Afya Leo

Afya Leo Huduma ya Afya kwa watoto wenye changamoto
🤝 Kwa upendo na uaminifu.
✅ 1. Changamoto za Maendeleo (Developmental Challenges
✅ 2. Changamoto za Kujifunza
✅ 3.

Changamoto za Kimwili
✅ 4. Changamoto za Mawasiliano

📞➕2️⃣5️⃣5️⃣6️⃣7️⃣7️⃣8️⃣6️⃣4️⃣4️⃣3️⃣2️⃣

02/04/2026

Curved spine ni hali ambapo mgongo (spine) hauko sawa moja kwa moja, bali umejipinda kwa njia isiyo ya kawaida. Kwa kitaalamu, hii hujulikana k**a Scoliosis (ingawa kuna aina tofauti za kupinda mgongo).

📞+255677864432

30/03/2026

👶💛Kuchelewa kukaza shingo kwa mtoto.
ni pale mtoto anaposhindwa:
👉 Kunyanyua kichwa
👉 Kukishikilia bila kuyumba
👉 Kukigeuza mwenyewe
baada ya miezi 3 hadi 4.

📞+255677864432

👶💛 Sababu za Mtoto Kuchelewa Kukaza Shingo

Kuchelewa kukaza shingo kwa mtoto mchanga
kunaweza kusababishwa na:
✅ 1. Misuli Dhaifu
✅ 2. Kukosa Tummy Time
✅ 3. Kuzaliwa Njiti
✅ 4. Upungufu wa Lishe
✅ 5. Kuchelewa Kulilia Baada ya Kuzaliwa
✅ 6. Kupata Manjano (Jaundice)
✅ 7. Matatizo ya Afya ya Neva

👶💛 Dalili za Kuchelewa Kukaza Shingo

K**a mtoto ana shida ya kukaza shingo,
utaona haya:
❗ Kichwa kinaanguka kila ukimbeba
❗ Hawezi kunyanyua kichwa akiwa tumboni
❗ Shingo ni laini sana
❗ Anachoka haraka akijaribu kukaa
❗ Hageuzi kichwa vizuri
📞+255677864432




30/03/2026
19/03/2026

USIPUUZIE MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA

19/03/2026

Mtoto kukosa hamu ya kula ni hali ambapo mtoto hapendi kula au anakula chakula kidogo kuliko kawaida. Hali hii inaweza kutokea kwa muda mfupi au kwa muda mrefu kulingana na sababu iliyosababisha.
📞+255677864432

Dalili za kawaida za Mtoto Kukosa hamu ya kula ni pamoja na:
▶️Mtoto kukataa kula chakula
▶️Kula kiasi kidogo sana
▶️Kupungua uzito au kutokuongezeka uzito
▶️Kuchagua sana chakula
▶️Uchovu au udhaifu
▶️Kulia au kukasirika wakati wa kula

Sababu zinazoweza kufanya mtoto akose hamu ya kula ni:
▶️Magonjwa k**a Malaria
▶️Maambukizi ya tumbo au minyoo
▶️Anemia (upungufu wa damu)
▶️Kula vitafunwa vingi kabla ya chakula
▶️Ratiba mbaya ya chakula
▶️Kulazimishwa kula
▶️Mabadiliko ya mazingira au hali ya kisaikolojia
▶️Hatua za ukuaji wa mtoto

Mtoto akikaa muda mrefu bila hamu ya kula anaweza kupata:
▶️Utapiamlo
▶️Kudumaa kwa ukuaji
▶️Kupungua uzito
▶️Kinga ya mwili kupungua
▶️Kuugua mara kwa mara

📞+255677864432

👶
🥗
❤️
🌱
📚

18/03/2026

18/03/2026

UMUHIMU WA CALCIUM KWA VIUNGO NA MIFUPA YA MTOTO
+255677864432

17/03/2026

Afya Ya Mama na Mtoto

16/03/2026

SHUHUDA

13/03/2026

MSAIDIE MTOTO AKUE VYEMA
+255677864432

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255677864432

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Leo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Leo:

Share