
19/07/2025
Sifa za Ambazo Ukiwa nazo siyo Rahisi Kushika Mimba
___________________________
👉 K**a Mzunguko wako hubadilika ni Wa badilika bila mpangilio
👉 K**a Unapata Maumivu makali sana wakati wa Hedhi
👉 Una umri wa zaidi ya miaka 30 lakini hujawahi kupata mtoto- Lakini Hedhi zako Hazina mpangilio
👉 K**a Una mtoto mmoja tu na sasa una zaidi ya miaka 35- Lakini Hedhi Yako inavurugika
👉 Una maumivu ya tumbo ya mara kwa mara hasa wakati wa hedhi
👉 K**a Una historia ya PID au uvimbe kwenye kizazi
👉 K**a Hupati ute wa uzazi wenye afya siku za ovulation (Ute Ute wa Ovulation)
👉 Unapata hedhi chache sana au nzito sana kupita kiasi, damu ya mabongembonge na Hedhi zinapishana
Hizi zote ni dalili zinazoashiria kuwa mwili wako haupo kwenye hali nzuri ya kushika mimba kirahisi.
Ili Kutatua changamoto hizi Wasiliana nasi Haraka 0693786875