Afya Ya Mzazi na Mtoto

Afya Ya Mzazi na Mtoto You're Health is Our Concern ~
Call Us +255655562181 / +255769600821

KUTANUKA AU KULEGEA KWA MISULI YA UKE - - ( Vaginal Laxity).Kutanuka au kulegea kwa misuli ya uke (Vaginal laxity) ni ha...
15/12/2025

KUTANUKA AU KULEGEA KWA MISULI YA UKE - - ( Vaginal Laxity).

Kutanuka au kulegea kwa misuli ya uke (Vaginal laxity) ni hali ambapo misuli ya uke inapoteza uimara wake wa kawaida. Ni jambo la kiafya linalowapata wanawake wengi, hasa baada ya mabadiliko fulani ya mwili.

Sababu kuu:-

1. Kujifungua mara nyingi, hasa kwa njia ya kawaida (normal delivery).
2. Kuongezeka kwa umri – homoni ya estrogen hupungua.
3. Kupungua kwa homoni (hasa baada ya kujifungua au menopause).
4. Kufanya kazi nzito au kubeba mizigo mizito mara kwa mara.
5. Kukohoa kwa muda mrefu au kufunga choo (constipation) – huongeza presha kwenye misuli ya nyonga.
6. Kukosa mazoezi ya misuli ya nyonga (pelvic floor).

Dalili zinazoweza kuonekana.

- Kutoa hewa ukeni wakati wa Tendo na sauti k**a ya kujamba.
- Kuhisi uke β€œkuwa mpana” kuliko kawaida
- Kupungua kwa msisimko au raha wakati wa tendo la ndoa
- Kushindwa kujizuia mkojo (mkojo kutoka bila kutarajia)
- Hisia ya uzito au kitu kushuka chini ya uke

Muhimu kukumbuka - Si ugonjwa wa aibu, ni hali ya kawaida na inarekebishika

- Epuka kutumia vitu vya kuingiza ukeni visivyo salama (mimea, kemikali n.k.) bila ushauri wa kitaalamu
- Ukiona dalili zinaongezeka au una maumivu/kuvuja damu, muone mtaalamu wa afya.

KWA MSAADA ZAIDI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

-πŸ“ž"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

Β°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

π—”π—œπ—‘π—” 𝗭𝗔 π— π—”π—šπ—’π—‘π—π—ͺ𝗔 𝗬𝗔 π—™π—œπ—šπ—’1. Figo kushindwa kufanya kazi ghafla (Acute Kidney Failure) – hutokea ghafla kutokana na maambu...
24/10/2025

π—”π—œπ—‘π—” 𝗭𝗔 π— π—”π—šπ—’π—‘π—π—ͺ𝗔 𝗬𝗔 π—™π—œπ—šπ—’

1. Figo kushindwa kufanya kazi ghafla (Acute Kidney Failure) – hutokea ghafla kutokana na maambukizi, upungufu wa damu au dawa.

2. Figo kushindwa kufanya kazi sugu (Chronic Kidney Disease) – huchukua muda mrefu na huendelea polepole.

3. Maambukizi ya figo (Pyelonephritis) – bakteria hushambulia figo.

4. Mawe kwenye figo (Kidney Stones) – madini hukusanyika na kuunda mawe.

5. Kisukari cha figo (Diabetic Nephropathy) – kisukari huharibu mishipa ya damu ya figo.

6. Shinikizo la damu la figo (Hypertensive Nephropathy) – BP kubwa huharibu figo.

7. Kuvuja damu kwenye figo (Glomerulonephritis) – figo hushambuliwa na kinga ya mwili.

8. Figo zenye uvimbe wa maji (Polycystic Kidney Disease) – uvimbe unaokua ndani ya figo.

9. Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) – yakifika figoni husababisha matatizo makubwa.

10. Kansa ya figo (Kidney Cancer) – chembe za figo hukua vibaya na kuunda uvimbe mbaya.

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” π—™π—œπ—šπ—’

1. Kuchoka kupita kiasi – kutokana na damu chache au sumu mwilini.

2. Uvimbaji wa mwili – hasa usoni, mikononi na miguuni.

3. Mkojo kubadilika – rangi, harufu au kuwa na povu.

4. Kukojoa mara chache – au kuacha kabisa kukojoa.

5. Maumivu ya mgongo – chini ya mbavu, hasa upande mmoja.

6. Kichefuchefu na kutapika – kutokana na sumu mwilini.

7. Kupoteza hamu ya kula – mwili ukiwa umechoka.

8. Kuwashwa kwa ngozi – au ngozi kuwa kavu sana.

9. Kupumua kwa shida – maji yakijikusanya kwenye mapafu.

10. Kizunguzungu na maumivu ya kichwa – shinikizo la damu likipanda.

11. Kupungua uzito – au kukonda bila sababu.

12. Kuchanganyikiwa – kutokana na sumu nyingi mwilini.

Rekenisha figo zako na kufanya figo zirudi katika hali yake ya kawaida ya kutoa mkojo kwa ufanisi.

