KITUNGUU SAUMU KATIKA MIILI YETU*_  +255655562181 / +255769600821  Mbali ya kuwa Kit...
24/12/2023

_*HIZI HAPA NDIYO FAIDA TANO KUU ZA KITUNGUU SAUMU KATIKA MIILI YETU*_

+255655562181 / +255769600821

Mbali ya kuwa Kitunguu saumu ni kiungo muhimu katika kaya nyingi kwenye mapishi,pia Kitunguujulikana kwa sifa zake za kutumika k**a dawa kwa magonjwa mbali mbali..

Umuhimu wa tembe ya kitunguu saumu.

• 4Kcal / 16KJ
• 0.3g protini
• 0.0g mafuta
• 0.7g wanga
• 0.2g fiber
• 25mg potasiamu

_*FAIDA TANO ZA KUTUMIA KITUNGUU SAUMU*_

1. Kitunguu saumu kina misombo yenye sifa za dawa.

• Umaarufu mwingi wa matibabu ya vitunguu ni kutokana na sifa ya allicin iliyomo ndani yake.
• Madini haya ya salfa huipa kitunguu saumu harufu yake kali na ladha ya kipekee.
• Hatua ya kukata au kusaga huchochea uzalishaji wa allicin.
• Kiwango cha juu cha joto kinaweza kuzuia baadhi ya faida za dawa, ni bora kuongeza vitunguu mwishoni mwa mchakato wa kupikia.

2. _*Inaweza kupunguza hatari ya mshtuko wa moyo*_

• Kitunguu saumu hufanya platelets (chembe zinazohusika na kuganda kwa damu) zisiwe na uwezekano wa kujikusanya kwenye kuta za mishipa.
• Hii ina maana kwamba kitunguu saumu hufanya kazi ya kupunguza uzito wa damu na hivyo kupunguza hatari ya mashambulizi ya moyo.
• Kitunguu saumu kinaweza pia kupunguza shinikizo la damu kupitia uwezo wake wa kupanua mishipa ya damu, na hivyo kuruhusu damu kutiririka kwa uhuru zaidi.

3. _*Inaweza kuwa na sifa za kuzuia saratani*_

• Michanganyiko wa salfa kwenye kitunguu saumu umefanyiwa utafiti kwa uwezo wake wa kuzuia seli za saratani na kuzuia uvimbe.
• Ushahidi ni mwingi kuhusiana na saratani ya utumbo mpana, tezi ya kibofu, umio na figo ni zinafuatiliwa na idadi ndogo tu ya utafiti ukijumuishwa katika masomo.

4. _*Ina antimicrobial na antifungal*_

• Kitunguu saumu kimetumika kwa muda mrefu k**a kinga dhidi ya virusi, bakteria na fangasi.
• Kimeitwa "penicillin ya Kirusi "kwa uwezo wake wa kuzuia kukua kwa bakteria, ambayo tena inahusishwa na kiwanja cha allicin.
• Ni tiba ya Matatizo fulani ya ngozi, k**a vile warts na kuumwa na wadudu, zinaweza kujitokeza kutokana na mafuta ya kitunguu saumu au kitunguu saumu kibichi kilichopondwa.

5. _*inaweza kukuza afya ya mifupa*_

• Uchunguzi wa wanyama unapendekeza kuwa vitunguu saumu vinaweza kupunguza upoteaji wa mifupa kwa kuongeza viwango vya estrojeni kwa panya wa k**e.
• Utafiti kwa wanawake wa baada ya komahedhi ulipata athari sawa wakati dozi ya kila siku ya vitunguu saumu kikavu ilitumiwa.
• Uchunguzi pia unaonyesha kuwa kula vitunguu kunaweza kupunguza dalili za kuchochea ugonjwa wa yabisi-kavu unayozorotesha mifupa ya maungo.

