Najali AFYA Yangu

Najali AFYA Yangu Dr. Kimboka healthy and nutritional clinic inakupatia ushauri juu ya afya yako na njia stahiki za ku
(1)

VYAKULA VYENYE KUONGEZA MAZIWA KWA MAMA ANAYENYONYESHA.Ikiwa tatizo hili la kukutoa maziwa ya kutosha wakati wa kunyonye...
23/11/2024

VYAKULA VYENYE KUONGEZA MAZIWA KWA MAMA ANAYENYONYESHA.

Ikiwa tatizo hili la kukutoa maziwa ya kutosha wakati wa kunyonyesha halitokani na tatizo la ugonjwa k**a vile mama kuwa na uvimbe au jipu katika t**i
Mama tunamshauri kutumia mojawapo ya vyakula vifuatavyo:

1.TENDE
Kwa kula tende pekee au tende na maziwa au Juisi ya tende yenye maziwa .
Kwa wastani robo kilo ya tende kwa siku

2.PILIPILI MANGA
Kutumia pilipili manga kwa kuiweka kwenye uji au juisi au kuichemsha yenyewe na kuinywa k**a chai

3.MBEGU ZA MABOGA
Kula mbegu za maboga na boga lake au tafuna mbegu za maboga zilizokaangwa Mara kwa Mara kunasaidia uzalishaji wa maziwa kwa wingi

4.SUPU YA TAA/PWEZA
Kunywa supu ya samaki aina ya taa/pweza nako kunasaidia kuongeza uzalishaji wa maziwa kwa wingi kwa mama anayenyonyesha

SUPU YA NG'OMBE,MBUZI NA KONDOO
Mwanamama anapotoka kujifungua ni vizuri apate supu kila asubuhi na ni vizuri zaidi akapata supu ya
kongoro,nyama ya ngombe au supu ya kondoo kwani
supu za namna hii ni tiba nzuri kwa mama mwenye
matatizo ya kutopata maziwa ya kutosha kwa ajili ya mtoto wake na pia hurejesha nguvu zilizopotea wakati wa kujifungua.

NDIZI ZA KUCHEMSHA
Pia ndizi za kuchemsha ni nzuri sana kwa kuondoa hili tatizo la kukosa maziwa kwamama mjamzito,zichemshwe vya kutosha mpaka ziwe laini na hata mtori pia unafaa katika kutibu hali hiyo.

MAJI
Mzazi anapaswa awe ni mwenye kujitahidi kunywa maji ya kutosha kila siku kwani nayo humsaidia kuongeza maziwa kwa ajili ya mwanae mpya.

UJI WA PILIPILI MTAMA/MANGA
Aidha mzazi anashauriuwa anywe uji wenye pilipili mtama,kwani pilipili mtama zina faida mbili kwa mzazi.
1.huondoa haraka makovu yaliyotokana na msuguano wa mtoto tumboni.
2.husaidia ongezeko la maziwa ya mama ili yapatikane ya kutosha kuweza kumnyonyesha mwanae na akapata afya njema
MBOGA MBOGA
K**a tunavyo juwa vyakula vya mboga mboga vinaumuhimu mkubwa sana katika kuchangia jambo hili hivyo mama mzazi anapaswa kutumia kwa bidii sana.

Kwa ushauri, elimu zaidi na matibabu unaweza kuwasiliana nasi kupitia njia ya WhatsApp no. +255767202621, .kimbokatz

SABABU ZA KUKOSA MAZIWA KWA MAMA ANAYENYONYESHA.A). MATUMIZI YA DAWA ZA UZAZI WA MPANGO:Wanawake wengi hutumia njia hizi...
04/09/2023

SABABU ZA KUKOSA MAZIWA KWA MAMA ANAYENYONYESHA.

A). MATUMIZI YA DAWA ZA UZAZI WA MPANGO:
Wanawake wengi hutumia njia hizi baada ya kujifungua bila shida yeyote lakini kuna baadhi yao njia hizi huingilia mfumo wao wa kutoa maziwa hasa zikitumika kabla mtoto hajafikisha miezi sita. Hii husababishwa na kuongezeka kwa homoni za uzazi yaani progesterone na oestrogen ambazo hushusha homoni ya kutoa maziwa yaani prolactin hormone. K**a umekumbwa na hali hii basi acha mara moja njia hiyo na utumie njia zingine k**a kalenda.

B. UPASUAJI WA MATITI:
K**a mama ameshawahi kupasuliwa mat**i yake kwa shida yeyote labda majipu, ajari, upasuaji wa kuongeza au kupunguza mat**i basi kwa namna moja au nyingine hii inaweza kuharibu mfumo wake wa mat**i kupitisha maziwa na kujikuta hatoi maziwa ya kutosha

C). MATUMIZI YA DAWA WAKATI WA KUNYONYESHA:
Kuna baadhi ya dawa ni hatari kwani hushusha kiwango cha maziwa. Mfano dawa za k**a bromocriptine, methergine, pseudoephredine

D). KUTONYONYESHA WAKATI WA USIKU
Wakati wa usiku homoni inayohusika na kutengeneza maziwa yaani prolactin hutengenezwa kwa kiwango cha juu sana lakini pia ili mtoto alale usiku mzima bila kusumbua lazima anyonye vizuri usiku. Kutonyonyesha usiku hupunguza homoni hii na kumfanya mama atoe maziwa kidogo sana siku inayofuata.

E). KUTONYONYESHA KAWAIDA:
Mama anatakiwa anyonyeshe angalau mara kumi ndani ya masaa 24, sasa mwili hutengeneza maziwa unapohisi mat**i hayana kitu na k**a mwili ukihisi mat**i yana maziwa muda mwingi basi unajua maziwa hayahitajiki sana na kuanza kupunguza kiasi cha kutoa maziwa, pia Hali ya mtoto kunyonya mara kwa mara kunachoche hormone ya kuzalisha maziwa (Prolactin hormones) na maziwa yanatoka kwa wingi zaidi. Hivyo kwa kujiwekea tabia ya konyonyesha mara kwa mara unaweza kujikuta hauna tena changamoto ya kukosa maziwa.

F). KUTOKULA VIZURI:
Maziwa anayotoa mama yanatengenezwa na chakula anachokula, kipindi hiki mama anatakiwa ale mlo kamili yaani matunda, protini ya kutosha, wanga kiasi, mboga za majan na maji mengi na ikiwezekana atumie virutubisho vinavyotengenezwa maalumu kwa ajili ya kuongeza maziwa.

G). MATUMIZI YA VYAKULA MBADALA:
Miezi sita baada ya kuzaliwa mtoto anatakiwa anyonye tu bila kupewa kitu chochote, kuna watu hua wanawapa uji wenyewe wanasema (kauji chembamba🤣) au maji wakidai eti watoto walisikia kiu sio kweli. Sasa kuanza kumchanganyia maziwa ya ngombe na yale ya dukani kutamfanya anyonye kidogo kwako na mwili utapunguza kiasi cha maziwa yako...hivyo siku ukikosa mbadala utajikuta huna maziwa kabisa.

N.B.Kwa mahitaji ya kiritubisho lishe maalumu cha kuchochea maziwa kutoka kwa wingi wasiliana nami.
0767202621kimbokatz

  moja kati ya vitu wasivyovipenda wanawake wakati wa s*x:-❌Mwanaume kumaliza s*x na kuondoka . Unapomaliza kus*x na kui...
30/08/2023

moja kati ya vitu wasivyovipenda wanawake wakati wa s*x:-

❌Mwanaume kumaliza s*x na kuondoka . Unapomaliza kus*x na kuinuka unaondoka mwanamke anaumia, anahisi kukatiliwa vibaya kihisia, anaweza asije tena, mwanamke anahitaji angalau dk 20 za kuongea nawe, wako hivyo!.

❌Usifike kitandani na kuanza s*x. Mwanamke anahitaji maongezi kiasi fulani ili akili yake iwe active kwaajili ya tendo, unapofika na kuanza tendo anajisikia kuvamiwa.

❌Kupizi (Kukojoa) na kuchomoa papo hapo. Wanawake wengi hutamani mwanaume unapomaliza usichomoe haraka, uendeleze kwa dk kadhaa 2 au 3 mpaka uume usinyae wenyewe, kwao inawapa raha fulani, ukichomoa haraka unamkosesha kitu fulani huwa unawasadia kufika kileleni pia.

❌Usimwage nje.
Baadhi ya wanawake bila kukojolewa ndani hawajapata raha ya tendo, hao mara nyingi huwa makini na kalenda zao, ukipiga show ukamwaga nje anaumia sana, sometimes wengine kumwagiwa ndani huwasaidia kufika kileleni haraka.

❌Epuka matumizi ya simu kitandani. Mwanaume kutumia simu wakati mmekubaliana mpo chumbani kwaajili ya s*x, mwanamke anakwazika, unamfanya ahisi thamani yake akiwa uchi ipo chini kuliko simu yako, unamuumiza kutojaliwa.
Kutozisoma nyakati zake kihisia. Kuna wakati atakuonyesha kwa matendo kuwa yupo tayari kwaajili ya s*x, halafu wewe unapuuza, unakuwa k**a unataka mpaka aseme kabisa "Njoo unit*mb*" inamkata sana.jiongeze (table manners usicheze na simu wakati wa kula🤗😅).

❌Kutoshukuru au kutoonyesha.
Appreciation. Mwanaume unamaliza k**a bubu, hakuna "Asante" au hata kusema umefeel vipi au kwa kiasi gani umekuwa impressed na s*x yake, anaweza kusema Asante yeye, basi na wewe sema kitu kuonesha hata umefurahia tendo(rate/recommend/feedback) ajue alichofanya.

Kuna makundi ya damu yafuatayo A,B,AB na OUnapopimwa kundi la damu wanaweza kubainisha k**a una Rh Factor au hauna,Rh-fa...
24/08/2023

Kuna makundi ya damu yafuatayo A,B,AB na O

Unapopimwa kundi la damu wanaweza kubainisha k**a una Rh Factor au hauna,

Rh-factor ni protein ambayo inakutwa katika baadhi ya Seli hai nyekundu za damu, na sio kila mtu anayo hii protein katika cell zake.

Waliyonayo ndo wanaitwa Positive na wasiyonayo ni negative, so ukienda hospital utaambiwa ni either A+/A- or B+/B-, AB+/AB- au O+/O-

MUHIMU: Ikitokea mama ni mjamzito na ana blood group yenye NEGATIVE, baba wa Mtoto akawa na POSITIVE,

Mara nyingi inategemewa mtoto atakuwa na POSITIVE aliyoirithi kwa baba yake, so kinachotokea ni kwamba kwa ujauzito wa kwanza tatizo linaweza lisionekane kwasababu damu ya mama na mtoto havichanganyikani,

Lakini wakati wa kujifungua damu inaweza kumix hivyo mwili wa mama utatambua hiyo RH-PROTEIN ambayo ipo kwa mtoto hivyo mwili wake huanza kuzalisha kinga mwili ikijua kwamba hicho ni kitu kigeni kinachotakiwa kushambuliwa

So, kwa mimba ya pili sasa mama mwili wake unakuwa tayari umetengeneza kinga mwili kwa ajili ya kupambana na RH positive yoyote itakayoingia hivyo cells za mtoto zitashambuliwa na kingamwili za mama k**a hatua sitahiki hazitachukuliwa

HATUA STAHIKI: Mama k**a ni negative na baba ni positive, ujauzito unapofikisha week ya 28 Mama anatakiwa kuchoma chanjo ya kuzuia uzalishaji wa kingamwili za kushambulia Cells za mtoto iitwayo ANT-D na ya pili ni ndani ya masaa 72 baada ya mama kujifungua,

K**a mama una high risk pregnancy au unajua kabisa una hili group la damu lenye negative na baba ni positive jitahidi sana uanze clinic mapema mnoooooo

NB:KAMA BABA NA MAMA NI NEGATIVE WOTE HAINA SHIDA BUT MPIME KUWA NA UHAKIKA ZAIDI NDO MAANA CLINIC YA KWANZA BABA ANASISITIZWA KUWEPO.kimbokatz
+255767202621

Maziwa si dawa ya vidonda vya tumbo. Huleta unafuu kwa muda tu na baada ya hapo yanasababisha tumbo kutengeneza acid nyi...
07/08/2023

Maziwa si dawa ya vidonda vya tumbo. Huleta unafuu kwa muda tu na baada ya hapo yanasababisha tumbo kutengeneza acid nyingi na kukuumiza zaidi ikiwemo vidonda kuchimbika zaidi na hata kutoboka. Hivyo, ukiwa na vidonda vya tumbo, usinywe maziwa ya aina yoyote.kimbokatz

VIASHIRIA VYA  MTOTO MCHANGA KUA NA NJAASiku chache baada ya kujifungua mwili wako utaanza kutoa maziwa ya awali(colostr...
02/08/2023

VIASHIRIA VYA MTOTO MCHANGA KUA NA NJAA

Siku chache baada ya kujifungua mwili wako utaanza kutoa maziwa ya awali(colostrum).
Kwa baaadhi ya wanawake maziwa haya huwa mazito na kuwa na rangi ya njano, Kwa wengine ni mepesi na huwa ya maji maji.

Maziwa haya ya awali yana kazi kubwa ya kulinda mwili, hivyo ni muhimu sana kwa mtoto tofauti na maziwa mengine ambayo si ya mama. Maziwa haya hutiririka taratibu na hii humsaidia mtoto kujifunza jinsi ya kunyonya huku akipumua na kumeza maziwa.

Baadaya siku 3 hadi 4 za kunyonyesha, mat**i yatazidi kuwa magumu kadri maziwa ya awali yanavyozidi kubadilika na kuwa maziwa ya kawaida.
Maziwa hayo yatabadilika ndani ya siku 10 hadi 14 za mwanzo na kuwa maziwa kamili.

Katika kipindi hiki kiwango cha maziwa kitaongezeka ili kukidhi mahitaji ya mwanao.
Kiwango cha maziwa hutegemeana na jinsi unavyochochewa kwa jinsi unavyonyonyesha.Hii inamaanisha kwamba mwanao anaponyonya maziwa mengi, mwili pia hutoa maziwa mengi zaidi.

Wanawake waliojifungua kwa njia ya operesheni, inaweza kuchukua muda mrefu maziwa yao kuongezeka.
Wakati mwingine bila sababu yoyote inaweza kuchukua siku chache maziwa kuanza kutoka. Hili ni jambo la kawaida kabisa na hutokea pasipo sababu yoyote lakini hakikisha unamwambia daktari kuhusiana na suala hili.

Ingawa watoto hawatahitaji chochote zaidi ya maziwa ya awali(colostrums) siku chache baada ya kuzaliwa daktari atakushauri kuhakikisha kwamba mtoto anapata maziwa ya kutosha ikiwa na pamoja na kumuweka mtoto katika mat**i kila baada ya masaa mawili hadi matatu.

VIFUATAVYO NI VIASHIRIA KUA MTOTO ANA NJAA NA ANAHITAJI KUNYONYA

- Kugeuza kichwa huku na huko.
- kuachama.
- Kuweka mikono mdomoni.
- Kukunja mdomo k**a anayetaka.
- Kunyonya.
- Kujinyoosha.
- Kujisogeza karibu na mat**i mama.

Prepared by .kimbokatz
For more help Contact with us :-
(+255) 0767202621 (Watsup/call/sms) Doc.kimboka 🤳👨🏻‍⚕️

Ukiwa umependa makala hii na ungepanda kupata elimu sahihi ya afya kila siku, usihaau kulike/follow ukurasa Wetu ili kutopitwa na makala zetu pendwa za afya.

Mambo 5 Ya Ajabu Usiyoyafahamu Kuhusu Uke Wako1⃣ Uke una mfumo unaojisafisha wenyewe kwa ndani na ni sehemu moja ya mwil...
30/07/2023

Mambo 5 Ya Ajabu Usiyoyafahamu Kuhusu Uke Wako

1⃣ Uke una mfumo unaojisafisha wenyewe kwa ndani na ni sehemu moja ya mwili wako ambayo ni safi kuliko maelezo, safi kuliko hata midomo yetu.

2⃣ Uke una Mfumo unaosafisha damu ya hedhi na shahawa wenyewe, hauhijaji
msaada wa aina yeyote

3⃣ Uke wenye afya una bacteria, lactobacilli, ambao ni kawaida kuwepo humo. Hawa hupambana na vijidudu visivyopaswa kuwepo huko kulinda uke
na mfumo wa uzazi kwa ujumla.

4⃣ Uke wenye afya sio mkavu, muda wote una ute usiokua na rangi (k**a maji), mwepesi na unaonata. Uzito, wingi na mnato wa ute huu hutegemea na mabadiliko ya mwili wa mwanamke. (Jifunze kutofautisha ili ujue muda inapaswa kumuona daktari)

5⃣ Uke wenye afya una harufu, ambayo ni nzuri, murua na isiyokera
K**a harufu itakua kali na inayokera (k**a yai bovu) basi uke wako
hauko katika afya njema na unahitaji kumuona daktari.

Uke wako Ukutunze

kwa kufuatilia ukurasa wetu wa Afya, share ujumbe huu uwafikie watu wengi.

(+255) 0767202621 (whatsapp) for .kimbokatz 🤳

“JIFUNZE na Chukua Hatua Juu Ya Afya Yako”.

Unatumia dawa ipi kwa sasa kurekebisha homoni na mpangilio wa hedhi.Wakati ukiendelea na tiba zako namna homework ya kuz...
24/04/2023

Unatumia dawa ipi kwa sasa kurekebisha homoni na mpangilio wa hedhi.

Wakati ukiendelea na tiba zako namna homework ya kuzingatia kila siku walau kwa mwezi mmoja kisha uje na mrejesho

Haijalishi unaishi mazingira yapi au uchumi wako ukoje, jitahidi kuweka ulazima wa Kula parachichi zima 1 kila siku k**a huwezi walau kipande kimoja cha parachichi.

Tumia vyakula vya wanga kwa kiwango kidogo, vyakula k**a Mahindi, Ugali na Dona, Viazi, Mihogo, Ndizi, Tambi n.k, ila ongeza wingi wa mboga za majani na matunda.

Epuka kahawa, chai ya rangi, soda nyeusi na vinywaji vingine vyote vyenye kiwango kingi cha kafeina ndani yake

Relax na jipe tumaini jema, punguza msongo wa mawazo (stress) na hakikisha unapata usingizi wa kutosha kila siku (masaa walau 8-10) k**a hupati usingizi jitahidi kunywa glass ya maziwa fresh yaliyotiwa mdalasini na vijiko kadhaa vya asali mbichi, inaleta usingizi kuliko kumeza pilitoni

Usitumie vidonge vya uzazi wa mpango k**a unahitaji kuweka homoni zako sawa

Kuna vyakula tunafosi kuvitumia ila havina ulazima wowote wala havina faida mwilini, vyakula k**a chipsi, chapati, vinywaji k**a soda vinavuruga sana homoni na uzito wa mwili.... Usishindane na utandawazi kula kiasi kawaida uijenge Afya yako

Kunywa chai yako yenye tangawizi, mdalasini, iliki na mchaichai

K**a utaweza kupata Unga Wa Mbegu Ya Parachichi utumie.
Weka kijiko kimoja cha unga wa mbegu ya parachichi kwenye kikombe cha chai, unasaidia kuondoa tindikali mwilini kwa ndugu zangu ambao mmetumia au mnatumia sana uzazi wa mpango, sindano, p2, vidonge n.k

Weka nia, chukua hatua ndani ya wiki 3 hadi 4 uje na mrejesho wako

Anyway,Nambie kwa sasa unapitia changamoto gani kati ya hizi, nikusaidie kuzitatua;

• Fangasi , U.T.I au P.I.D sugu...au Mirija ya Uzazi imeziba au kujaa maji...!

• Una uvimbe kwenye vifuko vya mayai au kwenye fuko la uzazi yaani FIBROIDS or OVARIAN CYSTS...!

• Hedhi yako haina mpangilio maalumu au umekuwa ukitafuta ujauzito bila mafanikio.Huna hisia wala huna ute wakati wa tendo / siku za hatari.

Niandikie changamoto yako ya uzazi kwenda WhatsApp namba 0767202621, kupata msaada zaidi. .kimbokatz

Faida za kutumia mayai kwenye kifungua kinywa.1. Huongeza Shibe,  protein iliyopo katika mayai humfanya mtu kukaa muda m...
29/03/2023

Faida za kutumia mayai kwenye kifungua kinywa.

1. Huongeza Shibe, protein iliyopo katika mayai humfanya mtu kukaa muda mrefu Bila kusikia njaa tofauti na vyakula vyengine k**a bidhaa za ngano

2. Chanzo kikubwa Cha protein.,
Mayai Yana kiasi kikubwa Cha Amino Acid, ambazo huupa mwili kiasi kikubwa Cha protein.

3. Hulinda macho., Kemikali Aina ya Leutin, na zeaxanthin zinaaminika kulinda macho dhidi ya mionzi mikali . Pia husaidia kuepuka tatizo la mtoto wa jicho kwa wazee

4. Huimarisha afya ya ubongo, kurutubisho Aina ya "Choline" ambacho hupatkan katika ubongo husaidia kuimarisha ubongo na kuweka kumbukumbu sawa.

0767202621 .kimbokatz

BONDING NA MTOTOHili ni zoezi la kucommunicate na mtoto wako 🤰Weka mkono wako kwenye tumbo lako. Fumba macho na vuta hew...
24/03/2023

BONDING NA MTOTO
Hili ni zoezi la kucommunicate na mtoto wako

🤰Weka mkono wako kwenye tumbo lako. Fumba macho na vuta hewa ya kutosha na relax anza kupumua kidogo kidogo
-sikiliza sauti zote za nje unazozisikia endelea kupumua

🤰hamishia focus yako kwenye mwili wako, jisikilize unavyojifeel k**a unajifeel mzito or anything usijali ni kawaida

🤰anza kufikiria k**a mtoto anamove imagine ni k**a mara ya kwanza unamsikia

🤰SMILE ni muhimu sana maana inapeleka hormones za furaha kwa mtoto anakuwa anafeel loved na appreciated na anapata furaha pia

🤰Endelea na zoezi la kupumua kidogo kidogo you will feel so calm and happy

Hii itakusaidia sana hasa ukiwa na stress ya namna yoyote it will bring you back into your mood

Na unaweza kushangaa through the process unamsikia mtoto akicheza hata k**a alikuwa kapumzika

Hapo mawasiliano yanakuwa yamefanyika kwa ufasaha

-

Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,

Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke,

NITUMIE UJUMBE WHATSAPP

0767202621 .kimbokatz

Kuna makundi ya damu yafuatayo A,B,AB na OUnapopimwa kundi la damu wanaweza kubainisha k**a una Rh Factor au hauna,Rh-fa...
24/03/2023

Kuna makundi ya damu yafuatayo A,B,AB na O

Unapopimwa kundi la damu wanaweza kubainisha k**a una Rh Factor au hauna,

Rh-factor ni protein ambayo inakutwa katika baadhi ya Seli hai nyekundu za damu, na sio kila mtu anayo hii protein katika cell zake.

Waliyonayo ndo wanaitwa Positive na wasiyonayo ni negative, so ukienda hospital utaambiwa ni either A+/A- or B+/B-, AB+/AB- au O+/O-

MUHIMU: Ikitokea mama ni mjamzito na ana blood group yenye NEGATIVE, baba wa Mtoto akawa na POSITIVE,

Mara nyingi inategemewa mtoto atakuwa na POSITIVE aliyoirithi kwa baba yake, so kinachotokea ni kwamba kwa ujauzito wa kwanza tatizo linaweza lisionekane kwasababu damu ya mama na mtoto havichanganyikani,

Lakini wakati wa kujifungua damu inaweza kumix hivyo mwili wa mama utatambua hiyo RH-PROTEIN ambayo ipo kwa mtoto hivyo mwili wake huanza kuzalisha kinga mwili ikijua kwamba hicho ni kitu kigeni kinachotakiwa kushambuliwa

So, kwa mimba ya pili sasa mama mwili wake unakuwa tayari umetengeneza kinga mwili kwa ajili ya kupambana na RH positive yoyote itakayoingia hivyo cells za mtoto zitashambuliwa na kingamwili za mama k**a hatua sitahiki hazitachukuliwa

HATUA STAHIKI: Mama k**a ni negative na baba ni positive, ujauzito unapofikisha week ya 28 Mama anatakiwa kuchoma chanjo ya kuzuia uzalishaji wa kingamwili za kushambulia Cells za mtoto iitwayo ANT-D na ya pili ni ndani ya masaa 72 baada ya mama kujifungua,

K**a mama una high risk pregnancy au unajua kabisa una hili group la damu lenye negative na baba ni positive jitahidi sana uanze clinic mapema mnoooooo

NB:KAMA BABA NA MAMA NI NEGATIVE WOTE HAINA SHIDA BUT MPIME KUWA NA UHAKIKA ZAIDI NDO MAANA CLINIC YA KWANZA BABA ANASISITIZWA KUWEPO

Kuna watu ambao huwa hawajui hili swala hasa vijijini unashangaa mama anajifungua mtoto wa kwanza vizuri wanaofatia wote anakuwa anawapoteza, hii inaweza kuwa moja ya sababu.

-

Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,

Mtag yeyote, ambaye Unaona Elimu hii itamsaidia aje ajifunze kitu leo.

Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke,

NITUMIE UJUMBE WHATSAPP

0767202621 .kimbokatz

Cabbage ni baadhi ya mboga mboga yenye vitamin D, kazi yake kuu ni kurekebisha hormones hasa estrogen inapokuwa chini ki...
23/03/2023

Cabbage ni baadhi ya mboga mboga yenye vitamin D, kazi yake kuu ni kurekebisha hormones hasa estrogen inapokuwa chini kipindi cha hedhi na kuondoa maumivu makali wakati wa hedhi.

Cabbage ni mboga inayopatikana kwenye Tibalishe ya phyto CPE ambayo hutibu changamoto za hedhi.

Inapatikana kwa offer ya shilingi 80,000/= tu kutoka kwenye Bei ya 85,000/= ndani ya week hii.

Kwa msaada wa haraka wa changamoto za Uzazi, Nitumie Ujumbe whatsapp no:

0767202621 .kimbokatz

Address

Victoria Tanzanite Park
Dar Es Salaam
32323

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Najali AFYA Yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category