Afya leo

Afya leo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya leo, Medical and health, Dar es Salaam.

Nnakusaidia Kufahamu Afya Kukushauri na Tiba (Ndani ya siku 30-90) Karibu
▪️Magoti
▪️Nyonga
▪️Pingili Za Uti Wa Mgongo
▪️Mabega & Shingo
▪️Ganzi na Kuwaka Moto
∆ Matatizo Ya Moyo
∆ Figo
∆ Ini
∆ Uzazi

➕2️⃣5️⃣5️⃣6️⃣7️⃣7️⃣8️⃣6️⃣4️⃣4️⃣3️⃣2️⃣

23/08/2023

kutumia VIRUTUBISHO Maalumu vyenye MADINI Muhimu ndani yake huwezesha Mifupa kupona kwa haraka lakini pia huwezesha mifupa kuimarika zaidi.

Madini ya CALCIUM,ZINC,SELLIUMna
MAGNESIUM: Haya ni Madini yanayohusika na kuimarisha mifupa na kuponya majeraha kwenye mifupa.

Madini ya CHONDROITIN: Haya ni MADINI yanayohusika kuzalisha uteute/kitaalamu synovial fluids kwenye viungo ili kuwezesha mjongeo kwa kutokuwa na hali ya ukavu ambayo inaweza kupelekea kulika kwa cartilage/gegedu.

Madini ya MAGNESIUM: Haya ni MADINI yanayohusika na kuunda cartilage/gegedu ili kutenganisha kati ya mfupa na mfupa ili kuzuia msuguano kati ya Mfupa na Mfupa.

HAYA NDIO MADINI MUHIMU SANA AMBAYO YANAHITAJIKA KWENYE VIUNGO VYETU NA MIFUPA ILI KUWEZESHA KURATIBU SHUGHULI ZOTE ZINAZOFANYWA NA VIUNGO PAMOJA NA MIFUPA.

Note: NI MUHIMU SANA UNAPOKUWA UNAKULA KUPENDELEA KULA VYAKULA VYENYE MADINI HAYO ILI KUENDELEA KUIMARISHA AFYA YA MIFUPA.
Ushauri zaidi CALL/WHATSAPP 0677 864 432.

13/08/2023

kutumia VIRUTUBISHO Maalumu vyenye MADINI Muhimu ndani yake huwezesha Mifupa kupona kwa haraka lakini pia huwezesha mifupa kuimarika zaidi.

Madini ya CALCIUM,ZINC,SELLIUMna
MAGNESIUM: Haya ni Madini yanayohusika na kuimarisha mifupa na kuponya majeraha kwenye mifupa.

Madini ya CHONDROITIN: Haya ni MADINI yanayohusika kuzalisha uteute/kitaalamu synovial fluids kwenye viungo ili kuwezesha mjongeo kwa kutokuwa na hali ya ukavu ambayo inaweza kupelekea kulika kwa cartilage/gegedu.

Madini ya MAGNESIUM: Haya ni MADINI yanayohusika na kuunda cartilage/gegedu ili kutenganisha kati ya mfupa na mfupa ili kuzuia msuguano kati ya Mfupa na Mfupa.

HAYA NDIO MADINI MUHIMU SANA AMBAYO YANAHITAJIKA KWENYE VIUNGO VYETU NA MIFUPA ILI KUWEZESHA KURATIBU SHUGHULI ZOTE ZINAZOFANYWA NA VIUNGO PAMOJA NA MIFUPA.

Note: NI MUHIMU SANA UNAPOKUWA UNAKULA KUPENDELEA KULA VYAKULA VYENYE MADINI HAYO ILI KUENDELEA KUIMARISHA AFYA YA MIFUPA.
Ushauri zaidi CALL/WHATSAPP 0677864432.

02/07/2023

JINSI YA KUPONA MAUMIVU YA VIUNGO NA MIFUPA KUSAGANA BILA UPASUAJI. (0677864432).

ARTHROEXTRA NI MCHANGANYIKO WA MADINI YA CHONDROTIN NA MAGNESIUM KWA WINGI + ZAMINOCAL AMBAYO NI MCHANGANYIKO WA CALCIUM,ZINC,AMINO ACID.
HII NI TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk.
HADI KUFIKIA HATUA YA VIUNO NA MIFUPA KUSAGANA MAANA YAKE NI KWAMBA HUWA KUNA UPOTEVU MKUBWA WA MADINI HAYA KUPOTEA KWA WINGI MWILINI NA KUSABABISHA UPOTEVU WA UTEUTE NA KULIKA KWA GEGEDU.

KWANZA, TUJIELIMISHE KIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO(MOVEMENT)

MTU ANAPOFIKISHA MIAKA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISHA MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,

HII HUSABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA,
ARTHROEXTRA NA ZAMINOCAL PLUS NI ZA ASILI HAZINA KEMIKALI, NA KUTHIBITISHWA NA TMDA,kupata huduma piga (0677864432).

UTANGULIZI – MLOZI/ ALMONDSMlozi/ Almonds kwa lugha ya kigeni ni zao la jamii ya karanga. Linatumika karibu Duniani kote...
12/05/2023

UTANGULIZI – MLOZI/ ALMONDS

Mlozi/ Almonds kwa lugha ya kigeni ni zao la jamii ya karanga. Linatumika karibu Duniani kote.

Mlozi/Almonds zina madini na virutubisho mbalimbali ambavyo huifanya kuwa na faida kubwa.

FAIDA ZA ALMONDS KIAFYA

1.Husaidia Shinikizo la Damu (B.P). Mlozi/Almonds ina mafuta asilia yanayopunguza na kubalansi kiwango cha mafuta (cholestral) kilichozidi na kukuacha huru kwa kukuepushia Shinikizo la damu (B.P) na pia kwa mtu mwenye shinikizo la damu (B.P) hupunguza tatizo na kumfanya awe vizuri kwa kuwa in vitamini E

2.Hupunguza Unene na Uzito. Kutokana na kuwepo kwa vyakula vyenye mafuta na sukari ambavyo huongeza uwezo wa kuzalisha mafuta (cholestrol) iliyombaya . Mlozi/ Almonds zina nyuzinyuzi, protein na mafuta asilia ambayo huthibiti na kupunguza mafuta ya ziada (yaliyozidi)

3.Kuzuia kupata Saratani (Kansa). Mlozi/ Almonds zina virutubisho hasa vitamin E vinazozuia seli za kansa kuenea hii husaidia kwa wale wanaotumia mara kwa mara Mlozi(Almonds), Karanga, Korosho,

4.Huondoa hatari ya mtu kupata Magonjwa ya Moyo. Mlozi/ Almonds zinaboresha Afya ya moyo kwa kuwa na vitamin E, pia kutokuwa na cholestrol hii hufanya Moyo kuwa imara.

5.Huboresha Meno na Mifupa. Mlozi/Almonds zina vitamini na madini k**a calcium, magnesium, manganese, copper, vitamin K, protein, and zinc, ambayo huimarisha mifupa na meno.

6.Ni nzuri kwa Wajawazito na Watoto. Zinavirutubisho na madini yanayohitajika na wajawazito na watoto. pia huongeza maziwa yenye afya nzuri.

7.Huimarisha Kinga ya Mwili. Huongeza uwezo kunyonya au kufyonza madini na virutubisho. Pia huimarisha mmeng’enyo wa chakula hii hufanya mwili kuwa na kinga.

8.Huimarisha Ubongo na uwezo wa
kufikiri. Kutokana na kuwa uwezo wa riboflavin and L-carnitine ndio hufanya uwezo wa ubongo uwe mkubwa na kukuepusha na kupunguza mtindio wa ubongo.

9.Huzuia tatizo la mmeng’enyo k**a Constipation na Bawasiri. Husaidia kuongeza bakteria wazuri wanaoyeyusha chakula ili waweze kufanya mmeng’enyo uwe vizuri. Bila bakteria wa kuyeyusha chakula, chakula hakiwezi kuyeyuka vizuri.

9.Huzuia Kisukari na Kusaidia wenye Kisukari. K**a tulivyoona, mlozi ni matajiri ya asidi ya mafuta, ambayo ina kazi muhimu sana kwa mwili, kwani husawazisha kiwango cha sukari kwenye damu yako na kudhibiti jinsi inavutwa na kutumiwa na mwili. Hii inamaanisha kuwa mlozi inaweza kukusaidia kudhibiti kiwango chako cha sukari ya damu na sukari yako. Kufanya tabia ya kula mlozi kunaweza kuzuia upinzani wa insulini, ambayo inaweza kuonekana wakati mwili uncharacteristicha kuguswa na insulini, ikiruhusu kiwango cha sukari kuongezeka sana. Faida zingine za matumizi ya mlozi ni kupunguza uzito usio na afya ya mwili na mafadhaiko ya oksidi.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255677864432

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya leo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya leo:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram