AFYA SOLUTION-Tiba na Ushauri

AFYA SOLUTION-Tiba na Ushauri Elimu ya Afya
Tina ya Magonjwa uzazi
Tiba ya Kisukari,presha,mgongo,stroke,cancer
0745517606

STROKE NI NINI? Stroke au kiharusi ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulan...
05/07/2024

STROKE NI NINI?

Stroke au kiharusi ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulani la ubongo husitishwa ghafla au kupungua sana hivyo kusababisha eneo hilo la ubongo kukosa damu na virutubishi muhimu na seli za eneo hilo kuanza kufa.
Hili linaweza kutokea pale mishipa ya damu ya kuelekea kwenye eneo hilo ikiziba au mishipa ndani ya ubongo katika eneo hilo kupasuka. Seli za ubongo za eneo hilo zikianza kufa kwa kukosa damu, shughuli zote zinazoendeshwa na eneo hilo la ubongo husimama kwa mfano kumbukumbu au misuli.

*Dalili kuu za ugonjwa huu ni:*

1. Kuchanganyikiwa, mtu akipata shida ya kuongea na kuelewa anachoambiwa

2.Maumivu ya kichwa yanakwenda pamoja na kupoteza fahamu kwa vipindi na kutapika

3.Ganzi katika viungo vya uso, mkono na mguu na hasa vikiwa vya upande mmoja wa mwili

4.Kupata shida ya kuona kwa jicho moja au yote

5.Kupata shida ya kutembea vikichanganyika na kizunguzungu na kukosa mpangilio wa matendo ya mwili.

6.Msongo wa mawazo

7.Maumivu kwenye mikono na miguu yanayoongozeka baada ya viungo hivyo kufanya kazi au kutokea mabadiliko ya hali ya hewa.

8.Kupooza au udhaifu wa upande mmoja wa mwili

9.Kupata shida katika kufanya matendo ya kuonyesha hisia za mwili

10.Kushindwa kumudu matumizi ya kibofu cha mkojo au viungo vya njia ya haja kubwa. +255745517606

➡️Upofu➡️Maradhi ya figo➡️Maradhi ya moyo➡️Vidonda kutopona upesi na hatari ya kukatwa mguu➡️Kufa ganzi na kupoteza hisi...
05/07/2024

➡️Upofu
➡️Maradhi ya figo
➡️Maradhi ya moyo
➡️Vidonda kutopona upesi na hatari ya kukatwa mguu
➡️Kufa ganzi na kupoteza hisia za mikono na miguu
➡️Kiharusi
➡️Kukosa hamu ya tendo la ndoa +255745517606

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA SOLUTION-Tiba na Ushauri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA SOLUTION-Tiba na Ushauri:

Share

Category