10/12/2025
Mtoto wako anakula lakini bado hakui vizuri? π
Hii mara nyingi si tatizo la chakula ni hidden hunger, yaani ukosefu wa vitamini na madini muhimu mwilini.
Watoto wengi wa miezi 6β24 hukosa virutubisho k**a Iron, Zinc, Vitamin A, C & D, ambavyo ni msingi wa:
π§ Ukuaji wa ubongo
π©Έ Kuongeza damu
π‘ Kinga ya mwili
πͺ Nguvu & kucheza
π Kukuwa vizuri
Ndiyo maana tunapendekeza VIRUTUBISHI 1g Sachets 30βs (Micronutrient Powder WHO/UNICEF formula).
Unaweka kwenye chakula cha mtoto bila kubadilisha ladha rahisi sana kwa kila mzazi.
Faida kwa mtoto:
β Anakua vizuri
β Anapata kinga imara
β Haumwi mara kwa mara
β Anakuwa mchangamfu
β Anapata damu ya kutosha
Unataka kujua k**a inafaa kwa mtoto wako?
ππ½
Comment NENO: VIRUTUBISHI upate maelekezo sahihi, bei na jinsi ya kutumia.
Au tuma DM Afya Depot ipo kukusaidia π