18/10/2022
MATIBABU YA MIFUPA BILA UPASUAJI
Mifupa ndio inayokupa muonekano na kukusaidia kufanya shughuli zote za nguvu ikiwa inasaidiana na misuli ya nyama. Mifupa hufanya kazi kubwa wakati wa kutembea, kukaa , kusimama, kulima, na kazi mbalimbali, nk.
Kutokana na shughuli mbali mbali tunazofanya misuli hukak**aa na kusababisha kubadilisha mpangilio na muonekano halisia wa mifupa. Hii husababisha mifupa kuinda, kupishana, kusagana, kuvunjika n.k.
MAGONJWA YA MIFUPA
watu wengi nilio wahudumia huwa na matatizo yafuatayo ya viungo:-
1: Maumivu ya kichwa na shingo
2:Maumivu ya kiuno na nyonga
3: Maumivu ya magoti na miguu
4: Maumivu ya mabega, mbavu na mikono
5: Miguu kuwaka moto
6: Miguu kufa ganzi
7: Gauti
8: Arthritis
Wagonjwa baada ya vipimo vya xray, CTScan au MRI huweza kutambulika magonjwa yao na kuishiwa kupatiwa dawa za maumivu ambazo hutuliza tu maumivu bila kumaliza chanzo cha tatizo. Hii husababisha tatizo kuendelea kwa muda mrefu na baadae hulazimika kufanya upasuaji. Hata baada ya upasuaji huwa hakuna matumaini makubwa kwani madhara huwa yamefanyika kwa muda mrefu.
Tunatoa matibabu ya magonjwa ya mifupa kwa dawa nzuri zilizothibitishwa na mamlaka ya dawa na chakula Tanzania na Marekani. Dawa hizi hurekebisha tatizo na kutengeneza kinga ya kuzuia mifupa kusagana na kutengeneza gegedu, ute ute na mifupa kuwa imara. Tunaweza kukusaidia ukarudisha furaha katika maisha yako au ndugu yako unayemuhudumia.
Kwa matibabu, ushauri, maswali na maoni unaweza kuwasiliana nami.
0759490202
Dr Kassim