_*Faida za Kiafya za Kitunguu Saumu Pori*_

• Faida za kiafya za vitunguu pori pia huitwa kitunguu saumu cha dubu na kitunguu saumu zinafanana sana.
• Vyote viwili vina aina mbalimbali za misombo yenye dawa, ikiwa ni pamoja na kuwa na kemikali zinazozuia viini na kuvu.
• Lakini vitunguu pori vilionekana kuwa na mwitikio mkubwa zaidi katika kupunguza shinikizo la damu kuliko vitunguu vya kawaida.

_*Je, vitunguu saumu ni salama kwa kila mtu?*_

• Suala la kitunguu saumu kuleta wasiwasi kuhusu usalama na mizio ni nadra.
• Ikiwa unachukua virutubisho vya vitunguu kwa udhibiti wa cholesterol, angalia viwango vyako vya cholesterol baada ya miezi mitatu.
• Kiwango cha kila siku kinacho pendekezwa cha vitunguu ni kati ya ½ hadi 1 tembe nzima kwa siku (karibu 3,000 hadi 6,000 mcg ya allicin).

_*Tafadhali kumbuka kuwa baadhi ya watu wanaweza kukumbana na kukosa kusaga chakula, gesi tumboni au kuhara wanapotumia kiasi kikubwa cha vitunguu saumu.*_

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia ☎️ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

➖ Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA. 👉 👇👇 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

🌷JE " UNAUMIA WAKATI WA TENDO LA NDOA ?🌷+255655562181 / 0769 600 821  SOMA HAPA.👇👇👇👇🌷HII ni hali ambayo mwanamke anakuwa...
14/12/2023

🌷JE " UNAUMIA WAKATI WA TENDO LA NDOA ?🌷

+255655562181 / 0769 600 821

SOMA HAPA.👇👇👇👇

🌷HII ni hali ambayo mwanamke anakuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini anapata ugumu kutokana na maumivu makali anayopata.

🌷Hali hii inatokana na kubana au kukaza kwa misuli ya uke lakini pia inaweza kusababishwa na matatizo ukeni.

🌷Mfano endapo kuna michubuko au vidonda au kasoro yoyote ya uke, aidha uke ni mdogo au maumbile ya uke hayana uwiano na uume. Tatizo hili huwapata wanawake wa rika zote ilimradi tayari yupo katika umri wa kuzaa.

🌷TATIZO LINAVYOGAWANYIKA🌷

Tatizo hili la maumivu wakati wa tendo la ndoa limegawanyika katika maeneo makuu mawili. Kwanza ni Primary Dyspareunia .

🌷Hapa mwanamke anakuwa hana historia ya maumivu wala hana historia ya kuwahi kufanya tendo hilo ndiyo, kwanza anaanza. Kitaalamu hali hii ya maumivu huitwa Honey moon Dypareunia au maumivu ya fungate na hutokea mara tu anapoanza kujamiiana kwa mara ya kwanza. Katika hali hii misuli ya uke inaweza kubana kutokana na michubuko au kuchanika ubikira au hata kuchanika upande wa chini wa uke na wakati mwingine michubuko hutokea katika tundu ya mkojo.Hali ya michubuko inaweza kuwa mbaya na ikajitokeza hata kwa kugusa tu upande wa nje wa uke.

🌷Maumivu yakiendelea au yakizidi husababisha mgonjwa apate matatizo ya kisaikolojia kiasi kwamba huanza kuogopa tendo lenyewe na kuhisi endapo atalifanya ataumia. Tatizo hili likileta michubuko kwenye njia ya mkojo husababisha maambukizi sugu ya kibofu cha mkojo kutokana na michubuko ya mara kwa mara ya tundu ya mkojo.

🌷Maumivu ukeni hutokana pia na maandalizi mabovu kabla ya tendo ambapo uke unakuwa haujalainika kwa kutofanya romance ya kutosha, kutofanya tendo hilo kwa ustaarabu, yaani kutumia nguvu au endapo mwanamke atakuwa na maambukizi ukeni mfano fangasi ambayo huambatana na kutokwa na uchafu ukeni na muwasho, magonjwa ya uke k**a kuvimba kwa tezi za uke, kuvimba kwa mashavu ya uke au hali yoyote inayomwondolea amani mwanamke pale ukeni inaweza kumfanya kisaikolojia aathirike na kuhisi maumivu wakati wa tendo.

🌷Michubuko ukeni au kuhisi moto ukeni wakati wa tendo la ndoa kunaweza kusababishwa na matumizi ya vilainishi visivyofaa au kuumwa kutokana na uwepo wa vinyweleo virefu ukeni na endapo havikupunguzwa vitaingia ukeni wakati wa tendo na kukuchubua. Kasoro katika ubikira pia husababisha mwanamke ahisi maumivu wakati wa tendo.

🌷Maumivu haya huwa hayahusiani na yale ya awali ya fungate na wakati mwingine huanza baada ya kipindi kirefu cha miaka mingi tangu uanze tendo la ndoa na wengine huwa na tatizo hili tayari wana watoto. Chanzo cha tatizo hili ni ukavu ukeni, umri mkubwa wa mwanamke na kusinyaa kwa misuli ya uke.

🌷Matatizo haya isipokuwa la umri mkubwa hutokea katika umri wa kati na tayari mwanamke anayo historia ya kuwa katika mahusiano na hata tayari ana watoto. Umri mkubwa tunaouzungumzia ni zaidi ya miaka hamsini. Kubana misuli ya ukeni hutokana na makovu baada ya kushonwa msamba au kuongezewa njia wakati wa kujifungua au upasuaji wa kurekebisha fistula pia husababisha tatizo hili.

🌷Vyanzo vingine vya maumivu haya ya tendo la ndoa ni kushuka kwa kizazi ambapo mwanamke atahisi kitu k**a gololi ukeni wakati akijisafi sha au kuhisi kizazi kinasukumwa wakati wa tendo, kugeuka kwa kizazi, matatizo katika tabaka la ndani la kizazi, maambukizi sugu ukeni ambapo uchafu na muwasho ukeni hujirudiarudia, matatizo katika njia ya mkojo na maambukizi katika viungo vya uzazi ’PID’ husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa.

🌷Matitizo ya kisaikolojia husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa pale ambapo misuli ya ukeni itakaza na mwanamke anapochunguzwa huwa hana tatizo au kasoro yoyote ukeni. Matatizo katika mishipa ya fahamu ya ukeni, kuogopa tendo lenyewe kuhisi utapata maumivu au k**a kuna historia ya kuingiliwa kwa nguvu na ukaumia, kutokuwa na taarifa sahihi kuhusu tendo la kujamiiana, yote haya na mengine mengi humharibu mwanamke kisaikolojia na kujikuta anaanza kuhisi maumivu hata kabla ya tendo lenyewe kwa kuingiwa na hofu.

🌷Hali nyingine inayoweza kumfanya mwanamke aathirike kisaikolojia na asiwe tayari kwa tendo na hata akilifanya apate maumivu ni kuogopa kupata ujauzito wakati hayupo tayari kwa hilo, kuogopa kupata maambukizi, kulazimishwa penzi endapo haupo tayari na mwanaume uliye naye na kuhisi kuna tofauti ya maumbile na mume uliyenaye.

🌷Endapo mwanaume anakukwaza kutokana na kutokwa na jasho jingi sana wakati wa tendo, kutoa harufu mbaya ya pua, kinywani, makwapani au sehemu zake za siri, huwa na magonjwa ya ngozi au hata mwilini mwake, matatizo haya huweza kumwathiri mwanamke kisaikolojia na asifurahie tendo na kutotoa ushirikiano wakati wa tendo na kupata maumivu..

🌷*SULUHISHO "🌷

🌷 Usisumbuke : Tumewaandalia program kamili na virutubisho muhimu. Program hii ni ya Virutubisho ; itasaidia Kurejesha afya yako Katika hali ya Kawaida na kufanya ufurahie tendo k**a zamani , haijalishi tatizo lako ni kubwa kiasi gani au let limedumu kwa miuda gani.

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia ☎️ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

➖ Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA. 👉 👇👇 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ya Mzazi na Mtoto posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share