Afya yako

Afya yako Maendeleo ya nwanadam yanaletwa na afya njema kama una changamoto ya kiafya ni vema kuitatua kabla y

Kwa watu wa mikoani tuna utaratibu wa kutuma kwa njia ya Bus na unakufikia popote ulipo Tanzania na Nchi jirani karibuni sana

SIKU YAKO YA MWISHO KUPENDWA NA MWANAMKEUkweli ni kwamba wanawake wengi huwa wavumilivu kwa mda kutokana na changamoto y...
28/05/2022

SIKU YAKO YA MWISHO KUPENDWA NA MWANAMKE

Ukweli ni kwamba wanawake wengi huwa wavumilivu kwa mda kutokana na changamoto yako ya nguvu za kiume unaweza kuona k**a yupo sawa lakini anapata maumivu ndani kwa ndani hii huenda ni kwasababu anakuheshimu ndio maana inakuwa ngumu kukueleza madhaifu yako

Ila kuna wakati ukifika atashindwa kuvumilia na hato anza kukueleza wewe hapo ndipo pabaya unajua wanawake siku zote hawafichani mambo yataanza kufika kwa mashoga zake utaanza kuona tu unachekwa bila sababu na mshoga zake watamshawishi achepuke aende akapate ridhiko kwasababu wewe umeshindwa na wala hujaali kuhusu hisia zake

Siku atakapo chepuka na kwenda kupata raha kwa mtu mwingine jua hapo ndio utakuwa umemkosa mazima yaani kushiriki tendo atakuwa anaamua yeye sio wewe tena heshima itashuka kwa kasi mpaka utahisi kuna jini limeshuka dani yake ana unaweza ukasema kuna mtu anaroga mahusiano yenu

Na sio kweli Ukweli ni kwamba wewe mwenyewe ndio umeshindwa kupigania penzi lako mpaka ukaruhusu wenzako wakusaidie hivi utajisikiaje siku unapita mtaani ukaona wenzako wanakucheka kwasababu tu mmoja wao alisema UNAMUONA YULE JAMAA MKE WAKE MIMI NAPITA NAE Inauma sana lakini ni kwasababu ya uzembe wako kinacho fuata ni wewe kugharamia halafu wenzako ndio wanafaidi amka na chukua hatua

K**a na wewe unapitia changamoto ya nguvu za kiume tuma ujumbe Whatsapp Kwa kuandika BABA RIJALI

WHATSAPP
0621060718

HIVI NDIVYO KUJICHUA KUNA HARIBU UUME:Unavyominya uume kwa nguvu kutafuta msisimko kwa viganja vyako vya mkono unaua Nev...
23/05/2022

HIVI NDIVYO KUJICHUA KUNA HARIBU UUME:

Unavyominya uume kwa nguvu kutafuta msisimko kwa viganja vyako vya mkono unaua Neva,mishipa ya damu ambayo huingiza damu kwenye uume na misuli ya uume ndio Maana uume unakuwa Mwembamba na kuwa mdogo ,uume unajenga usugu kwenye ngozi yake.

punyeto huwezi kufanya muda mrefu Ni sekunde tu tayari unamaliza shughuli yako ,Sasa mwili wako unazoea Hivyo (kuji--condition ).Siku ukifanya mapenzi halisi na Mwanamke unatumia sekunde hizo hizo ulizozoea Wakati wa kufanya Punyeto hutaweza kutembea zaidi ya hapo. Kwa hiyo tunaweza kuona Kwamba punyeto inafupisha muda wa kufanya tendo la ndoa .

Hii inapelekea mwenza unashiriki nae tendo_la_ndoa kutokuridhika ,unamuacha njia panda.

Pia kuchua uume kwa mkono husabisha uume kulegea Sana ,hata kupelekea kutoa shahawa bila kufanya tendo la ndoa .Utajikuta baada ya kusimamisha uume shahawa zinaanza kuvuja zenyewe.

Ukishikwa kidogo tu unasisimka haraka shahawa zinatoka ghafla,na uume unasinyaa .

Cha kufanya Epuka Kujichua .

K**A UNAPITIA CHANGAMOTO HIZI BAADA YA KUPIGA punyeto USIJALI SULUHISHO LAKUDUMU LIPO WASILIANA NASI UPONE SASA.

Whatsapp
0621060718

K**A UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME ANZA NA HII K**A HUKO VIZURI KIUCHUMILeo nitatoa program maalum kwa ajili ya kuweka ...
20/05/2022

K**A UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME ANZA NA HII K**A HUKO VIZURI KIUCHUMI
Leo nitatoa program maalum kwa ajili ya kuweka vizuri mfumo wa uzazi na kuimarisha nguvu za kiume huna haja ya kupaka mkongo hii ni program ya vyakula na matunda pamoja na mazoezi ni muhimu sana kwako mwanaume lazima wakuheshimu
1.kukufanya uwe na uume imara

2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza

3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara

4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25

5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora

6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex

7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka

8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo k**a zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa k**a ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.

9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto

10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto

11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin

12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.

13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili

14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)
Faida zipo nyingi sana unachotakiwa ni kuzingatia kile nitakacho kuelekeza ili uwe imara zaidi
Hii program nilitoa mwanzo kwa Tsh 45000 lakini leo watu 20 watakao wahi wataipata kwa Tsh 20000 Elfu Ishirini tu Wahi uokoe afya yako uondokane na aibu kitandani
Nitumie ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno NAHITAJI

Whatsapp
0746748192 Wahi mapema

FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME Upungufu wa nguvu za kiume :Ni ile hali ya mwanaume kuto kushiriki tendo la ndoa kwa ufasah...
14/05/2022

FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa nguvu za kiume :Ni ile hali ya mwanaume kuto kushiriki tendo la ndoa kwa ufasaha, Tatizo hili linapotokea huambatana na athari nyingine k**a matatizo ya kisaikolojia hivyo kusababisha mwanaume kushindwa kujiamini.

Kwa kawaida mwanaume ili Aweze kufanya tendo la ndoa kiufasaha unaitajika ushirikiano wa mifumo minne.

1)Mfumo wa mishipa ya damu ambayo huingiza damu katika uume.
2)Mfumo wa neva za fahamu ambao hutoa taarifa kutoka kwenye ubongo hadi kwenye uume na kurudisha taarifa kutoka kwenye uume kwenda kwenye ubongo.
3)Mfumo wa homoni na vichocheo vya mwili vinavyohitajika kuchochea mishipa ya damu kutanuka ili uume ufanye kazi na mfumo wa akili na saikolojia.
4)Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, k**a haupo vizuri apa utaanza kupata shida za choo mwisho Bawasili hatimae matatizo mengine yatakuja.

Kwa kawaida; uwezo wa ufanyaji kazi wa viungo vya uzazi vya mwanaume hupungua kadri umri, unavyokwenda.wanaume 100 wenye umri wa miaka 20 hadi 75, changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume huathiri wanaume 16, Kiwango huwa kikubwa kwa wazee , kwa wastani wa asilimia 37 ya wazee wenye miaka 70 hadi 75 wanakabiliwa na tatizo hili.

Changomoto kubwa iliyopo sasa ni kwamba baadhi ya wanaume wanapoona uwezo wao utendaji kazi wa uume umepungua huamua kujinunulia dawa k**a vi**ra au za asili bila kufahamu chanzo cha tatizo.

K**a una changamoto katika mfumo wa Uzazi pata ushauri bure na msaada kwa kutuma neno AFYA ZAIDI kwenda WhatsApp namba 0746748192 au piga simu usaidiwe mapema.

KWANINI UUME HAUSIMAMI IPASAVYOk**a mzunguko wa damu haukosawa keenye uume  hii itasababisha uume kuto simama ipasavyo k...
08/05/2022

KWANINI UUME HAUSIMAMI IPASAVYO

k**a mzunguko wa damu haukosawa keenye uume hii itasababisha uume kuto simama ipasavyo kutokana na misuli ya uume kushindwa kupitisha damu kwenye uume na ni kwasababu Aidha misuli imedhoofika ama imesinyaa kutokana na kujichua

Ama mwili unaweza kuwa na kiwango kikubwa cha mafuta ambacho kinasababisha kuziba kwa mishipa ya damu na kufanya umzunguko wa damu kuwa mdogo hivyo husababisha Viungo vya mwili kushindwa kufanya kazi ipasavyo kutokana na mzunguko mdogo wa damu ikiwemo na sehemu za uzazi pamoja na uume wenyewe

Kujaa kwa sumu ama kemikali Mwilini pamoja na kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hii husababisha upatikanaji mdogo wa madini muhimu katika kuujenga mwili na husababisha kushindwa kufanyika Kwa Absorption na hii ni kutokana na kuziba kwa sehemu ambazo virutubosho muhimu vinatakiwa kuingia mwilini

Sababu zipo nyingi ila unacho takiwa kujua ni kwamba unapo hitaji kutatia changamoto ya nguvu za kiume ama yoyote ile ya kiafya vi vema zaidi ukaanza kukijua chanzo cha taatizo ili ikurahisishie wewe kujua nini unatakiwa kufanya

Kwa mawasiliano zaidi tume ujumbe Whatsaapp kwa kuandika neno IMARA

Whatsapp
0746748192

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKELeo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachw...
07/05/2022

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE

Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara

Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona k**a hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.

Sasa k**a unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital

Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe

Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0746748192 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.

MBINU ZA KUWEZA KUACHA KUTAZAMA VIDEO ZA NGONO1. KUWEKA MBALI VISABABISHIWeka mbali vitu nyote vinayopelekea kuanzangali...
06/05/2022

MBINU ZA KUWEZA KUACHA KUTAZAMA VIDEO ZA NGONO
1. KUWEKA MBALI VISABABISHI
Weka mbali vitu nyote vinayopelekea kuanzangalia video za ngono mfano k**a ulikuwa unaangalia kabla ya kulala, basi kabla ya kupanda kitandani zima simu na computer yako, k**a ilikuwa ni pale unapokuwa peke ako basi epuka kukaa peke ako kwa muda.

2. JICHANGANYE NA JAMII
Kujichanganya na marafiki na jamii kutasaudia kupunguza muda wa kukaa peke ako na kuanza kuwaza kuhusu kuingia mtandaoni na kutafuta kurasa za ngono

3. FANYA MAZOEZI
Mazoezi ni muhimu sana kwa miili yetu hivyo itakusaidia kuurudisha ubongo kwa haraka katika hali yake ya kawaida ipi utapunguza msongo wa mawazo

4. JIFUNZE KILA SIKU JINSI YA KUBORESHA MBINU ZA KUACHA
Tafuta majarida mbali mbali na makundi mbali mbali ya watu walio dhamiria kuacha kuangalia video za ngono ili kupata mawazo mapya, na jinsi watu walivyo fanikiwa na kurudi katika hali yao ya kawaida

5. WEKA MIPANGO YA KUDHAMILIA KUACHA
Weka mpango wako wa kudhamilia kyacha Kwa kipindi Fulani k**a ni miezi mitatu, minne au zaidi na jikumbushe mpango wako Mara kwa Mara na kupiga mabadiliko yanayo onekana.

Kwa ushauri zaidi
Whatsapp me 0746748192

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUMEUkosefu/upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanau...
04/05/2022

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani.

Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?

Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu

HATUA MBILI MUHIMU KATIKA KUSIMAMA KWA UUME
Ili mwanaume aweze kufanya tendo la ndoa na andelee kufanya tendo la ndoa, ni lazima uume wake upitie hatua kuu mbili k**a ifuatavyo :

Hatua ya kwanza, ni lazima uume wake uweze kusimama barabara na kuwa mgumu k**a msumari.
Na hatua ya pili ni lazima, uume wake uendelee kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa. Hatua zote mbili zinapo kamilika, ndipo tunapo pata kitu kinaitwa STRONGER AND LONGER ER****ON

JINSI HATUA ZA KUSIMAMA KWA UUME ZINAVYO TOKEA.
1. HATUA YA KWANZA:
DAMU KUTIRIRIKA KWA KASI KUINGIA NDANI YA MISHIPA YA UUME NA KUUFANYA UUME KUSIMAMA NA KUWA MGUMU.
Unapopata wazo la kufanya tendo la ndoa, mishipa ya fahamu iliyopo kwenye ubongo, hupeleka ishara kwenye mishipa ya uti wa mgongo, ambayo nayo hupeleka taarifa hadi kwenye mishipa ya uume. Taarifa inapofika kwenye mishipa ya uume huifanya mishipa hiyo ku-relax na hatimaye kufanya mishipa ya ateri kufunguka na kutanuka. Mishipa ya ateri inapo tanuka na kufunguka, huruhusu damu kuingia kwa kasi ndani ya mishipa ya uume na hivyo kuufanya huume kusimama.
Ni muhimu kujua kuwa, mishipa ya uume inapo relax hupelekea kuisukuma na hatimaye kuiziba mishipa ya vena iliyo karibu na mishipa ya uume na hivyo kuiondolea uwezo wa kunyonya damu iliyomo ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka sehemu nyingine za mwili.
N.B: Kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kunyonya damu iliyomo ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka katika sehemu nyingine za mwili. Au kwa lugha nyingine unaweza kusema, kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya uume.

2. HATUA YA PILI :

DAMU KUENDELEA KUHIFADHIWA KATIKA UUME WAKATI UUME UKIWA UMESIMAMA NA HIVYO KUUFANYA UUME UENDELEE KUDUMU KATIKA TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU.
Uume ulio simama, ili uendelee kusimama, ni lazima mishipa ya vena isiwe na uwezo wa kunyonya damu kutoka katika mishipa ya uume na kuipeleka katika sehemu nyinginezo za mwili. .
Mishipa ya Vena ndio inayo husika na kunyonya damu kutoka kwenye mishipa ya uume na kupeleka sehemu nyingine za mwili. Ili uume uendelee kusimama lazima mishipa hii ya vena iwe imezibwa. Ili iweze kuzibwa ni lazima misuli laini ya kwenye uume iwe - ime relax na hivyo kuifanya mishipa ya vena kushindwa ku nyonya damu kutoka kwenye uume.
Endapo mishipa ya vena itazibuka , basi itanyonya na kutoa damu yote kutoka kwenye mishipa ya uume uliosimama na kuipeleka sehemu nyinginezo za mwili na hatimaye uume huo ulio simama na utasinyaa mara moja.

Mambo Muhimu Katika Kuufanya Uume Usimame na Kuendelea kudumu katika kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.
Ili uume uweze kusimama imara k**a msumari na uendelee kusimama imara na kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa, ni lazima mambo yafuatayo yawepo.

1. Mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema.
2. Mfumo mzuri wa damu katika mwili mzima.
3. Mtiririko imara wa damu kuingia na kutoka ndani ya mishipa ya uume.
4. Ushirikiano wenye afya kati ya mishipa ya fahamu ya kwenye ubongo (nerves), mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na mishipa ya kwenye uume.

Ili mwanaume aweze kuwa imara katika tendo la ndoa, ni lazima mambo manne niliyo yataja hapo juu yawe sawa sawa bila hitilafu yoyote. Kinyume chake, mwanaume hawezi kuwa na nguvu za kiume.

VIASHRIA VYA MTU MWENYE TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
Mtu mwenye tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo ;
1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake
2. Uume kusimama ukiwa legelege
3. Kuwahi kumaliza tendo la ndoa
4. Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili ( Mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ). Hapa mwanaume anakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa staili ya “ missionary” pekee. Ikibadilishwa staili, mwanaume anakuwa hana tena uwezo wa kusimamisha uume wake japo katika hali ya u lege lege
5. Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu.
6. Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.
7. Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity yoyote ya kiungo ama ogani nyingine ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa. Kwa mfano, wakati wa tendo la ndoa, ikitokea mwanaume amekohoa au kupiga chafya, uume nao unasinyaa.
8. Uume kusinyaa mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke ( Kwa mfano k**a unafanya tendo la ndoa, halafu uume ukatoka nje, kitendo cha kuushika kuurudisha ndani, tayari una sinyaa )
9. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
10. Kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa.

TIBA JUU YA TATIZO HILI
kumekuwepo aina mbali mbali za tiba juu ya tatizo ambapo watu hutumia madawa ya hospitalin wengine hutumia madawa ya kichina je unafaham madhara yake? Pole sana k**a utakuwa tiali umetumia vitu hivyo maana utaona matokeo kwa mda tu baadae ni kilio

Njoo ufundishwe namna ya kutumia vilutubisho yaani lishe itokanayo na vitu vya asili ambavyo inaweza kukupa tabasam na uwanaume wako 💪💪💪

kwa Maoni/ Maswali/ Ushauri na tiba karibu.
WhatsApp na kawaida 0746748192

Address

Mwananyamara
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya yako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram