AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI karibu ujifunzee mbinu za asili za kuwezaa kujengaa afya yako ya uzazi

USIWE MNYONGE KITANDANI. SHIDA YA NGUVU ZA KIUME HUSABABISHWA NA:1.Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume...
18/03/2020

USIWE MNYONGE KITANDANI. SHIDA YA NGUVU ZA KIUME HUSABABISHWA NA:

1.Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatzo.

2.Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.

3.Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima

4.Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao au kukosa Hamu ya tendo la ndoa kabisa

5. Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano wa kemikali mbaya mwilini

6. Mishipa ya damu kujaa mafuta na Moyo kutofanya kazi vizuri n.k

Hii ni bidhaa maalum kwa WANAUME

Gel juice, 🧠Nature min na Multimaca ni bidhaa ya asili ambazo zimetolewa kwenye mimea na mizizi na matunda. Zina faida mbalimbali mwilini k**a; 💝kurudisha hamu na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume n 💫Kuupa mwili stamina na nguvu. 🔥Kuondoa madhara yanayosababishwa na msongo wa mawazo. 🌹Kusaidia kuboresha homoni za tendo la ndoa 🥀 Kusaidia uwezo wa mbegu za kiume kuogelea vizuri.. 🔥Kuongeza uteute kwa kwenye uke wakati wa tendo la ndoa. Hivyo kupunguza msuguano utakaoleta maumivu kwa wanawake. 💖Kusafisha mishipa ya damu isiwe na mafuta mabaya yaliyoganda ili damu iweze kupenya vizuri mwili mzima

Kusaidia mwanaume aweze kushiriki tendo kwa muda mrefu na kutomwaga haraka haraka na aweze kurudia mizunguko kadhaa

Namna ya kupata hivi virutubisho,
Njoo WhatsApp kwa namba
https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

"RUTUBISHA AFYA YA VIUNGO VYA UZAZI"Mahsusi kwa Wanaume na Wanawake pia, na inasaidia yafuatayo: ☆ kuupa mwili nguvu na ...
18/03/2020

"RUTUBISHA AFYA YA VIUNGO VYA UZAZI"

Mahsusi kwa Wanaume na Wanawake pia, na inasaidia yafuatayo: ☆ kuupa mwili nguvu na stamina
☆ kuongeza hamu ya tendo la ndoa
☆ kuongeza nguvu za kiume kwa kuboresha mzunguko wa damu
☆ kuboresha afya ya mbegu za kiume
☆ kuzuia ukuaji wa tezi dume
☆ kubalance hormones
☆ kupunguza madhara ya menopause k**a hot flushes kwa wanawake
☆ kupunguza athari za msongo wa mawazo na kuweka mwili sawa ☆ Mama enjoy tendo la ndoa with Multi-Maca, kwa kuufanya mwili urelax na kuongeza unyevu☆

WHATSAPhttps://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

18/03/2020

U

KWANINI NI MUHIMU KUTUMIA ARG+PLUSNi virutubishi vya asili vyenye vitamin mbali mbali na L-arginine ambayo tunahitaji ku...
18/03/2020

KWANINI NI MUHIMU KUTUMIA ARG+PLUS

Ni virutubishi vya asili vyenye vitamin mbali mbali na L-arginine ambayo tunahitaji kutumia kila siku, husaidia katika mifumo mingi ya mwili kuwa imara na kufanya mwili kuwa na afya Njema

1.Umuhimu Wa Arg plus*

2.Husaidia na kuifanya mishipa ya damu itanuke ili kuruhusu damu kuzunguka vizuri

3.Huusaidia moyo kufanya kazi vizuri na kuratibu mzunguko wa damu Mwilini
4.Ina ondoa taka mwili.
5.Humuwezesha mwanaume kuwa imara na kumudu katika tendo la ndoa (stamina)

6.Huimarisha,hulinda, na kuzuia kuvimba/ kansa ya tezi dume

7.Husaidia katika mfumo wa kinga Mwilini (huongeza kinga Mwilini hivyo huufanya mwili kukinga magonjwa mbali mbali)

8.Husaidia uzalisha wa hormones na cell mpya hivyo kupunguza kasi ya kuzeeka
9.Husaidia katika kuimarisha mifupa, joints, misuli.

10.Ni nzuri sana kwa wafanya mazoezi(promotes athletic performance)

11.Hufanya ngozi kuwa imara, nzuri na yenye afya kwa kusaidia kuponya michubuko, sehemu ilioungua au kidondo

WhatsApp https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

FOREVER MULTI - MACANi Kirutubisho kilichotengenezwa kwa kusaga mizizi ya mmea wa MACA unaopatikana Nchini PERU.Peru wan...
14/03/2020

FOREVER MULTI - MACA

Ni Kirutubisho kilichotengenezwa kwa kusaga mizizi ya mmea wa MACA unaopatikana Nchini PERU.

Peru wanatumia huo mzizi kwenye Chakula, Mboga au Vinywaji kwa kuboresha na kuimalisha afya ya Uzazi.

FAIDA YAKE KIAFYA

1. Hurekebisha mfumo wa homorne za kijinsia.

2. Huzibua Uchafu kwenye mirija ya uzazi na kuimalisha ufanyaji kazi mzuri wa mfumo wa mkojo na uzazi.

3. Huimalisha Ubora na Idadi ya uzalishaji wa Mbegu za kiume.

4. Husaidia Kupevusha Mayai, Kupunguza maumivu wakati wa hedhi na madhara ya kukoma kwa hedhi.

5. Huimalisha afya ya Tezi Dume na kuzuia kuvimba kwa Tezi au madhara ya Saratani ya Tezi Dume.

6. Huzuia Ukuaji wa Vimbe kwenye Kizazi na Fangasi sehemu za siri.

7. Huondoa hali ya mtu kuwahi au kuchelewa kufika kileleni wakati wa tendo.

8. Huimalisha afya ya mzunguko wa damu, Kinga za mwili, huupa mwili nguvu na stamina kwa muda mrefu.

9. Husaidia mwili kuwa na mahusiano mazuri kati ya Ubongo na Cell za mwili kuchochea hisia za kijinsia.

https://wa.me/https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

AFYA YA UZAZZI KWA KINA BABAUUMME KUSIMAMA KWA ULEGEVU (ERCTILE DSFNCTION)Kwa kifupi:Wanaume wengi hawajui hili jambo la...
25/02/2020

AFYA YA UZAZZI KWA KINA BABA

UUMME KUSIMAMA KWA ULEGEVU (ERCTILE DSFNCTION)

Kwa kifupi:
Wanaume wengi hawajui hili jambo la mashine kusimama legevu au kusimama na kunywea tena linatokana na nini.

Ili uumme usimame kuna vitu vingi inabidi viwe sawa katika mwili wako.

»»Kwanza mfumo wa hisia zako inabidi uwe sawa,
»»Pili mfumo wa fahamu pia uwe sawa,
»»Tatu mfumo wa mzunguko wa damu mwilini uwe sawa kwani uumme husimama tu baada ya dam kutiririka na kujaa kwenye mishpa ya uumme baada ya mtu kupata hamu ya tendo la nnddoa. Na hapo function ya moyo pia inabidi iwe very intact. Licha ya hayo yote ham ili ije inabidi mfumo wa hormones za mwili wako uwe sawa (Hormones ziwe katika uwiano sawa).

Mfano kuna hormone inayochochea mtu apate ham ya tendo. Hiyo hormone k**a ipo katika kiwango cha chini basi utapata hamu kwa mbali sana au hutopata kabisa. Hivyo uumme nao hautopata mawasiliano ya kupokea damu inavyotakiwa na hivyo utasimama kwa ulegevu au kutosimama kabisa.
Lakini pia ili uumme ufanye kazi vizuri hasa wakati wa tendo inabidi mfumo wako wa misuli uwe vizuri...

Hayo ni baadhi ya mambo ambayo inabidi yawe sawa kwanza ndipo wewe uone mambo yanakuwa swadakta!

Wanaume wengi wanakumbana na tatizo la erctile dsfuction. Hili tatizo ni pana siyo k**a watu wanavyofikiri. Na kutatua tatizo k**a hili inahitaji kuhakikisha chochote utakachofanya kinakusaidia kuboresha mifumo yote ya mwili. Short cut haikusaidii kutatua tatizo la Erctile Dsfunction. Usipokua makin pindi upatapo tatizo katika mfumo wa uzazzi utajikuta linazidi kuwa sugu na siku ukija kutaka kulitatua sasa unakuta limeshakuwa kubwa kweli. Unakuwa huna tofauti na mtu anayepata kiupele anakidharau mwisho anakuta ni saratani (cancer).

SULUHISHO
Sisi tunakusaidia kutatua tatizo lako kwa upana wake. Ni wachache wanaopenda kutatua tatizo kiujumla. Wengi wanataka shortcut tu. Wapo wanaoelewa kuwa ukitaka kumaliza shida katika maisha usitafute shortcut.

TIBA
Wengi huhitaji kutatua na hujikuta wakiangukia kwenye tiba za ajabu ambazo hua ni suluhisho la mda (kuboost) na baadae kuishia kwenye matatizo makubwa pamoja na kujutia.

Tunatibu kwa kutumia virutubisho/lishe (supplements) ambazo hutokana na mimea na matunda. Tunatumia bidhaa k**a;
+

n.k

Kwa maoni, ushauri, changamoto zinazohusu nguv za kiumme na mengine;

Wasiliana nasi kwa simu/sms/WhatsAp:
https://https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

CHANGA MOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME LIMEFIKA KIKOMO.                                         0679748020Leo naomba ...
25/02/2020

CHANGA MOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME LIMEFIKA KIKOMO. 0679748020

Leo naomba tujumuike pamoja katika kutizama tiba ya upungufu Wa nguvu za Kiume kwa kutumia virutubisho

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume sasa limepata ufumbuzi.

Jionee maajabu ya + na -maca

Bidhaa hizi zmewasaidia wanaume wengi wenye matatizo ya
1. upungufu wa nguvu za kiume,
2. Matatizo ya uzazi
3. kushindwa kumpa mwanamke MIMBA,
4. Husaidia kuongeza uzalishaji wa mbegu za UZAZI za KIUME
5. kurudisha MAHUSIANO yaliyopotea/yaliyovunjika kutokana na tatizo hili kwa kutoa tiba sahihi.

CHANZO CHA TATIZO HILI NI NINI??

Tatizo hili linasababishwa na vitu mbalimbali ila sababu kubwa ni hizi hapa.

1.MSONGO WA MAWAZO hunaochangiwa na matatizo mbalimbali.mfano Kufiwa, Kuachwa na Mpenzi/mke.Kuachishwa kazi n.k.
2.MITINDO mbalimbli ya MAISHA. K**a Ulevi kupita Kiasi,Uvutaji SIGARA na matumizi ya Madawa ya KULEVYA.
3.KUPOOZA KWA MWILI
4.WASIWASI au Woga na kutojiamini kwamba utamridhisha mwenzi wako katika tendo la ndoa.
5.KUSHAMBULIWA na Magonjwa mbalimbali mfano. Ugonjwa NGIRI,KISUKARI,PRESHA,N.K
6.ULAJI mbovu wa vyakula, kula vyakula vyenye Mafuta Mengi,Lishe Duni.na vitu vyenye sukari nyingi.
7.KUPIGA Punyeto/kujichua kwa muda mrefu. 8.UZITO ULIO PITILIZA

ATHARI ZA UPUNGUFU/UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUUME
👉KUVUNJIKA kwa Mahusiano ya kimapenzi mfano kuvunjika kwa ndoa au Uchumba.
👉Kuchukua Maamuzi magumu k**a kujiuua ili kuondokana na Fedheha na aibu ya Tatizo hilo
👉Kutoka Nje ya Ndoa/Michepuko kwa Baadhi ya Wanandoa ili kutimiza haja Zao.Kutokana na kwamba ndani ya ndoa zao wamekosa kupewa haki yao ya msingi

KAZI YA BIDHAA HIZI
👉Kusaidia misuli kuwa imara hvyo kusababisha uume kusimama k**a msumar
👉Ksaidia mzunguko wa damu kwenye mwili
👉Inaongeza uzalishaji wa mbegu za kiume.
👉Inatibu tatizo la kuwahi kufika kileleni.na kuchoka sana baada ya tendo la ndoa
👉Huongeza nguvu na hamu ya Tendo la ndoa
👉inasaidia kuondoka kwa msongo wa mawazo
- kurudia tendo la ndoa .

Fahamu ya kuwa bidhaa hiz haztatia hamu tu bal zinaondoa kabisa chanzo cha tatizo na kukufanya rijali tena.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa sms- whatsapp https://https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

K**A WEWE NI MWANAUME , UNAMALIZA TENDO LA NDOA NDANI YA DAKIKA 2 AU 3 NA NDANI YA DAKIKA HIZO KURUDIA ROUNDI YA PILI NA...
25/02/2020

K**A WEWE NI MWANAUME , UNAMALIZA TENDO LA NDOA NDANI YA DAKIKA 2 AU 3 NA NDANI YA DAKIKA HIZO KURUDIA ROUNDI YA PILI NA KUENDELEA KWAKO NI MTIHANI.
• BASI SOMA HAPA 👇👇👇👇
Kuna pendekezo la mtu mmoja alisema bora mtu kwanza afahamu kwanza visababishi .
Katika maisha ya kila siku kutokana na vyakula , vinywaji nk , Haya matatizo unaweza kuyapata na ukajiuliza umepungukiwa nguvu namna gani ?
Ukweli wa mambo ni kwamba .
 K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatzo la nguvu za kiume .
 K**a uume hausimami barabara , una upungufu wa nguvu za kiume
 K**a uume unasimama na kulegea kwa muda mfupi au kwa mwanamke Fulani unafanya naye sawasawa ila kwa mwingine mambo hayaendi sawa, basi una tatzo la nguvu za kiume.
 K**a uume wako hulegea tu muda mfupi baada ya kuingia ukeni, una tatizo la nguvu za kiume.
 K**a unasikia maumivu wakati wa tendo na wakati uume ukisimama una tatzo na nguvu za kiume
 K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa) au unatoa mbegu nyepesi una Tatizo la nguvu za kiume .
 K**a unashindwa kurudia tendo mara ya pili una tatizo kubwa la nguvu za kiume
 K**a unashindwa kufika kileleni wakati ukiendelea na tendo una tatizo kubwa la ukosefu wa nguvu za kiume.
Au K**a Ufika Kileleni haraka Sana Ndani ya Dakika 1 , 2 au 3 Tambua Unalo Tatizo la Nguvu za Kiume Na Unahitaji Msaada wa Haraka Zaidi.
Ndugu yangu k**a una baadhi au unahisi una dalili za kuwa na matatizo yaliyoainishwa hapo juu basi nakushauli uchukue hatua haraka sana, hii ni kwa sababu kuchelewa kwako kutakufanya hapo baadae tatizo liwe kubwa Zaidi na huenda ukashindwa kulitibia au ukaja kulitibia kwa gharama kubwa Zaidi ya ile iliyotakiwa au Unaweza Kupoteza Uwezo Wako Kabisa Na Ikawa Shida Kujitibia - Kumbuka hakuna Mbadala wa Uume Ulionao atakayefanya Kazi Unazokufanyia Uume Wako.
Iwapo una mojawapo ya matatizo hayo niliyoorodhesha yanakutokea juwa kabisa una tatizo la NGUVU ZA KIUME sasa ni muda muafaka wa kuanza kutafuta matibabu sahihi bila kuchelewa na unapoanza kujitibu ni vizuri zaidi kabla mambo hayajawa mabaya Zaidi unakuwa unajitengenezea mazingira ya kupona lakini chelewa chelewa ….utakuta mwana si wako
Sababu za kupungua kwa nguvu za kiume zipo nyingi , Ingawa Leo nitazieleza Kwa Uchache Sana .
Kuna sababu za kimwili na sababu za kisaikologia.
 Matumizi ya Vi**ra
 Kupiga Punyeto(masturbation)
 Maradhi ya mishipa ya damu
 Shinikizo la damu la kupanda na kushuka
 Unene mkubwa na kitambi
 Kisukari
 Maradhi ya moyo
 Sigara, pombe na madawa ya kulevya
 Kuendesha magari makubwa kwa mda mrefu
 Lishe mbovu, mfumo mbaya wa maisha, umri, majeraha na vidonda vya tumbo
 Msongo wa mawazo na vidonda vya tumbo
 Ngiri na maradhi ya zinaa
 Uraji wa vyakura vyenye kemikali (chemicals)
MATIBABU :
Njia Bora Kabisa ya Kumaliza Tatizo lako ni Kutumia Product Bora Kabisa ya # maca
; # macca- Huinua kiwango cha testosterone , Hii ni Tezi ambayo hushughulika na kuongeza hamu ya tendo la ndoa .
• # - Huongeza utoaji wa nitric oxide ndani ya mwili ambayo huboresha mzunguko wa damu na kufanya Uume Kusimama Barabara , Pia huifanya misuli kutanuka na mishipa ya Damu Kupitisha Damu Sawasawa , Hivyo Kufanya Never Ziweze Kufanya Kazi Vizuri.
• Kuishiwa nguvu za kiume siyo ugonjwa bali ni dalili za ugonjwa na ndiyo maana kabla hatujakupa tiba Baadhi ya watu wataona matokeo ndani ya saa chache wengine siku chache, na wengine pia wanaweza kuchukua wiki moja au mbili kulingana na ukubwa wa tatizo walilonalo.
- # macca Ni Ya Asili : Imetengenezwa Kutokana na Mmea Uitwao "FRESH MACCA" Unaopatikana Nchini Peru , Mmea huu Unasifika Sana Kwa Kuhuisha Mfumo Mzima wa Uzazi Kwa Mwanaume Na Kufanya Mwanaume Kuwa Na Uwezo Ufuatao :-
1. Kiwango Kizuri Cha Mbegu za Uzazi ( S***m ) Na Kufanya iwe Na Uwezo Mkubwa wa Kukabiliana Na Kuondoa Tatizo la "LOW COUNT S***M".
2. Huongeza Shahawa ( Semen ) Na Kufanya Kiwango Kizuri Cha Shahawa.
3. Huongeza Hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa.
" Pia Ina PROSTAEP III.
Hii hufungua Mishipa ya Damu Ya Kwenye A Na Kuufanya Uume Usimame Barabara Mwanzo hadi Mwisho wa Tendo la Ndoa .
- Hufanya Mwanaume Kuwa Kwenye Kilele ( Kiwango Cha Hali ya Juu ) Cha Hisia Wakati wa Tendo la Ndoa.
- Huongeza Uzalishwaji wa Homoni ya Kiume , Hivyo Kufanya Mwanaume arejee Katika Ubora Ule Ule wa Asili aliopaswa Kuwa nao ..
"Ina VITAMIN "B".
- Hii husaidia Kuondoa Uchovu ambao Mwanandoa anaweza Kuwa nao Kabla na Baada ya Tendo , Maumivu ya Viungo Mbali Mbali , Msongo wa Mawazo ( Stress ) Na Kuuweka Mfumo wa Damu Sawasawa.
• Hajaongezwa Kemikali ya Aina Yoyote , Hivyo Kufanya Isiwe Na Madhara Yoyote Kwa Mtumiaji Wakati wa Kutumia au Baadaya ( Ni Salama Kwa Afya ya Mtumiaji ) -
K**a Wewe ni Muhanga wa Tatizo hili Wasiliana nasi
Huduma Zitakufikia Popote Pale Ulipo

https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

UGUMBA SASA BASI``` SOMA HAPA 👇 0679748020 ```Ugumba ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na``` ```mwanamke wa...
25/02/2020

UGUMBA SASA BASI``` SOMA HAPA 👇
0679748020

```Ugumba ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na``` ```mwanamke wanapokutana kimwili (au kujamiana)``` ```bila kutumia njia yoyote ile ya upangaji uzazi kwa ```muda``` wa miezi 12 na kutoweza kushika``` ```mimba au kupata ujauzito.
```

```Aina za Ugumba

1.Ugumba wa asili (Primary infertility) - Hii ni pale ambapo mwanaume na mwanamke hawajawahi``` ```kutunguisha mimba kabisa maishani mwao hata baada ya kujamiana au kukutana kimwili``` ```kwa muda wa mwaka mmoja bila kutumia njia``` ```yoyote ile ya kuzuia kupata mimba.
```
2 ```.Ugumba unaotokea baadaye maishani (Secondary infertility) - Hii ni pale ```ambapo``` wote wawili, mwanamke na mwanaume``` ```wameshawahi kupata ujauzito au kutungisha mimba angalau mara moja maishani mwao na``` ```baada ya hapo hawajafanikiwa kupata au kutungisha mimba``` ```tena.```

```Asilimia 30-40 ya tatizo la ```ugumba huwakumba``` wanaume na asilimia 40-50 ya tatizo hili``` ```huwakumba wanawake, wakati asilimia 10-30 zilizobakia ya tatizo hili``` ```husababishwa kwa pamoja na matatizo kati ya wanaume na``` ```wanawake, hapa sababu halisi hazijulikani.```
```Kwa wale wenye afya njema, uwezekano wa kupata au kutungisha mimba iwapo``` ```watajamiana mara kwa mara kwa mwezi ni asilimia 25``` - ```30. Wanawake hufikia kilele cha kupata ujauzito (peak fertility) wakiwa kwenye miaka ya ishirini``` .

```Mwanamke aliye na umri wa zaidi ya miaka 35 (au baada ya miaka 40) ana uwezekano wa kupata``` ```ujauzito ```kwa``` asilimia 10.```

Je mimba hutungwa vipi?

```Mimba hutungwa baada ya mwanamke kutoa yai kutoka katika moja ya``` ```viwanda vyake vya mayai ya k**e yaani ovaries, kitendo hiki hujulikana``` ```k**a ovulation. Yai husafiri hadi kwenye``` ```mfuko wa uzazi ujulikanao k**a uterus (womb) kupitia kwenye mirija ya uzazi``` ```inayojulikana k**a mirija ya fallopian.
```
```Mbegu moja ya kiume (s***m) ni lazima itungishe au iungane (fertilize) na yai au mayai ya k**e (o**m au ova)``` ```wakati yai likielekea kwenye uterus. Baada ya mbegu ya kiume na yai``` la ```k**e kuungana,``` ```muunganiko uliotengenezwa yaani kiinitete (embryo) hushuka mpaka kwenye``` ```mfuko wa uzazi na kujiwekeza hapo ili``` ```kiendelee kuwa kiumbe.```

```Tatizo la ugumba linaweza likawa ni la nwanaume au mwanamke pekee``` ```ingawa wakati mwingine wote wawili wanaweza``` ```kuwa na tatizo hili.```

```Ni sababu zipi zinazoleta tatizo la ugumba``` (infertility) ?

Kwa wanawake ;

Tatizo la ugumba linaweza kutokea wakati wa;

✅ ```Yai au kiumbe kilicho ndani ya mfuko (uterus) wa uzazi kushindwa``` ```kukua hadi kufikia kuwa``` ```mtoto.```

✅ ```Mayai yaliyo ndani ya
mfuko wa uzazi kushindwa kujishikiza kwenye ukuta wa mfuko``` wa uzazi (uterus lining).

✅ ```Matatizo kwenye njia``` ```ya kupita yai au mayai wakati yanakwenda kwenye mfuko wa uzazi (uterus).
Matatizo ya mayai``` ```ya uzazi (ovaries) kushindwa kutoa mayai (eggs).```

*Tatizo la ugumba kwa wanawake husababishwa na;*

✅ Matatizo katika uterus``` na shingo ya kizazi (cervix) k**a uvimbe na birth defects
✅ ```Matatizo katika mfumo wa kuganda kwa damu (clotting disorders).

✅Mazoezi kupita kiasi``` (excessive exercise), ```afya iliyodhoofika (poor nutrition), matatizo ya kula (eating disoder).
Baadhi ya madawa au sumu.

✅Msongo wa mawazo``` (emotional stress).

✅ ```Tatizo la kukosekana kwa usawa wa mfumo wa vichocheo mwilini (hormonal imbalance)
Uzito uliopitiliza``` (obesity).

✅Unywaji pombe kupindukia (heavy alcohol intake)
Magonjwa ya muda mrefu k**a kisukari (diabetes).

✅Magonjwa ya kina mama (Pelvic inflammatory infection, PID).

✅Ovarian cysts and polycytic ovarian syndrome
Magonjwa ya zinaa (sexually transmitted disease, STD) au endometriosis
Saratani.

✅Uvutaji sigara, madawa ya kulevya k**a kokeni, bangi, hashishi nk.

✅Matatizo ya hedhi - wanawake wanaopata hedhi bila kutoa mayai (anovulatory menstrual cycle)
Kuwepo kwa cervical antigens ambazo huua shahawa za mwanamume na hivyo kusababisha kwa mwanamke kutopata ujauzito.

SULUHISHO LA UHAKIKA SMS/CALL/WHATSAPh

ttps://https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

*UHUSIANO KATI YA UGUMBA NA UPUNGUFU WA MADINI YA ZINC*Zinc ni elementi muhimu mno katika afya ya binadamu hivi kwamba u...
25/02/2020

*UHUSIANO KATI YA UGUMBA NA UPUNGUFU WA MADINI YA ZINC*

Zinc ni elementi muhimu mno katika afya ya binadamu hivi kwamba ukosefu kidogo unaweza kuleta madhara makubwa. Zinc ni ya muhimu sana kwa sababu inapatikana ndani ya kila kiungo cha mwili cha binadmu na inahusika kwa karibu sana na kugawanyika kwa seli za mwili. Ni antioxidant yenye nguvu sana, inayosaidia kuzuia kansa, na pia inahusika moja kwa moja katika ufanyaji kazi wa tezi mbalimbali za kutengeneza homoni na kuweka sawa viwango vya homoni katika mwili. Makadiridio yasiyo rasmi yanaonyesha kuwa asilimia 25 ya watu duniani wanakabiliwa na upungufu wa zinc na kwa sababu mwili wa binadamu hauhifadhi zinc, tunalazimika kupata zinc kila siku.

VYANZO VYA MADINI YA ZINC

Kwa msomaji wa makala hii, tambua kwamba huhutaji kwenda mbali zaidi kupata madini haya muhimu kwa afya yako, maana hupatikana kwenye vyalula vinavyotyuzunguka kiurahisi k**a

1.maini

2. mboga za spinach

3. mbegu za maboga na karanga

4. nyama nyekundu (kula kwa kiasi)

5. maharage na maziwa na

6. Uyoga na Parachichi

Baadhi ya dalili ambazo zitakusaidia kutambua kuwa una upungufu wa madini ya zinc ni pamoja na

Ø Kupoteza hamu ya kula

Ø Kujiskia vibaya na huna mood mara kwa mara

Ø Kupungua kwa uwezo wa kutambua ladha ama harufu ya kitu

K**a unatambua una dalili zote hizi hapo juu basi hakikisha unaonana na dactari wako ili uweze kupata vipimo na ushauri wa kitaalamu

MADINI YA ZINC HUSAIDIA

1 Kusawazisha kiwango chasukari katika mwili

2 Kusaidia utengenezwaji wa protini kwenye mwili

3 Kusaidia kusapoti mfumo wa upumuaji

4 Kuongeza ufananyaji kazi wa seli za mwili

5 Kupunguza sumu mwilini na kusaidia mmengeyo wa chakula

UPUNGUFU ZA ZINC NA AFYA YA UZAZI

Upungufu wa zinc husababisha ugumbakwa jinsia zote, wanaume na wanawake na kuwasababishia tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Kiwango kidogo cha zinc katika mwili hukuza madhara ya msongo wa mawazo katika mwili na kuchochea uzeekaji wa haraka. Isije ikafikiriwa kuwa upungufu wa zinc upo zaidi kwa watu wenye lishe duni au wale katika nchi zinaendelea tu. Ukweli ni kuwa tatizo hili lipo Marekani na Ulaya kwa wanaume, wanawake na watoto.

Upungufu wa zinc hubadili namna ya kusikia ladha na kusababisha kupenda chumvi zaidi, chakula kitamu zaidi. Inaweza kujidhihirisha kwa kuharisha, upungufu wa nguvu za mwili, uchovu sugu, ugumba, upungufu wa kinga za mwili, kukosa kumbukumbu, kushindwa kutuliza mawazo, kuchelewa kupona vidonda, neva kutofanya kazi vizuri, na kuunguruma kwa sauti kwenye masikio.

Afya Ya Uzazi Ya Mwanamme:

Zinc ni madini ya lazima katika kuweka testosterone kwenye kiwango kinachotakiwa, na seli za tezi dume ya mwanamme zinahitaji kiwango cha zinc ambacho ni mara 10 zaidi ya mahitaji ya seli nyingine za mwili ili ziwe na afya na zifanye kazi kwa kiwango kinachotakiwa. Upungufu wa zinc kwa wanaume huathiri uzalishaji wa testosterone, huwaweka wanaume kwenye mazingira hatarishi ya kupata saratani ya tezi dume, na huwasababishia ugumba. Upungufu wa zinc umehusishwa na kukosa hamu ya kufanya mapenzi.

Afya Ya Uzazi Ya Mwanamke:

Kwa wanawake, zinc inahusika katika ukuuaji wa yai (oocyte). K**a mwanamke atakuwa na upungufu wa zinc, yai halitakomaa vizuri na utolewaji wa yai (ovulation) utazuiliwa , na kusababisha ugumba. Kiwango cha zinc cha kutosha kunamwezesha mwanamke kutumia estrogen na progesterone vizuri.

*FAIDA ZINGINE ZA YA MADINI YA ZINC NI*

Kuboresha Kinga Za Mwili:

Upungufu wa Zinc unaathiri kwa kiwango kikubwa mfumo wa kinga za mwili kwa sababu upungufu huo husababisha kudorora kwa haraka kwa ufanyaji kazi wa T cell. T cells huinua kinga za mwili wakati virusi, bakteria , au changamoto nyingine zinapotokea. watu wenye umri mkubwa huwa kwenye hatari ya kuwa na upungufu, sababu kubwa ikiwa ni kukosa zinc ya kutosha kutoka kwenye milo yao. Kuna ushahidi wa kuonyesha kuwa mahitaji ya zinc huongezeka na umri ili kuzuia uvimbe, kusaidia kinga za mwili , na kuhakikisha ufanyaji kazi wa seli unaotakiwa.

Kulinda Mfumo Wa Mishipa Ya Moyo:

Zinc ni muhimu katika kuweka sawa afya ya seli za mishipa ya moyo na endothelium. Endothelium ni tabaka jembamba la seli zinazotanda juu ya mishipa ya damu na zina mchango mkubwa katika mzunguko wa damu. Kiwango kidogo cha zinc kinaweza kusababisha kuzuiwa kwa endothelium na kusababisha kuongezeka kwa cholesterol na uvimbe. Cholesterol na uvimbe huongeza uwezekano wa kutokeamagonjwa ya moyo.

Kuzuia Kisukari

Zinc huhitajika katika kuhakikisha homoni nyingi zinafanya kazi vizuri, pamoja na insulin. Zinc hunata kwenye insulin na kusababisha insulin kuhifadhiwa kwa wingi ndani ya kongosho na kutolewa pale glucose inapoingia kwenye mfumo wa damu. Pili, zinc inaisaidia insulin kunata kwenye seli na kufungua mlango ili glucose iweze kuingia. Ikiwa seli hazitataka kuipokea insulin, glucose itabakia ndani ya mfumo wa damu, itasababisha kiwango cha sukari kuwa juu, na kusababisha kuongezeka kwa mafuta. Kiwango cha zinc kinaposhuka, utolewaji wa insulin utapungua na pia upokewaji wa insulin hiyo, ambapo hali ikiendelea, tatizo la kisukari hutokea. Utafiti wa hivi karibuni huko Hispania uliohusisha wanafunzi ulionyesha uhusiano wa moja kwa moja kati ya upungufu wa zinc, uwingi wa mafuta mwilini, na mwili kutoipokea insulin.

Antioxidant Yenye Nguvu

Zinc ni antioxidant bora inayoondoa radikali huru zinazoharibu seli za mwili kwa kuungana nazo na kisha kupoteza chaji zao. Zinc hulenga radikali huru ambazo husababisha uvimbe mwilini na hasa inafanya kazi vizuri sana kuondoa sumu za metali nzito kutoka katika ubongo.

Kiondoa Sumu Chenye Nguvu

Kudorora kwa afya ya neva na ugonjwa wa Alzheimer's huchochewa na kujikusanya kwa metal nzito katika ubongo. Zinc husaidia kuondoa sumu hizi na kusaidia katika kuboresha ufanyaji kazi wa seli za ubongo (cellular homeostasis). Zinc ina mchango mkubwa sana katika shughuli za mawasiliano baina ya neva na husaidia kuweka sawa afya na umbo la ubongo. Pia, zinc ni sehemu ya kimeng'enya kinachohusika katika kuvunjavunja mafuta katika ngozi nyembamba inayofunika ubongo. Hii ni kazi muhimu sana kwa sababu katika kutunza afya ya ubongo na ufanyaji wake kazi, inatakiwa kuhakikisha kuwa ngozi hii nyembamba inapata virutubisho inavyovihitaji.

Kuzuia Kansa

Kuweka viwango vizuri vya zinc katika miili yetu kumeonyesha kuwa kunaweza kusaidia kuponya matatizo mengi sugu ya kiafya, hasa kansa na upungufu wa kinga za mwili. Pamoja na kansa ya tezi dume, upungufu wa zinc umeonyesha kuhusika sana katika kujenga karibu aina zote za kansa. Utafiti wa hivi karibuni umehusisha upungufu wa zinc na kansa za maziwa, utumbo mkubwa, ovari, mapafu , ngozi, na leukemia.

NB, k**a una matatizo ya ugumba na kutopata mtoto basi nashauri mke na mume wafike kituo cha afya wote wawili waweze kupata vipimo ili kujua chanzo cha tatizo hapo ndipo wanaweza kuanza kutumia dawa.

Kwa wale akina mama wenye matatizo ya homoni, kuvurugika kwa hedhi na kukosa ujauzito kwa mda mrefu basi tumewaandalia bidhaa ambayo itakusaidia kubalansi homoni zako na kurejesha uwezo wa kushika ujauzito. Tunashauri wanandoa wote kufanya vipimo ili kujua chanzo cha tatizo lako la kushindwa kushika ujauzito. karibu nawe upate huduma hii ya virutubisho

Kwa wanawake, MADINI YA ZINC yanahusika katika ukuuaji wa yai (oocyte). K**a mwanamke atakuwa na upungufu wa zinc, yai halitakomaa vizuri na utolewaji wa yai (ovulation) utazuiliwa , na kusababisha ugumba. Kiwango cha zinc cha kutosha kunamwezesha mwanamke kutumia estrogen na progesterone vizuri. hakikisha unapata virutubisho kutoka kwenye vyanzo vilivyothibitishwa.
Kwa wanaume zinc ni nzuri sana kuimarisha mbegu za uzazi

unaweza kuwa wewe ni mzima hivo mfahamishe na mwingine kuhusu habari hii.
Kwa mawasiliano sms/call au whatsap

https://wa.mehttps://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

MWANAUME NI NGUVU1. HUSAIDIA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME.2.INAMSAIDIA MWANAUME ATOE MBEGU ZENYE AFYA TELE.3. HUBORESHA UWEZ...
25/02/2020

MWANAUME NI NGUVU
1. HUSAIDIA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME.
2.INAMSAIDIA MWANAUME ATOE MBEGU ZENYE AFYA TELE.
3. HUBORESHA UWEZO WA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA.
4. NI NZURI KWA AFYA YA TEZI DUME.
5. NZURI KWA HOMONI.
6. HAINA MADHARA YOYOTE KATIKA MWILI.

NOTE: HIVI NI VURUTUBISHO NA SIO DAWA KAZI YAKE KUBWA NI KWENDA KULISHA CELLS NA KUREJESHEA MAPUNGUFU TULIONAYO MWILINI.

POWERED BY MULTI-MACA
TUPO NCHI 165 DUNIANI NA IPO GLOBAL APROVED NA MAMLAKA YA VYAKULA NA DAWA

Whatsapp namba https://wa.mehttps://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E


TUNA FANYA DELIVERY ULIPO POPOTE PALE

JE UNAFAHAM UMHIMU WA ARG+ NA MACCAfaida zake hizi hapa soma👇👇Muunganiko huu siyo mchezo 💪💪🔥🔥🔥🔥1. Husaidia moyo kufanya ...
23/02/2020

JE UNAFAHAM UMHIMU WA ARG+ NA MACCA
faida zake hizi hapa soma👇👇
Muunganiko huu siyo mchezo 💪💪🔥🔥🔥🔥
1. Husaidia moyo kufanya kazi zake vizuri na hivyo damu kuzunguka.

2. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa, stamina na nguvu za kiume kwa asilimia 100% 👍💪 3. Zinasaidia kubalance presha.

4. Zinasaidia kuondoa cholestrol(Mafuta mabaya) na damu kusambaa vizuri ndani ya mwili.

5. Hupunguza kasi ya uzee (anti aging)na Inasaidia kubalance hormone

6. zinasaidia kujenga misuli, wanaopenda kujenga misuli mikubwa💪 zinawasaidia sana.

7.kuzuia na kuratibu ukuaji wa tezi dume

8. Kuongeza idadi na ubora wa mbegu

9. Kupunguza athari za msongo wa mawazo🤔

Kwa maelezo zaidi na kujipatia bidhaa bora sana piga namba hii
+255778749710 au whatsap
https://wa.me/255778749710?text=Nahitaji%20leo%20kwa%20bei%20ya%20punguzo%20%F0%9F%98%8E

Address

Viktoria
Dar Es Salaam

Telephone

+255778749710

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram