
09/12/2024
UKIWA NA DALILI HIZI USISEME UNA VIDONDA VYA TUMBO
~ +255655562181 , +255769600821 ~
• Kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama au kulalia tumbo.
• Kiungulia hiki huanza baada ya lisaa limoja na kuisha baada ya masaa mawili baada ya kula.
• Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula ,Kikohozi kisichopona au kupaliwa na kukosa pumzi akiwa usingizini.
•Dalili zingine ni k**a;
• Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
• Kutokwa na makohozi kooni mara kwa marq.
• Kutoa mabaki ya chakula wakati was kupiga mswaki.
• Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
• Kupata hali ya kuunguza kwenye koo , kifua na karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
• Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
• Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
• Mdomo kuwa mchachu muda mwingi hasa baada ya kutoka usingizini.
• Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
• Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
• Mdomo na koo kukauka.
• Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
• Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
• Tumbo Kuunguruma Hasa Muda Mfupi Baaada Ya Kula.
• Hii inaitwa ACID REFLUX au GERD
( *GastroEsophagaelRefluxDesease* na siyo vidonda vya tumbo k**a wengi wanavyodhani , Kwa sababu Ugonjwa huu unafanana sana na Vidonda vya Tumbo.
• Watu wengi wanao jitambulisha kuwa wana Vidonda vya tumbo baada ya vipimo vya Kumulika tumboni kufanyika na Kuonyrsha “Kuta ni Nyekundu. Lakini pia huonyesha Gesi imejaa tumboni”. Kitalamu wanaangukia kwenye GERD na Gastritis na Siyo Vidonda vya Tumbo.
:
ENDOSCOPY - Vipimo vya Kuingiziwa Kumulika ndani haviwezi kukwambia CHANZO CHA TATIZO halisi cha Tatizo na ndiyo maana wagonjwa wengi wamekuwa wakijitafsiri wana Madonda ya tumbo kwa sababu wameanzishiwa dawa za Kutibu dalili (Gesi na Kiungulia) bila Kuchunguzwa chanzo.
• Kibaya zaidi Watalamu wengi wamekuwa wakikimbilia kutibu H Pylori na kusahau kuna vyanzo Vingi Vinavyo sababisha Mtu kuwa na GERD na Gastritis.
• Katika mfumo wa chakula kuna bakteria rafiki ambao husaidia kumeng’enya chakula vizuri. Maisha ya Pombe, sigara, Vyakula vya kukaanga, Soda Na juisi Huathiri hawa bakteria na Kusababisha vimelea maadui kuota katika kuta na kushambulia ukuta wa Mfumo wa chakula. Kitalamu husababisha SIBO (Small Intestine Bakteria and Yeast Overgrowth) Hali hio Huvimbisha Mfumo wa chakula Gut Inflammation na Unaweza Kuibua mzio sugu, Kukosa usingizi, Mvurugiko wa homoni kwa sababu ya Kudhoofika kwa Mfumo wa Chakula.
“Uhai na Kifo vipo katika Mfumo wa Chakula”
•.Vyakula Vya Sukari na wanga kwa mtu k**a uwezo wa mwili Kutumia wanga huo ni Mdogo. Husababisha wanga kukaa tumboni muda mrefu badala ya kuwa Dighested kwa wakati na kusababisha kuchachuka haraka na Kuongeza makali ya gesi na kiungulia.
• Hivyo katika matibabu Mgonjwa huwa tunampampatia Suluhisho kwa Kuondoa changamoto ziluzopo jwa kusafisha mfumo wake wote na kuufanyia repair ili kurudisha hali yake ya asili ndani ya muda mfupi Sana.
♐Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.
🕳 Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏
Call➖text&sms➖whatsapp👇
➖ Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821
➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.
TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.