πŠπ€π‘πˆππ” ππˆπŠπ”π’Aπƒπˆπ„ ππˆπ†π€ & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Callβž–text&smsβž–whatsappπŸ‘‡

βž– Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

βž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

βž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA πŸ™πŸ™πŸ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

πŠπ€π‘πˆππ” 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

π™†π™’π˜Ό 𝙉𝙄𝙉𝙄 π™ˆπ™’π˜Όπ™‰π˜Όπ™ˆπ™†π™€ π™ƒπ™π™π™Šπ™†π˜Ό π˜Ώπ˜Όπ™ˆπ™ 𝙐𝙆𝙀𝙉𝙄 π™’π˜Όπ™†π˜Όπ™π™„ π™’π˜Ό π™π™€π™‰π˜Ώπ™Š π™‡π˜Ό π™‰π™€π™π˜Ό? Hizi hapa ndiyo Sababu kuu za Postcoital Bleeding-Kwa kawai...
17/10/2025

π™†π™’π˜Ό 𝙉𝙄𝙉𝙄 π™ˆπ™’π˜Όπ™‰π˜Όπ™ˆπ™†π™€ π™ƒπ™π™π™Šπ™†π˜Ό π˜Ώπ˜Όπ™ˆπ™ 𝙐𝙆𝙀𝙉𝙄 π™’π˜Όπ™†π˜Όπ™π™„ π™’π˜Ό π™π™€π™‰π˜Ώπ™Š π™‡π˜Ό π™‰π™€π™π˜Ό?

Hizi hapa ndiyo Sababu kuu za Postcoital Bleeding-

Kwa kawaida mtu mwenye hormonal imbalance anaweza kutokwa damu wakati wa tendo la ndoa (s*x) kwa sababu kadhaa zinazohusiana na mabadiliko ya homoni, hasa estrogen na progesterone.

Hapa kuna maelezo ya kina:

🧠 1. Upungufu wa homoni ya estrogen
Estrogen husaidia kuweka kuta za uke zikiwa nene, zenye unyevu na zenye elastic.

Wakati kiwango chake kimeshuka (k**a kwenye hormonal imbalance, stress, au baada ya uzazi), ukuta wa uke hukauka na kuwa mwembamba.

Hivyo, wakati wa s*x ukuta huu mwembamba huweza kupasuka kirahisi na kusababisha damu kidogo au maumivu.

🩸 2. Mabadiliko ya homoni kwenye mzunguko wa hedhi.

Wakati mwingine mwili unapata mabadiliko ya ghafla ya homoni kabla au baada ya hedhi.

Hali hii inaweza kufanya mfuko wa mimba (uterus) kutoa damu kidogo wakati wa tendo la ndoa.

Kwa wanawake wenye hormonal imbalance, hii hutokea mara kwa mara bila ratiba maalum.

🌿 3. Uchochezi au uvimbe kwenye shingo ya kizazi (cervix).

Homonal imbalance inaweza kufanya tishu za shingo ya kizazi kuwa nyeti na kuvimba (cervical erosion).

Shingo ya kizazi ikiguswa wakati wa s*x, damu hutoka kwa urahisi.

⚠️ 4. Sababu nyingine zinazochangia ni
Maambukizi ya uke au shingo ya kizazi (yeast, PID, trichomonas, n.k.)

Fibroids au polyps kwenye kizazi.

Matumizi ya vidonge vya kupanga mimba visivyo na uwiano wa homoni.

Stress na usingizi duni, ambavyo pia huharibu uwiano wa homoni.

πŠπ€π‘πˆππ” ππˆπŠπ”π’Aπƒπˆπ„ ππˆπ†π€ & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Callβž–text&smsβž–whatsappπŸ‘‡

βž– Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

βž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

βž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA πŸ™πŸ™πŸ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

πŠπ€π‘πˆππ” 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

*"TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA  TUMBO KUJAA GESI - ( Constipation )".*β€’ Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupat...
16/07/2025

*"TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA TUMBO KUJAA GESI - ( Constipation )".*

β€’ Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka.

β€’ Hii ni Kwa Sababu Ya Choo hicho Kuwa Kwenye Muundo K**a tope Jeusi au Vipande Vipande K**a Cha Mbuzi na Kwa Kiwango Kikubwa Kinatawaliwa na Miungurumo isiyokwisha tumboni na Hewa Nyingi Wakati wa Kwenda haja ( *Kujamba Sana* ) Inayo ambatana na Harufu Kali Sana.

*"CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?"*

β€’ Constipation inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villars , hivi ni k**a vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula.

β€’ Ila kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunzovuta Pamoja na Mafuta tunayokula kwenye vyakula huwa Viaenda kujipachika katikati ya Villars (vidole) na hivyo kusababisha vidole visimame (blocked) hivyo chakula Kinakuwa hakimeng'enywi na kusababisha chakula tunachokula kupitiliza moja kwa moja kwenye utumbo mkubwa K**a Kilivyo na hapo ndio tatizo linapoanzia.

*"MADHARA"*.

β€’ Tatizo hili la Constipation hupelekea Watu kupata Magonjwa Mengi na Kusababisha Vifo Vingi Sana Kwa Watu Mbali Mbali Mbali na Wengine Bila Kufahamu Chanzo Cha Magonjwa Waliyonayo - Hata Baada ya Vipimo Vya Kimaabala .

β€’ K**a Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:

~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasir i(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno , Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( Ugumba ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi).
~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.
~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .
~ Maumivu ya Koromeo ( Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka ).
~ Kiungulia .
~ Magonjwa ya Ngozi.Na Mengine Mengi Sana..

πŸ•³ Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

β€’ Tupigie Sasa Kupitia Namba Zifuatazo - +255769600821 au +255655562181 Ili Kufanya oda Ya Dose Ya Tatizo hili na Utatumiwa Popote Ulipo.

β€’ Ili Kujiunga na Group letu la whatssapp Fuata Link hii hapa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ https://chat.whatsapp.com/KqQ2iOVSj2XEYv1eZIXcIz

Β° Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡
https://wa.me/255655562181

UKIWA NA DALILI HIZI USISEME UNA VIDONDA VYA TUMBO~ +255655562181 , +255769600821 ~β€’ Kupatwa na kiungulia mara kwa mara ...
09/12/2024

UKIWA NA DALILI HIZI USISEME UNA VIDONDA VYA TUMBO

~ +255655562181 , +255769600821 ~

β€’ Kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama au kulalia tumbo.

β€’ Kiungulia hiki huanza baada ya lisaa limoja na kuisha baada ya masaa mawili baada ya kula.

β€’ Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula ,Kikohozi kisichopona au kupaliwa na kukosa pumzi akiwa usingizini.

β€’Dalili zingine ni k**a;

β€’ Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
β€’ Kutokwa na makohozi kooni mara kwa marq.
β€’ Kutoa mabaki ya chakula wakati was kupiga mswaki.
β€’ Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
β€’ Kupata hali ya kuunguza kwenye koo , kifua na karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
β€’ Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
β€’ Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
β€’ Mdomo kuwa mchachu muda mwingi hasa baada ya kutoka usingizini.
β€’ Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
β€’ Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
β€’ Mdomo na koo kukauka.
β€’ Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
β€’ Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
β€’ Tumbo Kuunguruma Hasa Muda Mfupi Baaada Ya Kula.

β€’ Hii inaitwa ACID REFLUX au GERD
( *GastroEsophagaelRefluxDesease* na siyo vidonda vya tumbo k**a wengi wanavyodhani , Kwa sababu Ugonjwa huu unafanana sana na Vidonda vya Tumbo.
β€’ Watu wengi wanao jitambulisha kuwa wana Vidonda vya tumbo baada ya vipimo vya Kumulika tumboni kufanyika na Kuonyrsha β€œKuta ni Nyekundu. Lakini pia huonyesha Gesi imejaa tumboni”. Kitalamu wanaangukia kwenye GERD na Gastritis na Siyo Vidonda vya Tumbo.
:
ENDOSCOPY - Vipimo vya Kuingiziwa Kumulika ndani haviwezi kukwambia CHANZO CHA TATIZO halisi cha Tatizo na ndiyo maana wagonjwa wengi wamekuwa wakijitafsiri wana Madonda ya tumbo kwa sababu wameanzishiwa dawa za Kutibu dalili (Gesi na Kiungulia) bila Kuchunguzwa chanzo.

β€’ Kibaya zaidi Watalamu wengi wamekuwa wakikimbilia kutibu H Pylori na kusahau kuna vyanzo Vingi Vinavyo sababisha Mtu kuwa na GERD na Gastritis.

β€’ Katika mfumo wa chakula kuna bakteria rafiki ambao husaidia kumeng’enya chakula vizuri. Maisha ya Pombe, sigara, Vyakula vya kukaanga, Soda Na juisi Huathiri hawa bakteria na Kusababisha vimelea maadui kuota katika kuta na kushambulia ukuta wa Mfumo wa chakula. Kitalamu husababisha SIBO (Small Intestine Bakteria and Yeast Overgrowth) Hali hio Huvimbisha Mfumo wa chakula Gut Inflammation na Unaweza Kuibua mzio sugu, Kukosa usingizi, Mvurugiko wa homoni kwa sababu ya Kudhoofika kwa Mfumo wa Chakula.

β€œUhai na Kifo vipo katika Mfumo wa Chakula”

β€’.Vyakula Vya Sukari na wanga kwa mtu k**a uwezo wa mwili Kutumia wanga huo ni Mdogo. Husababisha wanga kukaa tumboni muda mrefu badala ya kuwa Dighested kwa wakati na kusababisha kuchachuka haraka na Kuongeza makali ya gesi na kiungulia.

β€’ Hivyo katika matibabu Mgonjwa huwa tunampampatia Suluhisho kwa Kuondoa changamoto ziluzopo jwa kusafisha mfumo wake wote na kuufanyia repair ili kurudisha hali yake ya asili ndani ya muda mfupi Sana.

♐Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

πŸ•³ Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

πŠπ€π‘πˆππ” ππˆπŠπ”π’Aπƒπˆπ„ ππˆπ†π€ & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Callβž–text&smsβž–whatsappπŸ‘‡

βž– Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

βž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

βž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA πŸ™πŸ™πŸ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

πŠπ€π‘πˆππ” 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.

*DALILI ZA UGONJWA WA FANGASI UKENI*βœ“ kuwashwa sehem za siriβœ“ kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana (superficial dy...
16/03/2024

*DALILI ZA UGONJWA WA FANGASI UKENI*

βœ“ kuwashwa sehem za siri
βœ“ kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana (superficial dysapareunia)
βœ“kuhisi kuwaka moto sehemu za siri Mara baada ya kutoka kufanya tendo la ndoa au kutoka kukojoa (burning sensation)
βœ“kupata vidonda ukeni (soreness)
βœ“ kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke (l***a minora)
βœ“kupata maumivu wakati wa kukojoa
βœ“kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa MWEPESI au MZITO au majimaji

NOTE :Dalili na viashiria hivi huwa mbaya Zaidi mwanamke anapokua mwezini.

Kwa Msaada Zaidi , Mawasiliano Yetu : 0655562181 / 0769600821

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*   +255655562181 / +255769600821- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza ...
14/03/2024

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

+255655562181 / +255769600821

- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba,uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba kuzuia au kutibu tatizo la kupanda kwa presha ya damu husaidia kupunguza hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids). Utafiti uliofanyika katika chuo kikuu cha Havard unasema kuna uhusiano mkubwa kati ya presha ya damu na hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids) kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi.

*DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

*Je,fibroids inaweza kusababisha kuvuja damu Kwa Kinamama,Maumivu ya mgongo na Dalili zingine mbaya?*

Inawezekana kabisa lakini siyo kila mwanamke mwenye fibroids hupata dalili hizi, lakini pia uwepo wa dalili hizi siyo lazima uwe na fibroids ,Bali unaweza kuwa na tatizo lingine la Kiafya.

*Zifuatazo ni Dalili Zinazojitokeza kwa Wanawake Wengi Zaidi Wenye Uvimbe Kwenye Kizazi*

- Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi.
β€’Hedhi nzito.
β€’Kujisikia umeshiba mda mwingi
β€’Maumivu ya nyonga.
β€’Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
β€’Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
β€’Kupata maumivu wakati watendo la ndoa.
β€’Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
β€’Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba Kuharibika

*Inaendelea.....**UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

+255655562181 / +255769600821

- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba,uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba kuzuia au kutibu tatizo la kupanda kwa presha ya damu husaidia kupunguza hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids). Utafiti uliofanyika katika chuo kikuu cha Havard unasema kuna uhusiano mkubwa kati ya presha ya damu na hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids) kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi.

*DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

*Je,fibroids inaweza kusababisha kuvuja damu Kwa Kinamama,Maumivu ya mgongo na Dalili zingine mbaya?*

Inawezekana kabisa lakini siyo kila mwanamke mwenye fibroids hupata dalili hizi, lakini pia uwepo wa dalili hizi siyo lazima uwe na fibroids ,Bali unaweza kuwa na tatizo lingine la Kiafya.

*Zifuatazo ni Dalili Zinazojitokeza kwa Wanawake Wengi Zaidi Wenye Uvimbe Kwenye Kizazi*

- Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi.
β€’Hedhi nzito.
β€’Kujisikia umeshiba mda mwingi
β€’Maumivu ya nyonga.
β€’Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
β€’Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
β€’Kupata maumivu wakati watendo la ndoa.
β€’Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
β€’Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba Kuharibika

*Inaendelea.....**UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

+255655562181 / +255769600821

- Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba,uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba kuzuia au kutibu tatizo la kupanda kwa presha ya damu husaidia kupunguza hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids). Utafiti uliofanyika katika chuo kikuu cha Havard unasema kuna uhusiano mkubwa kati ya presha ya damu na hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids) kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi.

*DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

*Je,fibroids inaweza kusababisha kuvuja damu Kwa Kinamama,Maumivu ya mgongo na Dalili zingine mbaya?*

Inawezekana kabisa lakini siyo kila mwanamke mwenye fibroids hupata dalili hizi, lakini pia uwepo wa dalili hizi siyo lazima uwe na fibroids ,Bali unaweza kuwa na tatizo lingine la Kiafya.

*Zifuatazo ni Dalili Zinazojitokeza kwa Wanawake Wengi Zaidi Wenye Uvimbe Kwenye Kizazi*

- Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi.
β€’Hedhi nzito.
β€’Kujisikia umeshiba mda mwingi
β€’Maumivu ya nyonga.
β€’Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
β€’Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
β€’Kupata maumivu wakati watendo la ndoa.
β€’Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
β€’Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba Kuharibika.

πŸ•³ Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

πŠπ€π‘πˆππ” ππˆπŠπ”π’Aπƒπˆπ„ ππˆπ†π€ & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Callβž–text&smsβž–whatsappπŸ‘‡

βž– Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

βž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

πŠπ€π‘πˆππ” 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.

*MFUMO WA UMENG’ENYAJI CHAKULA*   +255655562181 / +255769600821- Mfumo wako wa umeng’enyaji chakula umeundwa na njia ya ...
10/01/2024

*MFUMO WA UMENG’ENYAJI CHAKULA*

+255655562181 / +255769600821

- Mfumo wako wa umeng’enyaji chakula umeundwa na njia ya utumbo (gastrointestinal. GI) , ini, kongosho na kibofu cha nyongo. Njia ya GI ni safu ya viungo vya mashimo ambavyo vimeunganishwa kutoka mdomoni hadi kwenye tundu ya nyuma. Viungo vinavyounda njia yako ya GI, kwa utaratibu wa kuwa vimeunganishwa, ni pamoja na mdomo wako, umio, tumbo, utumbo mdogo, utumbo mkubwa na tundu ya nyuma.

*JINSI MFUMO WA UMENG’ENYAJI CHAKULA HUFANYA.*

- Mfumo wako wa usagaji chakula umeundwa kwa namna ya kipekee kufanya kazi yake ya kugeuza chakula chako kuwa virutubisho na nishati unayohitaji ili kuwa na afya njema.

Usagaji chakula ni muhimu kwa sababu mwili wako unahitaji virutubisho kutoka katika chakula unachokula na vinywaji unavyokunywa ili kuwa na afya nzuri. Virutubisho ni pamoja na wanga, protini, mafuta, vitamini, madini na maji.
Mfumo wako wa usagaji chakula husaga na kufyonza virutubisho kutoka katika chakula na vimiminika unavyotumia ili kutumika k**a vile nishati, ukuaji na ukarabati wa seli.

*MAGONJWA YANAYOWEZA KUTOKANA NA MFUMO WA MMENG'ENYOWA CHAKULA*

- Kutokana mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuwa chanzo kikuu cha mahitaji ya mwili inapelekea mfumo huu unapopata shida magonjwa mengi kuibuka bila mfumo huu kuhusishwa kwamba ndiyo chanzo cha moja kwa moja kutokana na baadhi ya mifumo kujitenga lakini kuwa na uhusiano wa kimahitaji na kiutendaji kazi kwa namna moja au nyingine.

- Mfano - Uwepo wa sumu nyingi mwilini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na mfumo huu , lakini madhara yanaweza kuhusisha uzazi upende wa homoni , mzunguko wa damu ,moyo na fahamu, magonjwa ya ngozi ikiwemo saratani, mabadiliko ya mfumo wa Kinga mwili na mengineyo mengi.

*Miongoni mwa magonjwa mengine ni pamoja na*:-

~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi na kitambi.
~Bawasiri i(*Vinyama sehemu ya haja kubwa*).
~Maumivu ya Kiuno ,Nyongq, Magoti,, Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.n.k.
~Kukosa usingizi(*Insomnia*)
~Kukosa hamu ya kula (*Loss of appetite*).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (*Ulcers*).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( *Ugumba* ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( *Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi*).
~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.
~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .
~ Maumivu ya Koromeo ( *Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka* ).
~ Kiungulia (*ACID REFLUX*).
~ Magonjwa ya Ngozi.
~ Ngiri (*HERNIA*).
~ Kiharusi
~ Pressure.
~ Hormone imbalances
~ Kisukari. Magonjwa ya figo.
β€’ Na Mengine Mengi Sana.

- π—žπ—ͺ𝗔 π—§π—œπ—•π—” 𝗑𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨π—₯π—œ π—­π—”π—œπ——π—œ-
- Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia ☎️ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡
http://.wa.me/255655562181

βž– *Ili Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA.* πŸ‘‰ πŸ‘‡πŸ‘‡ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

βž– *SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA* πŸ™πŸ™πŸ™ *Kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini*

*KUFANYA TENDO LA NDOA HAKUNA UHUSIANO NA KUBEMENDA MTOTO*+255655562181 / +255769600821 β€’ Hili ni Neno Linalotumika sana...
31/12/2023

*KUFANYA TENDO LA NDOA HAKUNA UHUSIANO NA KUBEMENDA MTOTO*

+255655562181 / +255769600821

β€’ Hili ni Neno Linalotumika sana Kumaanisha *KUDHOOFIKA* au *KUZOROTA* Kwa afya ya Mtoto au Mtoto *KUDUMAA* na Kutokukua Inavyotakiwa.

*DHANA POTOFU*.

β€’ *Maneno yaliyopo ( *Imani Zilizojengeka* ) Katika Jamii , Siku zote ni Haya*:-

Aβ€’ Wazazi wakishiriki Tendo la ndoa baada ya mama kujifungua hata K**a 40 Imepita *WANAWEZA KUBEMENDA MTOTO*.

Bβ€’ Kwa Kuwa Shahawa za mwanaume Zinaenda Kwenye maziwa ya mama na Hivyo mtoto anaponyonya Shahawa Kupitia Maziwa hayo na Hatimaye Zinadhoofisha afya ya mtoto ( *ANABEMENDEKA* )..

Cβ€’ Mama akipata Mimba huku akiwa na Mtoto Mchanga wa Miezi Kadhaa *ANABEMENDA MTOTO*.

Dβ€’ Mtoto Mchanga Akinyonya maziwa ya Mama ambaye ni Mjamzito *ANAWEZA KUBEMENDEKA*.

Eβ€’ Mwanandoa Akitoka Nje ya NDOA akizini na Akarudi Kutoka Kus*x Mtoto *Anabemendeka*..

F. Et Uki S*x Ukamgusa Mtoto Wakati Wa Kus*x au Kabla Ya Kuoga Baada Ya Kumaliza S*x , Mtoto *ANABEMENDEKA* Kwa Jasho Lako tu. πŸ‘

*HIZO ZOTE SIO KWELI* - *UKELI NI HUU*.

β€’ Mbegu za Mwanaume Haziwezi Kwenda Kwenye Maziwa ni Uongo na Hauna Mashiko *KISAYANSI*.

β€’ Kufanya Tendo la Ndoa Ndani au Nje ya Ndoa *HAIBEMENDI MTOTO* ( *Sababu Zipo za Kutosha* ).

β€’ Ukipata Mimba Bado Unaruhusiwa Kuendelea Kunyonyesha Mtoto Mchanga Wako. ( *Nitaandaa SOMO Mahususi juu ya hili* ).

β€’ *MTOTO KUBEMENDWA*.

β€’ Hali hii Kitaalamu tunaita *DELAYED DEVELOPMENTAL MILESTONES* , Yaani Mtoto Kukua Kinyume na Inavyotakiwa au Kutofuata Hatua za Ukuaji Kulingana na Umri Wake.

β€’ *Mfano* - Utakuta Mtoto ana Miezi 9 Lakini Shingo Hajakaza , Wala Kiuno na Wakati Mwingine Miguu haina Nguvu au Mgongo haukazi.

β€’ Mtoto hawezi Kukaa , au Mtoto wa Mwaka na Nusu Hawezi hata Kusimama na Kilo Zinakuwa Haziongezeki au anakuwa na Uzito Mkubwa ambao Hauonyeshi Dalili za Ukak**avu ipasavyo Kulingana na Umri ( *inability to gain Weight* ).

β€’ *Vyanzo Vikubwa vya mtoto Kutokukua Inavyotakiwa ni:-*

- *NINI HUWA KINABEMENDA MTOTO*?

- Wakati wa ujauzito mama hugawana na mtoto aliyeko tumboni 60% ya virutubisho vilivyopo mwilini mwake na hasa madini chuma.

- Hivyo kutokana na nguvu kubwa ya mwili kutumika kulea ama kuleta ukuaji mzuri wa mtoto aliyeko tumboni , hupelekea maziwa ya mama kukosa virutubisho muhimu kwa mtoto anayemnyonyesha.

- *Ziko sababu nyingi za kiafya zinazochangia afya ya mtoto anayenyonya kudhoofu au kutokuwa vizuri*

1. Mtoto kutokupata maziwa yenye virutubisho vya kutosha ( *mama Kutonyonyesha Ipasavyo , Kukosa Maziwa ya Kutosha ,Mtoto Kutokunyonya Ipasavyo Kutokana na Sababu Mbali Mbali za Kiafya au Mifumo Mibaya Ya Unyonyeshaji au Mzazi Kutoa na Maziwa Yenye Virutubisho hafifu , hii husababisha pia mtoto kukosa Kinga imara kutokana na lishe duni na kuwa chanzo Cha magonjwa kwa mtoto.

2. Magonjwa k**a Ukimwi , Magonjwa ya Moyo ya Kuzaliwa nayo , Pneumonia , Magonjwa Ya Mifupa , Tuberculosis ( * T.B* ) au Mashambulizi Ya Magonjwa Ya Mara Kwa Mara Kwa Mtoto Ikiwemo Magonjwa Ya Tumbo , Homa na Mengineyo...Yanayotokana na Kukosa Lishe inayofaa , Yaani Utapiamlo.

N.B. - Kitaalamu Mke na Mume Wanaruhusiwa Kufanya Tendo la Ndoa mara tu Baada ya SIKU 42 KUPITA Tangu Kujifungua.

*Mambo Muhimu Ya Kuzingatia ni Haya:-*

1β€’ Mama Anyonyeshe Mtoto Wake ipasavyo Mara Kwa Mara ( *asipozingatia Ratiba Ya Unyonyeshaji Kwa Mtoto italeta Shida Kwenye Ukuaji wa Mtoto* ) , K**a ni Mfanyakazi ahakikishe mtoto anayo lishe bora Ya ziada inayotosha kukidhi mahitaji ya afya ya mtoto na maziwa yabaki K**a pambo tu au kiburudisho kwa mtoto kwa sababu hayatokuwa na lishe ya kutosha.hasa endapo atapata ujauzito mwingine muda wa kunyonyesha.

2β€’ Mtoto anyonye miezi Sita ( 6 ) Pasipo Kumpa Kitu Kingine Chochote , Baada Ya Miezi Sita Hakikisha Unampa Lishe Bora ( *Lishe Yenye Makundi Yote ya Vyakula* ) Ikiwemo Madin chuma , Vitamin ,Potini , Wanga na Mafuta.

3β€’ Kutoka Nje ya ndoa yako ni Hatari maana Unaweza Pata Magonjwa ya Kuambukizwa K**a Maambukizi ya VVU , Fungus na Magonjwa Mengine ambayo Yanaweza Kuwa Hatari Kwa afya Ya Mtoto ambaye Bado *ANANYONYA* na Kumsababishia Udhaifu Wa Mwili Wake.

β€’ *Muhimu* :Unapoona Afya ya Mtoto Wako HAIKO SAWA , Nenda Hospitali iliyokaribu.

*KWA MATIBABU NA USHAURI*:-

TUPIGIE πŸ“žβ˜ŽοΈπŸ“² +255655562181 ( Whatssapp , Sms & Call ) au +255769600821 ( Call & SMS ).

β€’ Kujiunga na Group letu la whatssapp Fuata Link hii hapa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ https://chat.whatsapp.com/KAAlGY7L9ykC4KZexHm5jQ

β€’ Tafadhali

_*JE UNAFAHAMU NINI KUHUSU UGONJWA WA MAWE KATIKA NYONGO*_?    +255769600821 / +255655562181       *Gallstone ni nini?* ...
28/12/2023

_*JE UNAFAHAMU NINI KUHUSU UGONJWA WA MAWE KATIKA NYONGO*_?

+255769600821 / +255655562181

*Gallstone ni nini?*

Gallbladder (*Nyongo*) Iiko chini ya uso wa ini, Shingo ya kibofu cha nyongo ina kipenyo cha 5 hadi 7 mm na mara nyingi huunda curve yenye umbo la S. Ni ya juu na ya kushoto, ikipungua ndani ya kuunganishwa kwenye makutano na duct ya cystic.

*Zifuatazo ni dalili za kawaida za ugonjwa wa gallstones kulingana na eneo la maumivu ya gallstone:-*

β€’ Maumivu chini ya mbavu upande wa kulia.
β€’ Maumivu kati ya bega
β€’ Vinyesi vyepesi au vya rangi ya chaki.
β€’ Ukosefu wa chakula baada ya kula, haswa vyakula vya mafuta.
β€’ Kuunguua kifuani juu ya tumbo na hasa kulia.
β€’ Hisia ya kushiba au chakula kutosaga.
β€’ Kichefuchefu, Kizunguzungu, Kuhara, Kuvimbiwa, Tumbo kujaa gesi ,Kutapika, Kuvimbiwa, Maumivu ya kichwa juu ya macho, haswa upande wa kulia, Kujaa maji machungu kinywani hasa baada ya kula. Nk.

*Vyanzo vya gallstone*

- *Umri* : Matukio ya ugonjwa wa gallstone huongezeka kutokana na umri. Dalili ya ugonjwa wa calculous ya njia ya bili ni nadra kabla ya umri wa miaka 20, na inapopatikana katika kundi hili, ni kawaida kati ya wagonjwa walio na hali sugu k**a vile cystic fibrosis au anemia ya hemolytic.

- *Madawa ya kulevya* : Dawa nyingi zinehusishwa na ugonjwa wa gallstone ni pamoja na ceftriaxone, clofibrate, uzazi wa mpango, uingizwaji wa estrojeni, projestojeni na octreotidi. Baadhi ya dawa hutupwa kwenye nyongo na huweza kuwa ngumu, kuondosha, na kutengeneza mawe.

- *Jinsia* : Tatizo la kuenea kwa vijiwe vya nyongo kwa wanawake ni kubwa kuliko kwa wanaume. Uchunguzi umeonyesha kuwa ugonjwa wa gallstone ni kawaida kwa wanawake lakini ni nadra kwa wanaume. Hata hivyo, tofauti hupungua na umri unaoongezeka. Inafikiriwa kuwa sababu ya tofauti hii ya kijinsia ni homoni. Kuongezeka kwa estrojeni ya Serum (hasa wakati wa ujauzito) kukuza kueneza kwa cholesterol ya biliary na kuongezeka kwa projesteroni kunaweza kusababisha kizuizi cha kusinyaa kwa gallbladder.

- *Jiografia na Ukabila* : Wahindi wa Pima wa Arizona wana maambukizi ya juu zaidi ya mawe ya nyongo duniani kote. Asilimia 65 ya wanawake wa Pima walio na umri wa zaidi ya miaka 40 wana ugonjwa wa gallstone. Wahindi wa Micmac wa Kanada, Wahispania, na wanawake wa Marekani wa Meksiko pia wana kiwango kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa vijiwe vya nyongo, k**a vile wanaume na wanawake nchini Norway na Chile. Hatari inaonekana kuwa chini kwa weusi.

- *Uzito* -: Kunenepa kupita kiasi ni hatari kubwa kwa ugonjwa wa gallstone, haswa kwa wanawake. Uchunguzi umeonyesha kuwa wanawake walio na uzito mkubwa walio na index ya uzito wa mwili (BMI) zaidi ya au sawa na kilo 30 / m2 wana hatari mara mbili ya ugonjwa wa gallstone ikilinganishwa na wanawake wenye uzito wa kawaida na chini ya kilo 25 / m2. Cholesterol hypersecretion (inayohusishwa na fetma) ni sababu kuu ya pathogenic.

- *Kupoteza uzito haraka* : Hatari ya kuongezeka kwa ugonjwa wa gallstone inaweza kupatikana kati ya watu ambao hupoteza uzito haraka kwa vyakula vya chini sana vya kalori. Uundaji wa gallstone ni mojawapo ya matatizo muhimu zaidi ya mipango ya kupoteza uzito kwa hiari. Katika matukio haya, cholesterol imeamilishwa kutoka kwa tishu za adipose na kuingizwa kwenye bile. Hii inasababisha cholesterol supersaturation na kupunguza contraction nyongo, kuzalisha stasis. Uchunguzi umeonyesha kuwa watu walio kwenye mipango ya kupunguza uzito, ama lishe iliyopunguzwa sana ya kalori au taratibu za upasuaji za kupunguza uzito, wana matukio ya juu ya ugonjwa wa gallstone ikilinganishwa na wale ambao hawapendi kujinuima lishe.

-*Matibabu* - :Wagonjwa wanaougua vijiwe vya nyongo wanapaswa kutibiwa ili kuepusha hali yoyote ya dharura.

-*Ushauri* : Dumisha Uzito Wenye Afya wa Mwili, Epuka Kupunguza Uzito Haraka , Punguza Uzito kwa kufuata Lishe ya Kuzuia Kuvimba ambayo Inasaidia Afya ya Ini na NyongoKuwa na Shughuli Zaid, iFikiri upya Kumeza Vidonge vya Kuzuia Uzazi au Dawa Zisizo za Ulazima.

π—žπ—ͺ𝗔 π—§π—œπ—•π—” 𝗑𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨π—₯π—œ π—­π—”π—œπ——π—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia ☎️ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡
http://.wa.me/255655562181

βž– Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA. πŸ‘‰ πŸ‘‡πŸ‘‡ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

βž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA πŸ™πŸ™πŸ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

Address

Kijitonyama , Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
T17

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ya Mzazi na Mtoto posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram