Mshauri wa afya

Mshauri wa afya Unapo jali afya yako unalinda kesho yako na uwapendao

YAJUE MADHARA YA KUJICHUA (PUNYETO)Inaaminika kuwa watu wengi wanaojichua ni wale ambao hawana wenza (mahusiano ya kimap...
13/06/2022

YAJUE MADHARA YA KUJICHUA (PUNYETO)

Inaaminika kuwa watu wengi wanaojichua ni wale ambao hawana wenza (mahusiano ya kimapenzi) na watumia njia hii ili kujiridhisha kihisia kwa maana wanapo patwaa na hamu ya kushiriki tendo wanatumia punyeto k**a plan B

Matokeo baada ya punyeto ni:-

i) UUME KUWA LEGELEGE
Kwasababu unapojichua unatumia mkono na ni mgumu sana na uume ni mlaini kwa maana umeshikiliwa na mishipa midogo midogo hivyo unapo jichua kwa muda mrefu unadhoofisha utendaji kazi wake na kukosa nguvu hivyo uume utasimama kwa taabu sana

ii) KUWAHI KUFIKA KILELENI
Hii ni kwasababu wakati wa kujichua unatumia muda mfupi sana kwa kawaida mwili una tabia ya kujijengea mazoea na (kujicondition) na wakati wa tendo utakuuwa unatumia muda ule ule wakati ulipo jichua

iii) KUKOSA NGUVU
Waathirika wengi wa punyeto wanakuwa dhaifu sana hasa maeneo ya viungo k**a magoti, mikono na mwili Kwa ujumla

iv) KUKOSA HAMU YA TENDO
Kujichua kunachangia kuvurugika kwa hormones lakini kudhoofika kwa utoaji wa taarifa kutoka kwenye ubongo kwenda kwenye mfumo wa uzazi hali hii inaweza kukufaanya ukashindwa kurudia tendo kabisa ama kuchukua mda mrefu kuweza kuanza tena na mara nyingi mtu anaweza kushiriki tendo bila yeye kujisilia ladha yoyote

v) Maumivu ya nyonga,kiuno na viungo kwa ujumla.

vi) Uwezekano wa kupungua kwa mbegu za kiume na uwezekano wa kupata mtoto ni kutokana na upungufu wa madini katika mfumo wa uzazi hii husababisha mbegu kutoka chache na nyepesi mno

K**a na wewe ni muathirika wa punyeto ni vema zaidi kupata msaada waa haraka kuondokana na madhaifu yake kwa maana mtu alie athirika na punyeto atashindwa kushiriki tendo kwa ufasaha na kupata aibu

Tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno

WhatsApp
+25546489976

ONGEZA UFANISI KATIKA KULA CHAKULA CHA USIKU HUHITAJI KUWA NA HOFU TENA Kila unapo kumbuka kuwa umepungukiwa na nguvu za...
12/06/2022

ONGEZA UFANISI KATIKA KULA CHAKULA CHA USIKU HUHITAJI KUWA NA HOFU TENA

Kila unapo kumbuka kuwa umepungukiwa na nguvu za kiume amani inatoweka kabisa moyoni mwako unajisikia vibaya kiasi kwamba umepatwa na ugonjwa wa ghafla unaishi maisha ya hofu kwa kuwaogopa wanawake najua kuwa hutaki kuaibika siku ya kushiriki tendo unaweza uka kaa na wanaume wenzako lakini ukajiona wewe ni wa tofauti kabisa ukashindwa kujiamini hii yote ni kwasababu umepungukiwa nguvu za kiume

Katika maisha ya kawaida mwanaume akipungukiwa na nguvu za kiume anapatwa na msongo mkubwa wa mawazo kutokana na kufikiri sana juu ya changamoto yake na pengine hajui ni kitu gani atafanya ili aondokane na changamoto yake

By the way hutakiwi kuwa na hofu tena kwa maana suluhisho la tatizo lako limepatikana na uzuri ni kwamba ipo njia salama na ya uhakika ya kutatua changamoto yako ni njia salama inayo mfaa kila mmoja mwenye changamoto ya nguvu za kiume

Unasubiri nini tena
? rudi kitandani kwa kujiamini ukiwa na uhakika wa kupiga show maridadi
Tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno BABA IMARA kwenda namba ya simu

WhatsApp
+255746489976

KWANINI MWENZA WAKO NI MGUMU SANA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NA WEWE ?Wakati mahusiano yanapoanza mwanamke huwa mwepesi san...
10/06/2022

KWANINI MWENZA WAKO NI MGUMU SANA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NA WEWE ?

Wakati mahusiano yanapoanza mwanamke huwa mwepesi sana kushiriki tendo kutokana na furaha aliyonayo na lakini pia anahamasa kubwa sana ya kutaka kukujua vizuri ila kuna wakati unafika anakuwa hataki kabisa kushiriki tendo na wewe na sababu inakuwa ni moja tu

Anakuwa ameshakujua kwa undani zaidi na amesha gundua madhaifu yako kwenye upande wa kushiriki tendo na kumbuka madhaifu yako hayawezi kumpa raha wala kumridhisha kile anacho hitaji (huwezi kumfikisha kileleni) na anajua kuwa huna jipya utaendelea kumtesa kila siku na kibaya ni kwamba mwanamke akishafikia katika hatua hii kuna mambo mawili unatakiwa uyafahamu

1)Kuna uwezekaano mkubwa wa mwenza wako kutoka kwenye mahusiano na kutafuta mtu wa kumridhisha ama kuachana kabisa

2)Atasema madhaifu yako mpaka utahisi anakunyanyasa lakini jua kuwa mwanamke anyekusema madhaifu yako kwa hasira huyo anakupenda na anahitaji ufanye maamuzi ili furaha iendelee na hapa hutakiwi kuchelewa kwani akiona wewe ni mgumu kufanya maamuzi akiamua kuondoka basi jua umempoteza mazima

Tatizo lako unaona kwamba kupungukiwa nguvu za kiume ni swala la kawaida ama halina ufumbuzi au pengine unadharau tu hiyo hali lakini kumbuka ili mahusiano yako yawe na amani ni lazima uwe BABA RIJALI usipofanya hivyo wenzako watafanya unachoshindwa kufanya

Kwa msaada ama ushauri Tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno BABA RIJALI

WhatsApp
0746489976

UTAFANYA NINI ILI FURAHA IWEZE KUREJEA KWENYE MAHUSIANO AMA NDOA YAKO?K**a unakumbuka wakati ule ulipo mpata mwenza wako...
09/06/2022

UTAFANYA NINI ILI FURAHA IWEZE KUREJEA KWENYE MAHUSIANO AMA NDOA YAKO?
K**a unakumbuka wakati ule ulipo mpata mwenza wako mahusiano yenu yalikuwa ya kupendeza mno mkawa hamuachi kuwasiliana na kuchati kila wakati mkawekeana ahadi tele mkiwa mnafuraha na amani na hata akitokea jirani kukueleza mabaya ya mpenzi wako ulikuwa ukimuita mwanga (mchawi) lakini fumba na kufumbua furaha imepotea hakuna maelewano kila siku magombano yasiyoisha. ni kweli kunaweza kukawa na sababu nyingi mno ila ngoja nikufahamishe sababu kuu za mahusiano kuvunjika ama kuwepo kwa vurugu za kila siku

Wakati ulipo anza kushabikia mpira pengine hukuwahi kuhama timu mpaka leo pengine ndio timu inayoshinda mechi nyingi na kukupa furaha zaidi ukasema mimi sihami na pengine ulipoanza kula chakula kwa mama ntilie hukuwahi kula sehemu nyingine kwasababu mama huyo anapika chakula kitamu sana

Lakini mbona mahusiano yako yamekuwa sio ya furaha na amani k**a mwanzoni sasahivi huna mapenzi ya dhati k**a yale uliyokuwanayo kwenye timu ya mpira sitaki kuamini kwamba timu ya mpira ni muhimu kuliko mwenza wako ama mama ntilie ni mtu bora kuliko mwenza wako Swali ni je mbona sasahivi mwenza wako hakupendi k**a mwanzo tatizo ni nini ?

Nilipo jiuliza maswali mwenyewe nikawaza k**a je unatabia ya kumpiga na kumnyanyasa NO je maisha ni magumu kiasi kwamba amechoka shida zako? ila mbona kuna Fukara wengi wameoa na wanaishi maisha ya furaha Je amechoka na wewe kwenye tendo la ndoa Lakini atakuwa amechoka nini ? amekuzoea sana kiasi kwamba hakuna jipya kitandani lakini kwa ninavyojua mimi tendo la ndoa ni starehe na hakuna anaekataa starehe dunia nzima hakuna asiyependa kufurahi ama kuridhishwa na starehe husika.

Swali ni je mwenza wako anafurahia starehe yako ama kuna shida ambayo ameshindwa kuivumilia kwenye starehe ya kitandani wewe unadhani itakuwa ni shida gani hiyo kitandani unadhani kuna kitu gani hukifanyi kwa usahihi
k**a umeshapata jibu ni nini tatizo tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neni BABA RIJALI

WhatsApp
0746489976

BADO UNA WASIWASI WAKATI WA KULALA NA MWENZA WAKO ??K**a unajua ni kitu gani kinakupa hofu ni vema ukatafuta suluhisho m...
07/06/2022

BADO UNA WASIWASI WAKATI WA KULALA NA MWENZA WAKO ??

K**a unajua ni kitu gani kinakupa hofu ni vema ukatafuta suluhisho mapema ili kutatua changamoto zako kumbuka kuwa na hofu ya kushiriki tendo kutakufanya ushiriki kwa kuto jiamini na kuogopa sana maana akili yako haipo bali inafikiri namna utakavyofanya ili kuepuka aibu lakini

kumbuka k**a tayari umesha athirika na changamoto ya nguvu za kiume hakuna namna ya kufanya zaidi ya kupata ufumbuzi mapema kwani kadri unavyozidi kuiacha changamoto yako ndivyo inavyo kuathiri zaidi na kuwa kubwa hivyo utaendelea kuwa dhaifu kitandani siku hadi siku na kumbuka wakati huo mwenza wako hawezi kuvumilia tena hiyo hali hivyo unajiweka kwenye hatari ya kuvuruga ndoa / mahusiano yako na k**a sio kuachana baasi kumbuka kuna mwanaume mwenzako shupavu anakusaidia kumridhisha mwenza wako kitu cha kuzingatia ni kufanya maamuzi leo kabla mabo hayaja haribika

Kwa msaada ama ushauri tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno BABA RIJALI

Whatsapp
0744231859

IMALISHA AFYA YA UZAZI, MAZUNGUKO WA DAMU, NGUVU ZA KIUME & STAMINA, MOYO NA MISULI  KWA KUTUMIAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Juisi ya ALOE VERA...
06/06/2022

IMALISHA AFYA YA UZAZI, MAZUNGUKO WA DAMU, NGUVU ZA KIUME & STAMINA, MOYO NA MISULI KWA KUTUMIAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Juisi ya ALOE VERA GEL, ARGI PLUS na MULTI - MACA.

Virutubisho vilivyotokana na Aloe Vera, Matunda ya Zabibu, Komamanga, Berries na mzizi wa Maca. Inatupatia Vitamin A, B, C, D, E & K na Madini ya Zinc, Selenium, Calcium, Iron, Copper, Magnesium, Sodium, Amino na Folic Acid.

FAIDA ZAKE KIAFYA

1.Husaidia kusafisha mfumo wa mwili kwa kutoa sumu, taka na mafuta mabaya mwilini.

2. Husaidia kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

3. Husaidia uzalishaji na ongezeko la idadi ya mbegu za kiume mwilini.

4. Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi, kuimalisha afya ya Tezi Dume na Kibofu cha mkojo.

5. Hupunguza na kuzuia kutanuka kwa Tezi na uwezekano wa kupata Saratani ( Cancer ) ya Tezi Dume.

6. Huboresha na kuimalisha afya ya Moyo, Ubongo, Misuli, Mifupa na Mzunguko wa damu.

7. Hupunguza maumivu ya mwili, Uchovu na kuupa mwili Nguvu na Stamina kwa muda mrefu.

8. Hurekebisha mfumo wa hormone na hupunguza kasi ya uzee.

9.husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni n,k

Kwa ushauri na kupata elimu bure
+255744231859

NINI KINASABABISHA KORODANI (Pumbu) KUWA NDOGO Ukubwa wa korodani unatofautiana kati ya mtu na mtu, kwahivo u unatakiwa ...
04/06/2022

NINI KINASABABISHA KORODANI (Pumbu) KUWA NDOGO

Ukubwa wa korodani unatofautiana kati ya mtu na mtu, kwahivo u unatakiwa kujua kwamba kutofautiana kwa maumbile siyo tatizo. Kuwa na korodani ndogo kwa kwa wanaume wengi inaweza isiwe na athari yoyote katika uzazi. Hapa chini kuna maelezo ya mazingira yanayopelekea kuwa na pumbu ndogo

Hypogonadism
Hypogonadism ni hali ya mwili kutozalisha homoni ya kutosha ya testosterone. Kwa ufahamu tu ni kwamba homoni hii ndio inahusika na ukuaji wa maumbile ya uzazi kwa mwanaume ikiwemo ukubwa wa uume, korodani, uzalishaji wa mbegu na hata matamanio ya tendo la ndoa.

Hypogonadism inaweza kusababishwa na korodani kutopokea taarifa kutoka kwenye ubongo ili kuzalisha homoni ya kutosha ya testosterone na mbegu. Hali hii unaweza kuzaliwa nayo ama ikasababishwa na

maambukizi kwenye via vya uzazi
kujikunja kwa mirija ya kwenye korodani(testicular torsion) na
matumizi ya dawa bila ushauri wa daktari
Varicocele
Changamoto ingine inayosababisha uwe na mapumbu madogo inaitwa varicocele. Varicocele ni kitendo cha kuvimba kwa mishipa midogo ya damu kwenye mfuko wa korodani. Kuvimba kwa mishipa hii kunafanya korodani kutopokea damu ya kutosha na hivo kupungua ukubwa wake.

Undescended te**es
Hili ni tatizo linalojitokeza mtoto akiwa mdogo sana kwa korodani zake kutoshuka chini k**a inavotakiwa. Tatizo hili linaweza kutibika hospitali kwa upasuaji.

Lini unatakiwa kumwona Daktari
Ni muhimu kuzungumza na daktari iwapo unajiona korodani zako hazipo sawa. Daktari atakuchunguza na kuona k**a kuna tatizo lolote la kiafya lililopelekea pumbu zako ziwe ndogo. Usisikilize watu wa kijiweni maana watakupotosha sana. Kuongea na daktari itakupa amani ya moyo na majibu ya uhakika juu ya tatizo lako.

Kwa msaada zaidi tuma ujumbe Whatsapp Kwa kuandika neno KORODANI

WhatsApp
+255744231859

NI MASWALI GANI  UNAJIULIZA UKISHAGUNDUA KUWA UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Kwa kiasi kikubwa watu huchukulia kawaida p...
03/06/2022

NI MASWALI GANI UNAJIULIZA UKISHAGUNDUA KUWA UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa kiasi kikubwa watu huchukulia kawaida pale wanapo patwa na changamoto ya nguvu za kiume lakini kadri siku zinavyozidi kwenda changamoto inazidi kuwa kubwa na hapo ndipo huanza kuchukuwa maamuzi ila wengi wao wanachukua maamuzi ambayo sio sahihi kutokana na kutopata elimu juu ya changamoto zao na namna ya kuweza kuzitatua na huwa wana maswali mengi sana huwa wanajiuliza

SIKU YA KUSHIRIKI TENDO UTAFANYA NINI ILI USIPATE AIBU

Hili ndio swali la kwanza ambalo hata wewe unajiuliza na pengine bado hujapata majibu ni lipi suluhisho na unaweza kuwa tayari kuupokea ushauri wowote ule ili mradi usipate aibu siku ya kushiriki tendo na mwenza wako na ubaya ni kwamba huto jali kuwa anaekushauri ni mtu sahihi (ni mtaalamu wa afya) ama sio na hapo ndipo unaongeza adhabu nyingine

K**A UKISHINDWA KUMRIDHISHA ATASHINDWA KUVUMILIA NA ATAKUACHA AMA KUKUSALITI

Ni kweli unawaza sana siku mwenza wako akijua kuwa hivyo ndivyo ulivyo atashindwa kukuvumilia kwasababu hisia ni k**a njaa k**a ukishindwa kumshibisha atakwenda kutafuta malisho pahala pengine haha

K**A AKIKUACHA ITAKUWA NI RAHISI KUPATA MWINGINE ATAKAE KUVUMILIA ?

Hapo ni lazima kichwa kikuume k**a nilivyo kueleza mwanzo kuwa hisia ni k**a njaa je utampata mwingine ambae atavumilia njaa bila kushibishwa baada ya wewe kuachwa ? jibu nakupa ili usihangaike kufanya uchunguzi kwa maana unaweza ukasema huenda huyu hayupo sawa ngoja nijaribu mwingine haha itakuwa ni sawa na mashine ya mpunga usagie kokoto usijaribu kufanya hicho kitu kwa maana k**a wanawake wengi wakijua nadhaifu yako itakuwa ni rahisi sana wewe kupata aibu mtaani kwako watu watakuchekaa na pengine utapewa majina mabaya ambayo hukuwahi kuyategemea

UTAFANYA NINI ILI UONDOKANE NA FEDHEHA YAKO

Waswahili wanasema kila lenye mwanzo halikosi mwisho By the way hivi unajua kwamba ipo njia sahihi ya kuondokana na changamoto yako ? usijiulize maswali tena unachotakiwa kufanya ni kutuma Ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno AFYA BORA kwenda namba

Whatsapp
0744231859

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI JANGA KUBWA AMBALO LINAWAKERA WATU WENGI.BASI LEO TUANGALIE NN CHANZO NA HASARA ZAKEFUATAN...
01/06/2022

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI JANGA KUBWA AMBALO LINAWAKERA WATU WENGI.
BASI LEO TUANGALIE NN CHANZO NA HASARA ZAKE
FUATANA NAMI

Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.

Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi k**a vile kuvunjika kwa mahusiano na hata
ndoa.

Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.

CHANZO CHA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa ufupi sana, mambo yafuatayo ndio vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume:-

i. Upigaji punyeto wa muda mrefu.
ii. Msongo wa mawazo.
iii. Ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu (pressure).
iv. Kupooza kwa mwili.
v. Kuugua ugonjwa wa ngiri.
vi. Kuugua chango la kiume.
vii. Ulevi uliokithiri.
viii. Kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa.
ix. Woga wa kufanya tendo la ndoa.
x. Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma.
xi. Ulaji mbovu wa vyakula haswa vyenye mafuta mengi/kupita kiasi.
xii. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa.

JE KUNA ATHARI GANI ZA KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME / UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kutokuwa na nguvu za kiume huleta madhara na athari nyingi sana kwa muhusika. Baadhi ya athari hizo ni pamoja na:-

1. Kuvunjika kwa mahusiano ya kimapenzi.
2. Kuvunjika kwa ndoa.
3. Kujiua.
4. Ulevi kupita kiasi.

KUTOKANA NA MADHARA /HASARA ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME WATU WENGI WAMEKUWA WAKIHANGAIKA HUKU NA KULE KUTAFUTA SULUHISHO LA TATIZO HILI BILA MAFANIKIO.

USHAURI WANGU NI HUU TUMIA KIRUTUBISHO HIKI KIITWACHO
ARGI +
AMBACHO HAKINA MADHARA YOYOTE LAKINI INAKUPA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAREJESHA TENA UWEZO WAKO KWA 100%

Tuma ujumbe neno BABA RIJALI kwenda WhatsApp number 0744231859 au Piga Simu usaidiwe Mapema

Address

Mwananyamara
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mshauri wa afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mshauri wa afya:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram