Health and Medical Content

Health and Medical Content Afya Bora ni Chachu ya maendeleo katika Maisha ya kila siku , Ijue Afya Yako na Njia Nzuri ya kujikinga na Maradhi Mbalimbali kwa kutumia Vyakula Asilia.

๐™„๐™ ๐™ž๐™ฌ๐™– ๐™ช๐™ข๐™š๐™—๐™–๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™–๐™ช ๐™˜๐™ค๐™ฃ๐™™๐™ค๐™ข ๐™ž๐™ข๐™š๐™ฅ๐™–๐™–๐™จ๐™ช๐™ ๐™– ๐™–๐™ช ๐™ ๐™ช๐™˜๐™๐™ค๐™ข๐™ค๐™ ๐™– ๐™›๐™–๐™ฃ๐™ฎ๐™–  ๐™๐™ž๐™ซ๐™ž...PreP na PEP ni msaada wa kukukinga na maambukizi ya VVU.....
27/03/2024

๐™„๐™ ๐™ž๐™ฌ๐™– ๐™ช๐™ข๐™š๐™—๐™–๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™–๐™ช ๐™˜๐™ค๐™ฃ๐™™๐™ค๐™ข ๐™ž๐™ข๐™š๐™ฅ๐™–๐™–๐™จ๐™ช๐™ ๐™– ๐™–๐™ช ๐™ ๐™ช๐™˜๐™๐™ค๐™ข๐™ค๐™ ๐™– ๐™›๐™–๐™ฃ๐™ฎ๐™– ๐™๐™ž๐™ซ๐™ž...

PreP na PEP ni msaada wa kukukinga na maambukizi ya VVU..

โ–ช๏ธPrEP inawakilisha Pre-Exposure Prophylaxis na husaidia kuzuia maambukizi ya VVU kabla ya kuambukizwa wakati PEP inasaidia kutibu wagonjwa ambao wameambukizwa VVU.

โ–ช๏ธPEP inawakilisha Kinga ya Baada ya Kufichua. Kwa hivyo, tofauti kuu hapa ni kwamba PEP ni kwa wagonjwa ambao tayari wameambukizwa VVU na wanahitaji matibabu ili kuzuia maambukizi

Tuseme leo umeshiriki tendo la ndoa halafu kondom ikapasuka au ikachomoka au umebakwa unafanya nini baada ya hapo? Kwa sasa k**a umetokewa na hali mojawapo kati ya hizo kuna tiba ya kusaidia kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya VVU. Tiba hiyo ndio inaitwa PEP. Kuna tiba nyingine inayoitwa PrEP hii pia inasaidia kuzuia maambukizi ya VVU lakini yenyewe inatumika kabla ya tendo la ndoa kwa watu ambao wako kwenye hatari ya kupata maambukizi mfano wafanyabiashara za ngono .

Sasa k**a kondomu imepasuka au kuchomoka wahi kituo Cha afya kabla ya masaa 72 ili uanze PEP na lazima utapima na ukikutwa na maambukizi ya VVU basi utaendelea na matibabu k**a wagonjwa wengine wathirika wa VVU ..dawa za PEP utatumia kwa siku 28..wakati wote ambao utakuwa unatumia Pep basi usichangie damu ndani ya miezi 12 na usishiriki tendo bila kutumia Kondomu
(By Dr. Ray ) ๐Ÿ’Š๐Ÿ’‰

Jihadhari...!!! Ngono Salama Ni Muhimu Sana.Magonjwa ya zinaa yanazidi kuongezeka katika jamii, Maambukizi mapya sugu ya...
24/05/2023

Jihadhari...!!! Ngono Salama Ni Muhimu Sana.

Magonjwa ya zinaa yanazidi kuongezeka katika jamii, Maambukizi mapya sugu yanaendelea kujitokeza kila siku.

Takwimu
Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu hali ya Maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa kwa waliopimwa kati ya Julai 2022 hadi Machi 2023 ilionesha kulikuwa na ongezeko kutoka Watu 458,614 hadi kufikia Watu 480,448 .

Hizi Ni Baadhi ya dalili za magonjwa ya zinaa kukojoa usaha , maumivu wakati wa kukojoa,vidonda sehemu za siri, homa Kali, Kusikia maumivu makali chini ya kitovu ...etc.

Je?, Tunawezaje Kupunguza Uwezekano Wetu Wa Kuambukizwa?

๐Ÿ’ Shirikiana tendo la ngono na mwenzi mmoja wa unayemuamini kwa wakati mmoja. Tosheka na mwenzi wako bila kujali anaonekanaje.
๐Ÿ’ Jenga tabia ya kupima mara kwa mara
๐Ÿ’ Jenga tabia ya kutumia kondomu hasa unapocheza mechi za ugenini.
๐Ÿ’ Ijue hali ya bae wako (mpenzi wako)
๐Ÿ’ Iwapo una maambukizi yoyote kwa sasa, pata matibabu sahihi na uyatibu. Magonjwa mengi ya zinaa yanaweza kutibika
๐Ÿ’ Pata taarifa sahihi kuhusu afya ya ngono

Muhimu K**a Umepata Ugonjwa Wa Zinaa Na Umehisi Unazo Dalilil Tayari Zingatiya Haya:-

๐ŸŒกUnawahi kituo cha afya kilicho karibu nawe kwa uchunguzi na matibabu sahihi.
Kutumia dawa zote na kufuata maelekezo ya mtaalam wa afya .
๐ŸŒกJitahidi kuepuka kujinunulia dawa holera bila maelekezo ya mtaalam wa afya.
๐ŸŒกEpuka kushiriki tendo la ndoa hadi utibiwe na kupona kabisa.
๐ŸŒกMwambie mwenzi wako na wote mtibiwe na kupata ushauri nasaha.
Mwisho:-
๐ŸŒกPunguza matumizi mabaya ya pombe kupita kiasi na dawa za kulevya. Kulewa kupita kiasi kwa kawaida hutusukuma kufanya maamuzi mabaya na kufanya ngono zembe.

Share , Like na Comment..

Imeandariwa na Dr. Ray ๐Ÿ‘จโ€โš•๏ธ

Position Anayotakiwa Kulala Mama Mjamzito.Mama anapomaliza first trimester  (miezi 3 ya mwanzo) tumbo linaongezeka ukubw...
11/03/2023

Position Anayotakiwa Kulala Mama Mjamzito.

Mama anapomaliza first trimester (miezi 3 ya mwanzo) tumbo linaongezeka ukubwa kutokana na ukuaji wa mtoto. Ukuaji wa mtoto unadhiri pisition ya ulalaji wa mama,hivyo mama anashauriwa mimba ikifika miezi 4 (wiki 16)asilalie tumbo au mgongo.

MAMA ASILALIE TUMBO AU MGONGO

Kulalia mgongo sio vizuri kwa sababu uzito wa mtoto unazuia baadhi ya mishipa ya mgongoni inayosafirisha damu kutoka kwenye uti wa mgongo kwenda kichwani,na kutoka miguuni kuja kichwani kushindwa kusafirisha damu vizuri na kunabadili mfumo wa mzunguko wa damu unaoweza kumuadhiri mama au mtoto.

Adhari atakazo zipata mama mjamzito atakapo lala kwa mgongo (chali) / kulalia tumbo

Kutokana na damu kushindwa kusafirishwa vizuri inapelekea kumsababishia mama mjamzito kupata matatizo k**a,

:Kuvimba kwa misuli na inayo ambatana na maumivu (miguu na mikono)

:Kushuka au kupanda kwa blood pressure

:Ini kuelemewa uzito

:Kupunguza mzunguko wa damu ambayo ni hatari kwa uhai wa mtoto

:Kusikia kizunguzungu mara kwa mara

:Mama kupata kiungulio mara kwa mara nyakati za usiku

:Kukoroma

:Maumivu ya mgongo

:Mama na mtoto ushindwa kupumua vizuri kwa kusosa hewa (oxygen)

:Mtoto kukosa virutubisho vya kutosha.

Utakuwa Unajiuliza Mama Anatakiwa Alalie Position Gani Ili Awe Salama?

Tafiti nyingi zinamshauri kwamba mama mjamzito alalie upande wa kushoto .Sababu damu husafirishwa kwa Urahisi zaidi kutoka kwenye moyo wa mama na kwenda kwenye kondo la mtoto na kumpa virutubisho vingi zaidi. .

Iwapo mama atalalia tumbo au mgongo ifamfanya mtoto asiwecomfortable atahangaika na kumpiga piga mama ili abadili position ya kulala.

USHAURI

Mama anapolala ni vizuri akaweka mto katikati ya miguu usibane miguu ipitanishe, inakusaidia kulala comfortable,damu kusafirishwa vizuri na kutopata maumivu ya mgongo.Nyakati za usiku ni kawaida kwa watoto kupiga piga tumboni ,ila akipiga sana jua umelala vibaya anataka ubadilishe position.

Imeandaliwa na ( Dr.Ray ) mwanzilishi wa jukwaa la Health and Medical Content.

Asante kwa kuendelea kufatilia page yetu Share , Like and Coment Ili tuwafikie wengi zaidi na zaidi , na kupata msaada https://free.facebook.com/Health-and-Medical-Content-102738154543697/

Onyo!! Muhimu Saana..Unatakiwa Kujua hiki kitu , Kabla Ya kubeba Ujauzito wako. (Kushika Mimba)Ni ukweli usiopingika kun...
08/03/2023

Onyo!! Muhimu Saana..
Unatakiwa Kujua hiki kitu , Kabla Ya kubeba Ujauzito wako. (Kushika Mimba)

Ni ukweli usiopingika kuna Ka Furaha (feeling) furani hivi , mtu inapotokea unapokuwa mtu wako au ikitokea ukapata ujauzito, mimba yako ukailea vizuri, ukajifungua salama, mtoto mwenye Afya Njema na sasa unaanza kuitwa Mama.. Waahoo.๐Ÿคฑ๐Ÿป๐Ÿ‘ผ๐Ÿฝ๐Ÿซƒ


Ni Vyema kujua ni Wakati Gani Sahihi Unapaswa Kuanza Kutumia Virutubisho vyenye Folic Acid Ndani yake na
Madhara Ya Ukosefu wa kutotumia Virutubisho hivyo.

Kikawaida viungo vya mwili wa mtoto au kiumbe tumboni, huwa vinatengenezwa ndani ya miezi mitatu ya mwanzo( 1 st Trimester ).

Ubongo na uti wa mgongo na mapafu hivi hutengenezwa kati ya siku ya 20 hadi 25 mpaka 30, Matatizo katika utengenezwaji wa ubongo na viungo vingine hutokea ndani ya siku 28 za ujauzito.

Na kipindi hiki mjamzito anakua bado hajafahamu k**a ni mjamzito wengi wao uanza kujigundua baada ya mwezi mmoja.Mama wengi huanza clinic wakiwa na umri wa mimba wakiwa na miez mitatu kuendelea na hapo ndipo wanaanza kutumia folic acid.Kwa hiyo kipindi hiki tayari k**a kuna matatizo yamesatokea na folic acid hazimsaidii tena, labda kwenye swala la kuongeza damu.

USHAURI.
Kutokana na matatizo haya kutokea kabla ata mtu hajajigundua ni mjamzito ni muhimu sana k**a wewe ni Mmama au Mdada Na unatafuta watoto ni vema kuanza kutumia virutubisho vyenye folic acid ndani yake au kupata folic acid miezi mitatu kabla ya Ujauzito,Yaani pale Unapoamu kuwa upo tayari kubeba mimba unaanza kula vyakula vyenye folic acid kwa wingi au kutumia Virutubisaho vyenye folic acid ndani yake.

Hii itakusaidia wewe Pale , ikatokea mimba nyingine kuja bila kupangwa , basi mwanamke yeyote alio kwenye umri wa kupata Ujauzito na yuko tayari kubeba Mimba anapaswa kupata au kula vyakula vilivyojumuisaha virutubisho vyenye folic acid ya kutosha.

Madhara Ya Upungufu Ya Folic Acid Au Virutubisho Vyenye Folic Acid Kwa Mama Mjazito.

Ijulikane kuwa yapo madhara Mengi ambayo mama mjamzito asipotumia virutubisaho vyenye folic acid ndani yake , baadhi yake ni -:
โ™ฆ๏ธMama na mtoto kuwa na upungufu wa damu. ( anaemia)
โ™ฆ๏ธMtoto kuzaliwa mgongo wazi / kuzaliwa na uvimbe mkubwa mgongoni (spinal bifida)
โ™ฆ๏ธMtoto kuzaliwa na kichwa kikubwa kuzidi umri wake na kumwelemea .
โ™ฆ๏ธMtoto kuzaliwa mdomo wa sungura
โ™ฆ๏ธMtoto kuzaliwa na kichwa chenye mapungufu kinakuwa na umbo k**a la chura
โ™ฆ๏ธ Lakini piya kupelekea Mimba kuharibika (Miscarriage)
โ™ฆ๏ธMtoto kuzaliwa njiti.
โ™ฆ๏ธKuleta ulemavu wa miguu na viungo vingine kwa mtoto. n.k

NB:
Hivi Ni Baadhi Ya Vyakula Vyenye Vyanzo Vya Folic Acid Ndani Yake.

Mama anaweza kupata virutubisho folic acid kupitia vyakula na matunda k**a
Vile.
ยถ Machungwa au ndimu
ยถ Parachichi
ยถ Papai
ยถ Nyanya
ยถ Bamia
ยถ Viazi vitamu
ยถ Dagaa
ยถ Maharagwe meusi/ -Njegere
ยถ Mayai
ยถ Pasta / tambi ndefu
ยถ Broccoli
ยถ Spinaches

MUHIMU.
Nimekutana na changamoto , ambayo wengi wao wamekuwa wakikutana nayo ,kabla ya Ujauzito au baada , kushindwa kutumia folic acid zinawashinda ,
Tunayo solution ya pekee kwa sasa juu ya tatizo lako.

Tuma ujumbe kwenda namba 0764780422 kwa ushauli zaidi au kupata msaada.
Bofya hapa kwenye Link itakupeleka moja kwa moja whatsapp
https://bit.ly/3V9JfDg

Imeandaliwa na ( Dr.Ray ) mwanzilishi wa jukwaa la Health and Medical Content.

Asante kwa kuendelea kufatilia page yetu Share kwa Wingi , Like na Kucoment Ili tuwafikie wengi zaidi na zaidi , na wao waweze kupata msaada. https://free.facebook.com/Health-and-Medical-Content-102738154543697/

Health Content...Take this ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡A woman smoking is a protective factor  for Cervical Cancer, But the same Cigarette a woman...
03/03/2023

Health Content...
Take this ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

A woman smoking is a protective factor for Cervical Cancer, But the same Cigarette a woman smorks is a Risk Factor for Endometrial Carsnoma.... ๐Ÿšฌ๐Ÿšฌ๐ŸšฌโŒโŒโŒ


Choose to smorks or stop , is you ...โœ๐Ÿผ๐Ÿคท๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ

K**a Una Shida Ya UTI Sugu Na Fangasi Soma Hii ๐Ÿ‘‡hivi unajua kwamba fangasi ukeni na UTI sugu , vinaweza kusababisha ugum...
11/10/2022

K**a Una Shida Ya UTI Sugu Na Fangasi Soma Hii ๐Ÿ‘‡

hivi unajua kwamba fangasi ukeni na UTI sugu , vinaweza kusababisha ugumba?๐Ÿ˜ณ

Fungusu Ukeni ; husababishwa na fangasi aina ya Candida albicans. Ugonjwa huu kitaalamu huitwa (VA**NAL CANDIDIASIS ) ni kati ya magonjwa ambayo husumbua sana wanawake mara kwa mara , imekuwa desturi kwa wanawake kuona k**a jambo la kawaida na kuzidi kuumia na kushidwa ni wapi wanaweza kupata msaada..

Dalili Za Fungusi Ukeni.
โˆš Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara
โˆš Vipele vidogo vidogo ukeni
โˆš Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya
โˆš Vidonda au kuwa na michubuko ukeni
โˆš Kutokwa na harufu kali na mbaya ukeni.
โˆš Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini
โˆš Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.
โˆš Kuwaka moto ndani na nje ya uke. etc.

Dalili za UTI Sugu

- Ukiwa ni mtu wa Kila ukitumia dawa za hospitalini unapona baada ya mda unaugua tena.
- Kutokwa uchafu wenye harufu kali ukeni,uchafu huu waweza kuwa wa njano,mweupe au k**a maziwa.
- Kuwashwa sehem za siri.
- uke kutoa harufu mbaya
- maumivu ya tumbo chini ya kitovu
- uke kuwa na ulaini sana
- Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
- kuvurugika kwa hedhi
- kutokwa maji maji ukeni kupita kiasi
- maumivu wakati wa kukojoa na haja kubwa.
- Homa,uchovu,usingizi saa zote na kukosa ham ya kufanya tendo la ndoa. n.k

Fangasi na UTI sugu zisipotibiwa kwa mda mrefu huingia mpaka kwenye mfumo wa kizazi na kusababisha , Vimbe kwenye kizazi na hapo unajikuta unapata changamoto kushika ujauzito , mimba kutoka n.k

Ni bahati Pekee kwako leo, kuna Solution pekee sasa Juu ya tatizo lako kwa kutumia Femine Wosh na complete , kumaliza kabisa tatizo lako linalokusumbua sasa.

Tuma ujumbe kwenda namba 0764780422 kuweka oda yako au
Bofya hapa kwenye Link itakupeleka moja kwa moja whatsapp
https://bit.ly/3V9JfDg

Imeandaliwa na ( Dr.Ray ) mwanzilishi wa jukwaa la Health and Medical Content.

Asante kwa kuendelea kufatilia page yetu Share , Like and Coment Ili tuwafikie wengi zaidi na zaidi , na kupata msaada https://free.facebook.com/Health-and-Medical-Content-102738154543697/

HOW TO CLEAN THE VA**NA ( For Girls &Womens Only )1. Do not put anything inside the va**na including water. The inside o...
29/05/2022

HOW TO CLEAN THE VA**NA ( For Girls &Womens Only )
1. Do not put anything inside the va**na including water. The inside of your va**na is self cleansing. It does a better job than you so learn to trust your va**na.
2. Wash the outside and entrance to the va**na with clean water.
3. Clean from front to back and not back to front because you don't want to introduce f***l bacteria into the va**na or your urine pipe.
4. Drink water and eat your favourite fruit regularly.
You have heard.
Note: ๐Ÿ˜Šwow sorry i have forgotten to add ... โœ๐Ÿฝโœ๐Ÿฝ"Also avoid sleeping with multiple/alot of Men, the Virgina doesn't like that"...

JINSI YA KUSAFISHA UKE (Hii ni kwa Wadada wote na Jinsia ya k**e kwa Ujumla )

๐Ÿ“Œ 1. Usiweke chochote ndani ya uke pamoja na maji. Ndani ya uke wako huwa kunajisafisha. Mfumo wa kujisafisha kwa Uke huwa kunafanya kazi nzuri kuliko wewe kwa hivyo jifunze kuamini uke wako.
๐Ÿ“Œ 2. Osha nje na mlango wa uke kwa maji safi.
๐Ÿ“Œ 3. Safisha kutoka mbele kwenda nyuma na sio kurudi mbele kwa sababu hutaki kuingiza bakteria wa kinyesi kwenye uke au bomba la mkojo wako.
๐Ÿ“Œ4. Kunywa maji na kula tunda upendalo mara kwa mara.
Natumai umejifunza kitu ๐Ÿ’ฏ

: Samahani nilitaka kusahau kitu kwa kuongezea ... โœ๐Ÿฝโœ๐Ÿฝ"Pia epuka kulala na Wanaume wengi tofauti tofauti ๐Ÿ˜Œ/Uke wako au Bikira haupendi hivyo"...๐Ÿ’‰๐Ÿ’Š

Kuna ka feelings fulani hiv unakapata ๐Ÿ˜Š unapomsaidia mtu kupata suruhu ya changamoto inayomsumbua.๐Ÿ™๐Ÿ’ƒ๐Ÿ•บ๐Ÿค—Testimony ๐Ÿ”›
25/04/2022

Kuna ka feelings fulani hiv unakapata ๐Ÿ˜Š unapomsaidia mtu kupata suruhu ya changamoto inayomsumbua.๐Ÿ™๐Ÿ’ƒ๐Ÿ•บ๐Ÿค—

Testimony ๐Ÿ”›

Maishani huwezi kupanga nini kitokee KWAKO ๐Ÿค—Lakini unaweza kufanya maamuzi ya kuzui na kuondoa kile ambacho kimeshatokea...
08/11/2021

Maishani huwezi kupanga nini kitokee KWAKO ๐Ÿค—
Lakini unaweza kufanya maamuzi ya kuzui na kuondoa kile ambacho kimeshatokea .

Nimekutana na coment Nyingi , ambazo watu wengi sana , Hasa Dada zangu wanasumbuliwa sana na Fungus , UTI n.k

Leo nimekuja na suruhisho: โ˜บ๏ธ
Tumia: FEMINE WASH

Offer kwa watu 10 wa mwanzo , utajipatia kwa Tz sh. 40,000/= badala ya 45,000/=( offer ndani ya miezi 2 tu )

Asante kwa kuendelea kufatilia page yetu ya Health and Medical Content , kwa kuzidi kujifunza na kusaidiana kwenye maswala mbalimbali ya kiafya๐Ÿ™๐Ÿฝ Endelea ku Share, ku coment na ku Like ili tuwafikie na kuwasaidia watu wengi zaidi .
https://free.facebook.com/Health-and-Medical-Content-102738154543697/

02/11/2021

Three things can not be long hidden โ€ฆโ€ฆ The sun , The moon and The Truth.

Natural Feminine wash ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜„Call ๐Ÿ“ž 0716699048 Now.        ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
28/07/2021

Natural Feminine wash ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜„

Call ๐Ÿ“ž 0716699048 Now.

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health and Medical Content posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram