BLN-HealthCare

BLN-HealthCare Ninawasaidia Wanawake kuondoa changamoto zao za kiafya Kwa Program Maalum

Karibu Nikuhudumie...

Chakula cha Kuimarisha Mifupa na Afya ya Uzazi wa MwanamkeAfya ya mifupa na afya ya uzazi wa mwanamke zina uhusiano wa k...
13/08/2025

Chakula cha Kuimarisha Mifupa na Afya ya Uzazi wa Mwanamke

Afya ya mifupa na afya ya uzazi wa mwanamke zina uhusiano wa karibu sana. Mifupa imara haijengi tu nguvu za mwili, bali pia huathiri moja kwa moja mfumo wa homoni na afya ya viungo vya uzazi. Wanawake hukabili changamoto k**a kupungua kwa wingi wa mifupa (osteoporosis) na mabadiliko ya homoni hasa wakati wa ujauzito, baada ya kujifungua, au kuingia ukomo wa hedhi.

Kuna vyakula ambavyo husaidia kulinda mifupa na pia kusaidia afya ya uzazi:
Cheese – Tajiri wa kalsiamu, muhimu kwa mifupa imara na pia kusaidia misuli ya nyonga kufanya kazi vizuri wakati wa ujauzito na kujifungua.
Broccoli – Ina vitamini K na kalsiamu, vinavyosaidia kuganda kwa damu na kuimarisha mifupa ya mama na mtoto.
Salmon – Chanzo kizuri cha vitamini D na omega-3 ambazo huimarisha homoni na kusaidia afya ya mayai ya uzazi.
Spinach – Hutoa magnesiamu na kalsiamu, husaidia kupunguza maumivu ya hedhi na kulinda mifupa.
Orange – Ina vitamini C kwa ajili ya kuongeza kolajeni, ambayo huimarisha mifupa na tishu za uzazi.
Yogurt – Ina probiotics kwa afya ya uke na utumbo, pamoja na kalsiamu na vitamini D kwa mifupa.
Almonds – Zimejaa magnesiamu na kalsiamu, husaidia utengenezaji wa homoni na kuimarisha mifupa.

✅ Mwanamke anapolinda mifupa yake, anaimarisha pia uwezo wa mwili wake kubeba mimba kwa afya, kuepuka matatizo ya nyonga, na kubaki na nguvu hata baada ya umri wa kuzaa kupita.

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina ...
08/08/2025

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina nyingine):
___________________________
✅ 10. Pata Uchunguzi wa Kitaalamu (Ultrasound)
Uvimbe wa kizazi unatofautiana kwa ukubwa, aina na madhara. Ni muhimu kufanyiwa ultrasound au kipimo kingine cha kitaalamu kuthibitisha aina ya uvimbe.

✅ 9. Tambua Dalili Zinazoambatana Na Uvimbe Huo

Dalili zinaweza kujumuisha:
▫️Hedhi nzito au isiyo ya kawaida
▫️Maumivu ya tumbo au kiuno
▫️Kujaa sana tumbo (bloating)
▫️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▫️Kukojoa mara kwa mara

✅ 8 Epuka Chakula Chenye Mafuta Mengi

Chakula k**a nyama nyekundu, vyakula vya kukaanga, na bidhaa za maziwa zenye mafuta mengi vinaweza kuchochea ukuaji wa uvimbe.

✅ 7. Tumia Lishe Asilia Inayosaidia Homoni

_Lishe bora inaweza kusaidia kudhibiti ukuaji wa uvimbe:_
▫️Mboga za majani (spinach, broccoli, n.k.)
▫️Matunda yenye antioxidants (parachichi, zabibu, tikiti maji)
▫️Mbegu k**a za maboga, chia, linseed

✅ 6. Kuwa Makini na Mzunguko wa Hedhi
Fuatilia mabadiliko yoyote kwenye hedhi yako. Hedhi isiyo ya kawaida inaweza kuwa ishara kuwa uvimbe unakua au unaathiri homoni.

✅ 5. Punguza Msongo wa Mawazo (Stress)
Msongo huathiri homoni za mwili na unaweza kuchangia ukuaji wa uvimbe. Tumia mbinu k**a:

▫️Meditation
▫️Mazoezi ya kawaida
▫️Usingizi wa kutosha

✅ 4. Epuka Matumizi Holela ya Vidonge vya Uzazi wa Mpango
Vidonge hivi vinaweza kuathiri homoni na wakati mwingine kuchangia ukuaji wa uvimbe.

Zungumza na Mtaalamu kabla ya kuvitumia.

✅ 3. Fanya Mazoezi Mara kwa Mara
▫️Mazoezi husaidia kudhibiti uzito na kuboresha usawa wa homoni.

Fanya angalau dakika 30 kwa siku mara 4–5 kwa wiki.

✅ 2. Tumia Package kwa Ushauri wa Mtaalamu
Program Maalum Kwa Package Maalum Ina Uwezo wa Kuondoa Uvimbe Kwenye Uterus,kwenye Mayai na Kurekebisha Hormones na Hatimae Kuondoa Chanzo Cha Uvimbe Kabisa

✅ 1. Fuatilia Maendeleo ya Package na Dose Yako

Unapoanza Tuu Dose Kila baada ya Week Unafuatilia Maendeleo Yako Kupitia Yale unayoyaona Kila Baada ya Matumizi ya Package kwa Ukiongozwa Na Mtaalamu..

📢 JE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU MAYAI?

▫️Tunayo Tiba nzuri ya kumaliza kabisa uvimbe bila ya upasuaji!
Program yetu hufanyika kwa haraka zaidi na ina matokeo ya kuaminika.

Hatua ya kwanza: Wasiliana nasi ili kupata Package Yako kwa wakati sahihi

📌 FAIDA 7 ZA KUJUA SIKU YA OVULATION HATA K**A HUTAKI KUSHIKA MIMBA___________________________👉 Wengi hudhani siku ya ov...
08/08/2025

📌 FAIDA 7 ZA KUJUA SIKU YA OVULATION HATA K**A HUTAKI KUSHIKA MIMBA
___________________________
👉 Wengi hudhani siku ya ovulation ni muhimu tu kwa wanaotafuta mimba. Ukweli ni kwamba, kila mwanamke anapaswa kuelewa ovulation yake – hata k**a hataki kupata mtoto kwa sasa.

🔽 Zifuatazo ni faida 7 za kujua ovulation yako kwa usahihi:

1. ✅ Unajua lini uko kwenye hatari kubwa ya kushika mimba
– Husaidia kuepuka mimba zisizotarajiwa kwa kutumia njia sahihi katika siku hizo.

2. ✅ Unajua lini uko salama kufanya tendo la ndoa bila hofu
– Hii ni msingi wa uzazi wa mpango wa asili (Natural Family Planning).

3. ✅ Huongeza uelewa wa afya yako ya uzazi
– Dalili zako za mwili k**a ute, joto la mwili, maumivu madogo nk. huanza kuwa na maana.

4. ✅ Huwezesha kugundua mapema matatizo ya uzazi
– Kukosa ovulation au ovulation isiyo ya kawaida inaweza kuwa ishara ya tatizo.

5. ✅ Husaidia kugundua mabadiliko ya homoni
– Ovulation huathiri hisia, hamu ya tendo, hali ya ngozi, na hamu ya kula.

6. ✅ Huimarisha uhusiano wa kimapenzi kwa kupanga tendo kwa makubaliano
– Wapenzi huweza kuelewana vizuri zaidi kuhusu siku salama na zisizo salama.

7. ✅ Huongeza nidhamu na upendo kwa mwili wako
– Mwanamke anayefuatilia mzunguko wake huanza kuheshimu mwili wake na afya yake.

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina ...
07/08/2025

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina nyingine):
___________________________
✅ 10. Pata Uchunguzi wa Kitaalamu (Ultrasound)
Uvimbe wa kizazi unatofautiana kwa ukubwa, aina na madhara. Ni muhimu kufanyiwa ultrasound au kipimo kingine cha kitaalamu kuthibitisha aina ya uvimbe.

✅ 9. Tambua Dalili Zinazoambatana Na Uvimbe Huo

Dalili zinaweza kujumuisha:
▫️Hedhi nzito au isiyo ya kawaida
▫️Maumivu ya tumbo au kiuno
▫️Kujaa sana tumbo (bloating)
▫️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▫️Kukojoa mara kwa mara

✅ 8. Epuka Chakula Chenye Mafuta Mengi

Chakula k**a nyama nyekundu, vyakula vya kukaanga, na bidhaa za maziwa zenye mafuta mengi vinaweza kuchochea ukuaji wa uvimbe.

✅ 7. Tumia Lishe Asilia Inayosaidia Homoni

Lishe bora inaweza kusaidia kudhibiti ukuaji wa uvimbe:
▫️Mboga za majani (spinach, broccoli, n.k.)
▫️Matunda yenye antioxidants (parachichi, zabibu, tikiti maji)
▫️Mbegu k**a za maboga, chia, linseed

✅ 6. Kuwa Makini na Mzunguko wa Hedhi
Fuatilia mabadiliko yoyote kwenye hedhi yako. Hedhi isiyo ya kawaida inaweza kuwa ishara kuwa uvimbe unakua au unaathiri homoni.

✅ 5. Punguza Msongo wa Mawazo (Stress)
Msongo huathiri homoni za mwili na unaweza kuchangia ukuaji wa uvimbe. Tumia mbinu k**a:

▫️Meditation
▫️Mazoezi ya kawaida
▫️Usingizi wa kutosha

✅ 4. Epuka Matumizi Holela ya Vidonge vya Uzazi wa Mpango
Vidonge hivi vinaweza kuathiri homoni na wakati mwingine kuchangia ukuaji wa uvimbe.

Zungumza na Mtaalamu kabla ya kuvitumia.

✅ 3. Fanya Mazoezi Mara kwa Mara
▫️Mazoezi husaidia kudhibiti uzito na kuboresha usawa wa homoni.

Fanya angalau dakika 30 kwa siku mara 4–5 kwa wiki.

✅ 2. Tumia Package kwa Ushauri wa Mtaalamu
Program Maalum Kwa Package Maalum Ina Uwezo wa Kuondoa Uvimbe Kwenye Uterus,kwenye Mayai na Kurekebisha Hormones na Hatimae Kuondoa Chanzo Cha Uvimbe Kabisa

✅ 1. Fuatilia Maendeleo ya Package na Dose Yako

Unapoanza Tuu Dose Kila baada ya Week Unafuatilia Maendeleo Yako Kupitia Yale unayoyaona Kila Baada ya Matumizi ya Package kwa Ukiongozwa Na Mtaalamu..

📢 JE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU MAYAI?

▫️Tunayo Tiba nzuri ya kumaliza kabisa uvimbe bila ya upasuaji!
Program yetu hufanyika kwa haraka zaidi na ina matokeo ya kuaminika.

Hatua ya kwanza: Wasiliana nasi ili kupata Package Yako kwa wakati sahihi

Kabla hujasema U.T.I yako haisikii dawa, wala kabla hujaja inbox kunambia kuwa una UTI SUGU na ya muda mrefuAndaa lita m...
06/08/2025

Kabla hujasema U.T.I yako haisikii dawa, wala kabla hujaja inbox kunambia kuwa una UTI SUGU na ya muda mrefu

Andaa lita moja ya maji kwenye sufuria

Chukua majani ya mpera chemsha pamoja na limao (ondoa mbegu na maganda ya limao ili kuepuka dawa yako kuwa chungu)

Chemsha vyote kwa muda wa dakika kadhaa kisha ipua,

Utakunywa kutwa mara tatu, asubuhi mchana na jioni, nusu kikombe cha chai katika kila awamu inatosha

Formula hii haifai kwa mjamzito

Usiache Kumfundisha Mwingine...!

Uvimbe kwenye kizazi, unaojulikana pia k**a fibroids au myomas, ni ukuaji wa nyama laini ndani au juu ya ukuta wa mji wa...
06/08/2025

Uvimbe kwenye kizazi, unaojulikana pia k**a fibroids au myomas, ni ukuaji wa nyama laini ndani au juu ya ukuta wa mji wa mimba (uterus). Mara nyingi, uvimbe huu si wa saratani na hauwezi kusambaa kwa sehemu nyingine za mwili.

❓Aina za Uvimbe Kwenye Kizazi

1. Intramural Fibroids: Hukua ndani ya misuli ya ukuta wa kizazi.

2. Subserosal Fibroids: Hukua nje ya kizazi na inaweza kusababisha maumivu mgongoni au presha tumboni.

3. Submucosal Fibroids: Hukua ndani ya ukuta wa kizazi na inaweza kusababisha hedhi nzito na matatizo ya uzazi.

4. Pedunculated Fibroids: Hushikiliwa na shina dogo na inaweza kuzunguka na kusababisha maumivu makali.

Dalili za Uvimbe Kwenye Kizazi

1.Hedhi nzito na yenye mabonge ya damu

2.Maumivu ya nyonga na mgongo

3.Tumbo kujaa au kuonekana kubwa

4.Maumivu wakati wa tendo la ndoa

5.Kukojoa mara kwa mara

6.Ugumba au matatizo ya kushika mimba

❓Sababu za Uvimbe Kwenye Kizazi

1.Mabadiliko ya homoni: Homoni za estrogen na progesterone huchochea ukuaji wa fibroids.

2.Mambo ya kijenetiki : Historia ya familia inaweza kuongeza hatari ya kupata uvimbe huu.

3.Mtindo wa maisha: Uzito mkubwa, lishe isiyo na virutubisho muhimu, na msongo wa mawazo vinaweza kuongeza hatari.

❓Kabla ya Kufanyiwa Upasuaji

Kabla ya kufikiria upasuaji, ni muhimu kuzingatia njia mbadala za matibabu k**a:
✅ Matibabu ya lishe na virutubisho – Kula vyakula vyenye antioxidants, iron, na fiber inaweza kusaidia kupunguza uvimbe.
✅ Tiba ya homoni – Dawa za kurekebisha homoni zinaweza kusaidia kudhibiti ukuaji wa uvimbe.
✅ Upasuaji mdogo (Myomectomy) – Unaondoa uvimbe bila kuathiri mfuko wa uzazi.
✅ Embolization – Njia ya kufunga mishipa inayosambaza damu kwa uvimbe ili kuukausha.

Madhara ya Kufanyiwa Upasuaji wa Uvimbe Kwenye Kizazi

1. Uwezekano wa kuathiri uzazi – Ikiwa kizazi kitaondolewa (hysterectomy), hautaweza kushika mimba tena.

2. Maumivu na muda mrefu wa kupona – Baadhi ya upasuaji huchukua muda mrefu kupona.

3. Hatari za kuvuja damu nyingi – Hasa ikiwa uvimbe ni mkubwa.

4. Kurejea kwa uvimbe – Ikiwa siyo hysterectomy, kuna uwezekano wa uvimbe kurudi

Kwa Hudumaa ya Ushauri na Matibabu Zaidi Wasiliana Na Dr Baraka 📞 0693786875

Sifa za Ambazo Ukiwa nazo siyo Rahisi Kushika Mimba___________________________👉 K**a Mzunguko wako hubadilika ni Wa badi...
19/07/2025

Sifa za Ambazo Ukiwa nazo siyo Rahisi Kushika Mimba
___________________________
👉 K**a Mzunguko wako hubadilika ni Wa badilika bila mpangilio

👉 K**a Unapata Maumivu makali sana wakati wa Hedhi

👉 Una umri wa zaidi ya miaka 30 lakini hujawahi kupata mtoto- Lakini Hedhi zako Hazina mpangilio

👉 K**a Una mtoto mmoja tu na sasa una zaidi ya miaka 35- Lakini Hedhi Yako inavurugika

👉 Una maumivu ya tumbo ya mara kwa mara hasa wakati wa hedhi

👉 K**a Una historia ya PID au uvimbe kwenye kizazi

👉 K**a Hupati ute wa uzazi wenye afya siku za ovulation (Ute Ute wa Ovulation)

👉 Unapata hedhi chache sana au nzito sana kupita kiasi, damu ya mabongembonge na Hedhi zinapishana

Hizi zote ni dalili zinazoashiria kuwa mwili wako haupo kwenye hali nzuri ya kushika mimba kirahisi.

Ili Kutatua changamoto hizi Wasiliana nasi Haraka 0693786875

_“PID si homa ya kawaida – ni bomu kimya linalosambaratisha afya ya uzazi polepole bila kelele.”_Ukiiona dalili k**a:👆Ma...
06/05/2025

_“PID si homa ya kawaida – ni bomu kimya linalosambaratisha afya ya uzazi polepole bila kelele.”_

Ukiiona dalili k**a:

👆Maumivu ya tumbo la chini,

👆Uchafu usio wa kawaida ukeni,

👆Maumivu wakati wa tendo la ndoa,

👆Homa au uchovu wa mara kwa mara…
halafu ukakaa kimya, unampa PID nafasi ya kuharibu mirija ya uzazi (fallopian tubes), kusababisha mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi, maumivu ya kudumu ya nyonga, na hata utasa.

_Kuchelewa ni hatari – kuchukua hatua mapema ni kujilinda na kujiokoa._

Mwanamke makini husikiliza mwili wake na hachukulii dalili za PID k**a kawaida.

Piga 0693786875 Kupata suluhisho...

Usijali, Hutakufa—Utaishi Kusimulia Matendo Makuu ya Mungu! Ila Utanyooka Kidogo...Kuna wakati unahisi mwili wako unakut...
29/01/2025

Usijali, Hutakufa—Utaishi Kusimulia Matendo Makuu ya Mungu! Ila Utanyooka Kidogo...

Kuna wakati unahisi mwili wako unakutesa—PID inakupa maumivu makali, harufu mbaya inakufanya ujisikie vibaya, na hata confidence yako inaporomoka. Unajiuliza, _“Mbona awali nilikuwa sawa?_ Kwa nini sasa nahangaika hivi?”

Usijali! Changamoto hizi hazikuui, lakini zinakuhitaji kufanya jambo fulani ili upate suluhisho.

✅ Hatua ya Kwanza: Hautakufa!
Hii hali ni ngumu, lakini usiruhusu hofu ikufanye ukate tamaa. Shusha pumzi, relax! Hii ni changamoto k**a nyingine, na suluhisho lipo.

✅ Hatua ya Pili: Tafakari Ulipotoka
_Ulianza kuona dalili zipi kwanza?_ Je, kuna tabia au vyakula ulivyobadilisha? Uliwahi kutumia matibabu ambayo yalikusaidia, lakini ukaacha? Review your past! Mara nyingi tunapopata nafuu, tunasahau kilichotufanya tuwe na afya njema hapo awali.

✅ Hatua ya Tatu: Tafuta Msaada wa Mtaalamu
Ukiona unafanya kila kitu unachojua, lakini hali haibadiliki—tafuta macho ya nje. _Usiwaze uchawi_ 😁, tatizo lako lina suluhisho.

Kuna MTAALAM anayeelewa tatizo lako na anaweza kukuonyesha njia sahihi ya kulitatua. Wengine walipitia hali k**a yako, wakapata msaada, na sasa wanafurahia maisha yao bila PID, bila harufu mbaya, bila maumivu. Na wewe unaweza kuwa mmoja wao!

📌 Kesho nitakupa mfano wa dada aliyekuwa na PID sugu na harufu mbaya kwa miaka mingi, lakini sasa ana furaha na afya bora.

Fanya maamuzi leo, njia ya kutoka ipo—na iko mikononi mwa wale wanaojua suluhisho.

Uwe na siku njema, SUPER WOMAN 💪🔥

Je, Changamoto Zako za Uzazi Zimekuwa Kikwazo Kwa Furaha Yako?✅ Unahangaika Kupata Ujauzito lakini kila Jaribio Limegong...
16/01/2025

Je, Changamoto Zako za Uzazi Zimekuwa Kikwazo Kwa Furaha Yako?

✅ Unahangaika Kupata Ujauzito lakini kila Jaribio Limegonga Mwamba?
✅ Umeshika Mimba lakini Mara kwa Mara Zimeharibika na Hujui Sababu?
✅ Mfumo Wako wa Hedhi Hauko Sawa, Hauuelewi Wala Haujui Kuanza Wapi?
✅ Umechoshwa na Uchafu, Miwasho, na Harufu Mbaya Ukeni Inayokufanya Ukose Kujiamini?
✅ Maumivu Wakati wa Tendo la Ndoa Yamekufanya Usiweze Kufurahia Ndoa Yako?
✅ Maumivu Wakati wa Hedhi Yamekuwa Mazoea, na Hujui Suluhisho?
✅ Unapata Hedhi kwa Siku Chache Sana (Chini ya 3) au Siku Nyingi Zaidi ya 7 na Hujui Utafanyaje?

HATUA NDOGO LEO, MABADILIKO MAKUBWA KESHO!

Usiishie tu kutamani mabadiliko. Suluhisho la changamoto zako liko mikononi mwako. Kupitia Programu Maalum ya Tiba, unaweza kurejesha afya yako ya uzazi, kurudisha tabasamu usoni mwako, na kufurahia maisha kwa uzuri wake wote.

🌿 Kwa nini uchague tiba hii?

🎯Inalenga chanzo cha tatizo, si dalili tu.

🎯Salama na haina kemikali.

🎯Inaimarisha mfumo wa uzazi na kurejesha usawa wa homoni.

👉 Nisihi Leo!
Tuma ujumbe kupitia WhatsApp au piga simu moja kwa moja kupitia +255 693 786 875 kwa maelezo zaidi na ushauri wa kitaalam.

Afya Bora Ni Haki Yako – Usisite Kuchukua Hatua Leo!

Taarifa Mbaya  Kuhusu P.I.D Tanzania (Pelvic Inflammatory Disease):"Maambukizi ya muda mrefu ya PID yanaathiri takriban ...
04/01/2025

Taarifa Mbaya Kuhusu P.I.D Tanzania (Pelvic Inflammatory Disease):

"Maambukizi ya muda mrefu ya PID yanaathiri takriban wanawake milioni 4 kila mwaka, huku wengi wao wakiwa hawajui dalili za awali k**a vile maumivu ya tumbo chini ya kitovu, uchafu wa rangi isiyo ya kawaida, na maumivu wakati wa tendo la ndoa. Kutotibiwa kwa PID Muda Muafaka huongeza hatari ya mirija ya uzazi kuziba, ugumba wa kudumu, mimba zinazotunga nje ya kizazi, na maumivu ya muda mrefu ya nyonga."

Wanawake wanaochelewa kutibu PID (Pelvic Inflammatory Disease) hukabiliwa na athari Mbaya
Ugumba (Infertility): PID isipotibiwa husababisha uharibifu wa mirija ya uzazi (fallopian tubes), hali inayozuia yai kusafiri hadi kwenye mfuko wa uzazi.
Mimba nje ya kizazi (Ectopic Pregnancy): Uharibifu wa mirija ya uzazi huongeza hatari ya mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi, hali ambayo ni hatari kwa maisha ya mama.
Maumivu ya kudumu ya nyonga: Maambukizi ya muda mrefu husababisha makovu katika nyonga, hali inayoweza kusababisha maumivu ya mara kwa mara kwa maisha yote.
Maambukizi ya mara kwa mara: PID isiyotibiwa huongeza hatari ya kupata maambukizi mengine kwa urahisi, hasa ikiwa kinga ya mwili ni dhaifu.
Saratani ya kizazi: Kuchelewa kutibu PID kunaweza kuchangia mabadiliko ya seli na kuongeza hatari ya saratani ya kizazi.
Kifo: Katika hali mbaya, maambukizi ya PID yanaweza kusambaa hadi kwenye damu (sepsis) na kusababisha kifo ikiwa haitatibiwa haraka.

Ni muhimu kwa wanawake wanaoshuku kuwa na PID kutafuta matibabu ya haraka ili kuepuka athari hizi mbaya.

Usicheze Na P.I.D Hatari yake Si ya Kitoto utajuta Baadae piga 0693786875 upate Suluhisho Popote ulipo...

Ni Kweeli wala usithubutu kuacha uvimbe ukakua saana Maana Matokeo yake ni Operation Na baada ya Operation Mara nyingi u...
17/10/2024

Ni Kweeli wala usithubutu kuacha uvimbe ukakua saana Maana Matokeo yake ni Operation

Na baada ya Operation Mara nyingi uvimbe hurudi Tena unajua changamoto ni Nini??

Chanzo Cha tatizo kinakuwa hakijaondolewa...

Nini ufanye??

Upate program Maalum ya tiba yenye uwezo wa Kuondoa Uvimbe na Chanzo chake...

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Opening Hours

Tuesday 08:00 - 12:00
Wednesday 08:00 - 12:00
Thursday 08:00 - 12:00
Sunday 08:00 - 14:00

Telephone

+255693786875

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BLN-HealthCare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to BLN-HealthCare:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram